Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;
Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina
Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu
Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.
Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management
Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe
Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?
Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?
Nakuomba mungu tunusuru na vua zinazo enderea
Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;
Mambo MENGINE ni ya kisenge, KAMA watu wazima mnatoka na kwenda kushuudia wa2 wanakufa Kuna nyie🖕
Yani we Acha tu
Yaani baada muharakishe muone mtawaokoa vipi mnapiga domo.Akk mmenichukiza.
Jaman mm maji nimuoga Sana hata kama yawe kwenye magoti sivuki
Inaumiza sana.
Natoa ushauri kwa serikali yetu sikivu ipeleke helkopta maeneo yale ili pakitokea shida kama hiyo itakuwa rahisi kuokoa.
Mungu awafanyie wepesi ndungu zetu
Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina
Je hakuna msaada wa kijeshi. Na Helikopter za uokoaji??
Allahu akbar
subhanallah,jamani tumrejee mola wetu kwa madhambi yetu jamani
Mungu utusaidie
Subhana Allah 😢😢
Tuwe na juhudi na maarifa katika kuokoa, nyie mnaenda kushuhudia watu wakifa,badala mwende na mbinu za kuokoa.
Fact ndg yangu inaumiza
Mambo mengine yana umiza sana
Polen mungu asamehe
Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu
Mh jamani poleni sana
Nyie wenyewe maboya tu, ndo mjue kijifunza kuogelea! Mngrkuwa umnajua kuogelea mgeweza kwasadia! Badalala yake unasema mko mnashangaa.. mmesimamisha msafara hili mshangae!!
Poleni Sanaa ndugu zetu
SASA ISJUI NDO KUMAANISHA NINI?. YAANI KAMA WANAKWENDA KWENYE KAMPENI.😮😮😮
Innalillahi wainnailayhi rajiun
Poleni jamani
Inch yangu ngumu yani wao ndio waliosababixha madhala kwann wasipeleke faiba xx
Jamani iteni waokoxi Basi Eee Mungu wangu
😭😭😭😭
😢😢😢
Subuhanallah inalillahi wainailahi rajuun
Poleni sana
Ee Mungu tusaidie
Pole kwa mafuriko🙏
Daah poleni sana
Serkali inatakiwaa wamke wasilale jaman heee
Mbona hawakutumia daraja kuvuka mto, jamani!
Maafa,rufiji
Masikin
Kwa hiyo wanawaangalia tuu bila msaada huo
Serekali wako wp jaman
Polesana
Hata boti hiwezo hayo maji yanakasi so jamn hiyo hatred kwa kutumia mitumbi
Allah ajaalie alete Rehma zake
Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.
Tanzania jeshi lipo lakukupga mwananchi na kuwauwa hasa katika uchaguz hawana kazi nyengine
@@feisalomar-hr3hq😭😭😭😭😭😭😭😭😭
MNAI KAA KARIBU NA MAJI JIFUNZENI KUOGELEA .
Mwisho na daraja litavunjika😢
Waokoeni maelezo ya nn angekua kiongozi mngekaa kimya ivo
Sasa waswahili kusimama kando na kulia mutaacha please
Wabongo wapuuzi watu wanazama wao wanawarecodi na kupiga picha baada yakuwasaia wanawaacha wafe
Mungu atanuru kwa mvua hii
Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management
Alla anasema sehem yeyote watu wake wasipo simamisha swala na ramadhani wakaiona sawa na mwez wakula mchana wasubir maradi na mamweso na mafufuriko
Acha ujinga wewe
@@EmmanuelMsangi-kb3vvhuyu jamaa mpumbavu sana kwa hiyo huko arabuni ambako ndiko kibra maafa hamna?
Jeshi la nchi hii lipo kwa ajili yakuiba kura tu pumbavu
Nchi iko chini ya shetaniiii iko chini ya shetaaani shetaniii anatawala nchiiiiiiii
Shetani ni wewe na ukoo wako laana kum wee.
Adui wa Allah adui wa Rasulli.
Eemungu
nyie wotee sijui niwaite aje,na masere yenu ya CCM, 🤦🤦🤦🤦😭😭😭😭
Yaani watu wote hao wameshindwa kwenda kuwaokoa?shenzi kabisa
Kutangaza mafaa munajua na kukumbowa watu kuwatoa kwenye maji munashindwa labda mungewaokoa.
Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe
Life jackets ?!
Mbwa kweli muna rikodi video baada kuwaokoa mh kweli balaa
Harafu mkobize na sikukuu ya muungano
Mnafanyann kalibunamaj?
Sasa unaripot na jezi za ccm ndo nini sasa
Serikali simpeleke helkopta ikae mda wote kwaajil ya tahadhali maana ya jeshi la uokoz nini???
Ccm mnazingua mnatoa wapi muda wa kuvaa magwanda hadi kwenye matukio ya emergency
Hata hizo sura zao tu ukiwaona hutajua tu kuwa hawana akili
Hawa wanaongea badala kuona mbinu WA kusaidia watu
Yani mna shuhudiya watu wanavo kwenda na maji africa shida sana
Kweli kabisa
Lasaana ya huyu shetani samia itawamaliza watanganyika
Nawe pia una laana ya M/Mungu itakumaliza.
Mnabaki kuongea baada yakuwaokoa mnabaki mmesbika maik
Jamn si mkawaokoe dah😢
Nani anajiweza wote hao ni bure tu kama hapana watu. Hawa watu ni mavi ya kuku
Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?
Yan nyinyi baada kutoa msaada kurecod tu
Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour
Shindwe wajinga nyinyi,helicopter ipo wapi,,,serikali ,,hiyo ni muda mrefu sana wakizama ilihali mnaripoti
Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?
😢😢😢
Pelekeni boti acheni siasa
Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour