Bora uwawekee solar. Umeme utawashinda kuulipia mbele ya safari. Watatumia vukoroboi nyumba itakuwa masizi. Kama solar imeshapatikana kutoka Kwa wadau ni jambo jema wakifungiwa. Watoe pressure ya kulipia umeme.
Kwanza nakupongezeni wote muliowezesha hili Jambo. Pili hongera kwa mwalimu aliyegundua hili. Tatu pongezi hii nitaitoa kwa Yule àmbaye atajuwa mama ana matatizo gani?kaathirika kisaikolojia? Nne pongezi yangu itakwenda kwa Yule atakayemuwezesha mema awe ndiye staring kama awe na kiduka kidogo kibiashara
KWANZA NITOE PONGEZI NYINGI KWA WADAU WOTE. PILI NAOMBA MAWASILIANO NA HUYO ANAYEJIITA MSIMAMIZI. TATU NI SWALI HIVI TASAF BADO INAFANYA KAZI? KWA NINI HAWAIBUI HAYA AU WAMEZIDIWA?
Halafu rais wa nchi anachezea pesa zetu kwa kuwapa wachezaji na timu zinazoshoriki michuamo ya CAF kwa kununua goli 1 milioni 5 😢😢😢 badala ya kuwasaidia wananchi wake,ujinga uliopitiliza
NAISHAURI SERIKALI KUWA, WATOTO WA NAOSHI KTK HALI NGUMU YA NAMBA HII NI WENGI MNO! SERIKALI ITAFUTE NJIA YA KUWAFIKIA WATANZANIA WANAOTESEKA KTK NCHI YAO JAMANI! HAO MNAOWAITA PANYA ROAD, WANAOUAWA!, WEENGI WAMETOKEA HUKO, WAMEKATA TAMAA, MSIKIMBILIE KUWAUA!😭😭😭 SERKALI, TAFUTA CHANZO CHA VIBAKA, PANYAROA, DAMU CHAFU, N .K..........!😰😰😰😰😱😱😱😱
Serikali za mitaa ni wajinga wajinga tyuu wamekalia benchi za mbao kwenye viofisi vyao na kuomba rushwa tu kwa wananchi ukiuza mihogo yako toka shambn wanatak ushuru yaan siwapendi ht kidog😂😂😂
Nami pia ndio swali langu majirani nao pia vipi ila Mungu ana njia zake hata wengine wasiposhuhulika ataleta watu washughulike na matatizo yetu Asante Mungu wangu jina lako lihimidiwe
Hongereni sana Glad. Kinachonishangaza ni hao maafisa maendeleo ya Jamie ngazi ya Serikali ya mtaa/kijiji/kitongoji wanafanya nini hadi familia ifikie hapo au mtu aone tatizo kwa kubahatisha? Ni wajibu wao kuwaona hao na kuwapeleka kwa wadau maana wao wanawajua wadau wote ma vitu wanavyofanya.
Naombeni namba ya taasisi yenu kwani kunamtu nimgonjwa sana na hana msaada wowote mguu umeoza na hajaweza hata kwenda hospitali kwani hana hela anaozea ndani anahitaji msaada wenu jamani
Mungu ni mwema sana, mungu awabariki kwa wote walio jitolea 🙏🏾🙏🏾
mungu awabariki wote mliotoa msaada kwa familia ya james ndio mtanzania anapashwa apende mwenzake. Asanteni.
❤Mashaaallah Allah Awazidishie baraka tele katika utafutaji wenu wa Riziki
Hongera sanaaa dada mungu aku baliki Sanaa
Mwalimu kafanya vizuri sana 💐
Mwalimu mkuu Mungu akubariki mno wewe hakika ni mwalimu pia dada barikiwa mno dada
Bora uwawekee solar. Umeme utawashinda kuulipia mbele ya safari. Watatumia vukoroboi nyumba itakuwa masizi. Kama solar imeshapatikana kutoka Kwa wadau ni jambo jema wakifungiwa. Watoe pressure ya kulipia umeme.
Ongera Mwalimu Mkuu Kwa kulitoa jambo Ili Kwa jamii,mungu atakubaliki sana.❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mashallah Hadi choz linatoka kuna baadhi ya watu wanapitia changamoto😢
Sana kuna watu wanapitia magumu snaa wewe ukiwa mzima shukuru mungu
Sina cha kusema ubarikiwe dada 😭😭😭♥️♥️♥️♥️
Dada Mungu akusimamie
Na akupe nguvu katika hili. Hao wqnaouliza maswali ya Tasafu achana nao wee endelea na Mungu atakuzidishia
Mwalimu mkuu mungu amubariki sana
Mungu nisamehe Nina afya nakula na bado nalalamika dada na wote wanaochangia
Dada mungu akubariki sana sana.akupe maisha mema.
Mungu akubariki sana na watu wote wanaochangia
Yesu akupe ongozeko la maisha dada
Jambo zuri sana❤
Mungu awaongezee watoaji
Mwalimu pamoja na huyo dada aliyechangisha hela mungu awabariki sana
Kwanza nakupongezeni wote muliowezesha hili Jambo.
Pili hongera kwa mwalimu aliyegundua hili.
Tatu pongezi hii nitaitoa kwa Yule àmbaye atajuwa mama ana matatizo gani?kaathirika kisaikolojia?
Nne pongezi yangu itakwenda kwa Yule atakayemuwezesha mema awe ndiye staring kama awe na kiduka kidogo kibiashara
Barikiwa sana dada🙏🙏
Mungu akupe umri mrefu na moyo huo wakujitolea
MUNGU AZIDI KUKUTUNZA DADA NINA USHUHUDA NA KAZI YAKO 🙏🏻🙏🏻
Mungu akubaliki sana dada❤❤❤🎉🎉🎉
Barikiwa dada wewe ni mtetezi wa wanyonge
Warombo wenzangu Mungu awaguse tuwasaidie watu wenye mahitaji
KWANZA NITOE PONGEZI NYINGI KWA WADAU WOTE. PILI NAOMBA MAWASILIANO NA HUYO ANAYEJIITA MSIMAMIZI. TATU NI SWALI HIVI TASAF BADO INAFANYA KAZI? KWA NINI HAWAIBUI HAYA AU WAMEZIDIWA?
Inasikitisha sana kuona kati ya utajiri wa wachaga kuna familia yenye umaskini kwa kiasi hicho?
Hongera Gladness kwa moyo wa kuwasaidia hiyo familia.
Tena zipo nyingi Sana sio wachaga wote wenye pesa afu pia niwabinafsi Sana
@@user-mu1uf2rl4x yah fact wachaga n wabinafsi mnoooo
Mungu awabariki
Halafu rais wa nchi anachezea pesa zetu kwa kuwapa wachezaji na timu zinazoshoriki michuamo ya CAF kwa kununua goli 1 milioni 5 😢😢😢 badala ya kuwasaidia wananchi wake,ujinga uliopitiliza
Mungu Ubarikiwe sana kwa kweli jambo uzalendo tumpe mkono
Masha laa mungu awazidishie
God bless you 🎉🎉
NAISHAURI SERIKALI KUWA, WATOTO WA NAOSHI KTK HALI NGUMU YA NAMBA HII NI WENGI MNO! SERIKALI ITAFUTE NJIA YA KUWAFIKIA WATANZANIA WANAOTESEKA KTK NCHI YAO JAMANI! HAO MNAOWAITA PANYA ROAD, WANAOUAWA!, WEENGI WAMETOKEA HUKO, WAMEKATA TAMAA, MSIKIMBILIE KUWAUA!😭😭😭 SERKALI, TAFUTA CHANZO CHA VIBAKA, PANYAROA, DAMU CHAFU, N .K..........!😰😰😰😰😱😱😱😱
Mungu awabaliki sana wekeni namba basi ili tuweze kutowa chochote kile
Congratulations madam mungu akubariki pamoja na family yako kwa wema ulioufanya kwa hiyo family mungu atakulipa asante
Hongereni sana
Mwenyezi MUNGU akubariki sana
Walim kam haw wamebaki wachache san walio bak wote ni burikenge kabsa
Mungu akubari dada akutuze
Serikali wa mitaaa kazi yake ni nini??????????? Mbona hajaripoti hii family??????
Serikali za mitaa ni wajinga wajinga tyuu wamekalia benchi za mbao kwenye viofisi vyao na kuomba rushwa tu kwa wananchi ukiuza mihogo yako toka shambn wanatak ushuru yaan siwapendi ht kidog😂😂😂
Nami pia ndio swali langu majirani nao pia vipi ila Mungu ana njia zake hata wengine wasiposhuhulika ataleta watu washughulike na matatizo yetu Asante Mungu wangu jina lako lihimidiwe
Hakuna serikali ndg wamejaa ufisadi tu
Masha ALLAH ❤❤
Ongera sana mama
Mungu awazdshie
Nimelia sana hii family daah😢😢😢😢😢
Safi sana❤
Wandishi tembeleni na vijijini wonaopitia changamoto hizi wapo wengi sana
Hongereni sana Glad. Kinachonishangaza ni hao maafisa maendeleo ya Jamie ngazi ya Serikali ya mtaa/kijiji/kitongoji wanafanya nini hadi familia ifikie hapo au mtu aone tatizo kwa kubahatisha? Ni wajibu wao kuwaona hao na kuwapeleka kwa wadau maana wao wanawajua wadau wote ma vitu wanavyofanya.
🙏🙏🙏
Usseri sehemu gani
🙏🙏🙏💯
Naombeni namba ya taasisi yenu kwani kunamtu nimgonjwa sana na hana msaada wowote mguu umeoza na hajaweza hata kwenda hospitali kwani hana hela anaozea ndani anahitaji msaada wenu jamani
Allah akulipe dadayangu serekali itizame jicho la pili
Huyo m.bunge miaka yote hakumuona huyo mpiga kura wake inauma
hawez pita kila familia rombo nzima
Mungu mwema hakika ametenda kwa uyo mtoto
Ewe Tilisho upo wp
❤❤❤❤🥹🥹🥹
Mungu akubariki