RAIS SAMIA ALIVYOINGIA GENGENI, ANUNUA NYANYA ZOTE, AGAWA MITAJI KWA WAJASIRIAMALI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 482

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 Před 9 měsíci +24

    Tunataka rais kama huyu jamani hongera sana mamalao❤

    • @txsoundsrecord3663
      @txsoundsrecord3663 Před 9 měsíci +3

      Ndyo nimependa Sana raisi kujishusha kuongea na wana nchi safikabisaaaa

  • @ismailhaji6471
    @ismailhaji6471 Před 9 měsíci +21

    Mama ni mtu poa sana, shida ipo kwa watendaji tu. Ila mama anatosha kwenye nafasi yake

  • @danielmwakihemba5905
    @danielmwakihemba5905 Před 9 měsíci +14

    Mama hongera sana. Mungu akulinde umetugusa wengi

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 Před 9 měsíci +8

    Asante Mama! Mwenyezi Mungu akutie nguvu. Huu ndio ukweli wa kuyajua maisha ya walalahoi. Hongera mh Rais

  • @NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu
    @NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu Před 7 měsíci +2

    Hongera Sana mweshmiwa Rais na Mwenyekiti wetu wa chama Cha mapinduzi Taifa kwa kazi nzuri sana unastahili pongezi Rais wetu na kazi iendelee kidumu chama Cha mapinduzi

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Před 9 měsíci +7

    Mungu akulinde Rais wangu ili tuwe na amani tanzania, mungu akulinde na hao wakimbia ulaya

  • @eliasaphmattayo4857
    @eliasaphmattayo4857 Před 9 měsíci +9

    Mama Samia, Rais wetu, Mungu akupe hekima zaidi. Nimefurahi kukuona ukitafiti maisha ya watanzania wa hali ya chini. Nakuombea afya njema.

  • @augustinembaikeya3095
    @augustinembaikeya3095 Před 9 měsíci +17

    Hongera Rais leo umenikosha! Hivi ndiyo vitu watanzania tunataka siyo katiba

  • @emmyanold9306
    @emmyanold9306 Před 9 měsíci +4

    Rais wetu mungu akupe maisha marefu nakupenda sana

  • @madammagdarlynmuthembi729
    @madammagdarlynmuthembi729 Před 5 měsíci +2

    Hakika Mama ni kipenzi cha wengi Mungu akujalie afya njema na maisha marefu

  • @naishiyemollel
    @naishiyemollel Před 6 měsíci +3

    Mama safi sana Mungu akuepushe na Kila Shari tunakuombe Mungu akufikishe mama mwenzetu kazi iendelee

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 9 měsíci +7

    HAPO MAMA NDO UJIULIZE HIZO PESA WATU WAKO WANASEMA WAMEWAPA WAKINA MAMA MBONA WANALIA NA MITAJI HIZO PESA ZIMEENDA WAPI

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 9 měsíci +2

    Rais wangu kazi nzuri sana pita na mkoa mingine 👍👍👍🙏🙏

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda Před 9 měsíci +2

    Hivi wa 🇹🇿 mtabadilika lini mkokumpongeza rais kwa kwa lak5 badala ya kumtolea vilio huduma , mahitaji ,chakula na bidhaaa ashushe bei mpo tu kupiga makofi fanyeni mabadiliko wa🇹🇿 amkeni kumekucha washa tuchezea sana hii nchi nitajiri sana ila wanao faidika niwachache wasio na uzalendo ..... ✌️✌️✌️📢📢📢

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 9 měsíci +14

    Mama usisahau kutupatia katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndio mambo yote

    • @mwanache
      @mwanache Před 9 měsíci +2

      Wabongo bana… yaani akili zao wanazijua wenyewe… chaguzi zimekaribia na tutaona mengi! Mtagaiwa mchele, elfu kumi kumi, mtatembelewa masokoni na maHospitalini BORA TU muwapigie kura!!! AMKENI KUTOKA KWENYE USINGIZI😮

  • @marywayuwa5867
    @marywayuwa5867 Před 8 měsíci +3

    Jameni tazania mpo vizuri 👏👏👏👏 rais Ako sawa mama Samia am frome 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 Před 9 měsíci +15

    Kama kweli mama umeamua kusaidia walaia wako msaidie na mama Warda apate mtoto wake tafadhali

    • @marthagabriel3417
      @marthagabriel3417 Před 9 měsíci +1

      Hapo tu ndo atakuwa katupata wamama wengi ila haya maigizo mengine 😢

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před 9 měsíci

      ​@@marthagabriel3417magu ndo alifanya maigizo ya kutosha.Acha unafiki

    • @fakihbakari
      @fakihbakari Před 9 měsíci

      nilitaka kuliongea hili ila umenisaidia natamani kama ao kina mama wangeli mwambia rais samia kuhusu warda

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 Před 9 měsíci

      kabisa mm ndio namshangaa mbona asisaidie familia ya warda mtoto alipotea miezi na yuko kimya na mwalim yuko huru kwa nini samia ungekua mjukuu wako alipotea ivi ungenyamaza fatilia Sakata la bint apatikane mana yule mwalim akikamatwa na kufinywa mahali atasema mtoto aliko

  • @Patrick-rf6ro
    @Patrick-rf6ro Před 9 měsíci +6

    Hakika mama Umeupiga mwingi, hongera Sana

  • @HelsonRuchagula
    @HelsonRuchagula Před 4 měsíci +1

    Nampendaga sana rais wang walai ningekuwa na wezo ningemtembelea hata siku moja

  • @PaulNzima-pd8il
    @PaulNzima-pd8il Před 9 měsíci +3

    Mama mtanii.... Hapo ndo ataelewa maisha ya mwananchi wa kawaida👍 Diamond Platnumz amesha sema... Mama for Life 👏👏👏👏👏🇹🇿

  • @NoufalSalim-yb4ob
    @NoufalSalim-yb4ob Před 9 měsíci +8

    Hongera mama unafanya kazi mzur

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Před 9 měsíci +1

      Hapo wenyeroho mbaya inawauma kazi iendelee MUNGU amlinde ampe afya rais wetu

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Před 9 měsíci +9

    Safi Sana muheshimiwa Rais Samia pamoja sana mama.hakika Mama unaupiga mwingi mno 🤝

  • @edwinedward5352
    @edwinedward5352 Před 9 měsíci +2

    Mungu akulinde na wenye nia mbaya nawewe wasio litaki taifa letu amani mama kwakweli umeupiga mwingi naoba iendelee ivyo hivyo kuwajali wanyonge👏👏👏🇹🇿🇹🇿🙏🏾🙏🏾

  • @ghottaman2570
    @ghottaman2570 Před 9 měsíci +12

    Mama kwa hili ume tukumbusha mzee wetu safi sana 🇹🇿🇹🇿❤

  • @user-ci1st3qe7q
    @user-ci1st3qe7q Před 9 měsíci +6

    Ee hee! ndo hivyo maisha tunavyo ishi kwa hili na mimi nimeipenda maana ukiwa hivyo ni lazima ujue hali ilioko katika watu! Hiyo" na mimi mama" nipo nawe? pia

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi Před dnem

    Mama honger sana unapambana mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před 6 měsíci +1

    Mama yuko vizuri sana,ila akina Mwigulu Mchemba ndo wanamchonganisha na Wananchi kwa kauli zao za kifedhuli.

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 Před 9 měsíci +6

    mungu akupe afya njema,barka ,aman ,subra na alinde mamlaka yako inshaallah safi na badooo uko vzr mama yetu

  • @V24hrs
    @V24hrs Před 9 měsíci +8

    Safi saaana mama.. huko kutakusaidia kujua maisha halisi ya wananchi wako hasa wakawaida

  • @bigimbaruhaimable25
    @bigimbaruhaimable25 Před 6 měsíci

    Like Father like daughter ❤ love you from Kigali 🇷🇼 your excellence Dr samia . Your work is really appreciated as what our brother HE kagame keep doing for rwandaise. Keep it up hereos ❤❤❤❤

  • @khamiskulasha
    @khamiskulasha Před 9 měsíci +2

    Watz tunahitaji katiba mpya. Hayo aliyoyafanya Mh Rais. Yatakuwa maradufu ya hayo. Tusiache Mbachao kwa msala upitao.

  • @hawahawaynat-ps1tu
    @hawahawaynat-ps1tu Před 9 měsíci +7

    Maa shaa allah❤❤❤

  • @user-nt3xr1he8o
    @user-nt3xr1he8o Před 9 měsíci +1

    Hii nimeipenda mama ukiendelea hivi itakufanya kujua maisha ya watu wako wasio na mshahara Kwa mwezi kula ya kwangu chukua nawengine 100 walio nyuma yangu lazima nikupe 2025 na zaidi Mungu akulinde na madui uwe mshindi Kila eneo la maisha Yako

  • @josekapufi-ut8ku
    @josekapufi-ut8ku Před 9 měsíci +3

    Wakati wa kudanganywa watanganyika, watanunua nyanya, na watanunua dagaa, kila kitu, mara wanapiga magoti,mara wanalia ili miradi muwachague serikali za mitaa 2024, na 2025.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 9 měsíci

      Asante kwa uelewa maana sisi watanzania tunajua kujisahau kwa maigizo tu .Sijui tumerogwa na nani ?

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 9 měsíci +2

    Weeeee mama kajipanga,hataki mchezo😂😂😂😂😂

  • @rashidishabani9521
    @rashidishabani9521 Před 9 měsíci +3

    Masha Allah. Hii ndio maana halisi ya kiongozi, kujua bei za bidhaa na maisha halisi ya wananchi wa kipato cha chini.

  • @jovinsylivester3601
    @jovinsylivester3601 Před 12 dny

    Imependeza sana kuona Rais anacheka na kutabasamu na watu wake. Nivizuri viongozi wote kuiga. Karibu na kyerwa mbona kyerwa hatupati ziara kama hizi, au wawakirishi wetu, kyerwa tunataka kukushukuru Kwa bei ya kahawa

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před 9 měsíci +1

    Hayo mapichapicha tu uhalisia wa tukio lililo tengenezwa mnasifia wamepiga deki na kuwapanga wadanganye wasio juwa sanaa za namna hiyo!

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 Před 9 měsíci +1

    mm uyu samia mbona yuafanya shughuli nyengine badala ya kuingilia Sakata la warda mtoto alipotea kwa njia ya tatanishi yeye yuko kimya kama hasikii wala ajui wazazi waumia uyu mwanamke cjui yukoje

  • @jumaiddyyusuph
    @jumaiddyyusuph Před 9 měsíci +1

    Uyu nd raisi inavyo paswa awe aje kuangalia changamoto za mitaani🎉🎉❤

  • @rashidhamad3308
    @rashidhamad3308 Před 9 měsíci +1

    Mama mawazo yangu baada ya kutembelea sokoni na baazi wafanya biashara kuwapa au kuwaangezea mitaji jambo zuru sanaa Mungu akuweke lakini ungefanya wafanya biashara wadogo wadogo ungetuondoshia kodi ndogo ndogo.wangefurahi sanaaa huo ndo ushauri wangu kuwapa mtaji si solution.

  • @mako331
    @mako331 Před 9 měsíci +2

    Mama Sasa hii ndio kazi, pita mitaani uone maisha halisi

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 Před 9 měsíci

    Hii mama imekaa sawa kabisa ,Mungu akubariki sana ukipita mtaani ukawaona wananchi wachini Mungu akupe afya njema

  • @ernestjohnbosco2053
    @ernestjohnbosco2053 Před 8 měsíci

    Nimekupenda hadi nimesisimkwq na mwili kwa roho nzuri ulionayo mama Mungu akutunze Mungu akubariki Mungu akupe maisha marefu Mungu akukumbuke usiku na mchana katika uongozi wako Mungu aufanye uongozi wako kama uongozi wa suleimani akivyopewa hekima na maarifa.

  • @user-np6mv2qi7l
    @user-np6mv2qi7l Před 8 měsíci +1

    Saiz nineanza kuelewa kumbe mama yetu anawapenda watoto wake ukiwa mtukutu anakuchapa mama tunakupenda pamoja na yule kaka yetu makonda nakupenda Tanzania kwa moyo wangu wote

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 Před 9 měsíci +1

    SAFI SANA MAMA SAMIA RAIS WETU UMEJUA KUWAFURAHISHA WANANCHI WAKO NA UMEFANYA KITU CHA TOFAUTI SANA MUNGU AKUBARIKI

  • @user-fm4hg6us7z
    @user-fm4hg6us7z Před 9 měsíci +1

    Hongera sana mama etu mpendwa RAIS SAMIA ❤❤❤❤

  • @nestorypantaleo
    @nestorypantaleo Před 9 měsíci

    Hongera ,Mh. Raisi Samia, , Uje na Chekereni ya Mabogini hali ya soko na Barabara ni mbaya ,.

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr Před 9 měsíci +2

    Mam m2 anaekuchukia ww hana akili kbsa mam unatuinua sna vijan saiv

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Před 9 měsíci +1

    Huyu ni mnafki tuu,mwenzie hakuwa mtu wa kutafuta kiki kipindi uchaguzi unakaribia
    Kwa sisi tulio soma katiba huwa tunasema
    "SAMAKI MTUNGONI"
    Kwa wale wa kyuba watanielewa

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Před 9 měsíci +1

    LEO MAMA SAMIA UMEUKONGA MOYO WANGU. KEEP IT UP MOM!

  • @BarackIsmailJoseph-zy6ep
    @BarackIsmailJoseph-zy6ep Před 9 měsíci +1

    kind leaders ,,,kind people i love tanzania viva tanzania

  • @wazirijunior3343
    @wazirijunior3343 Před 8 měsíci +1

    Yan mama hao wakina mama ulioahidi kuwasaidia Kama ni pesa ungewagea hapo hapo otherwise hao unaowakabizi hayo majukumu wallahi mama zetu watapigwa na kitu kizito😂😂😂😂😂

  • @NoelMalecela
    @NoelMalecela Před 9 měsíci +3

    Uchaguzi umekaribia, Wengi sana wataanza kujifanya watukufu.. Kumbe ni mashetani walewale..

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 9 měsíci

      Asante sana ila wanadhani ndio uhalisia ulivyo kumbe tunatapeliwa kuwapa ulaji nchi ya kudanganywa tunazipenda sana

    • @MariamAlly-hk7io
      @MariamAlly-hk7io Před 2 měsíci

      Yupo hivyo kitambo ubaya hamjawahi kuuona waliotangulia kutoka kusokojulikanA

  • @user-py6xu6hm9h
    @user-py6xu6hm9h Před 9 měsíci

    Mama ubarikiwe Raisi wetu Mungu atakujaria na kurinde Sana nakupeenda

  • @moreenonesmo-jz2ws
    @moreenonesmo-jz2ws Před 8 měsíci

    Hua nampenda Mh.Bashe Sana kwa Kujieleza

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 Před 9 měsíci +1

    Niwapi uko mama amefanya vizuri hivyo kumbe nitabora Mungu akubariki mama

  • @judiththobias5132
    @judiththobias5132 Před 9 měsíci +1

    Yaani suala la bandari limekutafuna vibaya mno hata ugawe hela huelewekiii

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Před 9 měsíci +2

    Ndo ajue maisha ya raia ilivyo ngumu "10000 unabajet mpaka kichwa kinauma

  • @merlianynduva1142
    @merlianynduva1142 Před 9 měsíci +2

    Hadi nimeyasahau mabaya yake yote jamaaani ❣️🥰🧚💃😍

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Před 9 měsíci

      Tuzidi kumuombea dua MUNGU ampe afya na amlinde na kila baya

  • @Manswabu
    @Manswabu Před 9 měsíci +1

    Daaaa kweli ukituja na mtu mwenye hela Kila mtu anaomba hela jaman 😢

  • @Kilizon8
    @Kilizon8 Před 9 měsíci

    Bora kupita na huku mitaani kujua hali na maisha kwa ujumla ya wananchi ili pindi mnapo pandisha vitu bei na kuwafukuza watu kwenye biashara zetu sisi wananchi za kujipatia vijisenti ndiyo muone sasa mtafanyaje lenu huko viongozi wetu.na tunawapenda sana. Tena sana

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 9 měsíci

    Barikiwe mama kwa kazi nzuri ,but free mbarikiwa

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 9 měsíci +4

    Mapigo ya magu hayo

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 9 měsíci +2

    Sijampenda mama muuza nyanya sijui hajiamin ata haja shukuru vizuri😂 mie ninge ruka ruka mpaka nikavunja genge

  • @user-sh8xp5dn3w
    @user-sh8xp5dn3w Před 9 měsíci +2

    Mama mama mama mama nakupenda mama yangu

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 Před 9 měsíci

    Safi sana mh rais umefanya jambo jema hakika mungu akulinde uendlee kutuongoza mama hakuna kama mama

  • @miriamowenya1928
    @miriamowenya1928 Před 9 měsíci

    Da mwenyezi Mungu akuzidishie mama yetu

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 9 měsíci +1

    Mama anaongea vizuri mpaka raha!

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před 9 měsíci

    Safi Mama, umeanza vizuri. Pita alimopita mtangulizi wako. That is real politics ambayo wabongo wanapenda kuona

  • @twaliwamhagaha1217
    @twaliwamhagaha1217 Před 9 měsíci

    Moyo huu ulioonyesha Mheshimiwa Raisi ni Jema sana na Mungu Akubariki sana.

  • @godfreymkanje5667
    @godfreymkanje5667 Před 9 měsíci +2

    Ahhaha afadhari uwe unazunguka mama uone maisha harisi ya watanzania

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 Před 3 měsíci

    Muheshimiwa Rais umefanya vizuri ulivyoshuka mwenyewe sokoni kuwaona wanawake wanavofanya biashara zao lakini pia uwelewe bei za bidhaa wanazopanga wananchi ikiwezekana wapunguze bei katika viungo vya mchuzi na mboga mboga ili wenye kipato cha chini waweze kumudu mlo wa mara moja.Kazi iendelee.

  • @williamkaranja9529
    @williamkaranja9529 Před 8 měsíci +1

    Twakupenda Mama❤❤ kenya 🇰🇪

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před 9 měsíci +3

    Ubariki Sana mama

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 Před 9 měsíci

    Mama Samia unapendeza zaidi ukitembelea wananchi wa hali ya chini pia unapata baraka na nuru usoni, kazi za ofisi waachie wengine.

  • @JosephLamau-yq1lx
    @JosephLamau-yq1lx Před 9 měsíci +4

    Hongera sana mama kutembelea wanchi wako kuju jinsi maisha yalivyo magumu Mungu akubariki sana uwe na maisha marefu Raid oyeee

  • @joycesamwely7896
    @joycesamwely7896 Před 8 měsíci

    Samia mama angalia kitakacho wanufaisha watu wa hali ya chin kwa ujumla mfan shusha bei ya chakula imarisha taasisi ya mikopo na vipaumbele vyake kwasabab weng tunashida hauwez tueneza mama❤

  • @NeemaNyanda
    @NeemaNyanda Před 4 měsíci

    Mama fanya hivi hivi mioyo yetu inafulahi kuona mama unatujali namna hii jitume kama jpm mama angu nakupenda nakuombea uwemama mzuri zaidi kwetu sote watanzania

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 4 měsíci

    Siku moja tu mtanzania unaridhika. Ndo maana mnaandamana bei zishuke. Hii danganya ya leo tu mwaka mzima uraisi Vipi?
    Bado Tuko mbali sana.Tunahitaji mfumo utakaompa kila Mtanzania unafuu wa maisha. Tuache kuridhika kwa kuhongwa kwa siku moja tu.

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před 9 měsíci +18

    Sasa ndgu zangu kwa kweli hata nami au mtu yeyote nikipewa laki tano leo nitafuarahi sana na nitashangilia. Ila tujiulize, je kwa mtu mkuu wa nchi kufanya hivyo, ndo itakuwa suluhu ya kudumu ya uchumi hoi bin taabani wa nchi yetu? Na kwa nafasi yake kama rais, hao ni walala hoi kiduchu tu wa Tabora, je wa mikoa mingine? Nao wangestahili au wanasubiri wapewe hizo laki tano, tatu. Je mhe. ataweza kugawa kwa walala hoi nchi nzima? Vinginevyo raisi asishangae kuamsha kilio cha walalahoi wa mikoa mingine wakiomba awatembelee na wapate mtaji! Naam, pamoja na yote hayo, moyo wa kutoa ni ibada. Tafakari.

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Před 9 měsíci +2

      HIYO NI TAFITI YA KIUCHUMI AS PRESIDENT..MAMA YUPO VIZURI

    • @robertmanari5467
      @robertmanari5467 Před 9 měsíci +1

      Anachokifanya ni kujua uhalisia wa MAISHA yalivyo kwa sasa hivyo yupo sahihi!!kama samaki wa elfu Moja kamshangaa ndo ajue wananchi tunaishi vipi

    • @selemanimtepa-eh7rs
      @selemanimtepa-eh7rs Před 9 měsíci

      We ulitakaje?

    • @user-bo5qp9gz8m
      @user-bo5qp9gz8m Před 9 měsíci

      Sawa ametoa mtaji je iyo ela itatosha kulipia fremu na kuchukulia bidhaa za kuuza maana ukisema ufanye biashara ya kutembeza machinga ndo ivo wanawakamata na kuwabebea bidhaa ukienda kufuatilia unaambia toa faini je iyo ela utatoa wap uk umekopa au umechukua bidhaa mali kauli ukiuza nd ulipe ubaki na faida 😢😢

    • @hummymgaza6915
      @hummymgaza6915 Před 9 měsíci +1

      Sijui wewe ulitakaje? Yaani hana jema uyo mama anachofanya basi tu mukosoe.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 4 měsíci

    😂😂mama kafika gengeni mwenyewe yan akina mama kwa mapishi bn hahah

  • @ZEDTVSHOWRWANDA
    @ZEDTVSHOWRWANDA Před 8 měsíci

    Thanks for the humility ❤

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 9 měsíci +1

    Umeona ee hali ilivyo ndumu mama kiukweli tunateseka kimaisha kama kuna kaujuzi kakuingiza pesa kwenye msunguko itafaa sana

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Před 9 měsíci +3

    maama Huyoooo🎉🎉🎉❤

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 Před 9 měsíci +5

    ndo ujue maisha magumu Kwa watu wa har ya chin

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Před 9 měsíci

    MashaAllah,ukitoka ndio utajua hali ya maisha

  • @martindonald804
    @martindonald804 Před 9 měsíci

    Mama kaahidi kuwaongezea mtaji baadhi ya wafanyabiashara hofu yangu tu kwa hao waliokabidhiwa jukumu la kuwafikiahia....isiishie tu hapo mkamtia doa Rais. Muwafikishie kama Rais alivyoahidi kuwapa

  • @mulumederwasifa4801
    @mulumederwasifa4801 Před 8 měsíci

    Mungu akupe maisha marefu mama

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi Před dnem

    Mama yetu kipenz na Mimi naomba msaada wa mtaji

  • @zainabuselemanimsalama2703
    @zainabuselemanimsalama2703 Před 2 měsíci

    Mama hao watendaji hawarudigi na wakirudi Kama ulimpa kumi ataleta 3 ndio wanaokuharibia

  • @EdgarKakuru-vv1lc
    @EdgarKakuru-vv1lc Před 7 měsíci

    Mama Samia naomba unisaidie chuo kinaelekea kugoma kwa kukosa mkopo jamani

  • @ezekielsulle9249
    @ezekielsulle9249 Před 9 měsíci +1

    Mnataka tuandika ili tukamatwe au🤔🤔🤔🤔

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Před 9 měsíci

    Siyo kila kitu anachofanya bi mdashi basi nipinge,, hapa hongera mama

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji Před 9 měsíci

    Mm nimfunga Leo! Nimeipenda hii

  • @SifaBushashire
    @SifaBushashire Před 3 měsíci

    Maaaaama mama mama uwezo wakukulipa sina mama mungu akupe🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ramadhanshiganza4926
    @ramadhanshiganza4926 Před 9 měsíci +3

    Hongera mno Mheshiniwa RAIS

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Před 4 měsíci

    Waoo mama kwakweri karibu na huku kwetu 😊

  • @eddyeddy1337
    @eddyeddy1337 Před 9 měsíci +1

    Safi kabisa Mama

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 9 měsíci

    Mama hapo kama nimeanza kukuelewa hata mtangulizi wako alikuwa akishuka chini kwa wanyonge kama hao.Kuna lugha huwa naichukia mama pale ninaposkia jiajirini yaani najiajiri vipi ikiwa sina mtaji?Ila Leo nimekuelewa pia nimekunyooshea mikono mungu akubariki kazi iendelee