🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • 🔴#Live: KAULI ya KWANZA ya BOSI MPYA wa TRA - ''MUNGU ATANIONGOZA - NITAZIDI MATARAJIO ya RAIS''....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 45

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 19 dny +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @HamissSantanga
    @HamissSantanga Před 19 dny +1

    Hongera Allah akuonoze na akulinde Amin.

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 Před 17 dny +1

    Nakuombea mungu inshaallah

  • @spabiton7989
    @spabiton7989 Před 18 dny +1

    Hongera sana naomba nikuone kwa ushauri brother

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 Před 19 dny +5

    Tra fanyeni watu wapende biashara

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 19 dny +2

    Ufanye haki mungu atakusaidia ukifanya dhuluma huna salama salama yako tenda haki hiyo ndio salama hakuna kitu chema kama haki

  • @RehaniKharidi-st4oe
    @RehaniKharidi-st4oe Před 19 dny +3

    Haswa na hiyo nzuri ila waje wakiwa na huruma ya wananchi

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 Před 16 dny

    Leader has to be fare . Commissioner you have been given a big chance in this country. The economy of this nation lies on business.

  • @josephalbanmwale
    @josephalbanmwale Před 17 dny

    The Great Leader

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 Před 19 dny +3

    Shida ni pipa la kujaza maji limetoboka mzee

  • @missthussein2648
    @missthussein2648 Před 19 dny

    Mwenyezi Mungu akuongoze kaka najua sio rahisi🤲🏽🙏🏽tunakuombea sana

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 19 dny +1

    Kwa bala mh,,tunahitaji kukuombea ndugu yangu

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Před 19 dny +4

    Umuangalie mwigulu sana hilo ndio bomu linalomuangusha mama ila hajuwi tu sababu mnyilambe yule kwa kunyunyiza hafai fikilia kipindi cha magu alimtumbua akamrudisha tena yani magu akutumbue alafu akamludisha

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 Před 19 dny

      wangapi aliwatumbua akawarudisha,?hiyo ni chuki binafsi hayo unayo yasema hayana ushahidi.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 19 dny

      Muache kaka yangu,tena muache kabisa

  • @johnriwa2854
    @johnriwa2854 Před 19 dny +2

    One of the best speech wooow. Something to learn from you viva sir be blessed.

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf Před 19 dny

      Tunakuombea mungu ili uweze tenda haki na usiruhisu koi za suluma na wale vijana WA vld ni wasumbufu sana Nina Imani na wewe mkuu uwaonye na mwisho kabisa nakutakia utendaji uliotukuka na tunakuahhidi kulipa Kodi Kwa haki mungu ibariki ta zania

  • @samorajama8833
    @samorajama8833 Před 16 dny

    Kodi kutoka laki 1
    Hadi laki 656
    Nilifunga ila ,,,,,,,,,,

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 19 dny +1

    mung akutangulie

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 17 dny

    Leo unacheka kesho utalia, Allah anajuwa yaliyo jificha kwenye vifua vyenu

  • @elizabethmwamdanga7377

    Sasa cjui yule aliejiua akiidai tra pesa yake

  • @JosephMargareth
    @JosephMargareth Před 19 dny

    Umeongea vizuri Kamishina. Hayo makofi yanaashiria wewe ni Jembe.

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Před 17 dny

    Kwa mara ya kwanza madereva tumeshukuriwa na kiongozi

  • @samorajama8833
    @samorajama8833 Před 16 dny

    Nnakuomba kwanza ujelingoa dude hapa tanga halisikilizi mtu yeyote nilibambikiwa jikodi kubwa kwa bishara ya mifuko ya magufuli nilifunga

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 17 dny

    Salama yako tenda Haki ,usifirahi Mimi wallahi nakuonea huruma sana Tena sana, unatakiwa ulie

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 17 dny

    Mwizi kama mwizi

  • @khalfansefu7766
    @khalfansefu7766 Před 19 dny +1

    Mungu akuongoze utendehaki

  • @kazigembeleke5958
    @kazigembeleke5958 Před 17 dny

    kati ya nyie wasomi, eti kati ya milioni 60 usanii huo

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před 19 dny +1

    Anafanana sura na Mohammed Sheih

  • @gwidowissa3153
    @gwidowissa3153 Před 19 dny

    😅

  • @madreks253
    @madreks253 Před 13 dny

    Mwizi anayeongozwa na fisadi kazi yake ni kudhulumu na kuiba。。。wote hao viongozi waongo...siku zenu zinahesabiwa...

  • @bulayamoffatmwmbilu5750
    @bulayamoffatmwmbilu5750 Před 19 dny +2

    Wenzetu ZENJI ni wakweli sio kama sisi😮 Waswhili wa Bara!

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 19 dny

    TRA ina laana ya Ramadhan Ntozwe. Wapo waliyoichafua TRA kupitia mfanyabiashara huyo aliyejipiga risasi. Damu yake itawatafuna wote waliyohusika. Haki kwa Mwenye enzi Mungu.

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 19 dny +1

    Tatizo sio wewe shida ni huyo waziri wa fedha hapa tz ni mloho sana atakuponza itabidi utumie hakili yako kuishi nae

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 19 dny

    Mungu haongozi viumbe baada ya wewe kiumbe kuumbwa. Haya mambo ya Mungu anisimamie, anilinde, anitangulie... Ni kukosa uelewa. Mnaapa kwakutumia VIAPO vya dini ambavyo tumepigwa. Wazee wetu waliapa kutumia damu na hapakua na wezi kwakua walijua wataishia kufa baada ya kugusa

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 Před 19 dny

      Hizi shukuran ndo chanzo cha kutofanya kazi kwa weredi!

    • @Nedjadist
      @Nedjadist Před 16 dny

      Hujielewi nakusikitikia. Hao wazee unaosema ndiyo waliotoa almasi wakapewa gololi!

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 Před 19 dny +2

    Magari ya Estter yahojiwe yalipatikanaje

    • @Jal210
      @Jal210 Před 19 dny

      Jitambue wewe kabla hujasema yaani magari ya ester ndiyo unajua leo wakina Sumaye walikuwa na mabasi.makubwa mazuri hamkutaka kujua waliyatoa wapi?

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 19 dny +1

    Ufikie zaidi ya matarajio ya rais
    Samia?.
    Kwani wewe unafanya kazi ya rais Samia?

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 19 dny

      Ndio, anafanya kazi ya Rais Samia maana Rais ndie aliye muajiri kwa niaba ya wananchi na kapewa majukumu/malengo ya kufanya na kuyatimiza. Kwa hiyo yupo sahihi kwa alichokisema.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 19 dny

      @@aminasittusaid3830 kweli kabisa dada yangu