Video není dostupné.
Omlouváme se.
"HUYU KANITAPELI KIWANJA / ULIDHANI SITAKUONA/NITAKUUA, MIMI SIO MJINGA" | HIVI NI KWELI
Vložit
- čas přidán 24. 10. 2022
- "HUYU KANITAPELI KIWANJA / ULIDHANI SITAKUONA/NITAKUUA, MIMI SIO MJINGA" | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nakubali sana hiki kipindi daah nimecheka sana respect to wsafi Tv #Mo town Sanya
Love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💕💕💕💖💖
mpaka hapo bado hamjagundua watu hawapendi kuangalia TV alafu mtu akileta tangazo mnadai hela kubwa sijui laki tano kwa wiki yaan watu wote hao hawamjui mo town sanya hivi ni kweli
Unafkr mpaka kumliki redio n matiti na matako
@@afterfull-time1348 tomba nyoko
@@jumarajab5316 Ghurughunyamuu😁😁🤣🤣🤣
Sio wote wana angalia tv ama channel ya wasafi
oy wewe nawewe utimamu zilo kichwan kwako sikia sikunyingine ukiona chakula akikufai wew achana nacho wapo ambao kinawafaa nawanao kiitaji kama apo umesikia jamaa yeye ni kula kulala kama wewe sio kulakulala unaonaje umtafute mo nakuungana nae ilisikunyingine akikutana nawatu kama awa awasaidie nawew mchango wako utakua umesaidia kwanamna moja au nyingine ilimatatizo yaweze kupungua kwa vijana wazee na akina mama ambao wanakua awajiwez mwanetu mo anapambana sana kutuonyesha nakuwaonyesha watanzania kuamtaan kuna mishe kibao naiyondio maana alisi yanembo ya mtaa naizo unazoziona ndio changa moto ambazo watuwengi wana kutana nazo saidia watu kama wew unauwezo nasikuanza kuongelea abaliyamatangaz wewe nawe ku** yan biashala yako faida zako mwenyewe unataka ufanyiwenin unaujua uchung wakuwekeza wewe ulishawaikufanya biashala wewe mseng* kweli wew umenikela sana nalazima uwambiwe k wew tusikwambie wewe nan tunakuogopa au ingia wewe mtaan nakuanza kuangalia uwezo wa watanzani ukoje na wanaishije una weza kukuta wote awo awana TV kwao sim awana nasilazima waangalie wasaf wewe unaongelea nin brow mim umenikela kichiz kama unataka utangaziwe matangazo nenda kwenye TV yataifa peleka matangazo yako uko watakufanyia bule autotoa ataiyo lakitano
Mo town Sanya wewe ni 🔥🔥
Jamaa mlinzi kaamua kufunguka😭😭
Mashallah vijana wako naumoja
Dah! Hapa moh twn umetisha nakubali
Cheni watu wanaitamaniii kweli kweli
Igizo zuri..
umetisha sanya
Leo motoooooooo sanyaaaaaaaaa
Umeuwaaaaa leooooo nimeipendaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pindi limesimama san❤️
Dah nomasana nimekubal🙌
Jamaa anae daí siku ingine awe na bastola ya plastic wakimzingua sana anapandisha flana
Amazing sana
Nimependa ushirikiano wao hawaja kubali mwenzao achukulie kiholela 😂😂😂
Uyu kaka wa shoka katisha sana uyo ata mkewe haonewi kizembe
Hiki kipindi ni kizuri lakini nahisi kuna siku kitamwaga damu ya mtu maana watu hatufanani.
Ipo siku zitafika 40 zenu, tena hiyo style yenu ya kwenda bila security mtakuja pigwa wote
Umetisha😂😂😂
Dah kula kulala 😂😂🙌
Kulakulala
Eti nitakubomoaa🤣🤣🤣🤣. Ipo siku mtaboomolewaa hoo.
Naondoka na cheni
Sanya unajua kuzingua, Ipo siku nitakutana na wewe
czcams.com/video/1qmALBryamk/video.html
WALIOMBADILISHIA namba ya mtihani wala adhabu hii
czcams.com/video/1qmALBryamk/video.html
Lakini hapa ni kipimo tosha kuwa watu hawafatilii tv
Moto town sanya nakubli Sanaa moto wako we ni moto kweli kweli
Madale moko hiyo mivumoni
Icho kitendo cha kumpa mtu mice aongee ndo watapata kujua km wanarikodi. Hapo mice ziwe zile ndogo za kuficha ndo pindi litakua tamu
ni matangazo au nini
Jamaa mbn wamechelewesh kumpiga huyo mshkaji
hii muvi ama ?????
sasa huyo alitapeliwa hakupewa mkataba SI AENDE POLICE??
Nimeechek san
😂😂😂aondoki mtu labuda uondoke na maganda ya miwa
Uto
Wanautopolo wanajaa mapema sana🤣🤣🤣
Mazoezi yamekuwa mechi
😂😂😂😂
Denis na baba bray mivumon hapo
😅😂
Shabiki wa Yanga ni mkorofi sana Ahahah
Dogo kula kulala hahaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hhhhhhhhhhhh mtakuja kupigwa mbwa nyie
😂
😂😂😂😂