Na baada ya kukitoa hivyo vitu shangazi yangu saa hii ni mgonjwa ameparalaise na bado kuna vingu viliwi niliviona ndotoni sasa wewe sema kuzua vitu sio kumcha Allah wakati ni Allah ndio kampa kazi hio 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😢fatuma mama acha nikukosoe Mimi hapa ninacho kipawa kama hiki cha huyu sheikh cha kufukua vitu na kutibu watu ukiona amefikia kufukua live huyu amefika mbali maana Mimi bado nafukua kwenye ndoto shangazi yangu alizika majini kwake ametutesa mda lkn kuanzia mwaka jana nikaanza kuona nafukua vyungu kwake nyumbani chungu cha kwanza kilikua na dhahabu katikati nilivyo king'oa shangazi akaanza kuumwa juzi nikaota na chimba mkebe ndani ulikua na chain na pete nikakichimba hicho kikebe na nilikua nakiota kila mara nimeenda kukichimba lkn sifanikiwi kukitoa kwa ardhi lkn mwezi jana nikaota nakichiba kile kikebe nikakitoa Kenya aridhi pete nikaiangalia imeandikwa power magic interior code no ya hio chain na pete niya uzunguni kunaitwa Greenland ambayo code no ni hii 299 ukieka hii namba ±299 kwa google itakuletea kila kitu utajua ni inchi gani kwa hio usiseme amevifukia huoni wewe kina mtesa kukikabili madhubuti hapo nikamtoroka toroka halafu ujue mtu kaa huyu mamaangu anakua amepitia mitihan mingi mno maana hiki kipaji kinatesa mpaka uje kufikia hapo My dear umekua umekomaa@@AliSaid-y5j
Yaaasalaaam
Alhamdulillah, mwenyez mungu amlinde shekh wetu
Alhamdullilahi.mkombozi.wa.wachawi...
Allah.akulinde.uzidi.kufichuwa.siri.za.wachawi
Waislam Weng kinacho tuponza midomo Sana huyu Sheikh ni wakuombewa Duaa sana Anafanya kazi kubwa Sana kuwatete Wanyonge
Hawa niwatu wote hao subhaanallah maashaallah 😊
Sasa mmetutilia sauti ya vianzi video ya malela vipi tena
Mashallah❤❤❤❤❤
Na baada ya kukitoa hivyo vitu shangazi yangu saa hii ni mgonjwa ameparalaise na bado kuna vingu viliwi niliviona ndotoni sasa wewe sema kuzua vitu sio kumcha Allah wakati ni Allah ndio kampa kazi hio 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Naomba.namba.yake.jaman
Namba zake ziko pale juu angalia huku mwanzo
0689360148
0689360148
ACHA KUDANGANYA WATU. HILO DUDE MLILIFUKIA WENYEWE....
MCHE ALLAH
😢fatuma mama acha nikukosoe Mimi hapa ninacho kipawa kama hiki cha huyu sheikh cha kufukua vitu na kutibu watu ukiona amefikia kufukua live huyu amefika mbali maana Mimi bado nafukua kwenye ndoto shangazi yangu alizika majini kwake ametutesa mda lkn kuanzia mwaka jana nikaanza kuona nafukua vyungu kwake nyumbani chungu cha kwanza kilikua na dhahabu katikati nilivyo king'oa shangazi akaanza kuumwa juzi nikaota na chimba mkebe ndani ulikua na chain na pete nikakichimba hicho kikebe na nilikua nakiota kila mara nimeenda kukichimba lkn sifanikiwi kukitoa kwa ardhi lkn mwezi jana nikaota nakichiba kile kikebe nikakitoa Kenya aridhi pete nikaiangalia imeandikwa power magic interior code no ya hio chain na pete niya uzunguni kunaitwa Greenland ambayo code no ni hii 299 ukieka hii namba ±299 kwa google itakuletea kila kitu utajua ni inchi gani kwa hio usiseme amevifukia huoni wewe kina mtesa kukikabili madhubuti hapo nikamtoroka toroka halafu ujue mtu kaa huyu mamaangu anakua amepitia mitihan mingi mno maana hiki kipaji kinatesa mpaka uje kufikia hapo My dear umekua umekomaa@@AliSaid-y5j