UCHAMBUZI wa HANS RAFAEL, Je, CHAMA ataisaidia YANGA SC? Ni PIGO kwa SIMBA SC?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • Kumradhi jina la ni NASSIB MKOMWA na si BASSIB MKOMWA kama Ilivyoandikwa.
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Sport

Komentáře • 48

  • @femexpress7857
    @femexpress7857 Před 4 dny +11

    Interview zenu ni nzurii sana.. ila ziko hazina back sounds. Mjaribu kufanyia kazi hilo. Weken back sounds ili kuongeza radha

  • @salimNdendya
    @salimNdendya Před 2 dny +2

    Daah mnajuwa sana wanangu

  • @davidbigambo1840
    @davidbigambo1840 Před 4 dny +10

    Ukweli 5imba watateseka kwa chama ni nguzo muhim kwao watani wamewapiga yanga wanajua wanachokifanya Nbc 24/25 Imeisha wakimpata Chama Ligi yamabingwa yanga ndo wanatazama Bongo tayari wamemaliza yanga Bingwa

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Před 3 dny +1

      Ww naye tumeingia. nafasi ya tatu tumepigwa tano na yanga chama yupo achaaendevuko yanga

    • @boazgodfrey865
      @boazgodfrey865 Před 2 dny

      Okwi alikuwa bora kuliko mtu yeyote simba lkn wengine wote ni watoto,chama asepe tutavuka na wengine

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm Před 3 dny +1

    Hakika

  • @muniraoman9551
    @muniraoman9551 Před 4 dny +5

    Yangaaaaaa

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona Před 3 dny +2

    Me cjaelewa kuhusu legend ... Chama legend vp kuhusu shabalala

  • @saidmkamila2329
    @saidmkamila2329 Před 4 dny +4

    yangaaaaaaaaaa

  • @abukhadija1993
    @abukhadija1993 Před 4 dny +1

    Noma sana 🎉🎉🎉

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz Před 13 hodinami

    Jamaa ana vision kubwa

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Před 4 dny +3

    Fukuzaa vizee

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 Před 3 dny

    🔥🔥

  • @AllyNalinga
    @AllyNalinga Před 3 dny +1

    inono🎉

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před 4 dny +3

    Goli 5 nyingi

  • @edolizerspecialartist4520

    Kwenye redio saa ngapi mda wa michezo?

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 3 dny +1

    Chama hawezi kuisaidia Dar Young African

  • @boazgodfrey865
    @boazgodfrey865 Před 2 dny +1

    Hance leo ndo nmekuelewi,na nmefurahi kwa unavyozungumza,,,ila kumbuk Emmnuel Okwi was better than Chama na aliachiwa simba na bado iliendelea kuwa juu,ko simba ni kubwa na itafanya mkubwa,,,

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před 4 dny +3

    Inonga, Manula, na Chama waende tu.

  • @amirymohamedy5330
    @amirymohamedy5330 Před 4 dny +4

    yanga hiii mboga ugali moto

  • @sadile1057
    @sadile1057 Před 4 dny

    ❤❤❤

  • @YusuphRajabu-hz3pv
    @YusuphRajabu-hz3pv Před 4 dny +1

    Maneno yake kwamm nakubaliana nae ulejendali tutampa tu maana hata okwi alienda pia lakini aliludi tukampokea namauwa 🎉🎉🎉🎉 yake tukampa kwaiyo kubadilisha changamoto kupo tunamtakia kila lakheli huko aendako

  • @jacobopaul6440
    @jacobopaul6440 Před 4 dny +1

    Ebhn eeeh

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 4 dny +1

    Hapa ni nyumbani

  • @shedymmari7910
    @shedymmari7910 Před 4 dny +1

    Changamoto kwenye kuandika mna mawenge

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Před 3 dny

    makoro kazi wanayo

  • @japharykininki9808
    @japharykininki9808 Před 4 dny +1

    Kaondoka sasa tufanyaje Hansrafaely

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Před 2 dny

    Yanga club yangu achaneni na chama ni mzigo kwa sasa. Tafuteni vyuma vingine achenani na huyo mzee

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Před 4 dny +1

    pigo aliondoka Okwi piko kwako ww sio sisi simba

  • @GreysonMwombeki
    @GreysonMwombeki Před 2 dny

    mwambie uyo siyo mombeki ni mwombeki wanaalibu majina ya watu

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Před 4 dny +1

    Anajisikiaa sanaaa aendee hukooo

  • @abeidrashid2574
    @abeidrashid2574 Před 4 dny

    Mimi binafsi sion umuhimu wa chama yanga na uwo ukubwa anaozungumziwa chama sababu chama tayar anadhuka kiwango na ukizingatia una azizi ki na pacome mi naona huusajili ni wa mihemko kama utangalia mpira kiufundi bora uchukuwe saido saido na chama mi kwangu bora saido

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před 3 dny +1

    Dah kumbe mkomwa upo huku kwa kikeke

  • @boazgodfrey865
    @boazgodfrey865 Před 2 dny

    Matatizo makubwa anayo hadi viongozi na makocha wamemchoka

  • @emmanuelndanu8424
    @emmanuelndanu8424 Před 4 dny

    Ww mwandishi et ataisaisia ndo kiswahili Gani ila upo sawa kulingana na akili yako

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 Před 3 dny

    Mtamchukia chama msimu ujao,,chama kaishakwiaha,,yanga msimu ujao Mtaiponda

  • @cruel_5
    @cruel_5 Před 4 dny +2

    Alikiba hayupo serious. Hii ndo redio au TV yake??

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 Před 4 dny

      Muulize mamaako atakuapa majibu

    • @FadhiliHamza-mz1wu
      @FadhiliHamza-mz1wu Před 4 dny

      Ww Yako Iko wapi tuje tuchek maana uko serious sanaaaa nadhani Radio Yako au TV itakuwa inakimbiza sanaaaaaaaa😁

    • @KarisBaya
      @KarisBaya Před 4 dny +2

      Kaka una hoja ya muhimu, ila tambua hii media imefunguliwa redio tu,bila shaka hata vipindi havijaanza rasmi, huenda ikawa hizi podcast tu ambazo zitaruka kupitia crown digital,tupe muda sisi team crown mambo yatakuwa sawa tu

    • @BasuleBasule
      @BasuleBasule Před 4 dny +1

      Shobo 😅😅😅😅😅😅

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 Před 4 dny +1

    Kwa kipindi hili ambacho Chama anamaliziamalizia muda wake wa mpira ilifaa abaki Simba ili aje astaafu kwa heshima zaidi. Akistaafia yanga hawatampa Ile heshima anayostahili coz hakutumika hapo muda mrf.

    • @user-ri5pc6es4m
      @user-ri5pc6es4m Před 4 dny +1

      Boko amepewa heshima gani simba ? au nyoni

    • @festomathias_jnr
      @festomathias_jnr Před 4 dny

      @@user-ri5pc6es4m amepewa kuwa kocha wa u17 na anasomeshwa na team kwenye kozi zake za ukocha na ataendelea kulipwa kama mwajiriwa wa simba mpaka atakapoamua mwenyewe kuondoka

    • @husseinmbwana8160
      @husseinmbwana8160 Před dnem

      Individual CV au mafanikio binafsi ya mchezaji kwa maana ya vikombe au maisha mazur Zaid ni Bora kuliko sifa(heshima) watu wapo kwa maslah zaid

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 Před 4 dny +1

    Huyu hans ni mchambuz wa yanga

  • @GreysonMwombeki
    @GreysonMwombeki Před 2 dny

    mwambie uyo siyo mombeki ni mwombeki wanaalibu majina ya watu