MJUE DK DOTTO BITEKO NAIBU WAZIRI MKUU wa TANZANIA -CHEO AMBACHO HAKIKUWEPO-SAFARI YAKE ya MAFANIKIO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • MJUE DKT DOTTO BITEKO NAIBU WAZIRI MKUU wa TANZANIA - CHEO AMBACHO HAKIKUWEPO - SAFARI YAKE ya MAFANIKIO...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 36

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před rokem +4

    Yuko vizuri sana...Mungu akusimamie ktk majukumu yako mapya .. in'shaAllah 🙏

    • @mutshinico2807
      @mutshinico2807 Před 11 měsíci

      Épuiséet😢🎉kr 😎👍😭ml 👍 de😢😂lk 👍😀🎉🎉👍😀uyreqpimko 😂rh.

    • @mutshinico2807
      @mutshinico2807 Před 11 měsíci

      Lo 😎i😢🎉😂🔥kg gq🎉🎉{¢∆×° qpu😢(_097.0😂😮🎉(😎_😢😢?:(😮😢😢😮😢😂❤pkhf❤lj 🙏😢🎉😮😢dp'mk 🎉🎉😂'lg pp 😎🙏😀l 😎👍😮😢😂😢🎉😂😎🙏😭😎🙏putrd😢😢😎🙏😀li 🔥kfqly 😀i🎉😂l 😎li😮😢🎉iv😮😂p😢 l 😎🔥kf 😎🔥vp

  • @PeterAlanus
    @PeterAlanus Před rokem +1

    Nampa pongezi sana Mh Samia.. kwa maana huyu ni kichwa sana yuko vizuri

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 Před rokem +1

    Bwana Dotto !hatutaki umeme ukatike tena !. yaani ni kazi tu!! plse

  • @athumanikagimbo3396
    @athumanikagimbo3396 Před rokem +1

    Mungu ampe nguvu yote mnayotaja kwake akayatekeleze kwa weleni kwani kwa wasifu huu anaonekana ni kiongoz mzuri na atafika mbali , Mungu ampe afya na amkinge na mabaya na ampe moyo wa kuhudumia watu kisha amuongoze katika haki

  • @praygodmeena2935
    @praygodmeena2935 Před rokem

    Hongera sana kaka biteko,mungu akuongoze kaka tunakupenda uku Kilimanjaro

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys Před rokem

    Ewe Mwenyezi Mungu naomba umlinde huyu kijana wako!!

  • @efraimhealth7655
    @efraimhealth7655 Před rokem

    Hongera sana doto nyota inang'aa sana 2025 waziri mkuu kamili

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před rokem +2

    Katika uteuzi wa mama uyu ndo namwamini ndo kanipa matumaini naona magufuli wa pili

  • @AbdulsamadoDasilvaNcumba

    Wandishi wa Bongo bwana yaani full miyeyusho, Wanasema hakikuwepo papo hapo Wanasema Salim A.Salim na Agostin lyatonga Mrema waliteuliwa.

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h Před rokem +1

    Washike basi matumbo Yao ili wasichanganye dini na siasa😅😅

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Před rokem

    MUNGU azidi kikuinua, una moyo wa uongozi, moyo wa kujishusha sana.

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 Před rokem +2

    Apa kanifulaisha uyu jamaa kichwa sana

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen Před rokem +1

    Mama hapa anakichwa kweli kweli tunaomba akanyooshe huko kwenye nishati kisha arudi kwenye zahabu mana kwenye zahabu alizuia mengi hadi warabu walio kua wanakuja kuchota zadhahabu huko kwasasa wapo kama makoro

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před rokem +1

    Kweli tunahitaji sana Katiba mpya yaan kla Rais anayeingia anakuwa na mambo yake tu wanaanzisha kitu anayekuja haendelezi Cha mwenzake anakifuta na kuanzisha kingine hatuna muongozo maalum.Naibu wazir mkuu then wazir wa Nishati mtu mmoja!!!!!!!!!!!!

  • @domnicabuto859
    @domnicabuto859 Před rokem

    Good choice president

  • @jimmundakege
    @jimmundakege Před rokem +2

    Kama Yesu alivyosema wewe ni nuru ya ulimwengu ..nakuombea kwa Mungu uendelee kung'ara
    kama jua kwa UWEZO Wake Mungu!

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem

    Namuona boteko mbali sana.

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen Před rokem +1

    Warabu walifanya nikisima hicho wakija wanachota toka baba magu aweke chuma hicho wamejipatia mgonjwa ya kupooza mana walizoea vya kuzoa,mama kua makuni na warabu usitishwe na mavazi

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h Před rokem

    Hiki cheo kwenye katiba hakipo. Mshahara wake unatoka wapi? Tafuneni tu Kodi sisi tukila mlo mmoja kwa siku😢😢

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 Před rokem +1

    Alitakiwa awe waziri mkuu

  • @topesafi9742
    @topesafi9742 Před rokem

    ko huyu atalipwa mishahara ya kaz mbili au sio?

  • @barikimohammed
    @barikimohammed Před rokem

    Mkaona kirwa wafenjaa kwa kingiza jac yani jipsam ya ya nje mngejua kua kuna watu wakirwa wanaishi kwakutegemea jac

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před rokem

    ALIZALIWA WAPI? CHIMBUKO LA WAZAZI WAKE? ALITOKA WAPI? MBONA WAPO WANAOSEMA NI MNYARWANDA MTUSI?

  • @geofreykato3976
    @geofreykato3976 Před rokem

    Biteko ng'ara....ng'ara

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před rokem

    Katiba mpya inahitajika kwa nguvu zote.

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před rokem

      Fanyakazi ulee familia Yako hayo mambo ya katiba mpyaa anachana nayo itakupotezea mudaa kipenzi

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 Před rokem

      @@rizikiabdalla2501 najua itanipotezea muda lakini itakuwa msaada kwa vizazi vyetu vijavyo . Insha Allah

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 Před 11 měsíci

    Acheni ushamba wahima nyie

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Před rokem

    Kurwa Biteko yupo?