Hakika kwa haya maarifa yako nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye maisha tangu nianze kukufuatilia nimebadilisha maisha yangu mungu azid kukubariki zaid ❤❤
Kk Joel nanauka umekuwa msaada mkubwa sana kwetu na tunajivunia kwa uwepo wako. Mungu akuongoze vyema na akupe afya njema ili tuendelee kujifunza zaidi na kufaidika juu ya wito wako.
Asante sana kaka Joel mungu azidi kukubariki sana...nitachoma meli zangu zote ili nitimize malengo yngu... asante....sana..acha niendelee kushare kwa ndugu n..marafiki🙏🙏
God increase you brother joel
Tunakufuatilia kaka yetu.
Hakika kwa haya maarifa yako nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye maisha tangu nianze kukufuatilia nimebadilisha maisha yangu mungu azid kukubariki zaid ❤❤
Kk Joel nanauka umekuwa msaada mkubwa sana kwetu na tunajivunia kwa uwepo wako. Mungu akuongoze vyema na akupe afya njema ili tuendelee kujifunza zaidi na kufaidika juu ya wito wako.
Kweli kabisa
Daaaah nakubaliana na wewe kiongozi
Joel 🎉🎉❤
Top Teamers 🏆
Ubarikiwe kaka
Pamoja sana kaka Joel kwa hekima hizi namimi nachoma. Meli zangu zote ili nisimame kwenye Malengo yangu
Nakufuatilia bro
Kamanda alikua mkali aise maamuzi yakikomando hayo nimependa kilak2 ni maamuzi❤❤
Mungu aendelee kuwa nawe kla hatua
Ushauri mzuri
Ukweli mtupu Asante kutupa mbinu yakupambana nao
Bro Joel, asanaaa
Good morning top team
Nachoma now Kaka asante Sana ishi saaana
Shukrani kaka ❤❤
Barikiwa Sana👏
Asante Sana
Asante bro Jo
Naitwa Emmanuel from Bujumbura nakufuatilia sana na nafaidika sana kutoka mafundisho yako ubalikiwe sana
Nimejifunza kitu
Kwel kaka
Asante sana kaka Joel mungu azidi kukubariki sana...nitachoma meli zangu zote ili nitimize malengo yngu... asante....sana..acha niendelee kushare kwa ndugu n..marafiki🙏🙏
🎉🎉🎉
Mungu akubariki na kukuinua zaid viwango vya juu
Uwiiii kaka Joel ,hili somo linanilizaaa .
Asante
Shukran Sana kaka Joel insha'Allah nitalitekeleza hili biidhin Allah
I'm following from Germany
Lazima tuchome meli zote ✊🏆✈️
umekuwa baraka kwangu,nachoma meli zangu zote kwenye mahusiano ambaye sielewi malengo yake ni yapi yanipa maswali mengi mengi
Tupo pamoja sana mbaka tufanikiwe
❤
Ngoja nichome meli zote kuanzia sasa
That's true
Hii lazima nitoboe
Nisipofuatilia kipindi hiki huwa sijisikii fisuri . Kutoka nairobi kenya
❤❤❤
Asante Mwalim Joel
Bro ili somo limenilenga moja kwamoja umeniongezea kitu kikubwa.....
Hicho kisa ni historia ya kiongozi wa kiislamu
Aitwaye twariq ibnu Ziyad.
Wakati akiivamia Hispania.