Mvua yaleta kilio Dar " Sina ndugu sijui naelekea wapi, Wapangaji hawajulikani walipo ..."
Vložit
- čas přidán 19. 01. 2024
- Mvua iliyonyesha takriban kwa saa saba kuanzia saa tisa alfajiri ndani ya mkoa wa Dar es Salaam, imeacha maumivu kwa wakazi wa mkoa huo ambapo baadhi ya nyumba zimesombwa na maji, huku mawasiliano ya barabara yakikatika.
Wakazi wa Tegeta Nyuki na Mbezi Beach jijini hapa wamesema wako katika hali mbaya baada ya maji ya mvua inayoendelea kunyesha Januari 20, 2024, kutuama na kubomoa makazi yao.
Mwananchi Digital, leo imefika Mbezi Beach na Tegeta Nyuki kushuhudia wingi wa maji hayo, huku wananchi wakieleza kilio chao.
Watanzania wenzangu ni hizi ni nyakati za mwisho turud kwa yesu wa msalaba ndio tutakuwa salama zaid
Tuache maasi ushoga uasherati wanawake kutembea uchi nk tumrudie Allah atunusuru na majanga haya😢
Umesahau wanaume kulawit watoto kuwabaka na kuua umeona wanawake tu
Viongozi kujali MATUMBO kuliko wananchi Africa hovyo
Dada kaongea Ukweli sana ,Dar watu wamehodhi Mapori na hayaendelezwi
Polen sana Mungu azid kuwakinda na kuwafanyia wepes in Shaa Allah
Dada umesema ukweli,viongozi waachie maeneo waliojilimbikizia.ufisadi kila kona
Dada umeongea mantiki sana, tamaa za viongozi kuhodhi maeneo kwa kutumia vibaya ofisi za umma waache kabisa!
Watanzania tumuombe mungu atusaidie
Kuna umuhimu pia wananchi kujitahidi kuwa na uelewa
Mwachieni mbarikiwa😢
Wakubwa Wana hodhi mpaka nyengine hawajui wafanyie nn muwape na wenanch
Mungu awape subra waathirika wote
Mungu akasema nuhu ajenge safina
Hakika dada umeongea vitu vyamsingi Sana.🙏
Poleni sana
WEWE UNAMSHUKURU KAFANYA NINI MNASOMBWA NA MAJI ETI NAMSHUKURU
Nawapa pole sana watu wategeta
Pole dada
Subuhanallah
Kilaeno ni serikali itavyotokea. Maafa kama aya wanawaumiza watoke wakakae wapi kateni maeneo ya kujenga watu ambao wameasirika na mafuriko
Duh😭😭😭😭
Maji yana tabia ya kuchimba chini kwa chini kama umejenga karibu na mto.unaweza hisi upo salama lakini chini ya nyumba kulishakuwa shimo
Siasa za Afrika zinaumiza sana
Pore sana dada
Du mwandishi mshape huo jamani hata waasilika wanafarijika kukuona hongera sana.
Yaani wewe unawaza mshape wakati watu wapo kwenye kilio?! Duh
Tuwe na subira kutokana na maafa haya. Aamin.
Ndugu mwandishi ilo nyonyo jamani mbona nimedata apo❤
😂surely
Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa
HII NCHI YA TANZANIA NI NGUMU SANAAA
Maji ni kama tembo yanakumbukumbu na njia zake
Lieitishia mvua kupeleka mahakamani yupo sahihi kwani MTU toka elfumbili na mbili Maji yanaingia lkn hachukui hatua wapo wakusaidiwa wapo wakuachwa
Mbona ni hatari sana
NA HAO WATENGENEZA MATOFALI NAO NDO WANAIZISHA MAPOLOMOKO.
Rudin vijijin kwenu am hamna vij8jin kwenu kam mim
Jamani dada hadi wewe pole sana Mungu akuyie nguvu
Njoon mnunue viwanja homboza hakunaga mafuriko
Maskini 😢
ATA HUYU MWANAMKE KAONGEA KWELI LAKINI YULE MWANAUME KAONGEA KAMA SHOGA ETI NAMSHUKURU
Bro tumeskia
Polen sana wapendwa
Itajulikana wakati ukifika Wacha wahodhi maeneo nchi nzima hivihivi
Samahani wahodhi ndio nini ?
@@fettyrashid9042😂😂😂😂
Hao wahouthi wa Yemen wameingiaje humu kwenye mafuriko?
Serikqlii itengeneze ii mitoo mitoo inafuhata raia tofautii na serikalii inavo sema raia watke mqbndenii c kwelii
Mvua imetoka juu 😂 kwani huwa inatokea chini?😂😂
Kweli??? 😢hili tukio linachekesha ndg😢
Kamaanisha inatoka juu kwa maana ya hilo eneo upande wa juu
Kuna watu wanaishi hapo kutokana na kupenda kuishi mjini. Wengine ni kipato kidogo hakuna sababu ya kuoneshana vidole. Duniani kote maafa yanatokea. Jambo kubwa ni kusaidiana baada ya janga.
Kodi za wananchi zinaenda wapi?
Apo sasa serikali inashindwa kujenga maema kwaniaba ya kuwasitiri wananchi wao. Apo KAZI yakusema watoke waendewapi na family'a inasoma
Baadhi ya wajinga eti wanailaumu serikali !! Kwani serikali inakosa gani? Na baadhi ya wajinga wametishia kuipeleka mvua mahakamani ili ikajibu shtaka la kuharibu na kubomoa nyumba za watu.😮😮 Bado sijajua kesi hiyo itasikilizwa kwenye mahakama gani?! Tunasubiri mwenyekiti aseme neno😊😊
Serikali isiseme tu watu wahame. Hii mito kingo zake ziboreshwe maana hayo mafuriko yanatanua mito
Ilitakiwa waweke mawe makubwa kuyadhibiti kama walivyodhibiti kule kwenye ufukwe wa Ikulu mpaka Aghakhan Hospitali.
Wanatakiwa wazuie kwa majabali laa sivyo mmomonyoko maji yanatanua wakicheza Dar yote itakuwa bahari ya maji
Walisha ambiwa wahame na wengine walisha pewagwa mpaka maeneo huko mabwe pande wakayauza kisha wakarudi tena.. sasa wafanywaje?? Wakitolewa na virungu watasema Serikali ina uwonevu wakiachwa huru hawajiongezi
Pooole saaana dada angu