MTOTO JAMES ANAYELEA FAMILIA YAKE AJENGEWA NYUMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 65

  • @vero57
    @vero57 Před 18 dny +11

    Mungu ni mwema sana, mungu awabariki kwa wote walio jitolea 🙏🏾🙏🏾

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 18 dny +9

    mungu awabariki wote mliotoa msaada kwa familia ya james ndio mtanzania anapashwa apende mwenzake. Asanteni.

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 18 dny +8

    ❤Mashaaallah Allah Awazidishie baraka tele katika utafutaji wenu wa Riziki

  • @EliudiWiston
    @EliudiWiston Před 18 dny +8

    Hongera sanaaa dada mungu aku baliki Sanaa

  • @vero57
    @vero57 Před 18 dny +8

    Mwalimu kafanya vizuri sana 💐

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 Před 17 dny +3

    Mwalimu mkuu Mungu akubariki mno wewe hakika ni mwalimu pia dada barikiwa mno dada

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Před 18 dny +5

    Bora uwawekee solar. Umeme utawashinda kuulipia mbele ya safari. Watatumia vukoroboi nyumba itakuwa masizi. Kama solar imeshapatikana kutoka Kwa wadau ni jambo jema wakifungiwa. Watoe pressure ya kulipia umeme.

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z Před 11 dny

    Ongera Mwalimu Mkuu Kwa kulitoa jambo Ili Kwa jamii,mungu atakubaliki sana.❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 18 dny +5

    Mashallah Hadi choz linatoka kuna baadhi ya watu wanapitia changamoto😢

    • @WitinesAmiram
      @WitinesAmiram Před 18 dny +2

      Sana kuna watu wanapitia magumu snaa wewe ukiwa mzima shukuru mungu

  • @righitkileo
    @righitkileo Před 18 dny +3

    Sina cha kusema ubarikiwe dada 😭😭😭♥️♥️♥️♥️

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 18 dny +2

    Dada Mungu akusimamie
    Na akupe nguvu katika hili. Hao wqnaouliza maswali ya Tasafu achana nao wee endelea na Mungu atakuzidishia

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven Před 17 dny +2

    Mwalimu mkuu mungu amubariki sana

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania Před 17 dny +3

    Mungu nisamehe Nina afya nakula na bado nalalamika dada na wote wanaochangia

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před 18 dny +7

    Dada mungu akubariki sana sana.akupe maisha mema.

  • @reneemwenda7306
    @reneemwenda7306 Před 18 dny +3

    Mungu akubariki sana na watu wote wanaochangia

  • @user-fx2mu9vt6i
    @user-fx2mu9vt6i Před 17 dny +2

    Yesu akupe ongozeko la maisha dada

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 17 dny +3

    Jambo zuri sana❤

  • @charlesmaduma3960
    @charlesmaduma3960 Před 18 dny +4

    Mungu awaongezee watoaji

  • @ChristinaKazinja
    @ChristinaKazinja Před 17 dny +1

    Mwalimu pamoja na huyo dada aliyechangisha hela mungu awabariki sana

  • @hassanshadhly3481
    @hassanshadhly3481 Před 17 dny +2

    Kwanza nakupongezeni wote muliowezesha hili Jambo.
    Pili hongera kwa mwalimu aliyegundua hili.
    Tatu pongezi hii nitaitoa kwa Yule àmbaye atajuwa mama ana matatizo gani?kaathirika kisaikolojia?
    Nne pongezi yangu itakwenda kwa Yule atakayemuwezesha mema awe ndiye staring kama awe na kiduka kidogo kibiashara

  • @user-go8nm4mh1k
    @user-go8nm4mh1k Před 18 dny +3

    Barikiwa sana dada🙏🙏

  • @JamalMassawe
    @JamalMassawe Před 17 dny +1

    Mungu akupe umri mrefu na moyo huo wakujitolea

  • @BahatiBakari-v5p
    @BahatiBakari-v5p Před 17 dny +1

    MUNGU AZIDI KUKUTUNZA DADA NINA USHUHUDA NA KAZI YAKO 🙏🏻🙏🏻

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z Před 11 dny

    Mungu akubaliki sana dada❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2e Před 18 dny +2

    Barikiwa dada wewe ni mtetezi wa wanyonge

  • @gililwise
    @gililwise Před 15 dny +1

    Warombo wenzangu Mungu awaguse tuwasaidie watu wenye mahitaji

  • @maryringo2239
    @maryringo2239 Před 18 dny +4

    KWANZA NITOE PONGEZI NYINGI KWA WADAU WOTE. PILI NAOMBA MAWASILIANO NA HUYO ANAYEJIITA MSIMAMIZI. TATU NI SWALI HIVI TASAF BADO INAFANYA KAZI? KWA NINI HAWAIBUI HAYA AU WAMEZIDIWA?

  • @gaudencemihungo4348
    @gaudencemihungo4348 Před 18 dny +2

    Inasikitisha sana kuona kati ya utajiri wa wachaga kuna familia yenye umaskini kwa kiasi hicho?
    Hongera Gladness kwa moyo wa kuwasaidia hiyo familia.

    • @user-mu1uf2rl4x
      @user-mu1uf2rl4x Před 14 dny

      Tena zipo nyingi Sana sio wachaga wote wenye pesa afu pia niwabinafsi Sana

    • @cipladapretty8617
      @cipladapretty8617 Před 14 dny

      ​@@user-mu1uf2rl4x yah fact wachaga n wabinafsi mnoooo

  • @bettymwanga691
    @bettymwanga691 Před 17 dny +1

    Mungu awabariki

  • @kenedynashon9717
    @kenedynashon9717 Před 12 dny +1

    Halafu rais wa nchi anachezea pesa zetu kwa kuwapa wachezaji na timu zinazoshoriki michuamo ya CAF kwa kununua goli 1 milioni 5 😢😢😢 badala ya kuwasaidia wananchi wake,ujinga uliopitiliza

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před 17 dny +1

    Mungu Ubarikiwe sana kwa kweli jambo uzalendo tumpe mkono

  • @Norah-s9f
    @Norah-s9f Před 13 dny

    Masha laa mungu awazidishie

  • @Jaz_bey
    @Jaz_bey Před 18 dny +2

    God bless you 🎉🎉

  • @AnethNkuba
    @AnethNkuba Před 15 dny +2

    NAISHAURI SERIKALI KUWA, WATOTO WA NAOSHI KTK HALI NGUMU YA NAMBA HII NI WENGI MNO! SERIKALI ITAFUTE NJIA YA KUWAFIKIA WATANZANIA WANAOTESEKA KTK NCHI YAO JAMANI! HAO MNAOWAITA PANYA ROAD, WANAOUAWA!, WEENGI WAMETOKEA HUKO, WAMEKATA TAMAA, MSIKIMBILIE KUWAUA!😭😭😭 SERKALI, TAFUTA CHANZO CHA VIBAKA, PANYAROA, DAMU CHAFU, N .K..........!😰😰😰😰😱😱😱😱

  • @imanmwashitete5243
    @imanmwashitete5243 Před 17 dny +1

    Mungu awabaliki sana wekeni namba basi ili tuweze kutowa chochote kile

  • @allymwalimu1234
    @allymwalimu1234 Před 17 dny

    Congratulations madam mungu akubariki pamoja na family yako kwa wema ulioufanya kwa hiyo family mungu atakulipa asante

  • @sirilaMassawe-h8c
    @sirilaMassawe-h8c Před 10 dny

    Hongereni sana

  • @GraceMarine-vo9hu
    @GraceMarine-vo9hu Před 18 dny +4

    Mwenyezi MUNGU akubariki sana

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 18 dny +3

    Walim kam haw wamebaki wachache san walio bak wote ni burikenge kabsa

  • @elizabethizack5297
    @elizabethizack5297 Před 17 dny +1

    Mungu akubari dada akutuze

  • @vero57
    @vero57 Před 18 dny +6

    Serikali wa mitaaa kazi yake ni nini??????????? Mbona hajaripoti hii family??????

    • @christaoman8890
      @christaoman8890 Před 18 dny +4

      Serikali za mitaa ni wajinga wajinga tyuu wamekalia benchi za mbao kwenye viofisi vyao na kuomba rushwa tu kwa wananchi ukiuza mihogo yako toka shambn wanatak ushuru yaan siwapendi ht kidog😂😂😂

    • @asnathmasegenya9890
      @asnathmasegenya9890 Před 17 dny +2

      Nami pia ndio swali langu majirani nao pia vipi ila Mungu ana njia zake hata wengine wasiposhuhulika ataleta watu washughulike na matatizo yetu Asante Mungu wangu jina lako lihimidiwe

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 Před 5 dny

      Hakuna serikali ndg wamejaa ufisadi tu

  • @AsiaSalim-e4d
    @AsiaSalim-e4d Před 14 dny

    Masha ALLAH ❤❤

  • @Maulid-p5y
    @Maulid-p5y Před 17 dny +1

    Ongera sana mama

  • @claudiamrina1620
    @claudiamrina1620 Před 8 dny

    Mungu awazdshie

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 18 dny +1

    Nimelia sana hii family daah😢😢😢😢😢

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 17 dny +1

    Safi sana❤

  • @rajabusaimon7662
    @rajabusaimon7662 Před 18 dny +1

    Wandishi tembeleni na vijijini wonaopitia changamoto hizi wapo wengi sana

  • @christophermnzava4479
    @christophermnzava4479 Před 15 dny

    Hongereni sana Glad. Kinachonishangaza ni hao maafisa maendeleo ya Jamie ngazi ya Serikali ya mtaa/kijiji/kitongoji wanafanya nini hadi familia ifikie hapo au mtu aone tatizo kwa kubahatisha? Ni wajibu wao kuwaona hao na kuwapeleka kwa wadau maana wao wanawajua wadau wote ma vitu wanavyofanya.

  • @Kuruthum-tf1vr
    @Kuruthum-tf1vr Před 18 dny +2

    🙏🙏🙏

  • @user-fx2mu9vt6i
    @user-fx2mu9vt6i Před 17 dny +1

    Usseri sehemu gani

  • @KaikoJames
    @KaikoJames Před 14 dny

    🙏🙏🙏💯

  • @beathalucas1161
    @beathalucas1161 Před 12 dny

    Naombeni namba ya taasisi yenu kwani kunamtu nimgonjwa sana na hana msaada wowote mguu umeoza na hajaweza hata kwenda hospitali kwani hana hela anaozea ndani anahitaji msaada wenu jamani

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 17 dny

    Allah akulipe dadayangu serekali itizame jicho la pili

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 17 dny +1

    Huyo m.bunge miaka yote hakumuona huyo mpiga kura wake inauma

  • @SuleimanabdulahmanChitanda

    Mungu mwema hakika ametenda kwa uyo mtoto

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op Před 17 dny +1

    Ewe Tilisho upo wp

  • @MamuHssn-o6h
    @MamuHssn-o6h Před 13 dny

    ❤❤❤❤🥹🥹🥹

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa9622 Před 17 dny +1

    Mungu akubariki