Ni BWANA KAFUFUKA. By Shimanyi FM, Kwaya ya Kristo Mfalme-Kizota, Dodoma (Official Video)
Vložit
- čas přidán 6. 04. 2023
- Karibu Utazame wimbo ambao unatukaribisha kusherehekea Ufufuko wa Kristo, Hakika Kristo Ameshinda Mauti, Aleluya Aleluya Aleluya
Mtunzi: Shimanyi FM
Sound Engineer: Shimanyi FM.
Organist: Paschal P (DUKE)
Director: Mdete TM
Copy ya Wimbo Huu:Download Link
www.swahilimusicnotes.com/wim...
Audio & Video by CGen Pro
Mawasiliano: +255765449914
#easter #kwayakatoliki #gospelmusic #aleluya #eastersunday #easteregg
Yoyote anaesikiliza Leo pasaka 31 March 2024 Mungu awe nasi .
Amina
Amina
Amen😊🤲🏾
Dada Teddy popote ulipo nakusalimu kwa jina la Bwana 😀😀😀 Shimanyi wewe tulishakubaliana pale mbinguni lazima upate chumba chako special! Duke kionee huruma kinanda kinateseka jamani! Binti Kidaluso wewe ni mtoto wa nyoka lazima ung'ate kam babaako! Huyu mwenye moka zinazonata na bit😀😀😀 ubarikiwe sana! Funga kazi huyu mmasai wa mchongo anayewafungilia geti huyu kitengo chake huko mbinguni ni hichohicho!😀😀😀
😂😂
Kazi. Nzuri sana mungu azidi kuwabariki
😂😂😂
Hahaha hii Comment imenifurahisha
Hongern jamn
Huyu shimanyi ni moto wa kuotea mbali
Najivunia kuwa mkatoliki barikiweni sana wanakwaya kweli mmeimba vizuri sana Mungu awe nanyi
Hujawahi kufeli kila kuchapo unazidi kuwa hatalii🔥🔥🔥🔥 Shimaaa🤗wew ni hatali daima utabaki kuwa hatari
watanzania mko kiwango cha kipekee katika nyimbo za injili, kazi nzuri
Aminaa 🙏🙏🙏 nami nawatakia heri ya pasaka alelluya alelluya mungu awabariki🙏🙏
I listen to this song every day aki inanibariki sana nikiwa kenya
Tunawasalimu kutoka Kenya mbarikiwe jameni hii imeweza tena saana
❤mwalimu hongera kwa kazi Bora.....
Asee! Itoshe kusema umeshindikana!!👐👐👐👐👐👐🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aiseeee....Mungu Atubariki sote
Ubunifu wa hali ya juu. Sifa kwa Roho Mtakatifu ❤
Mbarikiwe sana tena sanaaa ila dada anaesolo wa kwanza kanivutia sana katendea wimbo haki ila wote mmeuaaaaaa
Ninawapongeza BURUNDI
Waooh huu wimbo ni another level Mungu awabariki waimbaji wote pamoja na mtunzi 🙏🙏
#Shimanyi FM, waoohhh, talanta unayoo,.
Na nikasema umbali tumetoka na umbali tuanaenda kama CGen Pro watu wangu... Tunapaa mawinguni... Kazi safi kweli kama Kawa... Keep up the Good Job dears... Kaka Shimanyi never disappoint ❤🎉
Wanakwaya nao ni Malaika kweli. Yesu amefufuka Kweli... Happy Easter watu wangu
Creativity kali mwalimu, naskia nota za kristu mfalme-ray ufunguo, lakin bonge la nyimbo 👏👏
@shimanyi always a good talented man. The creativity is oops never ever seen before😊😊 hongera sana mzee, kwaya inaimba sana!
Shimanyiii🔥🔥🔥🔥
Creativity nzuri Sana☺️💪🏾
Homgera kwa kazi safi🎉
Sifa na utukufu ni zako ee Bwana 🤲🙏
Hongereni sana kwa wimbo mzuri, hongera kwa brother Fortune Shimanyi utunzi mtamu sanaa❤, hongera Duke organist brother paschal duuuh acha jamani
I love this song and may it be a blessing to all who listen to it. Be blessed all.
Weweeeeeee ameshinda mauti Raha sanaa
Creativity ya hali ya juu sana...pongezi shimanyi❤
from melody mpaka uimbaji, congratulations
Waoooooo kazi nzuri na Mbarikiwe Sana Kwa uinjilishaji ili kazi ya Mungu isonge mbele kupitia uimbaji
Wimbo mtamu sana wa pasaka😍
Kazi moja kubwa sana tena ya moto. Hongera Kwa wote waliofanikisha kazi hii ya #muziki_mtakatifu #Mungu awabariki mzidi kumtumikia katika #Roho na kweli. Kaka #Shimanyi kwako sina deni kabisa kazi nzuri umeifanya. #Mungu azidi kukubariki ili utuletee vitu #vitamu na #adimu kama hivi. Hakika kumbe #NI_BWANA_KAFUFUKA.
Good morning ...... Amkeni amkeni aisee kumbe mambo ni motooo🔥🔥🔥🔥
Mambo Ni 🔥🔥🔥🙌🙌🙌 The shimanyi hongera Sana brother for wat you are doing. Mziki mtamu. 🙌🙌🙌
Amina san mbarikiwe san
Creative generation
Kazi nzuri, hongereni sana.. Nampongeza sana director Mdete TM pamoja na mtunzi bora Shimanyi pamoja na woote
WIMBO MZURI SANA.
🔥 Safi kbs mwl Rocky kwa utume
Mziki safi kabsaa❤
Jamaal mbunifu santa fm
Alleluia!! bwana kafufuka kweli. God bless you all so beautiful.
Hakika Bwana Kafufuka,🎉🎉🎉🎉🎉, I love the song
Hii Sasa ndo Iko juu 🎉
Alleluyah Ameeen yes ni bwana ❤❤❤
🔥 kama pasi
Mi ni wakwanza kuview kazi safi sanaaa mwalimu shimanyi ❤❤❤❤
❤❤
Nyimbo zuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wow!!May God bless your great voices.Kenya
He is risen Hallelujah, happy easter 2024.❤
HONGERENI KWA WIMBO MZURI SANA
hii ni moto
Wimbo huo unaponya inatoa strees
Kashtuka hayo maua yalivyofyatuliwa 😅
Amefufuka aleluya
Barikiwa kwa utume!!!!
Nimeipenda
Nyimbo nzr sn
My boy duke
Safi mmependeza
Kumbe ni Bwana kafufuka💕♥️🎉🎉
Hakika Bwana ameshinda mauti.Tumtukuze na tumshukuru.Alleluia!! Hongereni sana wanakwaya wote.
Ejoying from Kenya!very smart and nice song la Ufufuko wa yesu.🕺🕺🕺
This song blesses me big time.. keep up
You're doing well sir 🔥🔥🔥Mungu azidi kukubariki. Kitu short and clear 🔥🔥
Ni heri nyoyoni mwetu,Yesu Mfalme ameshinda mauti,tumkaribishe kwa maisha yetu aweze kutuongoza katika maisha ambayo Yana milima na mabonde.Nawashukru wanakwaya kwa nyimbo nzuri.
Kwa kweli mtunzi na waimbaji mko vizuri sana.Mungu aendelee kuwainua
Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako Shimanyi, Kenya well represented ❤
Amina 🙏🏻🤲
Kazi safi❤❤
napenda nyimbo zenyu sana.....i would like to join your choir please
Waaaaaao its so fanta maglorious😊😊
Hi guys good job God bless you all 💯
HAPPY EASTER WANAKWAYA WAAOO WOUNDERFUL. HONGERENI KWA WIMBO MTAMU SANA YA KRISTO MFUFUKA. KWERI NAONA AMEFUFUKA DANI YA NYOYO ZENU. KEEP IT UP, NO TURNING BACK. MUNGU AWAPE NGUVU ZA KUMTUMIKIA SIKU ZOTE ZA MAISHA YENU. FROM QATAR BUT KENYAN. NAWAPEDA
May God bless you all ,, kazi nzuri sana
One of the best catholic songs and videos of this generation 😊🤍
Asanteni sana.huu Wimborne nashinda kusikiza kill wakati.Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki.nawapenda wote
Hakika mko vizuri Asante kwa nyimbo nzuri nahusikiza Kia muda
😂😂 wanajuwa safiiiii
Nice nice da josephne na wengine mmetisha sana sana mje na kahama kristo mfalme nyasubi
Waooooo good song
Wimbo mtamu huu,, Kristu yu hai kweli
Waooooh! ❤
Shimanyi na wanakwaya wote pokeeni maua yenu 💐🌹🥀🌺🌻🌼🌷⚘you nailed it 👏👏
Hata sijui niseme nini kuhusu huu wimbo wallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
HONGERENI SANAAA KWAYA YA KRISTU MFALME KIZOTA CHINI MWAMBA MWENYEWE shimanyi na pascal duke kweli hii inatosha Kwa kweli pascal hiyo sauti yako bna ni bombaaa sanaaaa myself naomba sauti ya 4 nataka niimbe kama wewe .....any way mbarikiwe nyoteeeeeee
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wimbo mtamu sana huu; sauti za nzuri sana! Nimeurudia sana na Bado naendelea kuusikiliza hivi sasa
Kwa kweli Mungu atukuzwe kwa ajili yenu,mmetisha hongera sana. Nipo Mbeya.
Aaaah This easter🔥🔥😂 nice ona Shimanyi na Jombaa Mdete😀
Hongera kwa kazi nzuri afufuke pamoja na kazi ya mikono yako barikiwa wapendwa wote
🔥🔥
Wimbo mzuri zaidi kweli bwana kafufuka
Hongera sana ndg yang Shimanyi Mungu aendelee kukubariki kwa utunzi mzuri wa asili...na pia hongereni wanakwaya na wote walioshiriki kuandaa kazi nzuri hii...nawapongezi soloists wote kwa kuimba vizuri pia...
Wow! Well done👏👏👏👏
Hongera sana hakika ni Zaid ya wimbooo.....mkuuuu shimanyi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amina
Sichoki kuangalia huuu wimbo jamani mzuriiii Sanaa barikiwa sanaaa.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Creativity high of high level
Stay blessed and keep up the spirit!
Jamniiiii my soulmate jacquline makota ❤ hongera my dr🌸🌹🥰