USAJILI WA YANGA SC MWAKA HUU | WANAUA MIFUMO YA WINGA | WANAMILIKI MPIRA KWA WINGI - Ricardo Momo
Vložit
- čas přidán 24. 06. 2024
- Akizungumza na 69Mediatz, Mtangazaji kutoka SportsArena ya Wasafi Media Ricardo Momo, ametanabaisha ya kwamba Klabu ya Yanga SC imebadili sana mfumo wake na wa kutumia Winga na kujikita zaidi katika kumiliki mpira kwa muda mrefu.
- Zábava
Mashaallah umeongea vizuri na kweli
Leo mpeni mauwa yake uyu brother 🎉 kaongea point 👉
Unaongeaga pwent sn
ni kweli wasikariri maisha
Duuuu hatRi
Hata mkude ilkuwa ivoivo mwishowake Katia Yanga makolo tabu ipo palepale
😂😂😂😂😂