MILLARD AYO NA WAREMBO 20 WA MISS TANZANIA 2020 USO KWA USO
Vložit
- čas přidán 4. 12. 2020
- Jioni flani hivi kwenye Studio mpya za Millard Ayo Palm Village Mikocheni kwa Warioba Dar es salaam Warembo 20 wa Miss Tanzania 2020 wanashushwa na gari aina ya Coaster kwa ajili ya kukutana na Interview ya uso kwa uso na Millard Ayo... chek hii video usipitwe
Yeees!kweli ni pisi Kali, yaani beauty with brain!beauty with purpose! love them!hongereni sana wadogo zangu.Millard umetisha sana,noma na nusu..
Naomba kuuliza miss Tanzania wanaangalia vigezo gan jmn, Mungu katuumba kwa mfano wake ila kiukweli hapo pisi kali hakuna.......
Kwanza kabisa awe bikra😎
Hahahaha
@@emmanuelzao hahahahahahahahaha, watajuaje
Mwanza ni pisi kali sana.
Hongera Sana. Napenda habari zako.
Wakwanza toka Arusha ndiy pic kali
They are beautiful, I wish they can do their public interviews in English
Hapo Nikama umepewa nafasi ya kwenda kuchagua Mke. Sasa ushindwe mwenyewe kutupa Manyanga uchukue mmoja na Uache Ushamba wako wa Tengeru.
😂😂😂
Wacha ujinga 😅😅😅
Hahahaha..mbavu zangu jmsni
Hahahaaaaa. Mwenye macho aambiwi ona
🤣🤣🤣🤣dah kweli bana kaka millad ataki kabisa kutuonesha wif etu
Rose 🌹 manfere ndio mana alikuchua taji alikuwa Yuko Bomba Toka mwanzo tabasamu zuri yeye mzuri pia ana jierewa Sana arafu sio mbakuzi kwenye kutakia wengine washindwe ndiomana mungu akampa kuwa yeye Malika wa Tanzania
Wow ni warembo kweli kweli💞
We dada wa same muongoooooo same wanafungia vilema ndani wakiamn ulemavu ni laana we ulisikia wapi na uko na confidence unamdanganya millard hujui millard n dunia mtu ana followers milion 8 na laki 3 ....am from same as well so hapo ulemavu ni uongoooooooooo
Mmmh dar this time hakuna pisi Kali wallah
1st
2nd
And second last
I bet 1 is miss Tz.
Likes zetu wa tanzania na Wakenya kwa wingi hapa
They are so intelligent, vibe
Huyu dada fundi umeme amenipa raha na furaha kweli huyo ni pisikali mm namkubali ,,angekuwa karb ningempatia ht hug na hela ya soda akanywe tu soda
Go go go advera we support you girl
Hugo alieimba wimbo wa rubby milard ana sauti kama yako. Anatisha kwa utangazaji. Embu mtafuteni mpe kazi kwenye industr i
Tayana nilikuwa nampenda Sana.
Millardayo nakukubali sana unajua kuhoji hongera sana
Waooo chuga
All the best all miss Tanzania 🥰❣
miss Tanzania mwaka huu wanaonekana wanapendana sana I like it
Dah!!...Miss Tanzania mwaka huu
Mmmmmmmmmmmmmh
Hakuna hata mmoja mwenye kustahiki. Kuwa miss .
Kazi njema
🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤❤❤❤❤so much love broo
Warembo sio wazuri sana kama kina klyne
Kwa hio huyo wa mwanzo kuhojiwa ana miaka 20?
Hmmnn.... Okey, acha nimalizie kulishiza kuku wangu kwanza 😌😌
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌
Yeah hata mimi nimeshtuka akai 20 anakaa older than, ako na wrinkles mingi chini ya macho..🤥😂😂😂
Braza, kuwa na major office ya kijanja hivi, mambo ni fire sana bro, mbele unaona kamanda m
Mmhh kweri hizi ni pisi kali @millardayo
Chuga big up😘
Huyu anaewakilisha Ubungo ni motooo, pic kali
Jamani anayetoka ilala, dahhhhhh!!! Hatari
...kweli pic kali fuso inaturubai lakin mzigo unaonekana
Milard Ayo pamoj ila nchoree mmoja ase 🏃🏃
Umeshinda
Hao ni warembo Sana hadi natamani ningekua wewe #MillardAyo ili niwahoji umefaidi Sana kaka
Chombo ya kwanz ndo pc ya maan zngne mmmh
🤣🤣 kwanini? Vigezo gani umeangalai
Gonga like kwa mwana Mwanza Pisi
Woow
Millard ayooo bhana
Wana swissport tujuane hapa c/s, & cargo
Wow
Millard ayo utawezana??
Mmmh kama huyo wa kigamboni jamani duuuu kweli we've to define well what is Pisi kali
Wabaya kinyama
hahahah
Arushaaa pic kali 🔥🔥🔥
Mungu awasimamie wadogo zangu nimependa
Alie hojiwa mara 4 nimependa avyo ongea kiziwi
Uyo alojielewzea mwisho sauti km zari wa diamond
Nimefurahi huyo mwene idea ya kushawishi matumiz mbadala taka za plastic pia nimefurah alipo me ntion Makopo ya energy drink ya Azam na Metl haya chakatiki serekali lichukuen hili na kampun hizi mbili na nyingine zinazo zalisha taka za namna hio wakae waje na mbadala otherwise wa pack kwene mabox
Kila kheri mabinti.
Na ngoja miss Lebanoni
Kweli kabisa ni PC kali
👊🏿 asante kwa kutazama Yohane
Jamani ivon duh sijui😜😜
Wanaconfidence sana,warembo sana...
Hawana mbwembwe za uongo.....kweeeli hili pisi kali
Nawapata nikiwa Dubai swali moja tu Mmeshindwa kujibu vizuri.sifa ya pisi kali ni kujiamini pia ni kutulia sio kuluka luka mala mwanaume huyu mala huyu.Mtanzaji kanichekesha hapa aliposema Mengine yote afanye na nyinyi mwaitikia Mimi huku mbavu sina.
Mbona huku wengine wanaonekana warembo tofaut na picha za millad kwenye insta 🙄
Tupopamoja millard ayo
Pamoja sana Ombeni, asante kwa kutazama
uwiiii jamn hiv mashindano y mwaka huu ni vigezo gan ambavyo walikuwa wanataka jamn heeee,
Wadogo Sana
Kwely pc kali
Asante kwa kutazama Pallangyo
@@millardayoTZA pamoja mtu wangu wa nguvu
Mhhm miss tanzania mara hiii majaji wanakaz ngumu manaa....🤔
Duhhhh
Ivon Paul binafsi nimekuelewa
Eheee kwanilichokiona
Kumbe hata mm naweza kuwa Miss sema ni mrefu kwenda chini.. So nishafel
Hahahaha umenichekesha
Majabu ya mungu kaumba fikra mbalimbali wafupi na warefu ila hii niliocikia cjawao ona mtu mref kwnda chini uuuuuh utatuua mbavu
@@agnesgervas8070 anhaaa Nipo mm mamy mref kwenda chini 💃💃
Hahhahahhaa
Uiyy
Nakuona @millardayo tayar umepata pisi kali😂😂😂
Jmn me nampenda Millard tangu zamn naprnda kazi zake mpka saut
Lazima kampata
Pisi Kali😂😂😂
Prisca eno elima mzuri sana 😘😘😘
Wazuri wakuhesabu wengi wabovu
Nikweli
Sure.....sijui wahusika wanakwama wap
@@jessydaktari5209 😄😄😄
😂😂😂😂😂😂😂😂
Duh 35:53 kama mm😂😂
Tatizo hawapendaki kuolewa........kamfanana mama yake.....
Radhia nimekapenda.. Ila miaka wanayotaja km uongo vile
Wanaonekana wabibi etiii
Wakubwa bana
Huyo waArusha huyo na hilo punk kama lako na umesifia mpaka macho basi hapo ndio umeshapasisha kumdondokea baadaye.
🤣🤣SIPILIKA yan PISI KALI
@millard ayo buana
Hongera
aliye stahili kushinda ni aliyehojiwa wa kwanza kutoka chuga, ila kuna wengine hapo hawastahili hata umisi serikali za mtaa
hahhhah
Hahahaaaaa
😂😂😂😂😂
Hoyce bakanoba class mate was mie at
Mshiriki namba 14 nilipomuona tu first time nilijua mshindi yani na imekua
Same here
@@alicemwambambale2177 from ardhi university
Uyu Dada wa ilala bonge la mbaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤝
Jaman milad kapendeza utafkir anakula kiapo cha ndoa
😂😂😂😂😂😂😂😂
Millard ako kenye MIAKA 20, niconnect nako na MIAKA 20 pia🤣😅🙏⚡
Hii ni komed au miss buza wote vimeo duh
🤣🤣🤣🤣🤣
Jmn,kwani Buza kuna tatizo gani jmn!
@@agnesmkanga4617 buza ni uswahilini kwa hiyo wanawake wazuri hawako
Nitapataje kz ya kuwa jaji ya hao walimbwende? Naitaka sana
Duu huyu Vernice miaka 14 😳😳😳😳wa mwisho kuhojiwa uwiiiiii
Millard naswali Kwan kushiliki misstz lkn uwe umesoma had chuo na upande wa umri
Millard akiona pisi ina sura ya baba hata hamuulizi pisi kali ina maana gan kwak😀😀😀
😂😂
😂😂😂
Sarafina punguza kutoa macho sana,wewe ni mrembo sana lkn ukitoa macho hivyo haipendezi.
Mmmh kwa umri wengi wametuongopea
Safari hii waliomba na kushiriki kwa awali online,walikuwa wanaingia Internet by IDs I mean NIDA numbers,so kwa utaratibu huu naamini hawajadanganya umri,ila tu,watoto wa ck hizi wana miili mikubwa kuliko umri,wanakuwa sn,kuna Mtu anaitaga Kizazi cha blue band na NIDO
MAUJINGA TU
...Nimerudi hap kumwangalia #Rose_Manfere baada ya ushindi apna chezea kabisa
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 17: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/0pmVZ7Kk8yQ/video.html
Dar hakuna pisi kali kuna vipisi vikal😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂😳yannww
Dar mmetuangusha sijaona pis kal
😂😂😂😂😂😂😂 Millard bhana naona unaweza kuitikia kiitikio tu
Umeona eee😂😂😂😂😂
@@zulfasaeed7445😂😂
Acha kabisa
Uyu Dada mbaya
Wanatoa macho hadi kero jmn. Utazani panya kabanwa na mlango..Sura nzito kwelii kweli 😂😂😂😂😂😂🙈
🤣🤣🤣🤣
jmn ha haa
Margret nimependa maono yako nakuomba ukutane na tundu lisu.
9
Eeeh kaka, kungulu Kara keki....kuku kapanda baskeri....diamond ange watiya mimba wote hawo....
🤔huyu mwana anatafuta nini Miss Tanzania 23:54
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
😂😂😂😂😂
Anayefahamu naomba anieleweshe kuwa miss kuna faida gani? Je kuna mshahara unakuwa unagonga baada ya kushindana? au je, faida hasa ni nini kwa washiriki wote na wale wanaoshindwa?
Kwanza Angalia zawadi mengine utajijibu mwenyewe
Yaani Warembo wako Zanzibar bhana asikwambie mtu
Hakika hujakosea tena wanaadabu ila huku bongo majambaz tu
@@ahmednoor1412 aisee upo sawa my brother