NAMLETA KWENU By: Shimanyi FM -Kwaya ya Mt. Gregory Mkuu St. John's University Of Tanzania(FHDVideo)
Vložit
- čas přidán 19. 01. 2023
- Karibu Utazame wimbo maalumu wa Ndoa, Ulioimbwa na Wanakwaya wa Mt.Gregory Mkuu Kutoka St.John's University of Tanzania-Dodoma
Mtunzi: Shimanyi FM
Sound Engineer: Shimanyi FM.
Co-Sound Engineer: Paschal P (Duke)
Organist: Gustav Kamanda
Director: Mdete TM
Audio & Video by CGen Pro
Mawasiliano: +255765449914
#kwayakatoliki #gospelmusic #tanzaniagospel #love #marriage #courtship #ndoa
Jamani wimbo mtamuuuu😊. Hongereni sana nyote mliofanikisha kazi nzuri hii.👏👏👏👏👏
Amina barikiwa sana Anastacia Muema
welcome Anne
Asante kwa wimbo mzuriii,Hatimaye tumepata kawimbo ka kutambulishiana🤣🤣🙏Hongeren kwa kazi nzuri mtunzi na waimbaji🙏
Shimanyi, Shimanyi, Shimanyi, nimekuita mara tatu Shimanyi
Unyama Tuu 😁Amna kingine
Mwalimu Shimanyi jameni kajaliwa kipaji kizuri.. Asanteni sana
Asante kwa kumleta kwetu..Hongereni sana Gregory mkuu ,kwaya yangu pendwaa,,Mungu awabariki sanaa
Kaz nzurii saaaaaha barikiweni sanaa
Wimbo mzuri mnooooooo
Waooo wimbo mzuri sana hongereni wanakwaya was gergory mkuu
Wimbo mtamu huu 😊😊
Keep it up!
Hongereni wimbo mazuri sana mmeimba vizuri mmechangamka ❤
Tumsifu Yesu kristu
Wimbo mzuri atari ✝️
Good job Shimanyi na wanachoir wote😊
Hongera zenu nyote mmeimba vizuri vizuri vizuri sana❤❤❤
Shimanyi ✅✅✅✅✅
Tanzania never disappoint for real,wow ..nimeupitisha huu wimbo rasmi pia.
Nzuri mnoo
Huu wimbo ni mtamu uko bomba hongeren vijana❤️❤️🙏
Pongezi kwako CGen Pro na Kwaya ya Mt Gregory Mkuu 🔥🔥🔥🔥🔥
Awesome, influential song for engagement
Wimbo mzuri ❤
Hiki kibao kipo. Much love from Kenya
kazi safi hii🥰
Asanteni
Sana
Kwa
Wimbo
Huu
Utamu tu💓
Mungu awabariki wote waimbaji Pia Tusopotiane lk na SUBSCRIBE Kwaya Mariya Goreht Viwawa Bashnet Jimbo katoliki la Mbulu
Amina. Kazi nzuri sana. ❤
Nimeupenda sana wimbo huu ❤
Hakika mungu amewajalia vipaji vya kuimba barikiweni sana...
Mungu awazidishie mna sauti tamu vile waooh
Wimbo mtamu wauuu
Hongera sana wanakwaya
kanyimbo kakuingilia ukumbini kabisa😘😘😙😙😙😙😚
Nice song. Hongereni
Jamani kwaya yetu!
Barikiweni sana kwa sauti zuri
Mbarikiwe wapendwa kwangu, MUNGU azidi kuwa nanyi
kaz nzur jaman
Wimbo mtamu sana nmesikiza mara kadhaa na sichoki
wimbo zuri
Mtamu kweli.
Hongereni
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongeren sana hapa nakariri kwaajil ya ndoa yangu jana nimekesho nao
A very fantastic song, congrats to you all I like the creativity inserted in there so amazing 😍, keep on 🔥 my former choir and be blessed
Hongera watu wa mungu
Wimbo tamu hakika
Hongereni sana🙏🙏
Ngoma imetulia hongereni sana
wimbo mzuri sana ...mbarikiwe mnapozidi kutubariki
Uwiiiiih
Alla: mmeupiga mwingi❤
My favourite song thanks
Hongera🔥
Usichezee kwaya za wakatoliki nyimbo zao ni mafuta matakatifuu wewe ni nzuri kuzisikiliza na kuzicheza kwa kunesanesa. Hongereni sana na msivunjwe moyo kwa lolote, sie wainjilishwaji tutawaombea baraka tele kwa mungu.
Huu wimbo ni mtamu zaidi❤❤Hongera kwenu nyote, na Mungu awainue in the ministry.
Finally we have Engagement song 🥰🤗
Sure sure sure kabisa
Pongezi kwenu wafanyakazi wa The Creative Generation Production na Kwaya ya Gregory mkuu kwa kazi nzuri ya uinjilishaji Mungu awabariki🔥
Baraka😁😁 Blessings
Wimbo tamu snaar naipenda
Nashindwa kuereza jizi huu wimbo unavo gonga mioyo yawatu
Waoooo
Nice nice melodies
A very nice song 🤗🤗🤗💯💯💯,,wacha sasa tukatambulishane😂
Very sweet melody
mzee ubarikiwe aiseee tunasbr na nyimbo za sadaka
Aw🥰
Wimbo mtamu halafu mtamu tena🔥🔥🔥 Ubunifu mkubwa mno. Shimanyi, nimekustahi enewei🤗
Hongereni sana @St.Gregory #UhimidiweMungu
Wimbo mtamu mno congratulations 👏👏
Alaaaaaaaaa. Namletaaa,,,,,, watunzi wa nyimbo Mungu awatunze.
Wimbo mzuri Sana hongera Sana shimanyi media kwa ujumla MUNGU AWABARIKI SANA
Mungu atubariki
Duuuuuh mmeuaa mungu awasaidie muendelee kuhubiri injilii💯💯
Jamaniii congratulations to you all guys, mmefanya kazi nzurii sanaa,its kind of inspirational art....mmeupiga mwingi sana
Pongezi nyingi sana kwa mtunzi na kwaya kwa ujumla wimbo umepambwa na shukrani kwa gen production Mungu aendelee kuwabariki wote kwa ujumla ktk wimbo huu
Hongeran kwa utume
🔥🔥🔥🔥
Daaaaaaa!!! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️,
Ni wimbo mzuriii saaaaana hongereni wana gregory,
Nautunza huu wimbo siku ya ndoa yangu 😋😋😋
This is what it meanz 4 C Gen Pro & St.Gregory the Great Choir...Mambo ni fayaaaaaa🔥🔥2nawaleta mmoja mmojaaa🔥🔥
Shimanyi you are Gifted brother 👌🏼
Wimbo mtamu mno.❤ Nota twaeza pata wapi
This a very nice song, thanks very much for the hard work, be bless and continue to praise God
Waoooo wimbo mzuri sana kwakweli unabariki sanaa hongereni sana
🔥🔥
Mungu awajalie muyaishi mnayoyaimba na kuwa mfano WA kuigwa muwaheshimu wazazi kwani ni Mungu WA dunia muishike Sana amri ya nne ya Mungu.
St.John University. Hongereni sana kwa utumishi huu
Wimbo mzurii sanaa, hongera Sana mtunzi FM
Wimbo mzuriiii sanaa hongera sana shimanyi the great 👏👏👏👏👏
Hongera CGen production... Nice work Gregorians 🙏💖
Wimbo mtamu Huu 👏👏👏
hongera my family St Gregory mkuu from St John University Of Tanzania + Shimanyi FM
Wimbo mtamu sana, natamani ungekuwa mrefu kidooogo
Wimbo mtamu sana. Video iko juu. Creativity
🗣🗣🗣🗣🗣🗣kazi nzuriiiiiii
Hongereni sana kwaya yangu ya enzi,wimbo mzuri,haya wale wenye mnataka kutambulisha muwalete tuwaone jamanii,Hongera Mr Shimanyi kwa utunzi mzuri
Shimanyi dogo lako nawafuatiria Sanaa nipoo pande za ziwa Tanganyika nakura burudani mwambie paskal nafurahia Uwepo wa C...proo
Sauti ya nne ♥️♥️♥️🥰
Aiiiii utamu wa Catholic music no one can top it😌🎉
Nice song
Huu wimbo ni mtamu sana jamani Hongereni🥰🥰🥰🙏
Ahsanteni kutuletea wimbo mzuri😍
Hongera saana kwa kazi hii nzuri mno, Ndugu Dismas, dada yangu Melkyori na mdogo wangu wine ASANTE kwa kuendeleza utume kwenye kwaya yetu,, walau hizo sura nmezifahamu pamoja na wengine wote ASANTE NA HONGERA SAANA!!
Safi Sana kazi imetulia..... hongera Dismass na Winfrida
Ahsante sana Pia Gregory Mkuu 🙏🙏Mungu mwema
Asante Mungu kwa kuwawezesha watumishi hawa kwazi nzuri. Ama hakika nawakumbuka sana wana SGGC.