MOYO USIOCHOKA- F.M. Shimanyi, Kwaya ya Mt. Karoli Lwanga, Haneti-Dodoma (Official -FHD Video)
Vložit
- čas přidán 26. 11. 2022
- Karibu Utazame wimbo mzuri,wenye tafakari ya Maisha ya kumtegemea Mungu,Wakati wa Mungu Ukifika hakuna wakuzuia Barake Za Mungu.Wimbo
Umeimbwa na Kwaya ya Mt. Karoli Lwanga,Parokia ya Bikira Maria wa Mateso-Haneti, Jimbo Katoliki la Dodoma.
Mtunzi: F.M. Shimanyi
Organist: Fausto Kazi
Sound Engineer: F.M.Shimanyi
Director: F.M.Shimanyi
Co-Director & Video Editor: Mdete TM
Audio & Video By: CGen Production
+255765449914
#kwayakatoliki #gospelmusic #tanzaniagospel #dodoma
Kiukweli kwaya za kikatoliki hutachoka kusikiliza nyimbo zake zimejaa unyenyekevu mwingi na wema nyingi. Mungu atubariki sanawakatoliki najivunia ukatoliki wangu
Kwaya yangu Bora kuwahi kuishudia kutoka kwa majirani zetu Kenya 🇰🇪 much love from Songea Tz🇹🇿
Hakika Mungu hachoki nasi, licha ya udhaifu wetu kama wanadamu.
Ahsanteni sana kwa wimbo huu, umenigusa sana. Much love from Kenya na Mungu azidi kuwabariki.
mwalimu Shimanyi jameni kipaji chako chatubariki milele..wimbo mtamu ajabu
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa ujumbe huu unaotia Moyo. Hakika Moyo wake pekee usiochoka 😇😇💞💞💞
Hakika Mungu hutu nyoshea mkono na moyo wake usio choka , Barikiweni kwa wimbo nzuri wa kumsifu Bwana.
Hongereni sana wana haneti kwa wimbo mzuri
Hakika Moyo wake Mtukufu usiochoka!!
Good job @#FortuneShimanyi
I love your great compositions and creativity! Mungu azidi kukubariki katika utume huu wa uinjilishaji kupitia nyimbo.
Wapi LIKES kwa Mtunzi wetu Fortune Shimanyi #CGen #CGen
Nyimbo zina ujumbe mzuri sana ila pia na sie waimbaji inabidi tubadilike tuendane na kile tunachokiimba,
Hakika unainjilisha vilivyo!Mungu azidi kukuangazia.
Wow shimanyi u never disappoint karibu Kenya
Asante wanamuziki🙏. Wimbo unanipa nguvu ya kuendelea kumtumaini yeye ambaye hatachoka kunisaidia wakati wowote, kweli ni Mungu mwaminifu❤️... Mungu azidi kuwabariki🙏
Zidi kubarikiwa
Nyimbo Nzuri💯💯
Hongerani sana kwa ujumbe mzuri ❤
Hongereni Sana Wana Mtakatifu Carol Wanga. Wimbo mzuri Sana. Mungu awabariki Sana. Sister Fokas. From Lushoto. Tanga
Our Catholic music is always on top,kazi nzuri Sana Mwalimu Shimanyi,
Moyo wake usiochoka....unatoa bila hesabu umeniweka....great!
Haya haya haya niko hapa wa kwanza kabisa! Kitu kinapakuliwa nikitazama live!
Wapili
Wa tatu!!
We Shimba mi sikuwezi kabisa
Mungu awazididishie nguvuzaidi katika uinjilishaji nauvumilivu katikautume
Asanteni nimebariwa kwa wimbo huu
Hongereni sana kwa wimbo mzuri
A nice song indeed with a good message very encouraging.. Asanteni kwa kazi yenu nzuri hongereni sana.
Nitauimba wimbo huu siku zote ningali hai.Hongereni
Nyimbo nzuri sana God bless you
Hongera sana Shimanyi kwa wmbo mzuri na waimbaji mmeutendea haki,congratulation to yu CGen pro🙏
Barikiwa sana
Congratulations. God bless bless you . Much love from Nairobi
Imenibariki sana❤ by costancia mitti
Wimbo wamuzuli saana
Hongera sana CGen na wanakwaya wa Mt. Karoli Lwanga na mtunzi wa wimbo Kaka Shimanyi 🎼🎶🎵📷👏👏👏🤝🙏✅
Amina tubarikiwe sote
Wimbo mzur Sana tena Sana ila mfup
Feeling blessed through your song 🙏🙏 am speechless 👏👏
Mungu awabatiki Sana wanakwaya
😊😊😊 natamani wimbo huu lakini hata nikiupata kwaya yangu hawawezi kuimba hivo ningeweza kuimba kama naweza kupata mwalimu wa kufundisha hisia Toka hapo
Asante kwa nyimbo nzuri🙏🙏🙏🙏
Am in love with all C- gen pro songs the choirs and the artists of the songs keep up the good work and may the good Lord continue blessing you as you evangelise the word through songs
Kweli huo wimbo ni wa kumpa mtu moyo
My 2024 Song Thanks Shimayi
Kazi iliyotukuka
Hongereni sana, hakika wimbo mzuri sana Mungu awabariki sana
Amina sana
Mko vzr Sana mungu awaongoze katika Iman yenu
Mungu ni mwema
keep it up boss Shimanyi. We are growing
Amen
Hongereni 👏👏👏...nice song ❤
Wimbo mzuri Sana🙌🙌🙌 @ shimanyi fm
Asante sana kaka
Hongereni sana Wana haneti Kwa wimbo mzuri... Mungu atukuzwe daima
Hongereni sana kwaya! Wimbo mzuri, sauti nzuri, ujumbe mzuri, melody nzuri sana!
Shimanyi, big up bro!
Thank you brother
All singers God loves them 🙏🙏
Waoooh wimbo mzuriiii sanaa hongera sana brother shimanyi na wanakwaya pia... Kazi Yako ni nzuri mbinguni malaika wanakufurahia naamini👏 Mungu aendelee kukutunza uendelee kumtungia nyimbo nyingi watu waziimbe wakimsifu Mungu✌️🙏🙏
Amina kubwaaa
Asante🙏 wana wa Mungu nimewapenda bure hakika Moyo wake haujawahi choka kwetu sisi watoto wake pale tumuombapo
Barikiwa
Hongereni
Amina
Barikiwa
Ni baraka ❤❤❤❤
Hongereni👏
Congratulations Shimanyi
Amazing song 🎵♥
Kazi safi
Asante kaka
makin sana
Amina!
Mambo vp
Duh hongereni sanawanangu, hata siamini, Mungu ni mwema
Amini kuanzia sasa
Hongereni kwa uinjilishaji
Amina
Utunzi wake Shimanyi mkono wake fausto kazi
Kabisa kabisa
So touching... thanks...naweza bata SKIZA TUNE... KINDLY
God is great
Very powerful message... Excellent work....
Thank you
I SOOOOO BLESSED
Fantastic 👏👏👏
Woooow kiongoooos bwanza shimanyi kazi saaafi
Amina barikiwa sana
Nice🎉🎉
Hongereni sana
Barikiwa
Nice song indeed
Hongereni wimbo mzuri umenitia nguvu yakuendelea kumuamini Mungu kwakila jambo
Amina
Nice job
Ukweli mtupu
🔥🔥🔥🔥
A composer of my time.
Be blessed Judy
Kazi iliyotukuka hongereni sana pongezi za pekee kwa mtunzi wetu Shimanyi kazi Bora sana hii
Barikiwa sana
Waooh yaani gift iko Tanzania ni unique mbarikiwe saana
Amen barikiwa nawe
Kweli kabisa ni Mungu asiyechoka ndo maana naendelea kumtumainia,Hongereni sana kazi nzurii sanaa
Amina
Nice song 6.
Thank you
Thank you the blessed song, am proud of it 🙏🙏💗
Stay blessed
Hongera sana Mwl. Shimanyi. Utunzi mzuri sana ubarikiwe
Amina sana
Wimbo mzuri 🔥🔥🔥
Barikiwa
Sooo encouraging... I'm so Blessed 🙏🙏🙏
Kale kasetting nywiu nywiu huwa kanapatikana kwenye nyimbo zinazotaja moyo!!!😀😀😀
Ha ha ha umeanza sasa
Wimbo mzuri wa mafunzo ni Mungu hutubariki
Amina sana
Kazi nzuri🔥
Ewaaaa asante sana mtunzi waimbaji na wote mlihusika kwenye hii kazi nzuri na bora Mungu awabariki
Barikiwa sana kaka
Dopeeeeeee
Congratulation wanakwaya wa haneti hakika mungu yupo nanyi🔥🔥🙏🙏💯
Amen
Hongera Sana Cgen kwa kazi nzuri na yenye kutafakarisha Tunabarikiwa Sana . Mwenyezi Mungu azidi kukuinua zaidi
Aminaaaa
Hujawahi kukosea mkuu Shimanyi kwenye hizi kaziii
Aminaa
Hongereni sana kazi nzuri sana mbarikiwe
Amina
Hongereni kwa wiimbaji mzuri,🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
❤❤❤❤❤
❤❤❤
Mtunzi alifanya kazi yake vema na waimbaji wakafanya kazi yao vema pia, nice song, nice content and everything, barikiwe nyote kwa uinjilishaji.
Barikiwa kaka
Ni Mungu tu asiyechoka🙏🙏🙏🙏
Hakika
CGen Hongera sana... Mnafanya Kazi safi sana na production ni ya Hali ya juu sana... Bwana Fortune Shimanyi pia zidi kuinuliwa na kupanuliwa mipaka uweze kuijilisha zaidi na zaidi. Na uje Kenya pia ueneze hiyo zawadi Yako ya utunzi wa Nyimbo zilizo tama kama asali. Kwaya yenyewe pia imefanya vyema sana. Hongera🙏
Asante sana kaka, zidi kubarikiwa
Kazi tamu🌹
Kazi safii🔥Bwana Shimanyi
Amina
Kazi safi director shimanyi💯💥
Amen
Beautiful
Thank you
I'm blessed. Thank you for this masterpiece 💜
Be blessed
@@cgenpro175muvi