🔴
Vložit
- čas přidán 5. 07. 2024
- 🔴#Live: KAULI ya KWANZA ya BOSI MPYA wa TRA - ''MUNGU ATANIONGOZA - NITAZIDI MATARAJIO ya RAIS''....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hongera Allah akuonoze na akulinde Amin.
Nakuombea mungu inshaallah
Hongera sana naomba nikuone kwa ushauri brother
Tra fanyeni watu wapende biashara
Ufanye haki mungu atakusaidia ukifanya dhuluma huna salama salama yako tenda haki hiyo ndio salama hakuna kitu chema kama haki
Haswa na hiyo nzuri ila waje wakiwa na huruma ya wananchi
Leader has to be fare . Commissioner you have been given a big chance in this country. The economy of this nation lies on business.
The Great Leader
Shida ni pipa la kujaza maji limetoboka mzee
Mwenyezi Mungu akuongoze kaka najua sio rahisi🤲🏽🙏🏽tunakuombea sana
Kwa bala mh,,tunahitaji kukuombea ndugu yangu
Umuangalie mwigulu sana hilo ndio bomu linalomuangusha mama ila hajuwi tu sababu mnyilambe yule kwa kunyunyiza hafai fikilia kipindi cha magu alimtumbua akamrudisha tena yani magu akutumbue alafu akamludisha
wangapi aliwatumbua akawarudisha,?hiyo ni chuki binafsi hayo unayo yasema hayana ushahidi.
Muache kaka yangu,tena muache kabisa
One of the best speech wooow. Something to learn from you viva sir be blessed.
Tunakuombea mungu ili uweze tenda haki na usiruhisu koi za suluma na wale vijana WA vld ni wasumbufu sana Nina Imani na wewe mkuu uwaonye na mwisho kabisa nakutakia utendaji uliotukuka na tunakuahhidi kulipa Kodi Kwa haki mungu ibariki ta zania
Kodi kutoka laki 1
Hadi laki 656
Nilifunga ila ,,,,,,,,,,
mung akutangulie
Leo unacheka kesho utalia, Allah anajuwa yaliyo jificha kwenye vifua vyenu
Sasa cjui yule aliejiua akiidai tra pesa yake
Umeongea vizuri Kamishina. Hayo makofi yanaashiria wewe ni Jembe.
Kwa mara ya kwanza madereva tumeshukuriwa na kiongozi
Nnakuomba kwanza ujelingoa dude hapa tanga halisikilizi mtu yeyote nilibambikiwa jikodi kubwa kwa bishara ya mifuko ya magufuli nilifunga
Salama yako tenda Haki ,usifirahi Mimi wallahi nakuonea huruma sana Tena sana, unatakiwa ulie
Mwizi kama mwizi
Mungu akuongoze utendehaki
kati ya nyie wasomi, eti kati ya milioni 60 usanii huo
Anafanana sura na Mohammed Sheih
😅
Mwizi anayeongozwa na fisadi kazi yake ni kudhulumu na kuiba。。。wote hao viongozi waongo...siku zenu zinahesabiwa...
Wenzetu ZENJI ni wakweli sio kama sisi😮 Waswhili wa Bara!
TRA ina laana ya Ramadhan Ntozwe. Wapo waliyoichafua TRA kupitia mfanyabiashara huyo aliyejipiga risasi. Damu yake itawatafuna wote waliyohusika. Haki kwa Mwenye enzi Mungu.
dah huyu mtu alijipiga risasi ivoo eh? lini tena ndugu yangu? duh jmni
Tatizo sio wewe shida ni huyo waziri wa fedha hapa tz ni mloho sana atakuponza itabidi utumie hakili yako kuishi nae
Umeongea point
Kila aliyepewa dhamana kuna utaratibu na mipaka.
Mungu haongozi viumbe baada ya wewe kiumbe kuumbwa. Haya mambo ya Mungu anisimamie, anilinde, anitangulie... Ni kukosa uelewa. Mnaapa kwakutumia VIAPO vya dini ambavyo tumepigwa. Wazee wetu waliapa kutumia damu na hapakua na wezi kwakua walijua wataishia kufa baada ya kugusa
Hizi shukuran ndo chanzo cha kutofanya kazi kwa weredi!
Hujielewi nakusikitikia. Hao wazee unaosema ndiyo waliotoa almasi wakapewa gololi!
Magari ya Estter yahojiwe yalipatikanaje
Jitambue wewe kabla hujasema yaani magari ya ester ndiyo unajua leo wakina Sumaye walikuwa na mabasi.makubwa mazuri hamkutaka kujua waliyatoa wapi?
Ufikie zaidi ya matarajio ya rais
Samia?.
Kwani wewe unafanya kazi ya rais Samia?
Ndio, anafanya kazi ya Rais Samia maana Rais ndie aliye muajiri kwa niaba ya wananchi na kapewa majukumu/malengo ya kufanya na kuyatimiza. Kwa hiyo yupo sahihi kwa alichokisema.
@@aminasittusaid3830 kweli kabisa dada yangu