Mo Music ustaa pembeni..... Ofisini anasaga Mahindi
Vložit
- čas přidán 28. 02. 2017
- Msanii wa Bongofleva Mo Music aliwahi kusema ameamua kuweka nguvu zake na pesa yake kushirikiana na Baba yake Mzazi kuwekeza kwenye biashara ya kusaga Mahindi.
Camera ya AyoTV imefika nyumbani kwao na kumkuta Mo Music ameweka Ustaa pembeni na kuingia kuwasagaia Mahindi wateja wanaofika kwenye ofisi ilipo Mashine yao. - Zábava
kazi ni kazi bora kipato na usilale njaa...Ustar pembeni chapa kazi babaa.
Haya ndo maisha yetu halis maan wengine wana act like wako marekan kumbe sio.
nakukubali sana bro chapa Kazi ili upate riziki..yako..
+Noeli Mwawa kwan marekan hawasagi mahindi, nadhan hujui kuwa marekan ndio nchi inayoongoza kwa kilimo cha mahindi,
Dah Jamaa Yuko Real Sana Najua kuna wasanii hawawezi kuojiwa kwnye hali hii 🙌
nice mungu akubariki
happy to see you've a lot of plan's! komaaa mwana
uwiiii cjawah kumpenda msanii Kama huyu c wengne kujishauwa tu kama watoto wa masak
Tammy Salum mpe vtu bac 2juwe umempenda...kwl
hawa ndyo wasani wenye akirizao
Safi xana Mo Music, hujui kujipendekeza katika maisha,
Wanasema ukiwa unasaga hata mtu akikwambia wewe ni mjinga unaweza ukajibu ndio
abdu Llah 😂😂😂😂umenikumbusha mbali sna unazijua hizi kaz zetu nn
uko real sana I lyk de way uko rill we haufek maisha chapa kaz mushi msaidie Mzee katemi
Nice bro, , keep it up you are a real Tanzanian guy. And good example to others
one in a million superstar
safi sana mwanaume kazn
Big up Brother uko juu, Kina fulani awathubutu kuonyesha mambo hizi, wanataka waonekane smart 24 hours
nimeipenda pia sio wengne utaskia namjengo south
Eva Mtogosewa 😂😂😂 Wanapenda kujikuza sana lkn maendeleo hayaonekani bora mwenzao yupo clean
Nice brother nimekukubal sana
I like dat,from jeju Korea....
saluteee... Big up sanaaa... utaish popote
kazi nzur hiyo kaz nimeifanya sana
hongera mungu akubaluki uzidi kufanikiwa
Hongera sana nyie do mtatufungua akiri saf sana
Nimeipendaaa sana kazi yako kaka
GOD BLESS NICE DAY BRO
kamua baba au sio
Safi sana bro kaz kaz
nimependa Kaka safi Sana
Umetisha
safii sana acha akina nanii kilakukisha wanatudagaya
Safi sn kaka fanya kazi sio misifa kama wengine (......)😦😀😀
Nakuaminia bwana katemi, ubarikiwe!.
Ww Ndio Unapaswa kuigwa co hao wana sanaa wanao ladhimisha Njugu kuwa Maalage"
dahhh kaka kimya sana but all in all mungu akubaliki nime Mic kinoma goma zako
nice mzee
hapo sawa mzee baba
Naitwa mrisho iddi Niko znz shida yangu machine ya kutwangia pepeta mpunga kuufanya pepeta sio mchele
kazi kazi babaaa...
saf sana broh
wewe ni mkweli sio wasanii wengine majina makubwa pesa hakuna
Habari maomba msaada nataka kufanya biashara kusaga maindi Grama zaka mashine bei gani
I do Aprriciate dat Keep hard Workin#Mo Music
#GuD__MuSiC__2017
Isaac Platnumz Simbaa
Young Warrior TZ
uzuri badae kazi mbele
safiii
Nkwel br na hapo nakumbuka ni juzi tuu ulivokuja home kwenye msiba wa dada hako pasians mtaa wa reli home boy
Daaah nimependa iyo
Safi sana 2020
Mo music bana nmekukubal sana man
nimeipenda hiyo
kweli baba uko vizur
Nice sana bro
Kwetu kwenda mashine ilikua kila sku!!
Tukitua mzgo tu ss hao kucheza 😅😅
noma noma hivyo ndivyo inavyotakiwa au aisiooo
safi sana Mo-Music
yes kama Mimi vile
Safi sana
kazi Kazi
Safi, sana bro2,
wengi hufanya ustar ndio kila kitu kwao ila kwako imekuwa tofauti safi sana brother
very good
real lifeee
Nimependa
komaa kakayangu ustar kazi nahii nikazi yote inarenga mpunga kwahio tukomaetuu
mm huwa napenda mashine inavyolia😂😂
I like that
Poa San kijan
vizur
vizuri sana
saf sana kaka uko poa
pambana mosh
lakini kuhusu game vp bado upo kimya ujatoa ngoma au mziki bas tena?
ally bububu katoa ipo inaitwa bajaj yuko na roma
nice song
Sana tyu
hapo fresh
Nice
Safi
Wengine wamekaa tu ww piga kazi
good boy
Ukihitaji mashine nicheki popote nipom.facebook.com/story.php?story_fbid=965951840569672&id=659008331264026
hapendi kuwa kiben10 kwasababu wengine kutwa hushinda na majimama kwenye vifua bila kazi,
saf
saga mahindi mziki sio wako uliingilia tu
good
daa poa mtoto wa mwanza maana bola unafanya yako uku ukijipanga mziki umekuwa moto kaka ushindani mkubwa nyimbo moja inapigwa TV e chalii inabaki vilabuni ukija kwa wajanja makulusa zinapigwa mpk mbuganii mkulima ana Panda mpunga inaimbwa daa nakubali wa kwwtu mwanza mwanza
kazi kazi jombaaa
Manjolo Meja unaesema kipi cha ajabu jibu lake star wa bongo kusaga
Ctephen nkoccy hahahaaaaa bora umejibu
+Ctephen nkoccy poa poaaa
Naitaji mashine namba yang ni 0742392595
cio kwa kutuumiza maskio
Queen Maa 😅😅
Lakini wote wanaokula ugali au vitumbua c unga unasagwa na mashine!? Atakae muona Mo music ni mshamba au hafai ye ndo Mjinga mara 100, piga kazi Mo kaz ni kaz,,
kipi cha ajab
guD
dogo kweli umekua
kuhusu game ndo kwaheri..maana kipaji pia sio cha kutisha sana ...ila safi kama unaishi maisha halisia
bwaana wewe tumewachoka hii nikiki
Safi sana