MANENO MAZITO YA NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AKIHUTUBIA "NIMEONA MNA HOFU MACHONI MWENU, IONDOENI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • MANENO MAZITO YA NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AKIHUTUBIA "NIMEONA MNA HOFU MACHONI MWENU, IONDOENI"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 103

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před 11 měsíci +2

    Huyu mtu atakuwa kiongozi bora sana. Keep it up brother.

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Před 11 měsíci +7

    Kijana mdogo ila umejaliwa akili na unabahati pia, NAIBU WAZIRI MKUU 🙌🙌🙌 si mchezo, hongera zako.

    • @richimuniko3578
      @richimuniko3578 Před 11 měsíci

      Nakulinganisha Jpm Ila upoktk chama Cha hovyo.

    • @richimuniko3578
      @richimuniko3578 Před 11 měsíci

      Jpm mtupu hongera kijana ila Hao jamaa wankula miti mibichi bi care

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 Před 11 měsíci

    Namuona mtu muhimu katika taifa ,mungu akulinde Sana,mhe

  • @Kristu556
    @Kristu556 Před 7 měsíci

    Hongera sana kwa ufahamu 🎉

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi1327 Před 10 měsíci

    This Guy is a presidential material

  • @jaynejones25
    @jaynejones25 Před 11 měsíci

    Hongera sana Mh.kwel umejaliwa

  • @user-kn8mu3og2h
    @user-kn8mu3og2h Před 9 měsíci

    Uyu mtu ni Atari sana mungu ambaliki

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Před 11 měsíci +2

    Kasim Majaliw,Doto Biteko, Juma Aweso, Albert Chalamila, Wakiongea na ukiwatazama kwa makini utajua wanaongea toka moyoni na wanamaanisha haswa ,, Mungu awalinde sana

  • @kabuguzodeus3597
    @kabuguzodeus3597 Před 11 měsíci

    Gud sana father

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk Před 11 měsíci

    Ubarikiwe sana mtumishi wamungu

  • @charlesmbudy7541
    @charlesmbudy7541 Před 11 měsíci +2

    Ukiwa na musimamo ipo siku utakua waziri mkuu kijana❤❤

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 Před 11 měsíci

      Huyu ni raisi wa baadae atakae bisha aanze kusoma alama za nyakati, Magufuli aliibuliwa na mkapa akaingizwa kwenyesiasa kipindi hicho akiwa ndio mbunge wa kwanza mdogo kuingia bungeni akiwa na miaka 25 mdogo mdogo baadae akawa raisi, huyu nae aliibuliwa na Magufuli tena kwa misimamo yake Magu akavutiwa nae kuona kama amepata pacha wake, naomba Mungu tu asibadilishwe na Mapapa ila ashughulike nao. Siku zote mtu mwenye hofu ya Mungu huongozwa na Mungu na kuona haya kufanya mabaya acha wale wanaoingia kila kukicha kila wiki kwa kujionesha tu lakini mioyo yao imejaa ubinafsi. Mungu anawaona.

  • @HandwrittenMemories
    @HandwrittenMemories Před 11 měsíci

    Huyu Mwanadamu ❤❤

  • @chrispiandastan5873
    @chrispiandastan5873 Před 11 měsíci +1

    Mm no chadema nilikuwa sijsmuelewa mj samia kuhusu dota sasa namuelewa mama wacha tule mtori nyama zpo chini

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904 Před 11 měsíci +2

    Kila laheri mtumishi Ktk kujali na kuwajibika

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 11 měsíci +1

    Huyu jamaa apewe uraisi

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 Před 11 měsíci +2

    DR. DOTTO BITEKO.

  • @paulmteki8196
    @paulmteki8196 Před 11 měsíci +1

    Naibu waziri Mkuu unaongoza kwa utulivu

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 11 měsíci

    nakuaminia Sana USTAWI WA JAMII IPEWE NGUVU SANA

  • @jumamaulid9462
    @jumamaulid9462 Před 11 měsíci

    Allaah awajaalie kwa matendo yenu mtuongoze vizuri na mkumbuke dhamana yenu mbele ya Mungu.
    Tunawapenda sana.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Před 11 měsíci

    Actionz speak louder than words

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Před 11 měsíci

    Ana sauti kama ya magu

  • @salumhassan4083
    @salumhassan4083 Před 11 měsíci

    Mama amelenga huyu naibu waziri yupo vizuri

  • @martineshija2712
    @martineshija2712 Před 11 měsíci

    Mhe Tafadhali usicheze mbali naumeme nanishati zakotumeumizwa Sana kwamda mchache Sana tatizo laumemekukatikakatika tulikuwatumelisahau kabisa ilakwa sasa naanza kuonadalili nzuli kwenye idalahiyo kiongoz kijana bola kabisa pale juu yako napenyewe namkubali Sana MAJALIWA Huyu atakuwa ajaye hapo baadaye.

  • @josephudoba5563
    @josephudoba5563 Před 11 měsíci +2

    Nakuona kileleni ndugu

  • @legynsio
    @legynsio Před 11 měsíci

    Ninakupenda sana dotto biteko jembe la jpm

  • @JamesMtewa-fe7fr
    @JamesMtewa-fe7fr Před 11 měsíci

    Daa! Ndona sikia haya niliwahi tembelea watu wasio nahatia ya mahusiano ila Leo nimelewa,, Doto uente tu mbele ya umli wako

  • @user-or7zf1tc1b
    @user-or7zf1tc1b Před 11 měsíci

    Ustawi wa jamii kwa watoto bila kulinda maliasili zao ni kuwastawisha waje kuteseka baadae. Lindeni kwanza maliasili yao ( Bandari) .

  • @veraisaria
    @veraisaria Před 11 měsíci +3

    This man is a next president kama hatutaangalia ukabila🎉

  • @danielkamendu2153
    @danielkamendu2153 Před 11 měsíci

    Kama namuona Magu

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 11 měsíci

    Huyu n jpm

  • @joshualepilal7842
    @joshualepilal7842 Před 11 měsíci

    Endelea Kua na mzimamo hifo mheshimiwa ww nijembe

  • @josephat66
    @josephat66 Před 11 měsíci

    Km ww ni mwalimu kabla ya hapo ulipo bas nakusubili juu zaidi

  • @josephsokozi2786
    @josephsokozi2786 Před 11 měsíci

    Rais ajaye huyo.

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 Před 11 měsíci +2

    Jamani Mh. Dotto Biteku wewe ni jembe kweli kweli. Chapa kazi

  • @user-gq2rd3up4k
    @user-gq2rd3up4k Před 11 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @amandapeter713
    @amandapeter713 Před 11 měsíci +1

    Kichwa hicho Mh Raisi hajakosea hata kidogo

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Před 11 měsíci

    Ndio waambie hao wafanye kazi kama Kesho mshahara kufanya hivyo tutapiga hatua kubwa sana kwenye kupunguza migogoro kwenye jamii 👏👏👏

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 měsíci

      Huyu waziri alikotoka kaacha mgogoro mkubwa ameshindwa Leo ndoataweza huko!! Haya nimaigizo tu hamna lolote

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 11 měsíci +1

      ​@@robertphilip385WAPI ALIKOTOKA???

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 měsíci

      @@salimmalaka256 kamahujui kitu nyamaza

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 11 měsíci +1

      @@robertphilip385 WEWE UNAJUWA NINI BENDERA FATA UPEPO WEWE AU UMESHAOLEWA NDIO UNALETA JEURI PUSTI WEWE

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 měsíci

      @@salimmalaka256 ndugu yangu usileteutani kwenye maslahi ya watu acha ushamba usishabikie wanasiasa

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 11 měsíci +1

    Mama hapa kaupiga mwingi

  • @harunncheye1909
    @harunncheye1909 Před 11 měsíci +1

    uyu ni jembeeee

  • @wilikornel8518
    @wilikornel8518 Před 11 měsíci +1

    Hahaha huyu ni mwijaku au naba levo jmn maana macho yangu kdg hayaoni vzr

  • @sahachi397
    @sahachi397 Před 11 měsíci +1

    Ukiwa na busara kila kitu kinaenda

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 Před 11 měsíci +1

    Mh. Unajitahidi kuongea ila kuwacha maadili na kuishi kama Alvyo amrisha Allah na Mtume wake Muhammad Sala na Salam zimfikie lazma matokeo hayo yatazidi Serekali.angalieni vyanzo vyote vya Zinaa mvipunguze

  • @LupimoMashamba
    @LupimoMashamba Před 11 měsíci +1

    Nyie mnaweza kuwa viongozi wazuri sana ila shida yenu kila kitu kumsifia rais, dunia ishatoka huko siku nyingi kikubwa ni kutimiza wajibu wako kwa watanzania rais sio MUNGU.

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před 11 měsíci +1

      Unataka wamsifie mama Yako?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 11 měsíci +1

      ALIE KWAMBIA RAISI NI MUNGU NANI??? WACHA HUSDA FALA WEWE

  • @user-nz5xf3mt1l
    @user-nz5xf3mt1l Před 11 měsíci

    Apo anawekwa akileta kujua anatolewa kiukwer maneno nimazur

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před 11 měsíci

    Ulesawa ngosha

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Před 11 měsíci

    Msimsifu tuu mama...akiharibu pia mshaurini kwa haraka sio mnakaa kimya au mnamsapoti hali ya kuwa mnajua kabisa anavurunda

  • @juliusbura4550
    @juliusbura4550 Před 11 měsíci

    AnAangalia ustawi wa viongozi

  • @barikimohammed
    @barikimohammed Před 11 měsíci

    Nahapo bado tuna laslimali zetu tunaishi ivo sasa kila leo zina ondoka tutaishi maisha gani ? Tumechoka siasa

  • @kulwakayagamba1328
    @kulwakayagamba1328 Před 11 měsíci +1

    Leo nimesikia neno kuchomekea dah! Tumepata JPM mwingine

  • @luckyngumbi4243
    @luckyngumbi4243 Před 11 měsíci

    Sikueliwi et

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Před 11 měsíci

    Nyie pigeni tuu hela ni wakati wenu unadhani Nana haelewi kuwa hizo ni mbinu za upigaji Ila Mungu anawaona

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před 11 měsíci +1

      Wivu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 11 měsíci +1

      WEWE AKILI YAKO UNAWAZA UWIZI TU MWEHU WEWE FANYA KAZI MVIVU WEWE

  • @user-si4ck7su9s
    @user-si4ck7su9s Před 11 měsíci

    Hio nafas ndoo inakufanya useme anafaa hata la badari utasema ni sawa

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi Před 11 měsíci

    Wapiga makofi 😅

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q Před 11 měsíci

    Kumbe na wewe chenga si tulijua utaongerea kuhusu vitu kupanda bei na galama za maisha kupanda

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 11 měsíci +1

      ARAAA AONGEREE VITU KUPANDA BEI NA SIO MAMBO YA JAMII AROO 😂😂😂😂😂

    • @WilbertChambilo-yl1kc
      @WilbertChambilo-yl1kc Před 11 měsíci

      Hapo penyewe mwavija sanaaaa 4:59

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 11 měsíci

    Hakuna cheo hicho katika katiba ya Tanzania

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před 11 měsíci +1

      wewe Inawezekana Bado ni mtoto mdogo Tena Inawezekana Bado unanuka mkojo ndio mana hujui chochote kile... Pole sana Dogo ukikuwa utajuwa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 11 měsíci +1

      KAMA HAKUNA CHEO HICHO ANDAMANA BASI.

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Před 11 měsíci +1

      Andamana bac

    • @masakamgalla9273
      @masakamgalla9273 Před 11 měsíci

      msomi huyu dingi safi sana

  • @Donnisonmaivaji-lr3le
    @Donnisonmaivaji-lr3le Před 11 měsíci

    Oó0

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 11 měsíci

    Huyu ndo aliyesababisha wafanyakazi zaidi ya 700 tanzanite one na familia zao wateseke zaidi ya miaka 6 bilakulipwa walahajali mateso wanyopata watu hao lkn yeye anaonaraha kupewa cheo kamahicho hivi mweshimiwa waziri hunahata hofu ya Mungu hatari sana

    • @nkwabitz233
      @nkwabitz233 Před 11 měsíci +1

      TULIA WEWE USIWE LIMBUKENI. FOCUS POSTIVE KIONGOZI SIYO MALAIKA.

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před 11 měsíci +1

      Kafanyaje mpaka hawajalipwa

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Před 11 měsíci +1

      Wivu na chuki na roho ya chadomo inakutesa. DR BITEKO PIGA KAZI WENYE AKILI TIMAMU TUNAKUELEWA . MUNGU AZIDI KUKUINUA ZAIDI NA ZAIDI

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 měsíci

      @@nkwabitz233 ishu siyokwamba ni malaika hili swala analijua yeye ndokasababisha yeye lkn chaajabu eti anajifanya anamtanguliza mungu wakati familia zawatu zinateseka kwaajili Yake!!

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 11 měsíci

      @@godfreymasele8853 wenichawa tu walahujui kinachoendelea kitu nimegundia unatetea msukuma mwenzako bikujali uhalisi endeleatu kusifia wakati kunawatu familia zao zinateseka kwaajili ya huyo jamaa

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi Před 11 měsíci

    Uwe unachukua maamuzi haraka sio kama boss wako hana maamuzi analea wazembe

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Před 11 měsíci +1

    Hivi cheupe kikigusana na cheusi itakuwaje!!!? Au ndo tutapata pundamilia!! 😂😂

  • @barikimohammed
    @barikimohammed Před 11 měsíci

    Yani biteko hauwezi kumaliza hujuma mnazo tufanyia tena mtu anaujumu kwao mfano majaliwa anatoka kusin lakini kila kinacho mletea mwana kusni kipator wamehakikisha wameziba tuanze na jipsm mlichofanya mnajua bara