HUYU NDIO DOTTO BITEKO, JEMBE LA MAGUFULI LILILOUGUSA MOYO WA SAMIA NA KUPEWA CHEO KIPYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 79

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před rokem +21

    Mtangazaji sauti yako ni bidha na pia matamshi yako ya kiswahili ni swafi sana.
    Upewe maua yako 💐💐💐

  • @josephjulius3327
    @josephjulius3327 Před rokem +8

    Magufuli aliona mbali huyu jamaa ni mtu👏👏👏

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 Před rokem +1

      Mbali kaona nini zaidi ya kutesa wananchi
      Watanzania ni vipofu wakubwa wa kufikiri.
      Hali ilikua ngumu sana wakati wa jpm na usalama wa nchi ulikua hatihati na kila wakati watu walitekwa wengine kwenye viroba wameuwawa ,kuonewa na kudhulumiwa kusudi tu.
      Alimfundisha Sabaya kuwa na roho mbaya ya kuuwa watu , eti leo watanzania ni RIP jpm....hahaaaa watanzania nani kawaloga??????

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před rokem

      ​@@mbwanarajab4756mhhh

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz Před rokem +7

    Ina maana wale wahuni wameshindwa kazi SI wanajionaga special leader walishamuhaharibia sana mama sasa pale tamisemi arudishwe jafo uone kama serikali haijachangamka

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Před rokem +1

    unajitahidi sana Mwenyezi Mungu acute nguvu sana uvumilivu nakuelewa sana tenda wema tu

  • @chankamba
    @chankamba Před rokem +6

    Safi sana Vuta wasukuma ndani walikuwa wamekuacha mama

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 Před rokem +3

      Wasukuma wapo site sana juu ya taifa hili not lwopo lwopo ni kazi tu

  • @paulhando6286
    @paulhando6286 Před rokem +1

    Hongera waziri mkuu, hongera Biteko, lakini....Huyo ndugu yetu Peter Mavunde ni Mavunde kweli kweli simamia sana.naomba asinichukie bure

  • @user-tr9wd5kf7i
    @user-tr9wd5kf7i Před 5 měsíci

    Hongera mama doto umelenga penyewe

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před rokem +2

    Nomà saana aisee 🔥👏🔥💯

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +2

    Mtangazaji uko vizuri

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 5 měsíci

    Hongera sana. Usikubaki miji sifasifa. Anayekusifusifu pekua utendaji wake kisawasawa We ni msomi.

  • @shakukawele9959
    @shakukawele9959 Před rokem

    Asante baba 👏🏼👏🏼👏🏼mungu azidi kuku bariki 🙏🏽🙏🏽

  • @sulemanmagesa2181
    @sulemanmagesa2181 Před rokem +1

    Majembe yapo ila mfumo ndio hauna Nguvu. Anaweza kujitoa kuitumikia nchi yako Lakini Vikwazo vingi na Hupewi Ushirikiano.Ukigusa Mafuta unakuta Waziri wa Fedha au ... Umeme February naye yumo na hao ndio wanajiita Wazuri. Tumwombee kwa Mungu, hapa Nchi ilipofika anakazi kubwa mbele yake.

  • @bahatibmazala1023
    @bahatibmazala1023 Před rokem +5

    History ya maisha yako huenda ukaja kuwa rais baadae

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Před rokem +2

    Kazi kwenu wasukuma matorori .

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Před rokem +6

    Kwa heshima ya magu atakiwi kuenenda na awa waovu wa serikari hii

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 Před rokem +1

      Heshima ya kuteka ,kuuwa na kudhulumu watu?
      Hadi hela za tetemeko alikula .. acheni kusifia uongo na kujiresi akili , watu wenye akili wanawatizama tu

    • @amirlehao8945
      @amirlehao8945 Před rokem

      ​@@mbwanarajab4756bado tuna watu wenye akili nzito kwenye nchi yetu kama nyie

  • @amostaita4429
    @amostaita4429 Před rokem +2

    Daah mwalimu wangu wa shule ya msingi nyang'hanga mwaka 2003

  • @janethkawishe9368
    @janethkawishe9368 Před 6 měsíci

    For sure namkubali sana biteko

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi Před 5 měsíci

    Uyujamaa anaakili Sana✔️

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před rokem +2

    rais anaweza kabisaa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před rokem +4

    Magufuli alichagua huyu jamaa ni mtu anajua anachoganya ndio maana anasogea mbele .

  • @EmmanuelMatonya-or3yv

    How much?

  • @gotfriedmwesiga4234
    @gotfriedmwesiga4234 Před rokem

    Kiongozi mzuri huibua viongozi bora pia huyo ndo alikuwa JPM

  • @stn4873
    @stn4873 Před rokem +2

    Doto Biteko namuona Kulwa Biteko pembeni hapo.

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Před rokem +10

    Katika Mawaziri Wotee Walioachwa Na Magufuri Mwamba Kabaki Peke yake Kama Sikosei
    Namkubali Sana Huyu Kaka.

  • @luhajufilmstanzania
    @luhajufilmstanzania Před rokem +1

    Safi

  • @DottoAlex-xr2gc
    @DottoAlex-xr2gc Před rokem

    Uko vizuri sana mbunge wa mbukombe

  • @gracemunthali7945
    @gracemunthali7945 Před rokem +1

    Wewe ndie rais. Tell them the truth.

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 Před rokem

    Duh

  • @martineshija2712
    @martineshija2712 Před rokem +1

    Hapo nimemuelewa Rais kwakutuludishia mtuhuyu ilaingefaa angeludi kweny wizara yake ya Nishat na madini

  • @Gracemima
    @Gracemima Před rokem

    Samia amejaribu kumutowa makosa ameshindwa. WOTE wa Magufuli aliwafukuza kwa kusikiliza majungu. Waziri wa aridhi Mabura nje. Chuki kwa Hayati Magufuli kwa huyu mama haisemeki. Polepole katupwa polini. Bashkiria kamuzika huku bado anapumuwa. Tumebakia na vilaza wameoywa wakae Kimya. Alisema mutanikumbuka na kweli.

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Před rokem

    Safiiiii hakuna kitu kinaniuzi kama yale makofi ya kinafiki na kama huamini ni ya kinafiki walize wanashangilia nini mbona magufuli akiongea walikua wakikaa kimya! Yan kimya! Tena kimya!

  • @nyandichearts
    @nyandichearts Před rokem +2

    Njanji njuriiii

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před rokem

    Jembe kweli kweli!

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před rokem

    Naona ata Uyu mtangazaji anafaa kuwa kiongozi na kwa uwezo wa mungu inshallah ipo siku atafika mbali na pia namuona mbali 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Před 11 měsíci

    Kumbe ni mapacha aisee dah ndo najua leo

  • @saidmtenda1628
    @saidmtenda1628 Před rokem

    Mijitu mingine inaboa, kila kitu kizuri kinachofanywa leo kinaonekana kimesababishwa na Magufuli,ina maana nchi hizi haitapata kiongozi mzr zaidi ya Magu? Huo ni uhayawani kuamini tuliopo leo ni makopo.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před rokem +4

    Rais WETU Samia oyee❤

  • @Werema3760
    @Werema3760 Před rokem +2

    ➡️Tatizo ni mfumo kwa hiyo HAKUNA KITU HAPO.

  • @nestor384
    @nestor384 Před rokem

    Kanda ya ziwa huyu muuzaji nchi akajipendekeza vipi, huyu Leyla wa Kizimkazi hawezi shawishi na wala ungwa mkono..

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen3364 Před rokem

    BITEKO MWANANGU UNATENDA KAZI VEMA NA SAHIHI. ILA UNATENDA KAZI NAO NA CHAMA CHAKO NI TATIZO.

  • @yaajefwa94
    @yaajefwa94 Před rokem

    Janet mardadi😊

  • @pbsuite
    @pbsuite Před rokem

    Nakwambia wabongo siasa nyingi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +3

    Huyu ana andaliwa ama nini aje awe rais nini 2035😮

  • @clintonarnold6291
    @clintonarnold6291 Před rokem

    Kwani Mngevichoma je

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu8290 Před rokem +3

    ichii imekushida

    • @abdallahselemani6423
      @abdallahselemani6423 Před rokem +1

      Sisi tunamkubali mpaka amalize mda wake wewe hamia nchi nyengine kama humtaki

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Před rokem +1

      Wewekuongoza familia tu unahaha kama mbwa koko acha kazi iendelee

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      VP IME MSHINDA NA WAKATI UNATEMBEA MITAANI KWA AMANI AU UNATAKA ULETEWE MISOSI NYUMBANI???

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Před rokem

    Hakika Dotto ni kiongozi wa kweli.

  • @shadrackjuliuskaboya5239

    *kumbe tuna majembe tuu*

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Před rokem

    Kulwa wake anafanya kazi gani?

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Před rokem +1

    Wanawatumia muwavushe kwenye uchaguzi halafu ndo waweke watu wao sasa

    • @user-rn7ol6fr7f
      @user-rn7ol6fr7f Před rokem

      Jamaa kama nakuelewa hvi hii ni tiktak changa la macho wanajua Kanda ya ziwa kura zao zipo nyingi
      KUPITIA BITEKO. muda utanena

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      MTAUFYATA TU MAMA MITANO TENA.

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 Před rokem +4

    Kwa heshima kubwa ya jpm aliyokupa ,,hupaswi kabisa kusifia huyo fisadi mama abdul

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      MKUNDU WA MAMAKO MALAYA WEWE MUUZA UCHI MITAANI KUWA NA HESHIMA NA RAISI WA NCHI

    • @julianamasunga3458
      @julianamasunga3458 Před rokem

      @@salimmalaka256 mama yako ana nini bomba au mtaro ,,,,raisi wako wewe choko mfirwaji mmoja wewe ,,,,nyoooo rais atakuwa huyu,,,,mpumbavu nini wewe unayeshindia dagaa maharange

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem

      @@julianamasunga3458 TUNDU LAKO LA MKUNDU HILOOOOOOOO HILOOOOOOOO MSENGE WA KIKE MNUKA MKUNDU WEWE 😄 🤣 😂 😆

    • @julianamasunga3458
      @julianamasunga3458 Před rokem

      @@salimmalaka256 kama la mama yako mzazi huwezi ni hivyo hivyo mia mia ,,,,tahira mmoja wewe ,,,,,,pumbavu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem

      @@julianamasunga3458 VP BIASHARA YA KUUZA MKUNDU HAIKULIPI NINI MKUNDU UMESHA ZEEKA HUWO.

  • @BarakaMashimba-sr9ow
    @BarakaMashimba-sr9ow Před rokem +1

    Hayatuuuusu

  • @daudifrank5886
    @daudifrank5886 Před rokem

    Nani kamuona pacha wake kurwa

  • @amostaita4429
    @amostaita4429 Před rokem

    Daah mwalimu wangu wa shule ya msingi nyang'hanga mwaka 2003