NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AFUNGUKA ALIVYOFUKUZWA SHULE KISA ADA "MUNGU ANANIPENDA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AFUNGUKA ALIVYOFUKUZWA SHULE KISA ADA "MUNGU ANANIPENDA"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 73

  • @kulwakayagamba1328
    @kulwakayagamba1328 Před rokem +9

    Tumepata Tena kiongozi ambaye anamtaja Mungu kwa kila sentence Hongera snaa

  • @linnamlay3643
    @linnamlay3643 Před rokem

    MUNGU azidi kukuinua,akaitangulize nguzo ya moto mbele yako na majukumu yako yakapate kibali mbele za MUNGU.Amen

  • @rameckprosper8849
    @rameckprosper8849 Před rokem

    Yote mema katika Bwana wa majeshi atutiaye nguvu na pumzi bila kulipia. Kiongozi akimtanguliza Mungu waaminio katika miungu hupambana kumshusha. Mungu uliye hai mkumbatie Ndg. Biteko apambanie haki za wasiyo na sauti katika dunia yenye upofu juu ya haki za watu wasiyo na sauti katika jamii. Naomba na kuamini milele yote. AMINA.
    👏👏👏

  • @galluskanenge4898
    @galluskanenge4898 Před rokem +1

    Haya,Mungu wetu anakaa rohoni mwetu au nje ya nafsi au penginepo ,?? viongozi achilieni vyote vizuri ,vinavyo wapendeza kwa watanzania ili wamwone Mungu ,nafsini mwenu.kumbukeni kwamba Mungu amewapa ili mtoe ,siyo mmiliki ! Kwako mheshimiwa namuona Mungu ,akujalie yote kwaajili ya raia wema na wabaya wa Tanzania ❤

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Před rokem

    Man with a huge parentage of fear of God. Servant of God.trustfuly man.Gof bless you.eimen.

  • @juliannjunwa7857
    @juliannjunwa7857 Před rokem +2

    Tabia ya kumtanguliza Mungu,ina siri kubwa,Watumishi wa Mungu tuzidi kumsogeza mbele zaBWANA WA MAJESHI

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před rokem +1

      Huyu anataja jina la Mungu Bure Kuna watu zaidi ya 700 wanateseka Kwa ajilili yake Sasa sijui huyo Mungu anaemtaja niyupi labda miungu ya Baali

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před rokem

      @@robertphilip385 kwa nini sasa?

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 Před rokem +2

    Hongera sana sana Mhe Naibu Waziri Mkuu. Ujue Mungu mkubwa sana sana na wewe Uko na Mungu bado utaona Mambo safi zipo zina kuja kwako. Moyo Yako IPO safi na wewe ni MTU wa Huruma umeona umaskini kama unao sema. God bless you Always.

  • @jacksonmathayo3859
    @jacksonmathayo3859 Před rokem +5

    Nyenyekeeni Chini ya Mkono Wa BWANA Yesu Uliohodari Ili Awakweze Kwa Wakati wake

  • @ceciliaikombe5609
    @ceciliaikombe5609 Před rokem

    Hongera sana Mh. Naibu Wazir Mkuu Mungu azd kukuinua kwa viwango vya juu zaid ya hapo.

  • @sologomwendante2116
    @sologomwendante2116 Před rokem

    Hongera Mh Naibu waziri Mkuu Mwenyezi Mungu hushugulika sana na maisha yetu kila mtu kwa wakati wake.

  • @winfredmsheri3069
    @winfredmsheri3069 Před rokem +5

    1998 form four level are we together? 😊 du kumbe mtihani ulifutwa ili mhe. Naye afanye! Sis tulijua wizi ulikirithiri kumbe nyuma ya pazia Mungu anamja wake anataka kumvusha hakika akili za Mungu ahazichunguziki 😊

  • @abubakarhillary6103
    @abubakarhillary6103 Před rokem

    MAA SHAA ALLAH , HONGERA MHESHIMIWA 👏👏👏

  • @joeltuuruni.ag.
    @joeltuuruni.ag. Před rokem

    Hongera sana mh.Bitoke mungu azidi kukuinua

  • @sultanmsoloni8635
    @sultanmsoloni8635 Před rokem +1

    Hakika Allah ndio Kila kitu ktk maisha yetu

  • @victorrutonesha7323
    @victorrutonesha7323 Před rokem +2

    Nimependa maneno yako Mhe. yamejaa unyenyekevu. Asante sana

  • @johnmussa9121
    @johnmussa9121 Před rokem +1

    Hongera sana naibu wazil doto biteko mungu ni mwema wakati wote

  • @user-li9us4zk3c
    @user-li9us4zk3c Před rokem

    Ongera sana mh doto bitteko mm binafsi nnapenda sana msimamo wako chapa kazi baba mm nnakuombea mwenyez mung akujalie afya njema

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 Před rokem

    99% wangekuwa Ni viongoz wengne wangeanza kumpa sifa kwanza Rais na kumsifia kuwa mchapa kazi, Mungu kwanza hongera Biteko Dotto

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před rokem +1

    Acheni kumpa mtu sifa ambazo anastahili Mungu pekee

  • @MosesNyirenda-k8o
    @MosesNyirenda-k8o Před rokem +1

    Kufukuzwa shule kwa sababu ya kukosa ada ni kitu cha kawaida sana,.Watanzania wengi wamepitia hili.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem

    maisha ni safari inayohitaji uvumilivu.hongera mh.doto biteko.

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 Před rokem

    Mnasemaga hivyo hivyo mimi mtoto wa masikini halafu mkipata nafasi ni mwendo wa kupiga hela , watanzania wanaimani na wewe, kitakacho kusumbua tu ni kitu kimoja mama bado amewakumbatia watu wanaotaka Tanzania iongozwe kwa wanavyotaka wao, hao jamaa wananguvu sana ila Mungu ni mwema tunaamini atakufanyia wepesi katika majukumu yako,

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 Před rokem

    Hakika.mungu akikupa hakuandikii barua hongera sana mwanangu

  • @chiefmalaba6240
    @chiefmalaba6240 Před rokem

    Hongera

  • @Kaizirege
    @Kaizirege Před rokem +1

    Hizo ndio bahati zangu Mimi😂😂😂

  • @COMPASSIONMEDIA
    @COMPASSIONMEDIA Před rokem +3

    Asilimia kubwa Wasukuma wana moyo mzuri. Na wakipewa nafasi ni waadilifu kwenye kazi. Ni wasimamiaji. Waaminifu. Wanaweza kuleta mabadiliko makubwa. Ni wapole. Wakarimu. Mazingira yao yamewashepu hivyo.

  • @user-ce9bb5go6v
    @user-ce9bb5go6v Před rokem

    Mungu mwenyewe

  • @MtumeAntonyMtepa
    @MtumeAntonyMtepa Před rokem +3

    WEWE NI RAIS AJAE MUNGU AKUTANGULIE

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před rokem

    Safi kwa kulijua Hilo na kujishusha kumbe unajua ulikotoka, kwahiyo Hali ya chini ya watu wasio na uwezo unaijua kwa vitendo. Wewe ni mfano wa kuigwa kabisa

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Před rokem +1

    Maisha Marefu kwako Mheshimiwa Biteko.Naibu Waziri Mkuu

  • @user-ce9bb5go6v
    @user-ce9bb5go6v Před rokem

    Ye2 macho

  • @user-qv2hj9rc3f
    @user-qv2hj9rc3f Před rokem

    Mungu akubariki sana mh . Naona utakuja kuiingiza nchi hii kama rais wa TZ . U are the next TZ PRES. unikumbuke na Mimi hahahahaa

  • @Josephinetemba-km8fu
    @Josephinetemba-km8fu Před rokem

    Ndoto yangu niile ilee kukuombea uje uwe kiongozi wajuu kabisa

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 Před rokem

    Kaza mwendo kaka (vilio vya watanzania vikubwa ni wizara uliyopewa nakuombea Mungu akupe jicho la pili hekima na busara katika kumsaidia mh rais kilio cha wengi kipungue

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 Před rokem

    Sijasema!!!!

  • @stewardlwimbo3944
    @stewardlwimbo3944 Před rokem

    Msipige ovyo mininga hiyo jamani😂😂😂 hongera kwake

  • @emmanuelgeorge3079
    @emmanuelgeorge3079 Před rokem +1

    Maisha ni safari ndefu haya aliemfukuza Mheshimiwa kisa ada sasa anajisikiaje?😂😂😂

    • @edwinmandela5658
      @edwinmandela5658 Před rokem

      Ko we utafungua duka uwe unagawa bidhaa bure ulivyo mento

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před rokem

    Nimekuelewa mno

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před rokem +1

    Cheo chake katika katiba ya mwaka 1977 ibara ya ngapi inaonyesha kuna wadhifa wake

  • @joharimloge4088
    @joharimloge4088 Před rokem

    Jembe ilo🎉🎉🎉❤❤

  • @jacobgeorge3736
    @jacobgeorge3736 Před rokem

    Amen

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka9170 Před rokem

    Ningeshauri Bunge letu lijadili kwa dharura vituko vya wafanyabiashara wa mafuta kuliyumbisha taifa. Mheshimiwa Rais anawaogopa sana wafanyabiashara wa mafuta na hana uwezo nao.

  • @joeltuuruni.ag.
    @joeltuuruni.ag. Před rokem

    Mh.Biteko

  • @juliannjunwa7857
    @juliannjunwa7857 Před rokem

    Kama mfalme,amemunyoshea,fimbo,kazi yangu nikuyaangalia mapenzi ya Mungu kwake.Sio watu 700,walioko nje,comments hiyo,sijapenda.

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před rokem

    Nishat ya mafuta ni hatar tunaomba upambane January alishindwa

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před rokem +2

    Huyu ndo waziri anaewatasa wafanyakazi wa tanzanite one mpaka waleo hawajalipwa stahiki zao lkn yeye anakula bata watu zaidi ya 700 wanateseka na familia zao kwajambo analolijua

    • @emmanuelfwillo6721
      @emmanuelfwillo6721 Před rokem

      acha ujinga basi 🤓🤓. leo tufurahi. mengine subiri kikao kazi bana

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před rokem

      @@emmanuelfwillo6721 vikao vimekasana lkn hamnakitu watu wanateseka utafikiri tunatawaliwa na wakoloni

  • @stn4873
    @stn4873 Před rokem

    NIMECHUKUA HIYO DAKTARI DOTTO MASHAKA BITEKO. MWENYEZI MUNGU MBELE KWENYE KILA JAMBO.

  • @laizerlekisongo1216
    @laizerlekisongo1216 Před rokem

    Kwan we ulitaka afukuzwe nannn kama hulipi ada

  • @FelixMkagila-yf4vg
    @FelixMkagila-yf4vg Před rokem +1

    Nchi ipo kwenye shida ya mafuta wananchi tulitegemea mipango mkakat ya kumalizia tatzo la mafuta na mgao wa umeme Doto anatuletea history yakuvaa viatu siriaz ndo dhumun ya wasafi kumtafuta wazir afanye interview au ndo kujpendekeza kwa vyombo vyetu vya habar

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před rokem

    ishi nao ila usiwamini ila biteko ww ndo uliye Baki kutuletea wanannchi

  • @jamesassanga8581
    @jamesassanga8581 Před rokem +2

    Naimani kanda ya ziwa watapata Rais mwingine siku zijazo

  • @gloriadaniel3827
    @gloriadaniel3827 Před rokem

    Huyu ni MTU na nusu. Mhe Rais ameibua hili kipaji.

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před rokem

    Sio kila cheo kinatoka kwa Mungu nyingine zinatoka kwa ibilisi

  • @abdillahatosha6641
    @abdillahatosha6641 Před rokem

    Cheo hiiki Ange kipata masanja kazi ingekuwepo

  • @lameckmbele5901
    @lameckmbele5901 Před rokem

    lkn kwa nn mnapopata madaraka mnakuwa na kiburi sn kama kweli ww ni mwema jipambanue na wana ccm wengine tukujue kwani nyinyi viongozi wa ccm sio watu wazuri

  • @nyandichearts
    @nyandichearts Před rokem

    Michongo tu matumboo makubwaaa walalahoi tunahaha

  • @user-vi9ht9eq2d
    @user-vi9ht9eq2d Před rokem

    Nime penda mkopo wenu

  • @user-li9us4zk3c
    @user-li9us4zk3c Před rokem

    O

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před rokem +1

    huyu ANAANDALIWA KUWA WAZIR MKUU ajae mung akujalie

  • @delickdonatus
    @delickdonatus Před rokem

    Biteko ni paster

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před rokem

    Amen