Mvua yaleta kilio Dar " Sina ndugu sijui naelekea wapi, Wapangaji hawajulikani walipo ..."

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 01. 2024
  • Mvua iliyonyesha takriban kwa saa saba kuanzia saa tisa alfajiri ndani ya mkoa wa Dar es Salaam, imeacha maumivu kwa wakazi wa mkoa huo ambapo baadhi ya nyumba zimesombwa na maji, huku mawasiliano ya barabara yakikatika.
    Wakazi wa Tegeta Nyuki na Mbezi Beach jijini hapa wamesema wako katika hali mbaya baada ya maji ya mvua inayoendelea kunyesha Januari 20, 2024, kutuama na kubomoa makazi yao.
    Mwananchi Digital, leo imefika Mbezi Beach na Tegeta Nyuki kushuhudia wingi wa maji hayo, huku wananchi wakieleza kilio chao.

Komentáře • 60

  • @anjelinamwinga
    @anjelinamwinga Před 4 měsíci +7

    Watanzania wenzangu ni hizi ni nyakati za mwisho turud kwa yesu wa msalaba ndio tutakuwa salama zaid

  • @DeanaRaphael
    @DeanaRaphael Před 4 měsíci +7

    Tuache maasi ushoga uasherati wanawake kutembea uchi nk tumrudie Allah atunusuru na majanga haya😢

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Před 4 měsíci

      Umesahau wanaume kulawit watoto kuwabaka na kuua umeona wanawake tu

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Před 4 měsíci +4

    Viongozi kujali MATUMBO kuliko wananchi Africa hovyo

  • @rashidsimba3680
    @rashidsimba3680 Před 4 měsíci +3

    Dada kaongea Ukweli sana ,Dar watu wamehodhi Mapori na hayaendelezwi

  • @user-mk4sd9qo8s
    @user-mk4sd9qo8s Před 4 měsíci +1

    Polen sana Mungu azid kuwakinda na kuwafanyia wepes in Shaa Allah

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Před 4 měsíci +3

    Dada umesema ukweli,viongozi waachie maeneo waliojilimbikizia.ufisadi kila kona

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 4 měsíci +1

    Dada umeongea mantiki sana, tamaa za viongozi kuhodhi maeneo kwa kutumia vibaya ofisi za umma waache kabisa!

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv Před 4 měsíci +1

    Watanzania tumuombe mungu atusaidie

  • @gallusmbaga5522
    @gallusmbaga5522 Před 4 měsíci +3

    Kuna umuhimu pia wananchi kujitahidi kuwa na uelewa

  • @SATZ-news
    @SATZ-news Před 4 měsíci +2

    Mwachieni mbarikiwa😢

  • @user-wz8ig9xl8i
    @user-wz8ig9xl8i Před 4 měsíci +2

    Wakubwa Wana hodhi mpaka nyengine hawajui wafanyie nn muwape na wenanch

  • @ashamohamedy8637
    @ashamohamedy8637 Před 4 měsíci

    Mungu awape subra waathirika wote

  • @user-rr7zq8jd6t
    @user-rr7zq8jd6t Před 4 měsíci

    Mungu akasema nuhu ajenge safina

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi Před 4 měsíci

    Hakika dada umeongea vitu vyamsingi Sana.🙏

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 4 měsíci

    Poleni sana

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 4 měsíci +1

    WEWE UNAMSHUKURU KAFANYA NINI MNASOMBWA NA MAJI ETI NAMSHUKURU

  • @ErickKilipamwambu
    @ErickKilipamwambu Před 4 měsíci

    Nawapa pole sana watu wategeta

  • @TatuZuberi-qq9yu
    @TatuZuberi-qq9yu Před 4 měsíci

    Pole dada

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci

    Subuhanallah

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Před 4 měsíci +1

    Kilaeno ni serikali itavyotokea. Maafa kama aya wanawaumiza watoke wakakae wapi kateni maeneo ya kujenga watu ambao wameasirika na mafuriko

  • @user-zq1zi8bj2o
    @user-zq1zi8bj2o Před 4 měsíci

    Duh😭😭😭😭

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před 4 měsíci

    Maji yana tabia ya kuchimba chini kwa chini kama umejenga karibu na mto.unaweza hisi upo salama lakini chini ya nyumba kulishakuwa shimo

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Před 4 měsíci

    Siasa za Afrika zinaumiza sana

  • @user-te9pq6sd7l
    @user-te9pq6sd7l Před 4 měsíci

    Pore sana dada

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 4 měsíci

    Du mwandishi mshape huo jamani hata waasilika wanafarijika kukuona hongera sana.

    • @kjb_user0077
      @kjb_user0077 Před 4 měsíci

      Yaani wewe unawaza mshape wakati watu wapo kwenye kilio?! Duh

  • @dudemussa6715
    @dudemussa6715 Před 4 měsíci

    Tuwe na subira kutokana na maafa haya. Aamin.

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 Před 4 měsíci

    Ndugu mwandishi ilo nyonyo jamani mbona nimedata apo❤

  • @saidkhamisi9592
    @saidkhamisi9592 Před 4 měsíci

    Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa

  • @anwarmusic17
    @anwarmusic17 Před 4 měsíci

    HII NCHI YA TANZANIA NI NGUMU SANAAA

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 Před 4 měsíci

    Maji ni kama tembo yanakumbukumbu na njia zake

  • @user-hv3ls7xb9r
    @user-hv3ls7xb9r Před 4 měsíci

    Lieitishia mvua kupeleka mahakamani yupo sahihi kwani MTU toka elfumbili na mbili Maji yanaingia lkn hachukui hatua wapo wakusaidiwa wapo wakuachwa

  • @user-br6bh3zh4e
    @user-br6bh3zh4e Před 4 měsíci

    Mbona ni hatari sana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 4 měsíci

    NA HAO WATENGENEZA MATOFALI NAO NDO WANAIZISHA MAPOLOMOKO.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 4 měsíci +1

    Rudin vijijin kwenu am hamna vij8jin kwenu kam mim

  • @jonathansolomon456
    @jonathansolomon456 Před 4 měsíci

    Jamani dada hadi wewe pole sana Mungu akuyie nguvu

  • @AnnaSanga-bs7pl
    @AnnaSanga-bs7pl Před 4 měsíci +2

    Njoon mnunue viwanja homboza hakunaga mafuriko

  • @magrethkapinga1811
    @magrethkapinga1811 Před 4 měsíci

    Maskini 😢

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 4 měsíci

    ATA HUYU MWANAMKE KAONGEA KWELI LAKINI YULE MWANAUME KAONGEA KAMA SHOGA ETI NAMSHUKURU

  • @ditmahdeejay
    @ditmahdeejay Před 4 měsíci

    Bro tumeskia

  • @hillarimtambo482
    @hillarimtambo482 Před 4 měsíci

    Polen sana wapendwa

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 4 měsíci +1

    Itajulikana wakati ukifika Wacha wahodhi maeneo nchi nzima hivihivi

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 Před 4 měsíci

    Serikqlii itengeneze ii mitoo mitoo inafuhata raia tofautii na serikalii inavo sema raia watke mqbndenii c kwelii

  • @anwarmusic17
    @anwarmusic17 Před 4 měsíci

    Mvua imetoka juu 😂 kwani huwa inatokea chini?😂😂

    • @rajabushedafa6397
      @rajabushedafa6397 Před 4 měsíci

      Kweli??? 😢hili tukio linachekesha ndg😢

    • @ngomagenius
      @ngomagenius Před měsícem

      Kamaanisha inatoka juu kwa maana ya hilo eneo upande wa juu

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n Před 4 měsíci +4

    Kuna watu wanaishi hapo kutokana na kupenda kuishi mjini. Wengine ni kipato kidogo hakuna sababu ya kuoneshana vidole. Duniani kote maafa yanatokea. Jambo kubwa ni kusaidiana baada ya janga.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Před 4 měsíci +1

    Kodi za wananchi zinaenda wapi?

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 Před 4 měsíci

      Apo sasa serikali inashindwa kujenga maema kwaniaba ya kuwasitiri wananchi wao. Apo KAZI yakusema watoke waendewapi na family'a inasoma

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 Před 4 měsíci +1

    Baadhi ya wajinga eti wanailaumu serikali !! Kwani serikali inakosa gani? Na baadhi ya wajinga wametishia kuipeleka mvua mahakamani ili ikajibu shtaka la kuharibu na kubomoa nyumba za watu.😮😮 Bado sijajua kesi hiyo itasikilizwa kwenye mahakama gani?! Tunasubiri mwenyekiti aseme neno😊😊

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 Před 4 měsíci

    Serikali isiseme tu watu wahame. Hii mito kingo zake ziboreshwe maana hayo mafuriko yanatanua mito

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 4 měsíci

      Ilitakiwa waweke mawe makubwa kuyadhibiti kama walivyodhibiti kule kwenye ufukwe wa Ikulu mpaka Aghakhan Hospitali.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 4 měsíci

      Wanatakiwa wazuie kwa majabali laa sivyo mmomonyoko maji yanatanua wakicheza Dar yote itakuwa bahari ya maji

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 Před 4 měsíci

      Walisha ambiwa wahame na wengine walisha pewagwa mpaka maeneo huko mabwe pande wakayauza kisha wakarudi tena.. sasa wafanywaje?? Wakitolewa na virungu watasema Serikali ina uwonevu wakiachwa huru hawajiongezi

  • @user-fr4ou2ti4k
    @user-fr4ou2ti4k Před 4 měsíci

    Pooole saaana dada angu