Twataizya karesa wikolo jitahid Sana kumuwakilisha bikira Malia Nas twakuombea uzid kutuwakilisha vyema ahsante Karibu Sana parking 6:53 ya Mt yakobo laela sumbawng vjjn
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mlio tuletea yenye kujenga katika maisha yetu, Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho Mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina.
This song was sung during the concencration of our new church, Assumption of Mary Umoja1, I cried a lot, anything spiritual that makes me cry has a divine presence ,Touch and anointing
Inaimarisha Sana.. kongole
Maria Mtakatifu utuongoze daima tudumu katika sala hongera Bro na team nzima kwa kazi nzuri 🙏🙏🙏
Asante Sana
Hongera sana kijana wangu, kameja mungu akutunze mungu akulinde, azidi kukusimamia uendelea kulihubir neno la mungu, kupitia uimbaji,
Amen Asante Sana ndugu yangu endelea kubarikiwa 🙏🙏🙏
Amina.
@@lawrencekameja9730 mwe b
@lawrence kameja
Kweli umebarikiwa Sana ndugu
@@lawrencekameja9730 mambo kaka, mbona Huna account yako ya CZcams, naitaka sana, Mimi ni fan wa nyimbo zako
Be blessed
Kazi safi 👌
Nice one 🔥❤️
Ray Ufunguo kama Kawaida💓💓💓💓💓
Inspiring ..... Tuombee ee Mama Maria
Congrats ..good job done keep that spirit
kazi safi 👏👏
Ray Ufunguo has done it again. Mama yetu Maria utuombee
Amen.
Hongela sana kijana wangu Lau kwakutuonyesha kuwa kipaji huwa hakichaguwi ukoo mungu aendelee kukupa kipaji zaidi
Asante Sana Mzee wng
Wimbo mzuri. Mbarikiwe sana sana 🙏🙏🙏
Wow💯💯Ray ufunguo you inspire me in music 👋👋👋👏👏👏I wish one day we produce a song with you! Will be my dream come true! God bless you!
Kinanda kimemtii Mama.
Wow congratulations baha nakuona ...Maria mtakatifu tuombee kwa mwanao yesu kristo
Ni mwezi wa rosari asanteni sana mkurugenzi kameja ubarikiwe sana
Amen bro
Nakubari sana kaka nyimbo zako mungu akujalie uendelea kutunga nyimbo nyingi sana
Kumbe sisi si yatima, tunaye Mama Maria. Upendo wa Mungu uliopitiliza, anatushirikisha Mama yake. Ukisikiliza vizuri, maneno yanaisha.
As we v FX x see
🔥🔥
Good work bro, injili isonge mbele, be blessed
Hakika uimbaji ni ulevi wangu nikisikia kwaya inaimba vizuri najisikia raha
Naam kazi nzuri sanaaa🙏🙏
Oh my soooso beautifull may our lord keep on installing grace over u and smart voice🎉🎉Mimi Laurence umenirudisha ka Yesu na mam yetu Bikira asante🎉🎉
Kazi kuntu👏
Wow great work tr. Kameja
Asante sana
🙏
Twataizya karesa wikolo jitahid Sana kumuwakilisha bikira Malia Nas twakuombea uzid kutuwakilisha vyema ahsante Karibu Sana parking 6:53 ya Mt yakobo laela sumbawng vjjn
very nice good job....mbarikiwe sana
❤❤❤ kazi nzuri sana. Pongezi
🔥🔥🔥
asante sana mozen productions
Kazi Safi
Awwww that's very nice bro @lawrence kamenja mungu azidi kukubariki na waimbaji wengine
Hongera sana lawrence kameja unakipaj cha kuimba sana unaimba vizur very good
Hongera Sana kijana wangu kwa kipaji ulichonacho Cha kutinga nyimbo
Wimbo mtamu saaaaaanaaa
Kongole mungu akuongezee hekima
🎼🎼🎼🎼🎼🎤🎤🎤🎤🎤 keep up the good work
lovely😊
thanks
Wimbo mtamu kweli na sala njema 🥳
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mlio tuletea yenye kujenga katika maisha yetu, Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho Mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina.
Shukran. ubarikiwe pia.
Amina
Aseeee tunawa enzi saña ng'ambo hii...swari saña Laurenti 🔥🔥
Ray Hoyeeeeer👏👏
🔥🔥
Naomba kuelezwa mahali naweza pata nota za huu wimbo niko kenya,
Na bado kuiona kwa swahili music
Kazi safi,congratulations
thanks
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
thanks
❤Qui bene Cantat bis orat. Mungu wangu apewe sifa kwa kipaji hiki.
Wimbo taamu sana
Listening from Kenya,good job,keep it up.twawagoja....missing you guys
Ray ufunguo,,,,blessed like your name forever ❤ Maria mama mtakatifu utuombee
Wow,nice song to mama bikira maria
Interesting🙏👐
Kazi Safi kameja mbarikiwe sanaa
Hongereni sana wimbo mzuri,
Kongole sana gifted voice 🔥🔥🔥Ray may God continue blessing you
thanks dear
Lawrence congrats for this great melody song and nice voice my God bless you, gifted voices 👍👍🎉🎉
Good job kameja and swai endeleeni kuinua talanta za wakenya mungu awabariki .kwa waimbaji kongole nice voices
Amen ubarikiwe sana
Thank you....
Twakimbilia ulizi wako mama maria. Maria tuombee ❤❤
Ongera sana kijana usichezee hicho kipaji nakuombea kwa mungu uendelee kudumu
This song was sung during the concencration of our new church, Assumption of Mary Umoja1, I cried a lot, anything spiritual that makes me cry has a divine presence ,Touch and anointing
Be blessed
Sweet ✨✨🖤💙🖤💙👏💥
Kongole kongole sana ndugu zanguni..Kenya twawashabikia
Mziki upo sawa: Melody, Harmony, kinanda, sauti, Yani tamu tu❣️❣️👌
asante
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hongera sanaaa kaka kameja Kwa kumshuhudia Mungu Kwa njia ya uimbaji unaimba vizuri Sanaa unatutafakarisha sana kuipitia nyimbi Mungu akunze.
Kazi safi 💕
Thanks
kazi nzuri ray
Asante
Waaoh..keep up. Iko sawa 🔥🔥🔥🔥
thanks
Muziki mtakatifu,,,,, naomba nota zake tafadhali
Congrats
Amazing music with spirituality,hongereni sanaa
Kazi nzuri sana hongereni Lawrence Kameja 🙏
Asante Sana kaka
Hongereni San nimebarikiwa
Hongera kikundi cha uimbaji
Shukran
Hongera kwa kazi nzuri sana
sauti tamu mmm!
Thanks
Ray Ufunguo and the entire team....Nice job. Kuddos Lawrence your voice is always on another level. I send love from Kenya to all of you
Kazi njema sana, mbarikiwe
thanks our people..be blessed.
Hongereni kwa sifa njema za Mama yetu mpendwa Maria . Mama tuombee wanao
Liwe tunzo lako mbinguni.
Umempendeza Mama Yetu.
Kila anayesikiliza kwa makini anajiona mikononi mwa Maria, mbele ya Mfalme Yesu.
Asante.
Great Job done ✅
thanks
Mama mtakafifu utuombee kwa mwanao Yesu mpendwa Amen
Nabarikiwa nanyi Mungu wa mbinguni awabariki sana
Amina.
Asante Sana kwa wimbo mzuri
Mary mother of God pray for Us
Shukrani
Maria Mtakatifu, utuombee!
Unanifanya nijivunie kuwa mkatoliki kameja Mungu akuongezee maarifa zaidi na zaidi binafsi nabarikiwa sn na nyimbo zako ishi maisha maref zaidi kaka
Asante sana dada yangu
Good job,you sang well too first mass on Sunday
thanks
Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume
amina.
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu kristu.
Kwa hakika mungu amjalie neema Zaid ya kueneza injili ya imani
Amina
wow wow wow nice song you have there. I like it when I heard this song it almost got in a surgery bravo bravo bravo 🙏 pleas God bless you
Thanks
Lawrence,you are gifted ❤.
God bless you and keep you safe always to finish what He started in you.
Congratulations Gifted voices.
This is amazing Mkuu @Kameja 💯💯🥳🥳👏
Be blessed 🙏
My people you've done it again
Congratulations it's so sweet
thanks marto wetu.
Ooh mama maria tuombee sisi wanao .amina
Amen
Hongerani sana wimbo mtamu.
How can I get the music score PDF
Hongereni Sanaa, Mungu awabariki kwa kutuinjilisha.
Asante sana...barikiwa pia.
Nice
Good work I love this 🥰
Kamenja,you are talented, God 🙏 protect u always.you bless me n my son with your songs
Mozen Pro, Waimbaji, kazi kubwa sana, Congratulations
Big team 💪💪🎉 continue spreading gospel 👏👏
Wow team nzima! Mama Maria atuombee daima
Mwezi wa mama wimbo uko wakati mwfaka hakika mnatumikia wito hongereni sana
Beautiful song sounds,, ni mama wa huruma kweli bila kuchangua mtu yeyote ♥️🙏
Nice song and blessing, God bless you all
Big up sana bro kameja 🎉
Hongera Kameja,,mungu akuzidishie neema ukaweza kuihubiri injili kwa nyimbo.