"NILIKUWA RUBANI MAREKANI SASA NIMERUDI NYUMBANI, KIINGEREZA CHANGU KILIKUWA KIBAYA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024

Komentáře • 135

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Před 7 měsíci +19

    Hongera mtoto wetu wa kitanzania, nimefurahi sana kuona mwanamke mkuu namna hii..barikiwa dada yetu

  • @mwajumaroya7404
    @mwajumaroya7404 Před 7 měsíci +8

    Waliyo kaa mnje na kusoma mnje wanaongea kiswahil kizuri alafu kunakina Sisi wa kujifunza mtandaoni vichochoroni tunasumbua sana hongera sana dada❤

    • @user-xh5vl6eh6i
      @user-xh5vl6eh6i Před 7 měsíci +1

      Kila baada ya maneno mawili aweka kingereza tena na ukuakifikiria aongee nini lakin bado anajikazaa akiongee 😂😂😂 kweli wa uchochoroni

  • @dianakalimba
    @dianakalimba Před 7 měsíci +8

    Haongei kwa maringo wala maringisho hongera sana sana sana super woman 🎉

  • @user-kw3yb2sh3s
    @user-kw3yb2sh3s Před 7 měsíci +64

    Tanzania bado tuna watu wenye akili na wanaojielewa vizuri, lkn serikali imekumbatia machawa yasiokuwa na uwezo wowote wa kuleta mabadiliko na maendeleo ya kweli katika nyanja mbali mbali za maendeleo ya kiuchumi.

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 Před 7 měsíci +2

      Sa siunzishe serikali yako

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 Před 7 měsíci +7

      Nauyu nae ana lakusema haazishe serikari yake kivipi wakati tunaitaji tz ijitegemee yenyewe kwenye uwekezaji pole kama nimekukera

    • @erickzephania1030
      @erickzephania1030 Před 7 měsíci +3

      Wanachagua vilaza ili wasujudiwe, kila kitu waseme ndio

    • @peterdeus6093
      @peterdeus6093 Před 7 měsíci +1

      ​@@magretangel5242another bogus in the country, unaambiwa ukel af unaanza kumind

    • @MnubiMm
      @MnubiMm Před 7 měsíci +1

      Hayo ni MAWAZO yako tu na tuache Urevi wa Akili kuona Kila unachofikiri na kuwaza kusema ww ndio Sahihi na wakisema wengine ujinga Tanzania hii ilivyo Sasa ndio maana huyu amarudi ameona anaweza kufanikiwa akiwekeza huku kwa Nini asibaki huko?

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 7 měsíci +10

    Angekuwa mkazi wa makabila yetu yaaleeee yaaaleeeee eeeeeh.tusingemaliza kutizama hii interview mpaka mwisho.hongera sana dada.

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 Před 7 měsíci

      Wale wanakuwaga na mihemko mkoa balaa! Mara mtu wa kwetu hakuna fala!
      Wanajuaga wao ndo wanaakili peke yao!
      Ungesikia wanampongeza na kutaja kabila na anakotoka!

    • @erickchitumbi1308
      @erickchitumbi1308 Před 7 měsíci

      @@sambulugu9988 😂🤣😅balaaa

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 7 měsíci +1

      😂😂😂😂😂

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Před 7 měsíci +10

    Good mtu kama huyu serkali inapaswa kumpa support kubwa!

  • @marthalukumay6465
    @marthalukumay6465 Před 7 měsíci +6

    Wow ♥️ I love to see a Queen shine . Wanawake wanaweza take your daughter to school

  • @AthumaniKimwaga
    @AthumaniKimwaga Před 7 měsíci +4

    Moie. Very good Dada.... Hongera uliitengeza kesho yako kimkakati sana, unastahili kufaidi Matunda. Mungu akusimamie ukue kibiashara kama Mgomba🎉

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před 7 měsíci +4

    Hongera sana Dada, suala la lugha ya kingereza kwa wasomi wengi tz ni kubwa sana mtu anamaliza first degree UDSM kwenda kusoma nje masters inalazimika atumie mwaka mmoja kusoma lugha kabla hajaanza msomo rasmi hii imetokea watu wengi sana ninaowajua ila wengi huishia na degree au masters za kibongo maana nje kama UK na USA lugha kwao ni changamoto.

  • @zara.smithwick
    @zara.smithwick Před 7 měsíci +2

    Very brilliant African woman. I however think, Tanzania should embrace English language with more emphasis for the benefits of her citizens who may have potential to study and work internationally.

  • @christinelasway4092
    @christinelasway4092 Před 7 měsíci +11

    Hongera sana dada. Much respect for the focus and vision. Very proud of you. ❤ #matundayaudiaspora

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 7 měsíci +12

    EDUCATED AND NATURAL BEAUTY. VERY NICE.

  • @user-kc6lr3pq2c
    @user-kc6lr3pq2c Před 7 měsíci +2

    Dada hongeraa nakupendaa maana Mungu akubariki sanaa jaman

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 7 měsíci +4

    Hongera dada .Ughaibuni ni kupata maarifa tu.maisha yako nyumbani.Wengi wetu hufikiria kuwa ughaibuni ni paradiso na kupoteza akili na uwezo wao huko wasikokubalika na wazungu.Dada huyu ndiyo mfano mzuri na kweli msomi mwenye akili safi na mzalendo.Bila uongo wazungu wanapenda watu wenye akili sana kama huyu hata kazi huko angalipata sema tu kuwa ni mzalendo sana.❤❤Ubarikiwe
    wazungi wazung

  • @henryyuda2989
    @henryyuda2989 Před 7 měsíci +9

    Hongera sana dada uko juuu

  • @NDEWARA
    @NDEWARA Před 7 měsíci +2

    Hongera sana sana VIA AVIATION. Huu uthubutu ni wa kuigwa. Big up

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 Před 7 měsíci +9

    Hesabu zina watu wake jaamaanii😊❤

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Před 7 měsíci +1

    Hongera sana dada.Mungu akutunze.mi natamani uanzishe shule ya marubani. Wako vijana wa kike na kiume wanatamani sana hiyo fani.

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před 7 měsíci +4

    Hongera sana sana dada .I'm inspired.

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 Před 7 měsíci +1

    Hongera sn my sister namie nataman sn namie nimpeleke mwanangu Ismail

  • @judithfimbo3743
    @judithfimbo3743 Před 7 měsíci +4

    Congrats Susan Mashibe 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Před 7 měsíci +1

    🎉🎉🎉🎉hii safi sana hongera mtanzania mwenzetu . Tunajivunia wewe

  • @castromemba6311
    @castromemba6311 Před 7 měsíci +2

    Hongera Manager wetu kwa maneno mazuri.

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai1861 Před 7 měsíci +1

    Congrats my dear, you are a hero God bless you

  • @georgendosa4025
    @georgendosa4025 Před 7 měsíci +4

    We still have real smart women's in this country

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před 7 měsíci +8

    Tunataka uraia pacha

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 7 měsíci +1

    Hongera sana kama mmama akupe uwezo zaidi,dada mtanzania huna majivuno.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 7 měsíci +1

    Hongera wanawake wakipambana wanaweza

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Před 7 měsíci +3

    Hongera sana mdada

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Před 7 měsíci +10

    Nilitamani kuwa pilote saana ila Kuna mwalimu alinidanganya aliniambia nisome hgk ndo ntakuwa pilote kumbe aliniona sijui Sina uwezo wa kusoma science...Sasa hv Nimejiajiri ni boda boda

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 7 měsíci

    Hongera sana black is beautiful wanawake tunaweza

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg Před 7 měsíci +2

    Hongera Dada mungu akubariki

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Před 7 měsíci +10

    One of gravest mistake with Tanzania is, We let these brainless politicians to think and decide for us, the same brain slipped away from calculating tha value of x in classes is same brain nowadays cant solve for X in in strategic planning and logical thinking for nation problems because in every challenging situations there's an equation defining it, hawa wanasiasa warudi darasani wakatafute ile thamani ya x january shule zinakaribia kufungua

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 7 měsíci +1

    Pongezi dadangu mungu akueke utumikie taifa

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 Před 7 měsíci

    Hongera sana mdogo wetu kwa kutuheshimisha wana Mwanza.

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 Před 7 měsíci +4

    Yani sisi wa nje ndo waongeaji wazuri wa kiswahili 😊

    • @adelinachengula8519
      @adelinachengula8519 Před 7 měsíci

      Umeonaaaa eee

    • @joyceKingu
      @joyceKingu Před 7 měsíci

      Siku hizi watu wa hapa nyumbani wakiongea kiswahili ati wanachanganya na kiingereza . Naona ni fashion . Lakini tunaharibu kiswahili chetu.

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 Před 7 měsíci +3

    Big up sana dada lkn kwa kwetu huku mhhhhhh

  • @ElieshMvungi-is4xp
    @ElieshMvungi-is4xp Před 7 měsíci

    Hongera dada am so inspired ❤

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution Před 7 měsíci +1

    hongera sana binti. Tunahitaji vijana watakaofikiri nje ya box kama wewe

  • @estherboniphace9695
    @estherboniphace9695 Před 7 měsíci +2

    Ongera sana

  • @maryjames7438
    @maryjames7438 Před 7 měsíci

    Hongera sana dada Mungu akutunze sana

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 7 měsíci

    Hongera ndg karibu Tanzania tutengenezee denge zetu ❤❤❤😂

  • @TrudiSchutz-og3tj
    @TrudiSchutz-og3tj Před 7 měsíci +1

    Big up Suzy

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 7 měsíci +1

    Honger sana Dada 💙💙💙

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Před 7 měsíci +1

    Hapo Serengeti Lounge mbona bado sana, unaweza kukutana na keki kipande kimoja tu, na juisi.

  • @dorahmwambemba9032
    @dorahmwambemba9032 Před 7 měsíci

    Proud of you dadaaaaa

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 7 měsíci

    Hongera sana mkurugenzi Avia Aviation

  • @Dotto19
    @Dotto19 Před 7 měsíci

    Bravo!

  • @tabithajanethmhella3364
    @tabithajanethmhella3364 Před 7 měsíci

    Hongera sana mama, you are a star among stars🤪

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 Před 7 měsíci

    Asante sana nikipita hapo nakujaa

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 7 měsíci

    Viagreen"' nimeipenda Sanaa hiyo labda kwakua nami ni mdau wa mazingira pongezi sana kwako dada Susan kwa kuenzi mazingira.

  • @isacknyaga104
    @isacknyaga104 Před 7 měsíci

    Saf sana

  • @bbaccabb9445
    @bbaccabb9445 Před 7 měsíci

    BIG UP DADA

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah2340 Před 7 měsíci

    Nimefurah kunuona mkuu wa wilaya ilemela alikuwa mwalimu wang wa history pia hongera mwanamke mwenzetu

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 Před 7 měsíci

    Hongera dear sister 🥰

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 Před 7 měsíci

    Congratulations 🎉🎉🎉

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 7 měsíci +8

    Mwanamke na nusu 👍
    Hongera sana mrembo.🎉

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 7 měsíci +2

      Hao ndio wanawake wanaopeperusha Bendera sio ile mipaka ya baa inayotafuta madanga insta nakurusha connection

    • @devothakalanda9740
      @devothakalanda9740 Před 7 měsíci +1

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 Před 7 měsíci

      @@fahadfaraj6474 Ni kuwaombea tu Mungu awape ufahamu waache hizo tabia mbaya.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 7 měsíci

      @@shyfettymtunda4619 Kuna shida kubwa sana kwa sababu kuna juhudi zakuwapigania wanawake cha ajabu kuna kizazi kinazidi Kua kijinga na kujisifia upuuzi nakuamini kwenye Maisha ya mitandaoni

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 7 měsíci

    Dada piga kazi piga kazi , Kusanya Pesa mwanangu , wanao kubeza achana nao
    We fanya kazi ingiza Pesa

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Před 7 měsíci +11

    Hii inchi inawatu wenye akili lakin tunashindwa kuwatunia mfomo umekuwa overloaded na wanasiasa na machawa wasiojua kitu

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 7 měsíci +3

      Mfano wakiruhusu uraia pacha utaona kuna giwanda vya watanzania hapa canada nakuna wenye akili acha hasa viw

    • @peterdeus6093
      @peterdeus6093 Před 7 měsíci

      @@tanzcanmediatv4473 akili dhaifu iliyoshindwa ku simplify expression darasan haiwezi kupata intelligent solution katika leadership, kuwa na watu magenius kama hawani tunu kwa taifa ila kukataa kuwatumia ndo ujinga wa taifa letu

  • @DainesMwapela-mr4wc
    @DainesMwapela-mr4wc Před 7 měsíci

    👏👏

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 7 měsíci

    Mwanamke mashuhuri

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Před 7 měsíci +1

    Ingelikuwa ni mkenya saa hii ungelikuta hata kikuyu alishasahau kisa kishi marekani miaka 5 hongera mtz kwakuto haribu lugha mama kswhl

  • @Biblia273
    @Biblia273 Před 7 měsíci

    ❤❤❤

  • @barakakhemedi1250
    @barakakhemedi1250 Před 7 měsíci

    Hongera dada ata doto magari kingereza hakiko vzr ila anapiga Hela 😊😊

  • @user-dk4pt6lo7q
    @user-dk4pt6lo7q Před 7 měsíci +4

    Wale mabinti waliokuwa wanapenda kuimbiwa imbiwa tunyimbo tuzuri enzi za sec hivi siku hizi wako wapi??😮😮

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 Před 7 měsíci +1

    Wanawake wa kawaida wana akili sanaa angekuwa kisura na makalio asingekuwa na akili hizo

  • @yusuphmtotela4871
    @yusuphmtotela4871 Před 7 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @aubreykasoyaga1665
    @aubreykasoyaga1665 Před 7 měsíci +1

    Duu kumbe Jeff Bezos amewahi Kuja Tanzania , Yule Mbwa Ana MIHELA.Mingi

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai1861 Před 7 měsíci

    Super woman

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před 7 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 7 měsíci

    Woo

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 7 měsíci

    Mwanamke mashuhuri mkuu kwer kweri

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 7 měsíci

    Nenda US kachukue elimu alafu rudi wekeza apa Tz iyo nmeipenda..Elimu iko mbele tena elimu sio mchezo

  • @naimamohamed2216
    @naimamohamed2216 Před 7 měsíci

    Uzae Sasa watt maana hizo pesa unamtafutia nani ,,

  • @ndinafaustin6357
    @ndinafaustin6357 Před 7 měsíci

    Hana ammmamama

  • @imanisanga-sm2hm
    @imanisanga-sm2hm Před 7 měsíci

    Alafu hajidai! Wala hajajichubua nyie!

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 7 měsíci +1

    Baada ya miaka 10 mtu anarudi bongo, kama mimi ningerudi bongo ndugu zangu wasingenielewa kabisa, hata hivyo sina mtaji wowote bongo kwa hiyo ni vigumu kurudi, bongo ni pazuri kama mtu ukiwa na pesa

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 7 měsíci +1

    Alivyojieleza elimu aliyosemea na hizo degree kama umeenda shule unaona huyu mama anajaribu kutulisha matango pori 😅

    • @truthch1642
      @truthch1642 Před 7 měsíci

      Sio kweli

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 7 měsíci

      @@truthch1642 nimesema kama umeenda shule kwa hiyo wewe haikuhusu

  • @ndinafaustin6357
    @ndinafaustin6357 Před 7 měsíci

    Aliyekuibua abarikiwe tunafurahi naamini watanzania wengi hawajajulikana

  • @mdetetv6050
    @mdetetv6050 Před 7 měsíci +2

    Baba yake alikuwa na pesa Ruban mill-100 ada kwa mwaka mamae nainyea wapi

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 7 měsíci +1

      😂😂😂😂😂 eti unainyea wapi 😂😂😂

    • @mdetetv6050
      @mdetetv6050 Před 7 měsíci

      @@agnesjohn9382 sure

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 Před 7 měsíci

    Tatizo mnapanda mti ya hovyo mpande mti ya vyakula

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před 7 měsíci

    Na wala hanaga majivuno ni mtu kwelo kwelo huyu dada

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Před 7 měsíci

    Nimempenda huyu Dada ni jembe hatarii

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 Před 7 měsíci

    Africa yote inaukabila upande wa jobs in government wale wanafaa kupewa hizo jobs hawapewi that's y hata on sports Africa tuko nyuma

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před 7 měsíci

    SASA WEWE NDO ILIBIDI UWE DIRECTOR WA KAMPUNI YA NDEGE SABABU UNAUELEWA WA PANDE ZOTE KATIKA MAENEO YA ISAFIRI WA ANGA , NA HATA KIMASOKO.,

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 7 měsíci

    Yaani labda kama hujaishi ughaibuni na hujasoma ndio unaweza kudanganywa na huyo maana , yaani mara anaongea yeye ni engineer wa ndege mara pilot mara ghafla corona imeingia kazi kakosa marekani ya kutengeneza ndege na Karudi Tanzania 🇹🇿🙈🙈🙈🤣🤣🤣🤣 huo uongo aibu naona mie , yaani hata kwenda kwa daktari wa dentist kuziba jino lako lililobomoka umeshindwa unaongelea kujenga ndege na hamna engineer wa ndege akose kazi nchi zilizoendelea labda uwe engineer wa michongo, jamani watanzania siku hizi tuko wengi ughaibuni na mkidanganya mjipange sana !