Kuna tapeli anajiita miladi ayo Yuko fb huko anajifanya anauliza maswali ukipata anakuambia Kuna zawadi yako ya tv nchi 55 ila unakupa namba eti ulipe Kodi ya TRA kwanza halafu ndio umpe namba yako atakupigia uwende clauzi uchukue zawani yako Jana ameingia kwenye 18 zangu alijuta kuzaliwa alizani atanitapeli
Yani omba mungu yasikukute ugonjwa aliyoumwa ommy ungekupata wewe ushazeeka tena ungebaki mifupa yeye katumia zaidi ya milioni mia lakini bado hajalicava
Hongeren kwa ofisi nzuri milard,,,safi minapendaga milard akiwaintevyuu wasanii,,wangap wanaompendaga Millard akiwa. Anawahoj wasanii tujuane kwa like
Mungu ni mwema sana Ommy amepona🙏🙏
Am here for Ommy after seeing him in Bss what a comedian
MAJIBU MAZURI SANA OMMY!
Da! Ommy una michongo sana bro.. hongeraaaa
Hongera kwa ofisi nzuri jamani unajituma sana kwakweli Mungu akubariki na atukumbuke na sisi
Asante sana Macimu
@@millardayoTZA you're doing great always
Ommy yani umenichekesha sana, nafurahi kukuona umepona, mob love from +254.
ipo siku na mm nitaojiwa na millad
😂
@@husseinmalanga5253 mbona unajichekesha
Hongera kwa imani hiyo Mungu atakusaidia
Huwaga sijutii bando langu kuangalia interview zinazoandaliwa na milady Ayo
Asante sana Savania
Omy dimpozi yuko simple had anatutia moyo fans wake but gud job kaka milard
Ommi nakukuballi jeshi💪
zimefika zimefika
Very talent man stay focus
Nakukubali sana ommy
Hzo camera BABA.nouma sana.aiseeee Ni bonge 1 la studios.
Bigg upp
Shukrani Juma !
Omary nkupnda bure tu mungu akutangulie milele daima😘
Millard Ayo ndo mtangazaji Bora east Africa
Sio east Africa ,ni Africa nzima anashikilia Number moja sababu ana platform yake ambayo in views billion moja
Hongera sana
👍🏻
Hongera ommy
😂😂😂ommy ananichekeshaga snaa kwaufupi ananipaa raha
Omy Dee nakubali sanaaaa
King of intevyu
Big up
🔥🔥🔥
Ommy ana chekesha
nimeipend hoteli y kifahar
Pozi kwa pozi
Okweri mimi nikitaka kujua ukweri nangaria millard ayo tv
Ommy mcheshi ❤️
010
Apartment za GSM
eye peace Lens
wazee wakuzoom hamjaona kweli aloachwa kwenye gari.blauz nyekundu na mkoba
Miilon 40 zina tapeliwa😡
Watanzani wanahangaika nanuteam na views badala ya kushabikia nyimbo nzuri. Uzalendo unKuwa mdogo kuna haja ya kuelimisha jamii kabisa
👏👏
Ommy bado anaonekana kama ana suffer kumeza mate bado ajapona vzuri?
Kuna tapeli anajiita miladi ayo Yuko fb huko anajifanya anauliza maswali ukipata anakuambia Kuna zawadi yako ya tv nchi 55 ila unakupa namba eti ulipe Kodi ya TRA kwanza halafu ndio umpe namba yako atakupigia uwende clauzi uchukue zawani yako Jana ameingia kwenye 18 zangu alijuta kuzaliwa alizani atanitapeli
Huu wimbo
"Hii nyimbo"
Kiswahili
Wimbo ni mmoja
Nyimbo zikiwa nyingi
Ila sisi watanzania wengi tunashindwa kutofautisha hapo
milad ayo
Yes yes
Alie gundua ommy ana makunyanzi 😂 maisha yanakimbia
Mwenzio alitok kuugua sio kama wew
dimpoz mbona bss haatujaina final
.
Ommy anazeeka
Anatoka ktk ugon'jwa mzito huyu Kia's aonekane amechoka... hopefully ata recover vzur siku za mbeleni
Ndo maana 2020 inaisha na tunaenda 2021...miaka inasonga Maujanja
Yani omba mungu yasikukute ugonjwa aliyoumwa ommy ungekupata wewe ushazeeka tena ungebaki mifupa yeye katumia zaidi ya milioni mia lakini bado hajalicava
@@idrisatv5540 aliwekewa sumu na sio ugonjwa
Kaumwa sana jamani
Mjomba mbona mteke mteke..
Pozi kwa pozi