HUYU NDIO DOTTO BITEKO, JEMBE LA MAGUFULI LILILOUGUSA MOYO WA SAMIA NA KUPEWA CHEO KIPYA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mtangazaji sauti yako ni bidha na pia matamshi yako ya kiswahili ni swafi sana.
Upewe maua yako 💐💐💐
Magufuli aliona mbali huyu jamaa ni mtu👏👏👏
Mbali kaona nini zaidi ya kutesa wananchi
Watanzania ni vipofu wakubwa wa kufikiri.
Hali ilikua ngumu sana wakati wa jpm na usalama wa nchi ulikua hatihati na kila wakati watu walitekwa wengine kwenye viroba wameuwawa ,kuonewa na kudhulumiwa kusudi tu.
Alimfundisha Sabaya kuwa na roho mbaya ya kuuwa watu , eti leo watanzania ni RIP jpm....hahaaaa watanzania nani kawaloga??????
@@mbwanarajab4756mhhh
Ina maana wale wahuni wameshindwa kazi SI wanajionaga special leader walishamuhaharibia sana mama sasa pale tamisemi arudishwe jafo uone kama serikali haijachangamka
uko sahihi
unajitahidi sana Mwenyezi Mungu acute nguvu sana uvumilivu nakuelewa sana tenda wema tu
Safi sana Vuta wasukuma ndani walikuwa wamekuacha mama
Wasukuma wapo site sana juu ya taifa hili not lwopo lwopo ni kazi tu
Hongera waziri mkuu, hongera Biteko, lakini....Huyo ndugu yetu Peter Mavunde ni Mavunde kweli kweli simamia sana.naomba asinichukie bure
Hongera mama doto umelenga penyewe
Nomà saana aisee 🔥👏🔥💯
Mtangazaji uko vizuri
Hongera sana. Usikubaki miji sifasifa. Anayekusifusifu pekua utendaji wake kisawasawa We ni msomi.
Asante baba 👏🏼👏🏼👏🏼mungu azidi kuku bariki 🙏🏽🙏🏽
Majembe yapo ila mfumo ndio hauna Nguvu. Anaweza kujitoa kuitumikia nchi yako Lakini Vikwazo vingi na Hupewi Ushirikiano.Ukigusa Mafuta unakuta Waziri wa Fedha au ... Umeme February naye yumo na hao ndio wanajiita Wazuri. Tumwombee kwa Mungu, hapa Nchi ilipofika anakazi kubwa mbele yake.
History ya maisha yako huenda ukaja kuwa rais baadae
Kazi kwenu wasukuma matorori .
Kwa heshima ya magu atakiwi kuenenda na awa waovu wa serikari hii
Heshima ya kuteka ,kuuwa na kudhulumu watu?
Hadi hela za tetemeko alikula .. acheni kusifia uongo na kujiresi akili , watu wenye akili wanawatizama tu
@@mbwanarajab4756bado tuna watu wenye akili nzito kwenye nchi yetu kama nyie
Daah mwalimu wangu wa shule ya msingi nyang'hanga mwaka 2003
For sure namkubali sana biteko
Uyujamaa anaakili Sana✔️
rais anaweza kabisaa
Magufuli alichagua huyu jamaa ni mtu anajua anachoganya ndio maana anasogea mbele .
Namshukuru Mungu
How much?
Kiongozi mzuri huibua viongozi bora pia huyo ndo alikuwa JPM
Doto Biteko namuona Kulwa Biteko pembeni hapo.
Katika Mawaziri Wotee Walioachwa Na Magufuri Mwamba Kabaki Peke yake Kama Sikosei
Namkubali Sana Huyu Kaka.
Kwa cheo alichopewa tumuombee
Bado yupo Bashungwa na Ummy
Wapo bado wengi tuu kina Jafo/ Simbachawene /
Safi
Uko vizuri sana mbunge wa mbukombe
Wewe ndie rais. Tell them the truth.
Duh
Hapo nimemuelewa Rais kwakutuludishia mtuhuyu ilaingefaa angeludi kweny wizara yake ya Nishat na madini
Samia amejaribu kumutowa makosa ameshindwa. WOTE wa Magufuli aliwafukuza kwa kusikiliza majungu. Waziri wa aridhi Mabura nje. Chuki kwa Hayati Magufuli kwa huyu mama haisemeki. Polepole katupwa polini. Bashkiria kamuzika huku bado anapumuwa. Tumebakia na vilaza wameoywa wakae Kimya. Alisema mutanikumbuka na kweli.
Safiiiii hakuna kitu kinaniuzi kama yale makofi ya kinafiki na kama huamini ni ya kinafiki walize wanashangilia nini mbona magufuli akiongea walikua wakikaa kimya! Yan kimya! Tena kimya!
Njanji njuriiii
Jembe kweli kweli!
Naona ata Uyu mtangazaji anafaa kuwa kiongozi na kwa uwezo wa mungu inshallah ipo siku atafika mbali na pia namuona mbali 🙏🙏🙏🙏🙏
Kumbe ni mapacha aisee dah ndo najua leo
Mijitu mingine inaboa, kila kitu kizuri kinachofanywa leo kinaonekana kimesababishwa na Magufuli,ina maana nchi hizi haitapata kiongozi mzr zaidi ya Magu? Huo ni uhayawani kuamini tuliopo leo ni makopo.
Rais WETU Samia oyee❤
➡️Tatizo ni mfumo kwa hiyo HAKUNA KITU HAPO.
Kanda ya ziwa huyu muuzaji nchi akajipendekeza vipi, huyu Leyla wa Kizimkazi hawezi shawishi na wala ungwa mkono..
BITEKO MWANANGU UNATENDA KAZI VEMA NA SAHIHI. ILA UNATENDA KAZI NAO NA CHAMA CHAKO NI TATIZO.
Janet mardadi😊
Nakwambia wabongo siasa nyingi
Huyu ana andaliwa ama nini aje awe rais nini 2035😮
Off coz Jamaa Yuko Vizur Nahisi MAGUFURI Anaenda Kupatikana Tena
Anatumiwa wasukuma wampigie Mama. Kikwete aache kumuandaa ridhiwani amuandae huyu.
Exactly Hapo Umeongea Point
Kwani Mngevichoma je
ichii imekushida
Sisi tunamkubali mpaka amalize mda wake wewe hamia nchi nyengine kama humtaki
Wewekuongoza familia tu unahaha kama mbwa koko acha kazi iendelee
VP IME MSHINDA NA WAKATI UNATEMBEA MITAANI KWA AMANI AU UNATAKA ULETEWE MISOSI NYUMBANI???
Hakika Dotto ni kiongozi wa kweli.
*kumbe tuna majembe tuu*
Kulwa wake anafanya kazi gani?
Wanawatumia muwavushe kwenye uchaguzi halafu ndo waweke watu wao sasa
Jamaa kama nakuelewa hvi hii ni tiktak changa la macho wanajua Kanda ya ziwa kura zao zipo nyingi
KUPITIA BITEKO. muda utanena
MTAUFYATA TU MAMA MITANO TENA.
Kwa heshima kubwa ya jpm aliyokupa ,,hupaswi kabisa kusifia huyo fisadi mama abdul
MKUNDU WA MAMAKO MALAYA WEWE MUUZA UCHI MITAANI KUWA NA HESHIMA NA RAISI WA NCHI
@@salimmalaka256 mama yako ana nini bomba au mtaro ,,,,raisi wako wewe choko mfirwaji mmoja wewe ,,,,nyoooo rais atakuwa huyu,,,,mpumbavu nini wewe unayeshindia dagaa maharange
@@julianamasunga3458 TUNDU LAKO LA MKUNDU HILOOOOOOOO HILOOOOOOOO MSENGE WA KIKE MNUKA MKUNDU WEWE 😄 🤣 😂 😆
@@salimmalaka256 kama la mama yako mzazi huwezi ni hivyo hivyo mia mia ,,,,tahira mmoja wewe ,,,,,,pumbavu
@@julianamasunga3458 VP BIASHARA YA KUUZA MKUNDU HAIKULIPI NINI MKUNDU UMESHA ZEEKA HUWO.
Hayatuuuusu
Nani kamuona pacha wake kurwa
Daah mwalimu wangu wa shule ya msingi nyang'hanga mwaka 2003