MAAFA RUFIJI WATU 6 WAPINDUKA NA MTUMBWI..LIVE ..WANNE MPAKA MUDA HUU WAJAPATIKANA......

Sdílet
Vložit

Komentáře • 89

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Před 2 měsíci +2

    Nakuomba mungu tunusuru na vua zinazo enderea

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 2 měsíci +6

    Nachukia sana mimi mnapoendekeza magwanda kwenye maisha ya watu, unasikia kuna ajali/maafa, unaenda kuvaa gwanda la kijani kwanza ndiyo uende maafani ukaseme mama anasema hivi,;

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Před 3 měsíci +4

    Inaumiza sana.

  • @arafatimsongo5328
    @arafatimsongo5328 Před 3 měsíci +4

    Natoa ushauri kwa serikali yetu sikivu ipeleke helkopta maeneo yale ili pakitokea shida kama hiyo itakuwa rahisi kuokoa.

  • @uplovermellody9837
    @uplovermellody9837 Před 2 měsíci +1

    Mungu awafanyie wepesi ndungu zetu

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka Před 2 měsíci

    Jamani tunapoa majanga kwa wezetu tusimame kwenye maombi mimi na wewe maa hatujui kesho yetu mungu tusamehe na ulisamehe taifa letu akili zetu zimefungamana ni wewe wajua tuendako amina

  • @JacoboMtokoma
    @JacoboMtokoma Před 2 měsíci +4

    Je hakuna msaada wa kijeshi. Na Helikopter za uokoaji??

  • @AllyYassen
    @AllyYassen Před 2 měsíci

    Allahu akbar

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Před 3 měsíci +1

    subhanallah,jamani tumrejee mola wetu kwa madhambi yetu jamani

  • @fridamwenda5728
    @fridamwenda5728 Před 3 měsíci +3

    Mungu utusaidie

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Před 3 měsíci +1

    Subhana Allah 😢😢

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i Před 3 měsíci +6

    Tuwe na juhudi na maarifa katika kuokoa, nyie mnaenda kushuhudia watu wakifa,badala mwende na mbinu za kuokoa.

  • @user-re6vh7jw3h
    @user-re6vh7jw3h Před 3 měsíci +1

    Polen mungu asamehe

  • @issapanduka7313
    @issapanduka7313 Před 2 měsíci

    Hawa viongozi wa ccm hawana hata aibu ya kujieleza katika hilo tukio walilolishudia hapo yote hayo ni utawala usiojali utu wa watu wake inasikitisha sana. Ila hakuna marefu yasio na ncha. Wacha wafurahie maisha kula kunywa na kusaza kwa kodi za wavuja jasho ipo siku mungu atahukumu

  • @Mwanaidi-ih7lh
    @Mwanaidi-ih7lh Před 2 měsíci

    Mh jamani poleni sana

  • @serengetiduma1090
    @serengetiduma1090 Před 3 měsíci +1

    Nyie wenyewe maboya tu, ndo mjue kijifunza kuogelea! Mngrkuwa umnajua kuogelea mgeweza kwasadia! Badalala yake unasema mko mnashangaa.. mmesimamisha msafara hili mshangae!!

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 Před 2 měsíci +1

    Poleni Sanaa ndugu zetu

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 Před 2 měsíci

      SASA ISJUI NDO KUMAANISHA NINI?. YAANI KAMA WANAKWENDA KWENYE KAMPENI.😮😮😮

  • @khadijaomar6730
    @khadijaomar6730 Před 2 měsíci

    Innalillahi wainnailayhi rajiun

  • @rejinajoseph2994
    @rejinajoseph2994 Před 2 měsíci +1

    Poleni jamani

  • @SwailaMbaruku
    @SwailaMbaruku Před 3 měsíci +1

    Inch yangu ngumu yani wao ndio waliosababixha madhala kwann wasipeleke faiba xx

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv Před 2 měsíci

    Jamani iteni waokoxi Basi Eee Mungu wangu

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Před 3 měsíci +1

    😭😭😭😭

  • @user-wd7bc7js6x
    @user-wd7bc7js6x Před 2 měsíci

    😢😢😢

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 3 měsíci

    Subuhanallah inalillahi wainailahi rajuun

  • @ShijaKilasa
    @ShijaKilasa Před 2 měsíci

    Poleni sana

  • @AgnessEustace
    @AgnessEustace Před 2 měsíci

    Ee Mungu tusaidie

  • @StonesSemwenda
    @StonesSemwenda Před 2 měsíci

    Pole kwa mafuriko🙏

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před 2 měsíci

    Daah poleni sana

  • @yusuphlazaro
    @yusuphlazaro Před 3 měsíci +1

    Serkali inatakiwaa wamke wasilale jaman heee

  • @pauldatche8410
    @pauldatche8410 Před 2 měsíci

    Mbona hawakutumia daraja kuvuka mto, jamani!

  • @ZainabuTembo
    @ZainabuTembo Před 2 měsíci

    Maafa,rufiji

  • @user-qw4pm6xm4i
    @user-qw4pm6xm4i Před 3 měsíci +1

    Masikin

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g Před 2 měsíci

    Kwa hiyo wanawaangalia tuu bila msaada huo

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 Před 2 měsíci +1

    Serekali wako wp jaman

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 Před 2 měsíci

    Polesana

  • @dulaomar5537
    @dulaomar5537 Před 3 měsíci

    Hata boti hiwezo hayo maji yanakasi so jamn hiyo hatred kwa kutumia mitumbi
    Allah ajaalie alete Rehma zake

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Před 3 měsíci +4

    Kwani Tanzania haina jeshi?Haina Jeshi la wanamaji wa kusaidia jamii?Kwani jeshi la Tanzania lina wajibu gani kama haliwezi kusaidia walipa kodi?Uzembe wa CCM.

    • @feisalomar-hr3hq
      @feisalomar-hr3hq Před 2 měsíci

      Tanzania jeshi lipo lakukupga mwananchi na kuwauwa hasa katika uchaguz hawana kazi nyengine

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 Před 2 měsíci

      ​@@feisalomar-hr3hq😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 měsíci

    MNAI KAA KARIBU NA MAJI JIFUNZENI KUOGELEA .

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 Před 2 měsíci

    Mwisho na daraja litavunjika😢

  • @ShijaJotham
    @ShijaJotham Před 2 měsíci

    Waokoeni maelezo ya nn angekua kiongozi mngekaa kimya ivo

  • @abusuheyba
    @abusuheyba Před 2 měsíci

    Sasa waswahili kusimama kando na kulia mutaacha please

  • @hajially4527
    @hajially4527 Před 2 měsíci

    Wabongo wapuuzi watu wanazama wao wanawarecodi na kupiga picha baada yakuwasaia wanawaacha wafe

  • @user-qw4pm6xm4i
    @user-qw4pm6xm4i Před 3 měsíci +1

    Mungu atanuru kwa mvua hii

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 Před 2 měsíci

    Majanga mengine unajua ni ya kujitakia. Anaona mvua zimenyesha maji yanakasi kuliko kawaida bado unapita tena hapo hapo kwani nilazima kuisogelea hatari siangetulia tu kwanza hatari ipungue ndiyo apita inamaana yeye hakujiuliza ikitokea mtumbwi umepinduka tunajiokoa vipi. Rsk Management

  • @user-ii3bn4en8e
    @user-ii3bn4en8e Před 3 měsíci +3

    Alla anasema sehem yeyote watu wake wasipo simamisha swala na ramadhani wakaiona sawa na mwez wakula mchana wasubir maradi na mamweso na mafufuriko

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx Před 2 měsíci

    Jeshi la nchi hii lipo kwa ajili yakuiba kura tu pumbavu

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před 2 měsíci

    Nchi iko chini ya shetaniiii iko chini ya shetaaani shetaniii anatawala nchiiiiiiii

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Před 2 měsíci

      Shetani ni wewe na ukoo wako laana kum wee.
      Adui wa Allah adui wa Rasulli.

  • @hamadikhalfan6751
    @hamadikhalfan6751 Před 2 měsíci

    Eemungu

  • @onescaniaonescania8227
    @onescaniaonescania8227 Před 2 měsíci

    nyie wotee sijui niwaite aje,na masere yenu ya CCM, 🤦🤦🤦🤦😭😭😭😭

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před 2 měsíci

    Yaani watu wote hao wameshindwa kwenda kuwaokoa?shenzi kabisa

  • @bentanabwire5692
    @bentanabwire5692 Před 2 měsíci

    Kutangaza mafaa munajua na kukumbowa watu kuwatoa kwenye maji munashindwa labda mungewaokoa.

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 Před 2 měsíci

    Ndomana tumefushwa na mtume wetu ukiwa na mtoto umri kuanzia miaka 7 miongoni mwa yale mambo ya ulazima ni kumfundisha kuogelea ili iwe miongoni mwa msaada wa baadae kwake mwenyewe

  • @rahimumuco8662
    @rahimumuco8662 Před 2 měsíci

    Life jackets ?!

  • @feisalomar-hr3hq
    @feisalomar-hr3hq Před 2 měsíci

    Mbwa kweli muna rikodi video baada kuwaokoa mh kweli balaa

  • @user-fu2xl6wp1e
    @user-fu2xl6wp1e Před 2 měsíci

    Harafu mkobize na sikukuu ya muungano

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q Před 2 měsíci

    Mnafanyann kalibunamaj?

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před 3 měsíci

    Sasa unaripot na jezi za ccm ndo nini sasa

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 Před 3 měsíci

    Serikali simpeleke helkopta ikae mda wote kwaajil ya tahadhali maana ya jeshi la uokoz nini???

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph2234 Před 2 měsíci

    Ccm mnazingua mnatoa wapi muda wa kuvaa magwanda hadi kwenye matukio ya emergency

  • @hillaryngeno310
    @hillaryngeno310 Před 2 měsíci

    Hawa wanaongea badala kuona mbinu WA kusaidia watu

  • @shimoneycashtalk9176
    @shimoneycashtalk9176 Před 2 měsíci

    Yani mna shuhudiya watu wanavo kwenda na maji africa shida sana

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 2 měsíci

    Lasaana ya huyu shetani samia itawamaliza watanganyika

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba4976 Před 2 měsíci

    Mnabaki kuongea baada yakuwaokoa mnabaki mmesbika maik

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 Před 2 měsíci

    Jamn si mkawaokoe dah😢

    • @seifseifmohamed7118
      @seifseifmohamed7118 Před 2 měsíci

      Nani anajiweza wote hao ni bure tu kama hapana watu. Hawa watu ni mavi ya kuku

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 Před 2 měsíci

    Hi I jeshi la zimamoto kazi yake nini?? Na hata jkt jwt hizi ni Nyenzo za kusaidia mambo kama haya Sasa mbona ni kama hakuna kujali Hali za Hawa wenzetu aathirika?

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Před 2 měsíci

    Yan nyinyi baada kutoa msaada kurecod tu

  • @AleXNixt-xg2cw
    @AleXNixt-xg2cw Před 2 měsíci

    Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour

  • @edwinmahonga4063
    @edwinmahonga4063 Před 2 měsíci

    Shindwe wajinga nyinyi,helicopter ipo wapi,,,serikali ,,hiyo ni muda mrefu sana wakizama ilihali mnaripoti

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo8554 Před 2 měsíci

    Ninyi wajinga sana ,mnashindwa kuokoa watu mnabaki kupga picha tu,et unatuambia umepita kkuangalia tukio,huu ni upumbavu ,unaangalia tukio la kuona watu wanakufa bila kuwaokoa?

  • @ednakawau9842
    @ednakawau9842 Před 2 měsíci

    😢😢😢

  • @Sobo740
    @Sobo740 Před 2 měsíci

    Pelekeni boti acheni siasa

  • @AleXNixt-xg2cw
    @AleXNixt-xg2cw Před 2 měsíci

    Watu wanazama live mpo mnarecod live mh kweliii uyo mwandish yupi ambae anashindwa fata ethics poor behaviour