BODI ya SUKARI YAVUNJA UKIMYA, YAJIBU HOJA za MBUNGE LUHAGA MPINA KUHUSU SAKATA LA SUKARI,"ni Uongo"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 34

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 Před 4 dny +4

    Huna point Mzee nchi inawatu waelewa ila ipo siku mtajuta tutakumbizana Kama kuku mitaani nyinyi tuchukulieni Kama hatujielewi

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw Před 4 dny +6

    Nenda kwenye point achana na kutoa mifano Alfu mtuachie mpina wetu

  • @mickyjoseph5492
    @mickyjoseph5492 Před 4 dny +6

    Mafisadi plus mafisadi is equal to mafisadi plus plus.

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před 4 dny

      Hata Mpina ndie fusadi mkubwa alikuwa kwenye serikali ya kifisadi akiwa waziri.serikali hiyo ilikthiri kweye mauaji,utekaji,ubambikiaji watu kesi za uongo,kupiga watu risasi tena kenye bunge uwanjani mchana kweupe huku akina mpina wakiwa wanezizima camera za cctv wakiwanyanganya watu mali zao na kuzichukua wao binafsi mfanno prebargaining mabilioni yote yale yaliyochukuliwa hayakurudi hazina,wizi wa uduwani na wabunge nchi nzima mpaka pemba ushenzi wote huo waratibu walikuwa ni akina mpina.Huna unalojua wewe unazikiliza uvumi tu nenda kacheze kifuuu na mchanga.

  • @w.j6088
    @w.j6088 Před 4 dny +4

    Muhuni tu naye huyu hana point yoyote, wananchi siyo vilaza tena

  • @EmanuelMandoo
    @EmanuelMandoo Před 4 dny +3

    Porojo za nini! why bei iko juu kuliko nchi za jirani

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Před 4 dny +1

    Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.

  • @KimonKambene
    @KimonKambene Před 4 dny +2

    siasa nyingi sana

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Před 4 dny +1

    Mwizi ameletwa kuwatetea wezi . Hilo jedwali lake hakujibu hoja za mpina twambie kwa nini waagizaji walisamehewa kodi wao wakatuuzia bei juu. Mzee danganya ulio wahonga sio sisi tunao kutazama na kukusikiliza.

  • @zxcvbnmmkh
    @zxcvbnmmkh Před 4 dny +1

    Nguo zimeshavuka siku nyingi. Uongo wa Mpina kama wanavyodai ujibiwe kwa taarifa ya kitaalamu waambatanishe ushahidi kama Mpina ili ijulikane, wazi.
    Pia watuambie vielelezo vya Mpina amegushi ama ni halali, je kwa mujibu wa sheria utaratibu ulifuatwa ama ni maamuzi ya watu wachache?. 😮😮😮

  • @napoleonmutungi6866
    @napoleonmutungi6866 Před 4 dny +2

    Nadhani huyu anapotosha kusema serikari haiweze kuhujumu kampuni ambazo ina hisa kwani wanaohujumu ni watendaji sio serikali kama entity

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Před 4 dny +1

    Ukiona jambo linatajwa wazi baada ya kusemwa na mbunge, kuna asilimia karibu 80% jambo hilo lilikuwa na watu wengi nyuma yake. Kwa nini wasiseme kabla ya mpina kusema?

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 Před 4 dny

    Leo ndio mmetoka mlikuwa wapi, afuu baada ya mkubwa wenu kukamatwa, unaonesha sura ya mla rushwa

  • @billimambo9517
    @billimambo9517 Před 4 dny +1

    Bashe anatapatapa alishapigwa BAO na kamanda mpina

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 4 dny +1

    Ninyi bodi ni genge la, mafisadi, waziri bashe ni wakutumbuliwa,

  • @PeterNyange-o5v
    @PeterNyange-o5v Před 4 dny

    Mmmm

  • @MrutaJusto
    @MrutaJusto Před 3 dny +1

    Katumwa huyu

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před 4 dny

    Huyu mwizi tu.

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Před 4 dny

    Heri ungenyamaza, unazidi kuharibu mada

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Před 4 dny +1

    Mbona wazalishaji juzi wamesema hawaitambui hiyo sukari iligizwa nani

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c Před dnem

    Machawa na makupe

  • @musahamza7086
    @musahamza7086 Před 3 dny

    Jizi hata kujieleza linashindwa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 2 dny

    Wako wengi ufasadi hoeeeee

  • @AnnoyedDove-oo3kk
    @AnnoyedDove-oo3kk Před 4 dny

    Hoja ni kwamba kwa nn sukari bei juuuuu mpina is correct hata usituchanganye mzee

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před 2 dny

    Hii NCHI magufuli aludi jamani MUNGU mludishe magufuliii?.tumeachiwa Nini hii Sasa jamani

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před 4 dny

    MUWE MUNAWEKA MAMBO MAPEMA ILI KUFANYA WATU WASIILAUMU SERIKALI NA NDUGU YANGU BASHE SASA MNAMUACHA BASHE MPAKA ANACHAFUKA

  • @linogodson6478
    @linogodson6478 Před 4 dny

    Tatizo sio uagizaji tatizo mfumo WA Serikali umefuatwa kama kanununi ilivyotajwa anaetakiwa kuagiza NI mzalishaji

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před 4 dny

    Kweli kabisa

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 4 dny +1

    Mh Mpina kawatikisa sasa ni Sukari tu mwachieni mzalendo huyo

    • @waluohopaulo2116
      @waluohopaulo2116 Před 4 dny

      Mpina alitumwa na wafanya biashara wakora wenye wana ficha sukari ndio bei iongezeke wapate faida haramu

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před 2 dny

    Pumbafu wewe mnatetea wizi hakuna lolote.tika hko huna lolote na kabashe kako

  • @JacksonBoaz-yu8uk
    @JacksonBoaz-yu8uk Před 2 dny

    Acha kutudanganya mzee alieleza ukiona watoto wasimba wanachezacheza jua kuna mama yao ama baba yao nyuma,sisi siyo wajinga hizo poropoganda kamweleze mke wako

  • @jumatophili
    @jumatophili Před 3 dny

    Muogo wewe

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Před 4 dny

    Kuna wakati najiuliza, hivi mungu baba hawa watu wanaofisadi nchi yetu hawaoni? Kwa nini asiwazime chap wapumzike watuachie nchi yetu!!! Daah mungu baba sema na nchi yetu tunaibiwa sana.