MJUE DK DOTTO BITEKO NAIBU WAZIRI MKUU wa TANZANIA -CHEO AMBACHO HAKIKUWEPO-SAFARI YAKE ya MAFANIKIO
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- MJUE DKT DOTTO BITEKO NAIBU WAZIRI MKUU wa TANZANIA - CHEO AMBACHO HAKIKUWEPO - SAFARI YAKE ya MAFANIKIO...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Yuko vizuri sana...Mungu akusimamie ktk majukumu yako mapya .. in'shaAllah 🙏
Épuiséet😢🎉kr 😎👍😭ml 👍 de😢😂lk 👍😀🎉🎉👍😀uyreqpimko 😂rh.
Lo 😎i😢🎉😂🔥kg gq🎉🎉{¢∆×° qpu😢(_097.0😂😮🎉(😎_😢😢?:(😮😢😢😮😢😂❤pkhf❤lj 🙏😢🎉😮😢dp'mk 🎉🎉😂'lg pp 😎🙏😀l 😎👍😮😢😂😢🎉😂😎🙏😭😎🙏putrd😢😢😎🙏😀li 🔥kfqly 😀i🎉😂l 😎li😮😢🎉iv😮😂p😢 l 😎🔥kf 😎🔥vp
Nampa pongezi sana Mh Samia.. kwa maana huyu ni kichwa sana yuko vizuri
Bwana Dotto !hatutaki umeme ukatike tena !. yaani ni kazi tu!! plse
Mungu ampe nguvu yote mnayotaja kwake akayatekeleze kwa weleni kwani kwa wasifu huu anaonekana ni kiongoz mzuri na atafika mbali , Mungu ampe afya na amkinge na mabaya na ampe moyo wa kuhudumia watu kisha amuongoze katika haki
Hongera sana kaka biteko,mungu akuongoze kaka tunakupenda uku Kilimanjaro
Ewe Mwenyezi Mungu naomba umlinde huyu kijana wako!!
Hongera sana doto nyota inang'aa sana 2025 waziri mkuu kamili
Katika uteuzi wa mama uyu ndo namwamini ndo kanipa matumaini naona magufuli wa pili
Wandishi wa Bongo bwana yaani full miyeyusho, Wanasema hakikuwepo papo hapo Wanasema Salim A.Salim na Agostin lyatonga Mrema waliteuliwa.
Vichwa vya waandishi makanjanja
Washike basi matumbo Yao ili wasichanganye dini na siasa😅😅
MUNGU azidi kikuinua, una moyo wa uongozi, moyo wa kujishusha sana.
Apa kanifulaisha uyu jamaa kichwa sana
Mama hapa anakichwa kweli kweli tunaomba akanyooshe huko kwenye nishati kisha arudi kwenye zahabu mana kwenye zahabu alizuia mengi hadi warabu walio kua wanakuja kuchota zadhahabu huko kwasasa wapo kama makoro
Kweli tunahitaji sana Katiba mpya yaan kla Rais anayeingia anakuwa na mambo yake tu wanaanzisha kitu anayekuja haendelezi Cha mwenzake anakifuta na kuanzisha kingine hatuna muongozo maalum.Naibu wazir mkuu then wazir wa Nishati mtu mmoja!!!!!!!!!!!!
Good choice president
Kama Yesu alivyosema wewe ni nuru ya ulimwengu ..nakuombea kwa Mungu uendelee kung'ara
kama jua kwa UWEZO Wake Mungu!
Namuona boteko mbali sana.
Warabu walifanya nikisima hicho wakija wanachota toka baba magu aweke chuma hicho wamejipatia mgonjwa ya kupooza mana walizoea vya kuzoa,mama kua makuni na warabu usitishwe na mavazi
Hiki cheo kwenye katiba hakipo. Mshahara wake unatoka wapi? Tafuneni tu Kodi sisi tukila mlo mmoja kwa siku😢😢
Alitakiwa awe waziri mkuu
2025 anaingia huyo
ko huyu atalipwa mishahara ya kaz mbili au sio?
Mkaona kirwa wafenjaa kwa kingiza jac yani jipsam ya ya nje mngejua kua kuna watu wakirwa wanaishi kwakutegemea jac
ALIZALIWA WAPI? CHIMBUKO LA WAZAZI WAKE? ALITOKA WAPI? MBONA WAPO WANAOSEMA NI MNYARWANDA MTUSI?
Haitokusaidia.
Biteko ng'ara....ng'ara
Katiba mpya inahitajika kwa nguvu zote.
Fanyakazi ulee familia Yako hayo mambo ya katiba mpyaa anachana nayo itakupotezea mudaa kipenzi
@@rizikiabdalla2501 najua itanipotezea muda lakini itakuwa msaada kwa vizazi vyetu vijavyo . Insha Allah
Acheni ushamba wahima nyie
Kurwa Biteko yupo?
😂