Hata Mpina ndie fusadi mkubwa alikuwa kwenye serikali ya kifisadi akiwa waziri.serikali hiyo ilikthiri kweye mauaji,utekaji,ubambikiaji watu kesi za uongo,kupiga watu risasi tena kenye bunge uwanjani mchana kweupe huku akina mpina wakiwa wanezizima camera za cctv wakiwanyanganya watu mali zao na kuzichukua wao binafsi mfanno prebargaining mabilioni yote yale yaliyochukuliwa hayakurudi hazina,wizi wa uduwani na wabunge nchi nzima mpaka pemba ushenzi wote huo waratibu walikuwa ni akina mpina.Huna unalojua wewe unazikiliza uvumi tu nenda kacheze kifuuu na mchanga.
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
Mwizi ameletwa kuwatetea wezi . Hilo jedwali lake hakujibu hoja za mpina twambie kwa nini waagizaji walisamehewa kodi wao wakatuuzia bei juu. Mzee danganya ulio wahonga sio sisi tunao kutazama na kukusikiliza.
Nguo zimeshavuka siku nyingi. Uongo wa Mpina kama wanavyodai ujibiwe kwa taarifa ya kitaalamu waambatanishe ushahidi kama Mpina ili ijulikane, wazi. Pia watuambie vielelezo vya Mpina amegushi ama ni halali, je kwa mujibu wa sheria utaratibu ulifuatwa ama ni maamuzi ya watu wachache?. 😮😮😮
Ukiona jambo linatajwa wazi baada ya kusemwa na mbunge, kuna asilimia karibu 80% jambo hilo lilikuwa na watu wengi nyuma yake. Kwa nini wasiseme kabla ya mpina kusema?
Acha kutudanganya mzee alieleza ukiona watoto wasimba wanachezacheza jua kuna mama yao ama baba yao nyuma,sisi siyo wajinga hizo poropoganda kamweleze mke wako
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
Huna point Mzee nchi inawatu waelewa ila ipo siku mtajuta tutakumbizana Kama kuku mitaani nyinyi tuchukulieni Kama hatujielewi
Nenda kwenye point achana na kutoa mifano Alfu mtuachie mpina wetu
Mafisadi plus mafisadi is equal to mafisadi plus plus.
Hata Mpina ndie fusadi mkubwa alikuwa kwenye serikali ya kifisadi akiwa waziri.serikali hiyo ilikthiri kweye mauaji,utekaji,ubambikiaji watu kesi za uongo,kupiga watu risasi tena kenye bunge uwanjani mchana kweupe huku akina mpina wakiwa wanezizima camera za cctv wakiwanyanganya watu mali zao na kuzichukua wao binafsi mfanno prebargaining mabilioni yote yale yaliyochukuliwa hayakurudi hazina,wizi wa uduwani na wabunge nchi nzima mpaka pemba ushenzi wote huo waratibu walikuwa ni akina mpina.Huna unalojua wewe unazikiliza uvumi tu nenda kacheze kifuuu na mchanga.
Muhuni tu naye huyu hana point yoyote, wananchi siyo vilaza tena
Porojo za nini! why bei iko juu kuliko nchi za jirani
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.
siasa nyingi sana
Mwizi ameletwa kuwatetea wezi . Hilo jedwali lake hakujibu hoja za mpina twambie kwa nini waagizaji walisamehewa kodi wao wakatuuzia bei juu. Mzee danganya ulio wahonga sio sisi tunao kutazama na kukusikiliza.
Nguo zimeshavuka siku nyingi. Uongo wa Mpina kama wanavyodai ujibiwe kwa taarifa ya kitaalamu waambatanishe ushahidi kama Mpina ili ijulikane, wazi.
Pia watuambie vielelezo vya Mpina amegushi ama ni halali, je kwa mujibu wa sheria utaratibu ulifuatwa ama ni maamuzi ya watu wachache?. 😮😮😮
Nadhani huyu anapotosha kusema serikari haiweze kuhujumu kampuni ambazo ina hisa kwani wanaohujumu ni watendaji sio serikali kama entity
Ukiona jambo linatajwa wazi baada ya kusemwa na mbunge, kuna asilimia karibu 80% jambo hilo lilikuwa na watu wengi nyuma yake. Kwa nini wasiseme kabla ya mpina kusema?
Leo ndio mmetoka mlikuwa wapi, afuu baada ya mkubwa wenu kukamatwa, unaonesha sura ya mla rushwa
Bashe anatapatapa alishapigwa BAO na kamanda mpina
Ninyi bodi ni genge la, mafisadi, waziri bashe ni wakutumbuliwa,
Mmmm
Katumwa huyu
Huyu mwizi tu.
Heri ungenyamaza, unazidi kuharibu mada
Mbona wazalishaji juzi wamesema hawaitambui hiyo sukari iligizwa nani
Machawa na makupe
Jizi hata kujieleza linashindwa
Wako wengi ufasadi hoeeeee
Hoja ni kwamba kwa nn sukari bei juuuuu mpina is correct hata usituchanganye mzee
Hii NCHI magufuli aludi jamani MUNGU mludishe magufuliii?.tumeachiwa Nini hii Sasa jamani
MUWE MUNAWEKA MAMBO MAPEMA ILI KUFANYA WATU WASIILAUMU SERIKALI NA NDUGU YANGU BASHE SASA MNAMUACHA BASHE MPAKA ANACHAFUKA
Tatizo sio uagizaji tatizo mfumo WA Serikali umefuatwa kama kanununi ilivyotajwa anaetakiwa kuagiza NI mzalishaji
Kweli kabisa
Mh Mpina kawatikisa sasa ni Sukari tu mwachieni mzalendo huyo
Mpina alitumwa na wafanya biashara wakora wenye wana ficha sukari ndio bei iongezeke wapate faida haramu
Pumbafu wewe mnatetea wizi hakuna lolote.tika hko huna lolote na kabashe kako
Acha kutudanganya mzee alieleza ukiona watoto wasimba wanachezacheza jua kuna mama yao ama baba yao nyuma,sisi siyo wajinga hizo poropoganda kamweleze mke wako
Muogo wewe
Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.