MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU TUNGUU ZANZIBAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu ndogo ya Tunguu Zanzibar leo tarehe 05 Julai, 2024.

Komentáře • 23

  • @lingsonKasomwa-ho1tf
    @lingsonKasomwa-ho1tf Před 4 dny

    Chapa kazi mama . Nasi tunasimama pamoja katika kila jema ulifanyalo kwa nchi yetu. Kodi lazima kila mtu alipe

  • @KhamisMsellem-jt4hs
    @KhamisMsellem-jt4hs Před 4 dny

    Mama upo sahihi sana maana cjawahpo kuona raic hta mmoja kabla ww kuitumia hiyo ikulu km hvyo unavyoitumia ww hongera sana Allah SW atakusaidie pia kwa Kila mnafiki kwako

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte5415 Před 4 dny

    HONGERA MAMA TEUWA UNAOWAONA WANAFAA KUKUSAIDIA KUONGOZA NCHI, TUKO PAMOJA NA WEWE ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA UJASIRI UIONGOZE NCHI KWA AMANI.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 4 dny

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi, naomba umsamehe tu yule kijana wa RungwenMbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa Imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 Před 4 dny +1

    Kumbe kulikuwa na wale Ndugu na Marafiki walikuwa wakitaja jina tuu wanapitishiwa mizigo yao bila Kulipa Kodi na Watanzania maskini wanakufa na kulipa Kodi. Hii Ndio Shida ya Serkali Za Africa Usimamizi wa resources hakuna badala yake ni kukopa tuu ndio Serkali za Africa zinajua.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 4 dny

    Itabidi kodi ziwe rafiki la sivyo watu wataendelea kutokulipa kodi kwa kutoa hongo kwa hao hao TRA.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 4 dny

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi wa Taifa, naomba umsamehe tu yule kijana wa Rungwe Mbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿

  • @jedidahbintidaudi8241

    hiyo ndo Ilicit Financial Flow (IFF) ni mbaya sana ndo inaleta hasara kubwa sana nchini...ni billions of dollars zinapotea kwa njia hii mama 35:09-36:28

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 4 dny

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia mimi kama Kijana Mjasiriamali tunapata matumaini ya kufikia malengo makubwa ikiwa Serikali yako itaendelea kutuunga mkono ili tujenge Uchumi na kuinua Kundi kubwa la Vijana ambao tumeamua kupambana katika Biashara na kuacha kutegemea Ajira pekee. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @jedidahbintidaudi8241

    Mama Samia tunaomba nasi utupe nafasi kama wananchi wako vijana wako binti zako ili tuweke majadiliano na wewe usikie michango ya mawazo kutoka huku ili ziwekwe ktk budget yetu na ziweze kufanyiwa kazi..ni moja kati ya sifa anayo Rais kii demokrasia

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 4 dny

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia binafsi nikupongeze kwa kumpa Wizara ya Biashara na Viwanda Mheshimiwa Waziri Jafo, huyu anaweza Wizara ngumu ngumu kama ilivyokuwa TAMISEMI. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @user-fj5qu1qy4u
    @user-fj5qu1qy4u Před 4 dny

    Mama uko sawasawa japho niwakazi

  • @jombadulla
    @jombadulla Před 4 dny

    magufuli alikua anapasisha akiw chato

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Před 4 dny +1

    Tunguu tena?? Ipo mkowa Gani hiyo??

    • @karafuu
      @karafuu Před 4 dny

      Mkoa wa Kusini Unguja

    • @tanzanite9944
      @tanzanite9944 Před 4 dny

      @@karafuuKwahiyo kaenda kwao kusini kupumzika

    • @MwigaAdam
      @MwigaAdam Před 4 dny

      @@karafuu unguja Pemba Zanzibar ok

    • @karafuu
      @karafuu Před 4 dny

      @@tanzanite9944 Tunguu ndio kianzio cha mkoa wa kusini ila ipo karibu sana na mkoa wa mjini....

    • @bir4450
      @bir4450 Před 4 dny

      Unguja kama ilivokuwa Chato

  • @marychami1700
    @marychami1700 Před 3 dny

    Proud of my country, my president