Video není dostupné.
Omlouváme se.

"HUYU KANITAPELI KIWANJA / ULIDHANI SITAKUONA/NITAKUUA, MIMI SIO MJINGA" | HIVI NI KWELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 10. 2022
  • "HUYU KANITAPELI KIWANJA / ULIDHANI SITAKUONA/NITAKUUA, MIMI SIO MJINGA" | HIVI NI KWELI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 56

  • @sadasuleiman2404
    @sadasuleiman2404 Před rokem +7

    Nakubali sana hiki kipindi daah nimecheka sana respect to wsafi Tv #Mo town Sanya

  • @grantonmaganga9474
    @grantonmaganga9474 Před rokem +2

    Love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💕💕💕💖💖

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před rokem +17

    mpaka hapo bado hamjagundua watu hawapendi kuangalia TV alafu mtu akileta tangazo mnadai hela kubwa sijui laki tano kwa wiki yaan watu wote hao hawamjui mo town sanya hivi ni kweli

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před rokem +1

      Unafkr mpaka kumliki redio n matiti na matako

    • @jumarajab5316
      @jumarajab5316 Před rokem +1

      @@afterfull-time1348 tomba nyoko

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před rokem +1

      @@jumarajab5316 Ghurughunyamuu😁😁🤣🤣🤣

    • @thisboyisgreat
      @thisboyisgreat Před rokem +1

      Sio wote wana angalia tv ama channel ya wasafi

    • @maxmiliankephamwaigombe3642
      @maxmiliankephamwaigombe3642 Před rokem +1

      oy wewe nawewe utimamu zilo kichwan kwako sikia sikunyingine ukiona chakula akikufai wew achana nacho wapo ambao kinawafaa nawanao kiitaji kama apo umesikia jamaa yeye ni kula kulala kama wewe sio kulakulala unaonaje umtafute mo nakuungana nae ilisikunyingine akikutana nawatu kama awa awasaidie nawew mchango wako utakua umesaidia kwanamna moja au nyingine ilimatatizo yaweze kupungua kwa vijana wazee na akina mama ambao wanakua awajiwez mwanetu mo anapambana sana kutuonyesha nakuwaonyesha watanzania kuamtaan kuna mishe kibao naiyondio maana alisi yanembo ya mtaa naizo unazoziona ndio changa moto ambazo watuwengi wana kutana nazo saidia watu kama wew unauwezo nasikuanza kuongelea abaliyamatangaz wewe nawe ku** yan biashala yako faida zako mwenyewe unataka ufanyiwenin unaujua uchung wakuwekeza wewe ulishawaikufanya biashala wewe mseng* kweli wew umenikela sana nalazima uwambiwe k wew tusikwambie wewe nan tunakuogopa au ingia wewe mtaan nakuanza kuangalia uwezo wa watanzani ukoje na wanaishije una weza kukuta wote awo awana TV kwao sim awana nasilazima waangalie wasaf wewe unaongelea nin brow mim umenikela kichiz kama unataka utangaziwe matangazo nenda kwenye TV yataifa peleka matangazo yako uko watakufanyia bule autotoa ataiyo lakitano

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 Před rokem +2

    Mo town Sanya wewe ni 🔥🔥

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před rokem +4

    Jamaa mlinzi kaamua kufunguka😭😭

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před rokem +2

    Mashallah vijana wako naumoja

  • @andrewmushi-gf3yq
    @andrewmushi-gf3yq Před rokem

    Dah! Hapa moh twn umetisha nakubali

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před rokem +2

    Cheni watu wanaitamaniii kweli kweli

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Před rokem +1

    Igizo zuri..

  • @mtukazi4032
    @mtukazi4032 Před rokem +1

    umetisha sanya

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Před rokem +1

    Leo motoooooooo sanyaaaaaaaaa

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Před rokem +2

    Umeuwaaaaa leooooo nimeipendaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před rokem +1

    Pindi limesimama san❤️

  • @ramarite4841
    @ramarite4841 Před rokem

    Dah nomasana nimekubal🙌

  • @maquemkondela
    @maquemkondela Před rokem +1

    Jamaa anae daí siku ingine awe na bastola ya plastic wakimzingua sana anapandisha flana

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415

    Amazing sana

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 Před rokem +1

    Nimependa ushirikiano wao hawaja kubali mwenzao achukulie kiholela 😂😂😂

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 Před rokem

    Uyu kaka wa shoka katisha sana uyo ata mkewe haonewi kizembe

  • @charlesesigira5418
    @charlesesigira5418 Před rokem +1

    Hiki kipindi ni kizuri lakini nahisi kuna siku kitamwaga damu ya mtu maana watu hatufanani.

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 Před rokem +1

    Ipo siku zitafika 40 zenu, tena hiyo style yenu ya kwenda bila security mtakuja pigwa wote

  • @adamngoma3372
    @adamngoma3372 Před rokem

    Umetisha😂😂😂

  • @starpammy6020
    @starpammy6020 Před rokem

    Dah kula kulala 😂😂🙌

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Před rokem

    Kulakulala

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +1

    Eti nitakubomoaa🤣🤣🤣🤣. Ipo siku mtaboomolewaa hoo.

  • @erickmahona5357
    @erickmahona5357 Před rokem

    Naondoka na cheni

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 Před rokem +1

    Sanya unajua kuzingua, Ipo siku nitakutana na wewe

  • @kanikionlineTV
    @kanikionlineTV Před rokem +2

    czcams.com/video/1qmALBryamk/video.html
    WALIOMBADILISHIA namba ya mtihani wala adhabu hii
    czcams.com/video/1qmALBryamk/video.html

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 Před rokem +1

    Lakini hapa ni kipimo tosha kuwa watu hawafatilii tv

  • @isakagobreo4410
    @isakagobreo4410 Před rokem +1

    Moto town sanya nakubli Sanaa moto wako we ni moto kweli kweli

  • @ibraheemiddy8612
    @ibraheemiddy8612 Před rokem +3

    Madale moko hiyo mivumoni

  • @muzlyzam
    @muzlyzam Před rokem

    Icho kitendo cha kumpa mtu mice aongee ndo watapata kujua km wanarikodi. Hapo mice ziwe zile ndogo za kuficha ndo pindi litakua tamu

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před rokem +1

    ni matangazo au nini

  • @athumaniomari4636
    @athumaniomari4636 Před rokem

    Jamaa mbn wamechelewesh kumpiga huyo mshkaji

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před rokem +1

    hii muvi ama ?????

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před rokem +1

    sasa huyo alitapeliwa hakupewa mkataba SI AENDE POLICE??

  • @tashmaorg4734
    @tashmaorg4734 Před rokem

    Nimeechek san

  • @maxmiliankephamwaigombe3642

    😂😂😂aondoki mtu labuda uondoke na maganda ya miwa

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 Před rokem

    Uto

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před rokem +2

    Wanautopolo wanajaa mapema sana🤣🤣🤣

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 Před rokem

    Mazoezi yamekuwa mechi

  • @nduwimanaaisha8734
    @nduwimanaaisha8734 Před rokem +2

    😂😂😂😂

  • @joycesimon760
    @joycesimon760 Před rokem

    Denis na baba bray mivumon hapo

  • @Msambyamashingwe
    @Msambyamashingwe Před rokem

    😅😂

  • @MoMo-pv2qc
    @MoMo-pv2qc Před rokem

    Shabiki wa Yanga ni mkorofi sana Ahahah

  • @khasamentertainment4269
    @khasamentertainment4269 Před rokem +1

    Dogo kula kulala hahaaa

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Před rokem +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem

    Hhhhhhhhhhhh mtakuja kupigwa mbwa nyie

  • @ErickMasudi-tp6gr
    @ErickMasudi-tp6gr Před rokem

    😂

  • @harunamroboto2635
    @harunamroboto2635 Před rokem

    😂😂😂😂