Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu ndogo ya Tunguu Zanzibar leo tarehe 05 Julai, 2024.
Mama upo sahihi sana maana cjawahpo kuona raic hta mmoja kabla ww kuitumia hiyo ikulu km hvyo unavyoitumia ww hongera sana Allah SW atakusaidie pia kwa Kila mnafiki kwako
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi, naomba umsamehe tu yule kijana wa RungwenMbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa Imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Kumbe kulikuwa na wale Ndugu na Marafiki walikuwa wakitaja jina tuu wanapitishiwa mizigo yao bila Kulipa Kodi na Watanzania maskini wanakufa na kulipa Kodi. Hii Ndio Shida ya Serkali Za Africa Usimamizi wa resources hakuna badala yake ni kukopa tuu ndio Serkali za Africa zinajua.
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi wa Taifa, naomba umsamehe tu yule kijana wa Rungwe Mbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
hiyo ndo Ilicit Financial Flow (IFF) ni mbaya sana ndo inaleta hasara kubwa sana nchini...ni billions of dollars zinapotea kwa njia hii mama 35:09-36:28
Mheshimiwa Rais Dokta Samia mimi kama Kijana Mjasiriamali tunapata matumaini ya kufikia malengo makubwa ikiwa Serikali yako itaendelea kutuunga mkono ili tujenge Uchumi na kuinua Kundi kubwa la Vijana ambao tumeamua kupambana katika Biashara na kuacha kutegemea Ajira pekee. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
Mama Samia tunaomba nasi utupe nafasi kama wananchi wako vijana wako binti zako ili tuweke majadiliano na wewe usikie michango ya mawazo kutoka huku ili ziwekwe ktk budget yetu na ziweze kufanyiwa kazi..ni moja kati ya sifa anayo Rais kii demokrasia
Mheshimiwa Rais Dokta Samia binafsi nikupongeze kwa kumpa Wizara ya Biashara na Viwanda Mheshimiwa Waziri Jafo, huyu anaweza Wizara ngumu ngumu kama ilivyokuwa TAMISEMI. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
Chapa kazi mama . Nasi tunasimama pamoja katika kila jema ulifanyalo kwa nchi yetu. Kodi lazima kila mtu alipe
Mama upo sahihi sana maana cjawahpo kuona raic hta mmoja kabla ww kuitumia hiyo ikulu km hvyo unavyoitumia ww hongera sana Allah SW atakusaidie pia kwa Kila mnafiki kwako
HONGERA MAMA TEUWA UNAOWAONA WANAFAA KUKUSAIDIA KUONGOZA NCHI, TUKO PAMOJA NA WEWE ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA UJASIRI UIONGOZE NCHI KWA AMANI.
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi, naomba umsamehe tu yule kijana wa RungwenMbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa Imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
Kumbe kulikuwa na wale Ndugu na Marafiki walikuwa wakitaja jina tuu wanapitishiwa mizigo yao bila Kulipa Kodi na Watanzania maskini wanakufa na kulipa Kodi. Hii Ndio Shida ya Serkali Za Africa Usimamizi wa resources hakuna badala yake ni kukopa tuu ndio Serkali za Africa zinajua.
Hamna lolote hao wote wizi
Itabidi kodi ziwe rafiki la sivyo watu wataendelea kutokulipa kodi kwa kutoa hongo kwa hao hao TRA.
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ukiwa kama mama na bibi wa Taifa, naomba umsamehe tu yule kijana wa Rungwe Mbeya aliyechoma picha yako najua ni mihemko tu ya vijana wenzangu ambao wamekosa imani na wamekata tamaa ya maisha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee🇹🇿🇹🇿
hiyo ndo Ilicit Financial Flow (IFF) ni mbaya sana ndo inaleta hasara kubwa sana nchini...ni billions of dollars zinapotea kwa njia hii mama 35:09-36:28
Mheshimiwa Rais Dokta Samia mimi kama Kijana Mjasiriamali tunapata matumaini ya kufikia malengo makubwa ikiwa Serikali yako itaendelea kutuunga mkono ili tujenge Uchumi na kuinua Kundi kubwa la Vijana ambao tumeamua kupambana katika Biashara na kuacha kutegemea Ajira pekee. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
Mama Samia tunaomba nasi utupe nafasi kama wananchi wako vijana wako binti zako ili tuweke majadiliano na wewe usikie michango ya mawazo kutoka huku ili ziwekwe ktk budget yetu na ziweze kufanyiwa kazi..ni moja kati ya sifa anayo Rais kii demokrasia
Mheshimiwa Rais Dokta Samia binafsi nikupongeze kwa kumpa Wizara ya Biashara na Viwanda Mheshimiwa Waziri Jafo, huyu anaweza Wizara ngumu ngumu kama ilivyokuwa TAMISEMI. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
Mama uko sawasawa japho niwakazi
magufuli alikua anapasisha akiw chato
Tunguu tena?? Ipo mkowa Gani hiyo??
Mkoa wa Kusini Unguja
@@karafuuKwahiyo kaenda kwao kusini kupumzika
@@karafuu unguja Pemba Zanzibar ok
@@tanzanite9944 Tunguu ndio kianzio cha mkoa wa kusini ila ipo karibu sana na mkoa wa mjini....
Unguja kama ilivokuwa Chato
Proud of my country, my president