Hongera Sana mweshmiwa Rais na Mwenyekiti wetu wa chama Cha mapinduzi Taifa kwa kazi nzuri sana unastahili pongezi Rais wetu na kazi iendelee kidumu chama Cha mapinduzi
Hivi wa 🇹🇿 mtabadilika lini mkokumpongeza rais kwa kwa lak5 badala ya kumtolea vilio huduma , mahitaji ,chakula na bidhaaa ashushe bei mpo tu kupiga makofi fanyeni mabadiliko wa🇹🇿 amkeni kumekucha washa tuchezea sana hii nchi nitajiri sana ila wanao faidika niwachache wasio na uzalendo ..... ✌️✌️✌️📢📢📢
Wabongo bana… yaani akili zao wanazijua wenyewe… chaguzi zimekaribia na tutaona mengi! Mtagaiwa mchele, elfu kumi kumi, mtatembelewa masokoni na maHospitalini BORA TU muwapigie kura!!! AMKENI KUTOKA KWENYE USINGIZI😮
kabisa mm ndio namshangaa mbona asisaidie familia ya warda mtoto alipotea miezi na yuko kimya na mwalim yuko huru kwa nini samia ungekua mjukuu wako alipotea ivi ungenyamaza fatilia Sakata la bint apatikane mana yule mwalim akikamatwa na kufinywa mahali atasema mtoto aliko
Mungu akulinde na wenye nia mbaya nawewe wasio litaki taifa letu amani mama kwakweli umeupiga mwingi naoba iendelee ivyo hivyo kuwajali wanyonge👏👏👏🇹🇿🇹🇿🙏🏾🙏🏾
Ee hee! ndo hivyo maisha tunavyo ishi kwa hili na mimi nimeipenda maana ukiwa hivyo ni lazima ujue hali ilioko katika watu! Hiyo" na mimi mama" nipo nawe? pia
Like Father like daughter ❤ love you from Kigali 🇷🇼 your excellence Dr samia . Your work is really appreciated as what our brother HE kagame keep doing for rwandaise. Keep it up hereos ❤❤❤❤
Hii nimeipenda mama ukiendelea hivi itakufanya kujua maisha ya watu wako wasio na mshahara Kwa mwezi kula ya kwangu chukua nawengine 100 walio nyuma yangu lazima nikupe 2025 na zaidi Mungu akulinde na madui uwe mshindi Kila eneo la maisha Yako
Wakati wa kudanganywa watanganyika, watanunua nyanya, na watanunua dagaa, kila kitu, mara wanapiga magoti,mara wanalia ili miradi muwachague serikali za mitaa 2024, na 2025.
Imependeza sana kuona Rais anacheka na kutabasamu na watu wake. Nivizuri viongozi wote kuiga. Karibu na kyerwa mbona kyerwa hatupati ziara kama hizi, au wawakirishi wetu, kyerwa tunataka kukushukuru Kwa bei ya kahawa
mm uyu samia mbona yuafanya shughuli nyengine badala ya kuingilia Sakata la warda mtoto alipotea kwa njia ya tatanishi yeye yuko kimya kama hasikii wala ajui wazazi waumia uyu mwanamke cjui yukoje
Mama mawazo yangu baada ya kutembelea sokoni na baazi wafanya biashara kuwapa au kuwaangezea mitaji jambo zuru sanaa Mungu akuweke lakini ungefanya wafanya biashara wadogo wadogo ungetuondoshia kodi ndogo ndogo.wangefurahi sanaaa huo ndo ushauri wangu kuwapa mtaji si solution.
Nimekupenda hadi nimesisimkwq na mwili kwa roho nzuri ulionayo mama Mungu akutunze Mungu akubariki Mungu akupe maisha marefu Mungu akukumbuke usiku na mchana katika uongozi wako Mungu aufanye uongozi wako kama uongozi wa suleimani akivyopewa hekima na maarifa.
Saiz nineanza kuelewa kumbe mama yetu anawapenda watoto wake ukiwa mtukutu anakuchapa mama tunakupenda pamoja na yule kaka yetu makonda nakupenda Tanzania kwa moyo wangu wote
Huyu ni mnafki tuu,mwenzie hakuwa mtu wa kutafuta kiki kipindi uchaguzi unakaribia Kwa sisi tulio soma katiba huwa tunasema "SAMAKI MTUNGONI" Kwa wale wa kyuba watanielewa
Yan mama hao wakina mama ulioahidi kuwasaidia Kama ni pesa ungewagea hapo hapo otherwise hao unaowakabizi hayo majukumu wallahi mama zetu watapigwa na kitu kizito😂😂😂😂😂
Bora kupita na huku mitaani kujua hali na maisha kwa ujumla ya wananchi ili pindi mnapo pandisha vitu bei na kuwafukuza watu kwenye biashara zetu sisi wananchi za kujipatia vijisenti ndiyo muone sasa mtafanyaje lenu huko viongozi wetu.na tunawapenda sana. Tena sana
Muheshimiwa Rais umefanya vizuri ulivyoshuka mwenyewe sokoni kuwaona wanawake wanavofanya biashara zao lakini pia uwelewe bei za bidhaa wanazopanga wananchi ikiwezekana wapunguze bei katika viungo vya mchuzi na mboga mboga ili wenye kipato cha chini waweze kumudu mlo wa mara moja.Kazi iendelee.
Samia mama angalia kitakacho wanufaisha watu wa hali ya chin kwa ujumla mfan shusha bei ya chakula imarisha taasisi ya mikopo na vipaumbele vyake kwasabab weng tunashida hauwez tueneza mama❤
Mama fanya hivi hivi mioyo yetu inafulahi kuona mama unatujali namna hii jitume kama jpm mama angu nakupenda nakuombea uwemama mzuri zaidi kwetu sote watanzania
Siku moja tu mtanzania unaridhika. Ndo maana mnaandamana bei zishuke. Hii danganya ya leo tu mwaka mzima uraisi Vipi? Bado Tuko mbali sana.Tunahitaji mfumo utakaompa kila Mtanzania unafuu wa maisha. Tuache kuridhika kwa kuhongwa kwa siku moja tu.
Sasa ndgu zangu kwa kweli hata nami au mtu yeyote nikipewa laki tano leo nitafuarahi sana na nitashangilia. Ila tujiulize, je kwa mtu mkuu wa nchi kufanya hivyo, ndo itakuwa suluhu ya kudumu ya uchumi hoi bin taabani wa nchi yetu? Na kwa nafasi yake kama rais, hao ni walala hoi kiduchu tu wa Tabora, je wa mikoa mingine? Nao wangestahili au wanasubiri wapewe hizo laki tano, tatu. Je mhe. ataweza kugawa kwa walala hoi nchi nzima? Vinginevyo raisi asishangae kuamsha kilio cha walalahoi wa mikoa mingine wakiomba awatembelee na wapate mtaji! Naam, pamoja na yote hayo, moyo wa kutoa ni ibada. Tafakari.
Sawa ametoa mtaji je iyo ela itatosha kulipia fremu na kuchukulia bidhaa za kuuza maana ukisema ufanye biashara ya kutembeza machinga ndo ivo wanawakamata na kuwabebea bidhaa ukienda kufuatilia unaambia toa faini je iyo ela utatoa wap uk umekopa au umechukua bidhaa mali kauli ukiuza nd ulipe ubaki na faida 😢😢
Mama kaahidi kuwaongezea mtaji baadhi ya wafanyabiashara hofu yangu tu kwa hao waliokabidhiwa jukumu la kuwafikiahia....isiishie tu hapo mkamtia doa Rais. Muwafikishie kama Rais alivyoahidi kuwapa
Mama hapo kama nimeanza kukuelewa hata mtangulizi wako alikuwa akishuka chini kwa wanyonge kama hao.Kuna lugha huwa naichukia mama pale ninaposkia jiajirini yaani najiajiri vipi ikiwa sina mtaji?Ila Leo nimekuelewa pia nimekunyooshea mikono mungu akubariki kazi iendelee
Tunataka rais kama huyu jamani hongera sana mamalao❤
Ndyo nimependa Sana raisi kujishusha kuongea na wana nchi safikabisaaaa
Mama ni mtu poa sana, shida ipo kwa watendaji tu. Ila mama anatosha kwenye nafasi yake
Mama hongera sana. Mungu akulinde umetugusa wengi
Asante Mama! Mwenyezi Mungu akutie nguvu. Huu ndio ukweli wa kuyajua maisha ya walalahoi. Hongera mh Rais
Hongera Sana mweshmiwa Rais na Mwenyekiti wetu wa chama Cha mapinduzi Taifa kwa kazi nzuri sana unastahili pongezi Rais wetu na kazi iendelee kidumu chama Cha mapinduzi
Mungu akulinde Rais wangu ili tuwe na amani tanzania, mungu akulinde na hao wakimbia ulaya
Mama Samia, Rais wetu, Mungu akupe hekima zaidi. Nimefurahi kukuona ukitafiti maisha ya watanzania wa hali ya chini. Nakuombea afya njema.
Hongera Rais leo umenikosha! Hivi ndiyo vitu watanzania tunataka siyo katiba
😮😮😮😮😮
😮😮😮😮😮
Rais wetu mungu akupe maisha marefu nakupenda sana
Hakika Mama ni kipenzi cha wengi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu
Mama safi sana Mungu akuepushe na Kila Shari tunakuombe Mungu akufikishe mama mwenzetu kazi iendelee
HAPO MAMA NDO UJIULIZE HIZO PESA WATU WAKO WANASEMA WAMEWAPA WAKINA MAMA MBONA WANALIA NA MITAJI HIZO PESA ZIMEENDA WAPI
Rais wangu kazi nzuri sana pita na mkoa mingine 👍👍👍🙏🙏
Hivi wa 🇹🇿 mtabadilika lini mkokumpongeza rais kwa kwa lak5 badala ya kumtolea vilio huduma , mahitaji ,chakula na bidhaaa ashushe bei mpo tu kupiga makofi fanyeni mabadiliko wa🇹🇿 amkeni kumekucha washa tuchezea sana hii nchi nitajiri sana ila wanao faidika niwachache wasio na uzalendo ..... ✌️✌️✌️📢📢📢
Mama usisahau kutupatia katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndio mambo yote
Wabongo bana… yaani akili zao wanazijua wenyewe… chaguzi zimekaribia na tutaona mengi! Mtagaiwa mchele, elfu kumi kumi, mtatembelewa masokoni na maHospitalini BORA TU muwapigie kura!!! AMKENI KUTOKA KWENYE USINGIZI😮
Jameni tazania mpo vizuri 👏👏👏👏 rais Ako sawa mama Samia am frome 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Anachea Kodi za wanaichi
Kama kweli mama umeamua kusaidia walaia wako msaidie na mama Warda apate mtoto wake tafadhali
Hapo tu ndo atakuwa katupata wamama wengi ila haya maigizo mengine 😢
@@marthagabriel3417magu ndo alifanya maigizo ya kutosha.Acha unafiki
nilitaka kuliongea hili ila umenisaidia natamani kama ao kina mama wangeli mwambia rais samia kuhusu warda
kabisa mm ndio namshangaa mbona asisaidie familia ya warda mtoto alipotea miezi na yuko kimya na mwalim yuko huru kwa nini samia ungekua mjukuu wako alipotea ivi ungenyamaza fatilia Sakata la bint apatikane mana yule mwalim akikamatwa na kufinywa mahali atasema mtoto aliko
Hakika mama Umeupiga mwingi, hongera Sana
Nampendaga sana rais wang walai ningekuwa na wezo ningemtembelea hata siku moja
Mama mtanii.... Hapo ndo ataelewa maisha ya mwananchi wa kawaida👍 Diamond Platnumz amesha sema... Mama for Life 👏👏👏👏👏🇹🇿
Hongera mama unafanya kazi mzur
Hapo wenyeroho mbaya inawauma kazi iendelee MUNGU amlinde ampe afya rais wetu
Safi Sana muheshimiwa Rais Samia pamoja sana mama.hakika Mama unaupiga mwingi mno 🤝
Mungu akulinde na wenye nia mbaya nawewe wasio litaki taifa letu amani mama kwakweli umeupiga mwingi naoba iendelee ivyo hivyo kuwajali wanyonge👏👏👏🇹🇿🇹🇿🙏🏾🙏🏾
Mama kwa hili ume tukumbusha mzee wetu safi sana 🇹🇿🇹🇿❤
Ee hee! ndo hivyo maisha tunavyo ishi kwa hili na mimi nimeipenda maana ukiwa hivyo ni lazima ujue hali ilioko katika watu! Hiyo" na mimi mama" nipo nawe? pia
Mama honger sana unapambana mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Mama yuko vizuri sana,ila akina Mwigulu Mchemba ndo wanamchonganisha na Wananchi kwa kauli zao za kifedhuli.
mungu akupe afya njema,barka ,aman ,subra na alinde mamlaka yako inshaallah safi na badooo uko vzr mama yetu
Safi saaana mama.. huko kutakusaidia kujua maisha halisi ya wananchi wako hasa wakawaida
Like Father like daughter ❤ love you from Kigali 🇷🇼 your excellence Dr samia . Your work is really appreciated as what our brother HE kagame keep doing for rwandaise. Keep it up hereos ❤❤❤❤
Watz tunahitaji katiba mpya. Hayo aliyoyafanya Mh Rais. Yatakuwa maradufu ya hayo. Tusiache Mbachao kwa msala upitao.
Maa shaa allah❤❤❤
Hii nimeipenda mama ukiendelea hivi itakufanya kujua maisha ya watu wako wasio na mshahara Kwa mwezi kula ya kwangu chukua nawengine 100 walio nyuma yangu lazima nikupe 2025 na zaidi Mungu akulinde na madui uwe mshindi Kila eneo la maisha Yako
Wakati wa kudanganywa watanganyika, watanunua nyanya, na watanunua dagaa, kila kitu, mara wanapiga magoti,mara wanalia ili miradi muwachague serikali za mitaa 2024, na 2025.
Asante kwa uelewa maana sisi watanzania tunajua kujisahau kwa maigizo tu .Sijui tumerogwa na nani ?
Weeeee mama kajipanga,hataki mchezo😂😂😂😂😂
Masha Allah. Hii ndio maana halisi ya kiongozi, kujua bei za bidhaa na maisha halisi ya wananchi wa kipato cha chini.
Imependeza sana kuona Rais anacheka na kutabasamu na watu wake. Nivizuri viongozi wote kuiga. Karibu na kyerwa mbona kyerwa hatupati ziara kama hizi, au wawakirishi wetu, kyerwa tunataka kukushukuru Kwa bei ya kahawa
Hayo mapichapicha tu uhalisia wa tukio lililo tengenezwa mnasifia wamepiga deki na kuwapanga wadanganye wasio juwa sanaa za namna hiyo!
mm uyu samia mbona yuafanya shughuli nyengine badala ya kuingilia Sakata la warda mtoto alipotea kwa njia ya tatanishi yeye yuko kimya kama hasikii wala ajui wazazi waumia uyu mwanamke cjui yukoje
Uyu nd raisi inavyo paswa awe aje kuangalia changamoto za mitaani🎉🎉❤
Mama mawazo yangu baada ya kutembelea sokoni na baazi wafanya biashara kuwapa au kuwaangezea mitaji jambo zuru sanaa Mungu akuweke lakini ungefanya wafanya biashara wadogo wadogo ungetuondoshia kodi ndogo ndogo.wangefurahi sanaaa huo ndo ushauri wangu kuwapa mtaji si solution.
Mama Sasa hii ndio kazi, pita mitaani uone maisha halisi
Hii mama imekaa sawa kabisa ,Mungu akubariki sana ukipita mtaani ukawaona wananchi wachini Mungu akupe afya njema
Nimekupenda hadi nimesisimkwq na mwili kwa roho nzuri ulionayo mama Mungu akutunze Mungu akubariki Mungu akupe maisha marefu Mungu akukumbuke usiku na mchana katika uongozi wako Mungu aufanye uongozi wako kama uongozi wa suleimani akivyopewa hekima na maarifa.
Saiz nineanza kuelewa kumbe mama yetu anawapenda watoto wake ukiwa mtukutu anakuchapa mama tunakupenda pamoja na yule kaka yetu makonda nakupenda Tanzania kwa moyo wangu wote
SAFI SANA MAMA SAMIA RAIS WETU UMEJUA KUWAFURAHISHA WANANCHI WAKO NA UMEFANYA KITU CHA TOFAUTI SANA MUNGU AKUBARIKI
Hongera sana mama etu mpendwa RAIS SAMIA ❤❤❤❤
Hongera ,Mh. Raisi Samia, , Uje na Chekereni ya Mabogini hali ya soko na Barabara ni mbaya ,.
Mam m2 anaekuchukia ww hana akili kbsa mam unatuinua sna vijan saiv
Mama ni safi sana...ila waliomzunguka anaowaamini ndo kimbembe
Huyu ni mnafki tuu,mwenzie hakuwa mtu wa kutafuta kiki kipindi uchaguzi unakaribia
Kwa sisi tulio soma katiba huwa tunasema
"SAMAKI MTUNGONI"
Kwa wale wa kyuba watanielewa
LEO MAMA SAMIA UMEUKONGA MOYO WANGU. KEEP IT UP MOM!
kind leaders ,,,kind people i love tanzania viva tanzania
Yan mama hao wakina mama ulioahidi kuwasaidia Kama ni pesa ungewagea hapo hapo otherwise hao unaowakabizi hayo majukumu wallahi mama zetu watapigwa na kitu kizito😂😂😂😂😂
Uchaguzi umekaribia, Wengi sana wataanza kujifanya watukufu.. Kumbe ni mashetani walewale..
Asante sana ila wanadhani ndio uhalisia ulivyo kumbe tunatapeliwa kuwapa ulaji nchi ya kudanganywa tunazipenda sana
Yupo hivyo kitambo ubaya hamjawahi kuuona waliotangulia kutoka kusokojulikanA
Mama ubarikiwe Raisi wetu Mungu atakujaria na kurinde Sana nakupeenda
Hua nampenda Mh.Bashe Sana kwa Kujieleza
Niwapi uko mama amefanya vizuri hivyo kumbe nitabora Mungu akubariki mama
Yaani suala la bandari limekutafuna vibaya mno hata ugawe hela huelewekiii
Ndo ajue maisha ya raia ilivyo ngumu "10000 unabajet mpaka kichwa kinauma
Hadi nimeyasahau mabaya yake yote jamaaani ❣️🥰🧚💃😍
Tuzidi kumuombea dua MUNGU ampe afya na amlinde na kila baya
Daaaa kweli ukituja na mtu mwenye hela Kila mtu anaomba hela jaman 😢
Bora kupita na huku mitaani kujua hali na maisha kwa ujumla ya wananchi ili pindi mnapo pandisha vitu bei na kuwafukuza watu kwenye biashara zetu sisi wananchi za kujipatia vijisenti ndiyo muone sasa mtafanyaje lenu huko viongozi wetu.na tunawapenda sana. Tena sana
Barikiwe mama kwa kazi nzuri ,but free mbarikiwa
Mapigo ya magu hayo
Usiongee saana wata kuona😅😅😅
Sijampenda mama muuza nyanya sijui hajiamin ata haja shukuru vizuri😂 mie ninge ruka ruka mpaka nikavunja genge
Anajitambua bandari
Hahahaaa
Mama mama mama mama nakupenda mama yangu
Safi sana mh rais umefanya jambo jema hakika mungu akulinde uendlee kutuongoza mama hakuna kama mama
Da mwenyezi Mungu akuzidishie mama yetu
Mama anaongea vizuri mpaka raha!
Safi Mama, umeanza vizuri. Pita alimopita mtangulizi wako. That is real politics ambayo wabongo wanapenda kuona
Moyo huu ulioonyesha Mheshimiwa Raisi ni Jema sana na Mungu Akubariki sana.
Ahhaha afadhari uwe unazunguka mama uone maisha harisi ya watanzania
Point
Muheshimiwa Rais umefanya vizuri ulivyoshuka mwenyewe sokoni kuwaona wanawake wanavofanya biashara zao lakini pia uwelewe bei za bidhaa wanazopanga wananchi ikiwezekana wapunguze bei katika viungo vya mchuzi na mboga mboga ili wenye kipato cha chini waweze kumudu mlo wa mara moja.Kazi iendelee.
Twakupenda Mama❤❤ kenya 🇰🇪
Ubariki Sana mama
Mama Samia unapendeza zaidi ukitembelea wananchi wa hali ya chini pia unapata baraka na nuru usoni, kazi za ofisi waachie wengine.
Hongera sana mama kutembelea wanchi wako kuju jinsi maisha yalivyo magumu Mungu akubariki sana uwe na maisha marefu Raid oyeee
Khaaaa
Samia mama angalia kitakacho wanufaisha watu wa hali ya chin kwa ujumla mfan shusha bei ya chakula imarisha taasisi ya mikopo na vipaumbele vyake kwasabab weng tunashida hauwez tueneza mama❤
Mama fanya hivi hivi mioyo yetu inafulahi kuona mama unatujali namna hii jitume kama jpm mama angu nakupenda nakuombea uwemama mzuri zaidi kwetu sote watanzania
Siku moja tu mtanzania unaridhika. Ndo maana mnaandamana bei zishuke. Hii danganya ya leo tu mwaka mzima uraisi Vipi?
Bado Tuko mbali sana.Tunahitaji mfumo utakaompa kila Mtanzania unafuu wa maisha. Tuache kuridhika kwa kuhongwa kwa siku moja tu.
Sasa ndgu zangu kwa kweli hata nami au mtu yeyote nikipewa laki tano leo nitafuarahi sana na nitashangilia. Ila tujiulize, je kwa mtu mkuu wa nchi kufanya hivyo, ndo itakuwa suluhu ya kudumu ya uchumi hoi bin taabani wa nchi yetu? Na kwa nafasi yake kama rais, hao ni walala hoi kiduchu tu wa Tabora, je wa mikoa mingine? Nao wangestahili au wanasubiri wapewe hizo laki tano, tatu. Je mhe. ataweza kugawa kwa walala hoi nchi nzima? Vinginevyo raisi asishangae kuamsha kilio cha walalahoi wa mikoa mingine wakiomba awatembelee na wapate mtaji! Naam, pamoja na yote hayo, moyo wa kutoa ni ibada. Tafakari.
HIYO NI TAFITI YA KIUCHUMI AS PRESIDENT..MAMA YUPO VIZURI
Anachokifanya ni kujua uhalisia wa MAISHA yalivyo kwa sasa hivyo yupo sahihi!!kama samaki wa elfu Moja kamshangaa ndo ajue wananchi tunaishi vipi
We ulitakaje?
Sawa ametoa mtaji je iyo ela itatosha kulipia fremu na kuchukulia bidhaa za kuuza maana ukisema ufanye biashara ya kutembeza machinga ndo ivo wanawakamata na kuwabebea bidhaa ukienda kufuatilia unaambia toa faini je iyo ela utatoa wap uk umekopa au umechukua bidhaa mali kauli ukiuza nd ulipe ubaki na faida 😢😢
Sijui wewe ulitakaje? Yaani hana jema uyo mama anachofanya basi tu mukosoe.
😂😂mama kafika gengeni mwenyewe yan akina mama kwa mapishi bn hahah
Thanks for the humility ❤
Umeona ee hali ilivyo ndumu mama kiukweli tunateseka kimaisha kama kuna kaujuzi kakuingiza pesa kwenye msunguko itafaa sana
maama Huyoooo🎉🎉🎉❤
ndo ujue maisha magumu Kwa watu wa har ya chin
MashaAllah,ukitoka ndio utajua hali ya maisha
Mama kaahidi kuwaongezea mtaji baadhi ya wafanyabiashara hofu yangu tu kwa hao waliokabidhiwa jukumu la kuwafikiahia....isiishie tu hapo mkamtia doa Rais. Muwafikishie kama Rais alivyoahidi kuwapa
Mungu akupe maisha marefu mama
Mama yetu kipenz na Mimi naomba msaada wa mtaji
Mama hao watendaji hawarudigi na wakirudi Kama ulimpa kumi ataleta 3 ndio wanaokuharibia
Mama Samia naomba unisaidie chuo kinaelekea kugoma kwa kukosa mkopo jamani
Mnataka tuandika ili tukamatwe au🤔🤔🤔🤔
Siyo kila kitu anachofanya bi mdashi basi nipinge,, hapa hongera mama
Mm nimfunga Leo! Nimeipenda hii
Maaaaama mama mama uwezo wakukulipa sina mama mungu akupe🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hongera mno Mheshiniwa RAIS
Waoo mama kwakweri karibu na huku kwetu 😊
Safi kabisa Mama
Mama hapo kama nimeanza kukuelewa hata mtangulizi wako alikuwa akishuka chini kwa wanyonge kama hao.Kuna lugha huwa naichukia mama pale ninaposkia jiajirini yaani najiajiri vipi ikiwa sina mtaji?Ila Leo nimekuelewa pia nimekunyooshea mikono mungu akubariki kazi iendelee