PROF:KABUDI AWAOMBA MAPADRE MSAMAHA/VICHEKO VYATAWALA KWENYE MSIBA WA MONSINYORI MBIKU/YUPO MBINGUNI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 04. 2021
  • #RestInPeace #BreezOnlineTv

Komentáře • 61

  • @fridaupendomushi1081
    @fridaupendomushi1081 Před 17 dny

    Proffessor Kabudi huwa unanikosha kwa hotuba zako.❤

  • @nsodyaphilimon9153
    @nsodyaphilimon9153 Před 3 lety +5

    Kabudi naona kama barakoa leo kavaa. Hv niyeye? Ila kaona anashindwa kupumua akalivua. Hakika Magufuli ulitumia Moyo uliojaa ujasili na Imani yenye kuwasiliana na Mungu kutuponya, hakika umetuachia donda mioyoni. Mungu akulaze mahali pema. Waliokuwa chini yako huenda wakakusaliti Ila uliwabatiza kisawasawa hivyo hautasalitiwa 100%. Kabudi nakuelewaga kwenye speech zako na zinanifanya nikufuatilie sana

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 3 lety +5

    Profesa ni profesa tu. hata kiswahili unakipa nafasi kila mara ukiwa ktk ghafla. Hongera.
    Hakika Monsinyori Mbiku alikuwa ni Baba wa Kiroho na mwalimu wa kanisa. Rahaha ya Milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie apumzile kwa amani amina

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před 3 lety +2

    Mungu aipokee roho ya marehemu Mon.Deogratius Hukumu Mbiku katika nuru ya uso wake. Amina.

  • @marysona9999
    @marysona9999 Před 21 dnem +1

    Hadi leo mimi huwa nasema, Wewe ukisimama kuongea, huwa unaunguruma maneno yalijaa ushujaa , uzalendo wa kiuongozi na yenye nguvu na mtirririko wa kihistoria katika Taifa letu la Tanzania. Hongera kwa akili kali na kwa zawadi ya imani.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety +7

    Huyu father Ana kipaji sana

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 Před 3 lety +3

    Very strategic speaker n leader

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Před 3 lety +2

    Ooh: mungu amlaze mahari pema amuangazie nulu ya milele 🕯🕯🙏🤲

  • @kessyantoy6223
    @kessyantoy6223 Před 3 lety

    Maneno Mataamm Sana Mzee Kabudi, Mwenyezi Mungu akutangulie

  • @aloiceoduorokoth230
    @aloiceoduorokoth230 Před 3 lety +4

    Prof Kabudi has been truthful always in everything he says and does. God bless 🙏 his family and friends in Jesus's name .

  • @christophermbunda2172
    @christophermbunda2172 Před 3 lety +4

    Apumzike kwa amani baba yetu

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga382 Před 3 lety +2

    Mwaka Mbaya sana huu 2021

  • @happinessmtui8571
    @happinessmtui8571 Před 3 lety +1

    Nitakukumbuuukk Daima na Kuombea upumzike kwa Amani Father

  • @denismatowo5627
    @denismatowo5627 Před 3 lety

    Hongera Prof Kwa speech Nzuri

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Před 3 lety +3

    Ujumbe mzuri. Raha ya milele umpe eeBwana.

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Před 3 lety

    Prof.Kabudi is a very wonderful man,He doesn't deserve appreciation in his absence, He should be told how smart he is to move on

  • @mihayoyabhupangachannel9909

    NYIE MMEVAA TUNINI MIDOMONI!,SINDILIA AU!

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 Před 3 lety +2

    Kabudi Leo umevaa barakoa bbaa

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před 3 lety +1

      Amekuwa hana msimamo

    • @kilapilo.kilapilo5292
      @kilapilo.kilapilo5292 Před 3 lety +1

      Ni kigeugeu sana huyu jamaa, yaanii natamani 'yule mwamba' wa Chato angefufuka japoo siku chache & ashuhudie vimbwanga vya hawa waliokuwa wasaidizi wake.

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 9 měsíci

    Amina

  • @evanemes1567
    @evanemes1567 Před 3 lety +2

    Prof umeongea point sana. Halafu kumbe we ni mkatoliki! Jina lako lilikuwa linanipa shida kujua upo upande gani wa dini. Hongera sana.
    R,I,P Monsinyori Deogratias Mbiku.

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Před 3 lety +1

      Sio mkatoliki ni Anglican...ndio maana KASEMA mkatoliki wa Uingereza

    • @evanemes1567
      @evanemes1567 Před 3 lety +2

      @@clausemsemwa297 oooh nashukuru kwa kunielewesha. Ndo maana alisema hivo kumbe!

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 Před 3 lety +1

      Ni Anglican low church ilipo dodoma

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 Před 3 lety +1

      Na babake alikuwa Canon huko Mvumi na baadae rift Valley Kilimatinde na ndiko alikizikwa huyo babake.

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 Před 3 lety +1

      @@clausemsemwa297 upo sahihi kabisa

  • @helencyprian6044
    @helencyprian6044 Před 3 lety

    Amina barikiwa

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 Před 3 lety +1

    RIP FR MBIKU TUNA MSHUKURU MUNGU KWA ZAWADI YA UHAI WAKO

  • @mbarakajummadindamadinda491

    Kaanza kufaa barakoa

  • @goodmorningonlinetv5637
    @goodmorningonlinetv5637 Před 3 lety +2

    Kristu tumaini letuu

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 Před 3 lety

    God knows everything.

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 Před 3 lety

    Pumzika kwa amani father askofu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 3 lety +2

    R.i.p

  • @julianadaudi8541
    @julianadaudi8541 Před 3 lety +2

    R.IP Baba Mbiku.

  • @babayao3791
    @babayao3791 Před 3 lety +1

    kabudi amevalia barakoa

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 Před 3 lety +3

      Barakoa imemshinda kaamua kuishusha, barakoa zinatesa sana pia zinasaidia kidogo sana, na inafanya ile hewa chafu ishindwe kutoka nje maana umeziba sehem zote za kuitoa pua na mdomo hivyo inaendelea kuzunguka humo ndani, barakoa sio nzuri kuvaa zaidi ya masaa 3

  • @mubahamisi1075
    @mubahamisi1075 Před 3 lety +1

    Bado kununua chanjo tu!

  • @essammanyologa3934
    @essammanyologa3934 Před 3 lety

    Kumbe akili zipo huyu mzee

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety +3

    Alikua mcheshi huyo padre

    • @faridymkojera6144
      @faridymkojera6144 Před 3 lety

      Leo kabudi unavaa barakoa hahahahaaaa🤸‍♀️

    • @rithamsele8275
      @rithamsele8275 Před 3 lety

      Nilikuwa na promise nae mwezi June tuonane.Alinilea sana Mungu ampokeee

  • @ishaelkivuyo1188
    @ishaelkivuyo1188 Před 3 lety

    Huyu professor ni wa ajabu sana leo anahutubia huku amevaa barokoa Mbona zamani alikuwa hatumii au ulikuwa ni uoga wa kutotaka kumuudhi marehemu ?

  • @lutulalihim1585
    @lutulalihim1585 Před 3 lety +3

    Kwanini ndugu zetu wa kristo kanisani nawaona wa zungu huwa wana mana hipi 🇺🇸

  • @rwebangiraruta7704
    @rwebangiraruta7704 Před 3 lety +2

    rip

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 Před 3 lety

    Nawashangaa Watanzania wanaovaa barakoa wakati mungu katupatia neema ya kuishinda corona mtu uko kanisani bado tu unaonyesha unafiki kwamba corona inamzidi mungu unavaa barakoa mnasalii au mnacheza.

    • @williammasubi1114
      @williammasubi1114 Před 3 lety +1

      Wewe na hiyo imani yako isiyo na matendo acha kuvaa barakoa.
      Waache wenye imani ya kweli ya matendo wavae kujilinda wao na kulinda wengine.
      Imani bila misingi ya sayansi ni ushirikina. Wewe ni mshirikina tu! Watu wanakufa kwa korona wewe unaleta ushirikina wako hapa!

    • @csato9415
      @csato9415 Před 3 lety

      🚮🚮🚮🚮

  • @nyotasingers
    @nyotasingers Před 3 lety

    Tanzania haina corona. Mbona mabarakoa?

    • @kiatu
      @kiatu Před 3 lety

      Imani ndogo.

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn6564 Před 3 lety +2

    Umevaa barakoa Sasa eeehhh?

    • @tumahamza8972
      @tumahamza8972 Před 3 lety

      Kavaa nakuvua vilevile

    • @maishayakipepeo7309
      @maishayakipepeo7309 Před 3 lety

      Acheni siasa tupu!! Barakoa hazijakatazwa na wala hazijalazimishwa.... ndo maana Una uhuru wa kuvaa na kuiondoa! Ndo akili za kuambiwa ukachanganya na za kwako!!!