Mimi ni Muislam tena ni Muislam safi, nasema wazi kua huu ni UNAFIQ. Unaandamana kwa ajili ya Palestina wakati wenzetu Ngorongoro, Mbarali na baadhi ya maeneo Watz wenzetu wananyang'anywa maeneo yao ya asili mpo mmekaa kimya. Acheni UNAFIQ na bora mmekamatwa.
@@sahimsalim9339 Kwa hivo kama Dunia nzima inaandamana kuisapoti Palestina ndo sababu na sisi tuyaache yetu yanayotusibu ili na sie tuwe kama hao wengine? Acheni UNAFIQ kama ni Uislam hata Ngorongoro na Mbarali Waislam wapo. Swadaq huanzia nyumbani Sheikh.
We muislimu jina una lolote muislimu ndungu yake ni muislimu na ndio maana mtume anatuambia mfano wa waumin ni kama mwili mmoja mumin mwenzio akipata tatzo kama umepata wewe zen we unasema ndo una uislamu akuna uislamu wa ivo kasome
Umenena vyema ustaadh Allah akujalie firdaus.. alhamdulillah🤲🏿. Unafiq kama huu ni wa kupigwa vita. Sheikh mzima anashindwa kutetea maslahi ya Watanzania wenzake anakukuruka kuingilia mambo ya Wapalestina.. mxhenzi sana huyu. Mbaya zaidi kuna Watanzania wawili wanaoshikiliwa mateka na kundi la Wapalestina la HAMAS ila hata kukemea hakemei. MNAFIQ MKUBWA SANA HUYU SHEIKH
@@sahimsalim9339je? wale wanaouwana pale sudani, ni waislamu na wengine ni dini gani, maana sudani ni taifa la kiislamu, inaonekana nyie ndo wachochea Kuni sahihi.
Inasikitisha sana ...hawa wagalatia wa Tanzania wamevuka mipaka ya ujinga... kuwasupport mayahudi kwa kudhani ni watu watukufu...hali ya kuwa mayahudi hao hao wanawatukania mungu wao yesu kuwa ni mwana wa haramu... na hawamkubali mpaka kesho... hata ubinaadamu hawana kuona unyonge, udhalili na dhulma wanayofanyiwa Palestians zaidi ya miaka 80... kunyanganya nchi yao kimabavu...kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, kuuliwa, kufungwa na kufanywa wakimbizi... ndani ya mwezi mmoja zaidi ya watu elfu 20 wameuawa kikatili.. Na mama yetu Samia masikini mnyonge...hana nguvu... basi hata kujifunza kutoka kwa ndugu zenu wa South Afrika hamuwezi?
Hii Nchi ina matatizo mengi, ajabu matatizo yetu hatuyaoni tunaona ya wenzetu. Juzi tu Mama Masikini amefungwa miaka 22 kwa kukutwa na vipande 12 tu vya Nyama ya Swala wakati kuna Mafisadi wengi wanafilisi Nchi yetu na bado wako kwenye Afisi zetu za Umma. Mbona hiyo ni Dhulma mbaya lakini hamuandamani?
@@anselmoonolius kama ulivyo SEMA vita Iko sehemu nyingi yamen Somali Iraq Sudan Kongo Nigeria siria lakin tunaangalia ni ipi inayo weza kuleta matatizo Kwa Dunia nzima Tena Kwa maramoja ndio mana watu wanaandamana Ili kuomba jumuia za kimataifa kusitisha mapigano Yale lakin inawezekana hujui unachokiongea na hutak kujifunza wala kufundisha ndugu upo kwenye chuki tu na unafkiri wanao Andamana wote ni waislamu acha ujinga yajue madhara ya vita tofauti
Kuna Watanzania Wawili wanashikiliwa mateka na Hamas , hatujasikia kauli yoyote kupinga utekwaji wao. Hatujui wako hai au wameuawa. Pole sana Waafrika Wenzangu
Mmezoea kupotoshwa na viombo vya habari vya western COUNTRY,wewe mkiristo leo hii ungekuwa unaishi Jerusalem au Bethlehem usingethubutu kuwaunga mkono taifa la Zionist la Israel
@@mkude Kwahiyo serikali ya Tanzania ni chombo cha habari cha wazungu? Kwa maana wao ndio wametangaza kuhusiana na vijana wawili wa Kitanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas. We Mkude vipi? Halafu utakuwa Mluguru wewe maana ndio wana akili fupi kama vimo vyao.
@@rajenderrobert8605 hizo propaganda zako utabaki nazo wewe huu sio wakati wa propaganda na uongo,kama hauongelei udini ni sawa maana haihitaji kuwa muislamu kupinga maovu ya Israel inahitaji ubinadamu,taifa la Zionist la kiisrael ni taifa haramu naovu linawanyanyasa waislamu na WAKRISTO wanaoishi Jerusalem na Bethlehem,na ukitaka kujua taifa ovu na haramu ni wabaguzi wakubwa wanawavagua majews weusi wenye asili ya Ethiopia,fatilia source za kwenye habari za ethiopi na Israel uone mayahudi weusi wanavyobaguliwa TEL AVIV.
@@rajenderrobert8605 Hilo ni taifa ovu sanaa la kiisrael wanaompinga Yesu na kumdhalilisha,sisi waislamu tinamuheshimu sanaa YESU kristo na tunamuamini.hilo taifa la Zionist linawabagua watu weusi wenye asili ya Ethiopian,waethiopian wenye asili ya watoto wa Israel wanabaguliwa Kwa rangi Yao tu
Mshenzi sana huyu sheikh, sijui wa wapi. Tunapoongea sasa hivi kuna Watanzania wawili wanafunzi wanaoshikiliwa mateka na kundi la Wapalestina la HAMAS, lakini hilo yeye halioni. Kama sio unafiq ni nini? Wamfunge tena huyu, bado akili hazijamkaa sawa MNAFIQ MKUBWA!!!
@@NgengeMkeni-uo5hqwewe mkiristo leo hii ungekuwa unaishi Jerusalem au Bethlehem usingethubutu kuwaunga mkono taifa la Zionist,nyinyi wakristo mliopo huku mnajudai kuwa pamoja nao wao wakristo wa mashariki ya kati hawataki hata kuwasikia hao Zionist,Gaza wanapiga kila kitu wamelipiga katika la miaka zaidi ya 800 wameua wakristo Kwa waislamu waliokuwa wanajihifadhi hapo.
TANZANIA sijui tuna shida gani!! kwani hayo maandamano yanaathali gani kwa nchi???? dunia nzima wamefanya maandamano. NINI HIKI??????????????????????????????????????? SHAME ON US.
Unafiki mkubwa huu congo kuna vita na ukrain lini mmeandamana, nyie mnaenda na mihemko ya udini hamna lolote la maana nchi ya kongo mmepakana, burundi miaka ya nyuma kadharika sikuwahi kuona hayo maandamano et leo ndo umeziona hizo sababu kwa watu wa Palestine huu ni utumwa mwingne wa kidini, somalia na suduni kuna vita pia za wenyew kwa wenyew mbn hamuandamn ?? 😂😂😂😂😂
@@sahimsalim9339 si unaona akili yako ya kidini, kwahyo ww unaandamana kwakua wanaopigwa ni waisalm? Ndo maana na sisi hatutaki kupalilia huo upuuuz wenu mngeandamana kwa sababu za kibinadamu mngeachwa mkaandamana lkn kwakua Nia zenu ni Zina hila na unafiki wa kidini ndo maana mmekataliwa
@@sahimsalim9339 hata kukaa kimya nako NI kutokua mnafiki kuliko kujitokeza saiv et unaandamana kwaajili ya watu wanaokufa Palestine wakat jiran zako tu wako wanauawa kila cku hatujawah kukuona ukikemea, ndo maana uislam unahusishwa xana na ugaidi Congo wako magaid wenyew mmekaa kimya wacongo waendelee kuuliwa na Palestine wako hao hammas kwahyo nyie mko upande wa kundi la hammas
Wakristo wanauwawa kila siku huko Nigeria na kuteswa katika mataifa ya hawa waarabu. Sijaona watu wanaowaunga mkono wapalestina wakikemea mauaji ya waislam wa Yemen, Afghanistan, Libya, sudan na sehemu mbalimbali duniani. Chuki na uadui dhidi ya Israel zinawaamsha waarabu kuungana dhidi ya Taifa la Mungu. Waarabu hawajawahi kuwashinda waisrael hivyo Mungu yupo na Israel
Nyinyi wakristo mbona mataifa mengi ya wakristo wanaandamana kupinga mauaji ya halaiki yanayofanywa na Israel,angalia nchi za south America zenye wakristo wengi wamevunja kabisa mahusiano na Israel Kwa ubaya wanaoufanya.nyinyi wakristo Leo hii mngekuwa mnaishi Jerusalem au Bethlehem msingewatetea hata kidogo hao taifa la Zionist
@@mkude Kwahiyo kama mataifa ya Wakristo wanaandamana na sisi ndio tuige kuandamana? Hivi unajisikia unachokisema? Nchi yetu inaendeshwa kwa misingi na kanuni mbalimbali kwa ajili ya kudumisha amani tuliyonayo. Jeshi la polisi kupitia vyombo vyake vya kiupelelezi vimeshakataza maandamano ya namna hii kwa kuhofia yataleta uchochezi wa ghasia za kidini. Sasa kama wewe unabishana na mkono wa serikali, toka nenda kaandamane uone kitakachokukuta. Sheikh Ponda ashakamatwa bado wewe
Kuna watu wapo ndani uko Miaka na Miaka kwa kesi za kubambikiwa tu ukiona kufata taratibu ndio kunusurika na dhulma za serekali nenda ukonga katembelee wafungwa uwahoji
Ila ndugu zetu mnapenda shari khaa😂... kitunguu kikatwe kwa jirani machozi yakutoke mtaa wa pili. Hebu kuweni ni shimile bhn, nchi yetu sisi ya amani, tujitahidi kuidumisha.
Watu wanaroho mbaya sanaa niambie nchi gani uliyoona watu wanaiwa hovyo watoto Kwa wanawake,niambie nchi gani uliiona wanalipuliwa mahospitalini wakiwa wanauguza wagonjwa,niambie nchi gani umeona wanalipuliwa mashule wakiwa watu wamejihifadhi,niambie nchi gani umeona kanisa kubwa la kihistoria la miaka zaidi ya 800 wanalipua wanaua waislamu Kwa wakristo waliokuwa wamejihifadhi,tafakari
Huyo Mzee mzima fatani mkubwa huyo kwani hukumbuki ktk mkutano wa Tundu Lissu na Chadema yake akajitokeza kusema ati Waislamu wote wa Tanzania wanaisapoti Chadema. Fatani mkubwa huyo Mzee aende kwao Uganda
Mpuuzi sana huyu sheikh. Nchi mpaka leo ipo kwenye mgao wa umeme hatuoni wakiandamana. Katiba ya nchi inachezewa wapo kimya. Halafu kwenye hili la watu wa huko maili elfu mbili wanajikuta linawagusa sana😂 Hebu wakae kwa kutulia. Kama wamekosa la kufanya wachukue majembe wakalime. Wasituchoshe sisi na uchochezi wao wa kidini washenzi kweli
Ifikie asikal muogope mungu Sasa hapo Mzee wawatu kakosea Nini maana anazungumzia mambo nje mnamkamata au mnafurahi kuona wapalestina wanaangamia 😢 au mnapenda kuona Mzee wetu mkimnyanyasa
@@anselmoonolius Sahihi kabisa. Kivu ya Mashariki hapo wanauwana kila kukicha hatuoni maandamano ya kukemea. Darfur, Sudan hapo watu wanauliwa kwa miongo mitatu sasa kimya. Halafu Palestina ndio inawauma zaidi, huu ni unafiki na uchochezi. Huyu Sheikh ana itikadi za kidini ambazo ni mbaya sana kwa amani na ustawi wa taifa letu.
Hongera kwa jeshi la Polisi kwa kuzima maandamano haramu yenye lengo la kuamsha hisia za uchochezi wa kidini. Hakuna mtu anayefurahia dhidi ya kile kinachoendelea Parestina na Israeli. Tukiruhusu hii hali nchi itakuwa ya maandamano kila siku, Kesho tutaona kundi jingine la Wafuasi wa Israel nao wataandamana kwa mabango, na kesho kutwa kundi la watetezi la wakristo waishio parestina.
@@NgengeMkeni-uo5hqwewe unachuki kila comment upo hapa,lakini ujue hao Israel wanaroho mbaya sanaa sio Kwa waislamu tu hata Kwanyinyi wakristo,huko Jerusalem nyinyi wakristo mnatemewa mate hadharani kweupe,kwanza hao unaoangaika kuwaletea hawamkubali Yesu hata kidogo
@@mkude umeshidwa kuelewa msimamo wa Nchi yako autaki kujiingiza kwenye mgogoro wa Mashariki ya kati ndiyo maana umeona Watanzania wengi wanaishia kuomba duwa kwa amani na suluisho lije araka kwa mzozo huu wanao kufa wengi ni Wapalestina umeona kanisa limekaa kimya
@@derickcowly6681sawa Haina shida zinatosha nchi nyingi duniani zinalaani hata mataifa yenye wakristo zaidi ya asilimia 90 pia yamevunja uhusiano na Israel kutokana na mauaji ya halaiki ya wapalestina wanavyouliwa.
@@derickcowly6681 taifa haramu la Israel hawana muislamu Wala mkiristo wote wananyanyasika sanaa kutokana na Hilo taifa,wamelipua kanisa kubwa la historia huko Gaza wamewaua wakristo na waislamu waliokuwa wamejihifadhi hapo wakijua watasalimika.hawana ubinadamu hao wamelaaniwa wamewaua manabii na wanamkataa Yesu kabisa
POLENI WATANZANIA HAMUNA UHURU SISI WAKENYA TUNASHUKURU MUNGU KWA KUTUJAALIA TO HAVE FREEDOM ...IN MY LIFE TIME SIJAWAHI KUONA WATANZANIA WAPO NA FREEDOM POLENI SANA WABONGO..
Hata wangekua chadema wasingekubali kiongozi wao anakamatawa kienyeji hivi halafu mbona siwaoni kina sheikh Walidi, Kundecha,kina Kishki,mnaongelea misikitini kuandamana kulaani vitendo vinavyofanywa na mayahudi mnaogopa kujitokeza,kina sheikh Mwaipopo mko wapi?
Je tukiandamana NDO wao wataacha kupiga au vp sielewi hapo na kwann waarabu wenzaoo hawaandamani tuandamane Sisi Tanzania mhhh kuna mambo ni kukaribisha shida wakati wakatibu wameshaziepuka
Maandamano ya Namna yoyote Ile nilazima yapate kibali, kama huna kibali basi nikosa na police lazima ikukamate hata kama sababu za kuandamana zilikua za msingi na njema.
Umefafanua vizuri sana. lakini Tanzania tunashida, WHY wasimpe support! watambue anawakilisha nchi kukemea mauwaji ya huko Palestine. Hapa kuna shida mahala.
@@ibrahimmawazo5077 kama angefuata utaratibu lazima angepewa ushirikiano mkubwa sana, mfano angeomba kibali hili jambo lingejulikana sehemu kubwa sana ukute hata media zinge join , ila shekhe kafanya kinyemela Sasa katika Hali kama hiyo unazani mtu muelewa au taasisi makini itakuunga mkono!!!!!! Hawezekani ,taratibu ni muhimu sana .
Warabu wanaokaa tanzania watakuwa wamempatia chakwake huyo sheikhe kwa nini Palestine wakati Congo sudani ukireini watu wameisha sawa mnasema waisilamu ni ndugu inamana Palestine congo ukireini hakuna waisilamu mbona waisilamu dunia nzima
Kwenye comment utajua idadi ya mbumbumbu waliopo Tz. Huko ukristo ulikotoka ukaletwa wote wameandamana maelf ya watu wakiwepo watoto wasio na hatia kuuliwa maana wana ubinaadam lakin haoa wanajiita wakristo wanashabikia Israel na Israel wenyewe wanawadharau wala hawapo nao na dini yao sio ukristo. Kwa hiyo hawa wa hapa kwanza hawana dini (maana wanashabijia yasiyopo katika Biblia) na hata wayahudi hawapo nao. Pili point za kudai kishikiliwa waTZ wawili kama sio prooaganda au kweli mna uhakika wamewashikilia kwa kosa gani? Na kama kushikiliwa ni kosa hata ninyi mmeshikiliwa mara ngapi na nchi zisizokuwa za kiislam ? Hapa ni chuki tu na ushabiki lakin ukisema ni ayu wanaomjua mungu au wanampenda yesu basi yesu hakiwa na roho ya ushetani huo wa kushabikia ujinga. Binaadam ana huruma na kqma hao wazungu marekan na ulaya yote wanalaani halafu mdengereko ati anajifanya ndio anajua na anatetea unyama. Wachilia hao hapo wana nchi a Israrl wanapinga jinai hii ati mmakonde unajifanya unapotetea ushenzi unatetea dini yako ya kikristo je wewe kichwa kipo sawa?
Hapaa ndio utajua watanzania nimidomo mitupu tutaendelea kuburuzwa mpaka mwisho wa duniaa angalia ponda nakamatwa hakuna hata waku hoji kwamaba mamapelekwa wapi nakwaajili gani anaenda mwenyewe watanzania unafiki wetuu utatugarimu sanaa
Hamna dini ya kiislamu ni ya amani wale ni polisi na unajua nchi yetu wanaosababisha vueugu ni ao polisi wangeleta ubishi au kuhoji sana ungeona mabomu na risasa bora ya hayo kukubali kwenda naamini hawamshindi kwa hoja
Sasa vita ipo palestina unataka kuandama Tanzania iti upaze sauti atakusikia nani hebu tutolee ujinga wako we unaundugu na wapalestina yawapalestina waachie wapalestina na yawatanzania waachie Watanzania
Mii niligikili anafanya maandamano ya kudai katiba mpya kumbe maandamano ya kidini? huo ni uchochezi maana na waKiristo ambao wao wako upande wa Israel nao wataandamana kutetea Israel kwaiyo nchi itakuwa haikaliki kwasababu ya watu wa mashariki ya kati
Mzee mchochezi sana huyu. Anajikuta Palestina inamuuma kuliko wamama wajawazito wa Tanzania wanaofia wodini kwa kukosa huduma bora za afya.. mxhenzi kweli huyu
Mzee ponda una nini na taifa letu?muacheni mama Samia afanye kazi mbona kongo wanakufa waafrika wenzetu huandamani? Ulivyo mbinafsi umeona palestina. Hatufagilii mauwaji lakini ponda una kitu nyuma ya pazia.wee ichokoze selikali utafia huko rudisha pochi kama walikupa.
Wakati mwingine mizee kama hii mnatembeza vichapo kwanza mmeshindwa kufanya kazi za maana za dini mnakaliaga upumbavu sasa wewe ukiandamana huku utasaidia nini dunia nzima wanaandama na bado majamaa yanauwa watu kama mkweli kaa ndani amka usiku piga dua
Shekh ungemasisha duwa ya pamoja ingekuwa jambo jema maandamano ya watu 50 hayasaidii jambo la kufurahisha Hamas wamekaza buti vita ya ardhini imekuwa ngumu sana Israel wanawaza kupiga nuclear.
Wewe ambayo watu wako hawana kihelehele mpaka sasa unao wote au wengine washaakufa? Na kama washaakufa elewa ipo siku nawewe uwe na kihelehele au usiwe nacho utakufa tu
Hapo sudani wamekufa watu elfkumi hajaandamana,juzi hapo tulikuona na balozi wa palestina,wewe ponda umekula rushwa tapeli njaa wewe,, gaidi mwenye macho ya kichawi
Hivi kuna mwarabu au mzungu huko ughaibuni alishawahi Andamana kupinga vita na mauaji Africa kama congo ...Libya....Rwanda na Sudan?😂😂 Pumbavu kabis....ujingaaa tu mnaza....kujipendekeza msipopeondwa hapa huyu kichwa boga ...dini zinawapa upofu wajinga
Mashaa Allah sheikh ponda, Allah akubarik n waislamu wote kiujumla
Allah akuhifadhi shekhe ponda
Shida kubwa ya nchi hii mtu akishapata madalaka basi tena anajisahau kama vile yuko peponi kumbe haya maisha yanapita
Mimi ni Muislam tena ni Muislam safi, nasema wazi kua huu ni UNAFIQ. Unaandamana kwa ajili ya Palestina wakati wenzetu Ngorongoro, Mbarali na baadhi ya maeneo Watz wenzetu wananyang'anywa maeneo yao ya asili mpo mmekaa kimya. Acheni UNAFIQ na bora mmekamatwa.
@@sahimsalim9339 Kwa hivo kama Dunia nzima inaandamana kuisapoti Palestina ndo sababu na sisi tuyaache yetu yanayotusibu ili na sie tuwe kama hao wengine? Acheni UNAFIQ kama ni Uislam hata Ngorongoro na Mbarali Waislam wapo. Swadaq huanzia nyumbani Sheikh.
We muislimu jina una lolote muislimu ndungu yake ni muislimu na ndio maana mtume anatuambia mfano wa waumin ni kama mwili mmoja mumin mwenzio akipata tatzo kama umepata wewe zen we unasema ndo una uislamu akuna uislamu wa ivo kasome
Umenena vyema ustaadh Allah akujalie firdaus.. alhamdulillah🤲🏿. Unafiq kama huu ni wa kupigwa vita. Sheikh mzima anashindwa kutetea maslahi ya Watanzania wenzake anakukuruka kuingilia mambo ya Wapalestina.. mxhenzi sana huyu.
Mbaya zaidi kuna Watanzania wawili wanaoshikiliwa mateka na kundi la Wapalestina la HAMAS ila hata kukemea hakemei. MNAFIQ MKUBWA SANA HUYU SHEIKH
@@sahimsalim9339je? wale wanaouwana pale sudani, ni waislamu na wengine ni dini gani, maana sudani ni taifa la kiislamu, inaonekana nyie ndo wachochea Kuni sahihi.
@@sahimsalim9339kwahiyo wale parestina ndio waislamu wa kweli? Kuliko wale wa SUDANI.
Mungu akulinde shee ponda
Duhhh,kweli dunia imeisha,
Inasikitisha sana ...hawa wagalatia wa Tanzania wamevuka mipaka ya ujinga... kuwasupport mayahudi kwa kudhani ni watu watukufu...hali ya kuwa mayahudi hao hao wanawatukania mungu wao yesu kuwa ni mwana wa haramu... na hawamkubali mpaka kesho... hata ubinaadamu hawana kuona unyonge, udhalili na dhulma wanayofanyiwa Palestians zaidi ya miaka 80... kunyanganya nchi yao kimabavu...kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, kuuliwa, kufungwa na kufanywa wakimbizi... ndani ya mwezi mmoja zaidi ya watu elfu 20 wameuawa kikatili..
Na mama yetu Samia masikini mnyonge...hana nguvu... basi hata kujifunza kutoka kwa ndugu zenu wa South Afrika hamuwezi?
Wale Walslamu wanaojificha katika dini hatuoni, Allah Mujib
Watu hawakuelew lkin wallah wabillahi unafanya kazi kubwa bi hadha ddin
Hongera mzee wangu kwa kuupambania UISLAMU na kutupambania cc waislamu ambao hatukuelewi katika kuwaunga mkono
😂😂😂
😮😮😮😮😮😮😮
Hii Nchi ina matatizo mengi, ajabu matatizo yetu hatuyaoni tunaona ya wenzetu. Juzi tu Mama Masikini amefungwa miaka 22 kwa kukutwa na vipande 12 tu vya Nyama ya Swala wakati kuna Mafisadi wengi wanafilisi Nchi yetu na bado wako kwenye Afisi zetu za Umma. Mbona hiyo ni Dhulma mbaya lakini hamuandamani?
Kuna tofauti hapo sudani kongo na nyingne wanapigana wenyewe kwa wenyewe kwa maslahi yao binafs, Palestine wao Wanapigwa na madhalim
@@user-bx3kl4hn6j madhalimu gan wew Kwan walovamia wenzao kina nan
Hivi unajielewa ww au kinachoendelea palestina hujui asari zake kikiendelea vile kama huwez kumjali mtu wa mbali hata wakaribu yako hutomjali
@@feisalomar-hr3hq Kwan Vita iko Palestine tu mbn iko maeneo mengi na hamjaandamana hata kwaajili ya jiran zetu wa congo
@@anselmoonolius kama ulivyo SEMA vita Iko sehemu nyingi yamen Somali Iraq Sudan Kongo Nigeria siria lakin tunaangalia ni ipi inayo weza kuleta matatizo Kwa Dunia nzima Tena Kwa maramoja ndio mana watu wanaandamana Ili kuomba jumuia za kimataifa kusitisha mapigano Yale lakin inawezekana hujui unachokiongea na hutak kujifunza wala kufundisha ndugu upo kwenye chuki tu na unafkiri wanao Andamana wote ni waislamu acha ujinga yajue madhara ya vita tofauti
Kuna Watanzania Wawili wanashikiliwa mateka na Hamas , hatujasikia kauli yoyote kupinga utekwaji wao.
Hatujui wako hai au wameuawa.
Pole sana Waafrika Wenzangu
Mmezoea kupotoshwa na viombo vya habari vya western COUNTRY,wewe mkiristo leo hii ungekuwa unaishi Jerusalem au Bethlehem usingethubutu kuwaunga mkono taifa la Zionist la Israel
@@mkude Kwahiyo serikali ya Tanzania ni chombo cha habari cha wazungu? Kwa maana wao ndio wametangaza kuhusiana na vijana wawili wa Kitanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas.
We Mkude vipi? Halafu utakuwa Mluguru wewe maana ndio wana akili fupi kama vimo vyao.
@@mkude Sijaongelea Dini, naongelea vijana wawili wa Kitanzania wanaoshikiliwa Mateka tangu October 7
@@rajenderrobert8605 hizo propaganda zako utabaki nazo wewe huu sio wakati wa propaganda na uongo,kama hauongelei udini ni sawa maana haihitaji kuwa muislamu kupinga maovu ya Israel inahitaji ubinadamu,taifa la Zionist la kiisrael ni taifa haramu naovu linawanyanyasa waislamu na WAKRISTO wanaoishi Jerusalem na Bethlehem,na ukitaka kujua taifa ovu na haramu ni wabaguzi wakubwa wanawavagua majews weusi wenye asili ya Ethiopia,fatilia source za kwenye habari za ethiopi na Israel uone mayahudi weusi wanavyobaguliwa TEL AVIV.
@@rajenderrobert8605 Hilo ni taifa ovu sanaa la kiisrael wanaompinga Yesu na kumdhalilisha,sisi waislamu tinamuheshimu sanaa YESU kristo na tunamuamini.hilo taifa la Zionist linawabagua watu weusi wenye asili ya Ethiopian,waethiopian wenye asili ya watoto wa Israel wanabaguliwa Kwa rangi Yao tu
❤❤❤❤❤❤hii serikali naipena sana hatutaki udini hapa.nendeni mkaandamane hukoooo parestina😅
Katika kukamatwa waislam ndo munaipnda serikali ila katika kutia Saini mkataba wa bandar na waarabu munaichukia, wanafiki wakubwa
Usichokujuwa ni kuwa Palestina wakristu Wapo piya tena hao ndio wayahudi hawawataki kabisa.
Hapo Sudan Darfur waafrika wenzake wanauwawa na waarabu hilo halioni, anaona waarabu ndio ndugu zake zaidi
Mshenzi sana huyu sheikh, sijui wa wapi. Tunapoongea sasa hivi kuna Watanzania wawili wanafunzi wanaoshikiliwa mateka na kundi la Wapalestina la HAMAS, lakini hilo yeye halioni. Kama sio unafiq ni nini?
Wamfunge tena huyu, bado akili hazijamkaa sawa MNAFIQ MKUBWA!!!
@@NgengeMkeni-uo5hqakusamehe aliekuumba kwani hujui uongeacho ila cku ukikua utaacha
@@zakariasheiza2090 Sawa mungu nimekuelewa
@@NgengeMkeni-uo5hq nyinyi mmepotoshwa na viombo vya habari vya kizungu,hata Mandela alivyokuwa anadai uhuru wake walimwita Gaidi
@@NgengeMkeni-uo5hqwewe mkiristo leo hii ungekuwa unaishi Jerusalem au Bethlehem usingethubutu kuwaunga mkono taifa la Zionist,nyinyi wakristo mliopo huku mnajudai kuwa pamoja nao wao wakristo wa mashariki ya kati hawataki hata kuwasikia hao Zionist,Gaza wanapiga kila kitu wamelipiga katika la miaka zaidi ya 800 wameua wakristo Kwa waislamu waliokuwa wanajihifadhi hapo.
Mashalha Allah ataleta nusura
ALLAH akupe QAWLI -THABIT 🤲🤲🤲
😂😂😂
Hata mkiandamana Nan anawajua hapa dunian?Mambo mengne Ni kupoteza muda tu,acha wapgane watajua wao huko
Hiyo ndio tofauti yenu na sisi. Huwezi kutuelewa sisi hata siku moja.
No speaking still down Tanzania people
Allah anawajua vzr tu na anawaona pia
TANZANIA sijui tuna shida gani!! kwani hayo maandamano yanaathali gani kwa nchi???? dunia nzima wamefanya maandamano. NINI HIKI??????????????????????????????????????? SHAME ON US.
Tunaogopa kunyimwa misaada na mabwana zetu
Unafiki mkubwa huu congo kuna vita na ukrain lini mmeandamana, nyie mnaenda na mihemko ya udini hamna lolote la maana nchi ya kongo mmepakana, burundi miaka ya nyuma kadharika sikuwahi kuona hayo maandamano et leo ndo umeziona hizo sababu kwa watu wa Palestine huu ni utumwa mwingne wa kidini, somalia na suduni kuna vita pia za wenyew kwa wenyew mbn hamuandamn ?? 😂😂😂😂😂
Wanapenda sana uchochezi hawa watu. Ila naisifu serikali kwa kuzuia huu upuuzi, safi sana jeshi la Polisi.
@@sahimsalim9339Kuna Watanzania wawili wanaoshikiliwa mateka na kundi la HAMAS, mbona hilo hamzungumzii?
@@sahimsalim9339 si unaona akili yako ya kidini, kwahyo ww unaandamana kwakua wanaopigwa ni waisalm? Ndo maana na sisi hatutaki kupalilia huo upuuuz wenu mngeandamana kwa sababu za kibinadamu mngeachwa mkaandamana lkn kwakua Nia zenu ni Zina hila na unafiki wa kidini ndo maana mmekataliwa
@@sahimsalim9339 hata kukaa kimya nako NI kutokua mnafiki kuliko kujitokeza saiv et unaandamana kwaajili ya watu wanaokufa Palestine wakat jiran zako tu wako wanauawa kila cku hatujawah kukuona ukikemea, ndo maana uislam unahusishwa xana na ugaidi Congo wako magaid wenyew mmekaa kimya wacongo waendelee kuuliwa na Palestine wako hao hammas kwahyo nyie mko upande wa kundi la hammas
Wakristo wanauwawa kila siku huko Nigeria na kuteswa katika mataifa ya hawa waarabu. Sijaona watu wanaowaunga mkono wapalestina wakikemea mauaji ya waislam wa Yemen, Afghanistan, Libya, sudan na sehemu mbalimbali duniani. Chuki na uadui dhidi ya Israel zinawaamsha waarabu kuungana dhidi ya Taifa la Mungu. Waarabu hawajawahi kuwashinda waisrael hivyo Mungu yupo na Israel
Kandamane huko palestna acha udini hii inchi haina dini wengine hawajui hata dini manake nini ndo zenu za
Mzee mchochezi sana huyu.
Nyinyi wakristo mbona mataifa mengi ya wakristo wanaandamana kupinga mauaji ya halaiki yanayofanywa na Israel,angalia nchi za south America zenye wakristo wengi wamevunja kabisa mahusiano na Israel Kwa ubaya wanaoufanya.nyinyi wakristo Leo hii mngekuwa mnaishi Jerusalem au Bethlehem msingewatetea hata kidogo hao taifa la Zionist
@@mkude Kwahiyo kama mataifa ya Wakristo wanaandamana na sisi ndio tuige kuandamana? Hivi unajisikia unachokisema? Nchi yetu inaendeshwa kwa misingi na kanuni mbalimbali kwa ajili ya kudumisha amani tuliyonayo.
Jeshi la polisi kupitia vyombo vyake vya kiupelelezi vimeshakataza maandamano ya namna hii kwa kuhofia yataleta uchochezi wa ghasia za kidini.
Sasa kama wewe unabishana na mkono wa serikali, toka nenda kaandamane uone kitakachokukuta. Sheikh Ponda ashakamatwa bado wewe
nyie nimakumatu
ACHA wafanye watakavyo ila mungu yupo na anawaona wote wale wanao agiza watu wakamatwe Hali ya kuwa kutetea jambo watu ambao wanaonewa mungu anawaona
Acheni ushabiki nchi hii haina dini wapalestina na waislael wapambane wenyewe
Sahihi kabisa. Anachotaka kufanya huyu sheikh ni uchochezi tu
Kabisa kabisa
Niuchochezi sisi hatuko OIS atulie
@@josephchaba6007 Habari ndio hyo, kama inawagusa sana wafunge safari wakaandamane huko huko Gaza. Sisi hapa nyumbani hatutaki uchochezi
Mbona Saudi 🇸🇦 Arabia hawafanyi madamano
Wala UAE, Oman, Bahrain, Qatar. Kote huko hawaangaiki na maandamano
Saudia hawezi kuandamana kwakua yeye ndio sababu ya palestina kudhulumiwa na huezi kulielewa hilo kama huna historia na hujaisoma vizuri saudia
@@NgengeMkeni-uo5hqSaudi Arabia ni kibaraka wa marekani na washirika wake
Mnapenda kutumia nguvu kubwa Kwa raia askari
Hii nchi ina utaratibu wake. Fuata utaratibu. Ukiwekwa ndani familia ndo itapata tabu
Kuna watu wapo ndani uko Miaka na Miaka kwa kesi za kubambikiwa tu ukiona kufata taratibu ndio kunusurika na dhulma za serekali nenda ukonga katembelee wafungwa uwahoji
Ila ndugu zetu mnapenda shari khaa😂... kitunguu kikatwe kwa jirani machozi yakutoke mtaa wa pili. Hebu kuweni ni shimile bhn, nchi yetu sisi ya amani, tujitahidi kuidumisha.
Waislamu wote nindugu haijalishi wap yupo
@@binbuhakhamis4336 Nenda Gaza basi, sisi hapa hatutaki usumbufu
@@binbuhakhamis4336wasudani sio waislam jamani mbona hamuwaungi mkona?
umekosa akili
@@sabihaibrahim143 Kama kwa kupenda amani ya nchi yangu ndio kukosa akili basi kheri😃
Mbona nche nyingi zinapigana ajawai kuhandamana jamani mnawazim kweli mnatamani virungu mihiri yenyu yawawasha
Nchi zngne wanapiga wenyewe ila hawa wapalestine Wanapigwa umeona tofauti
Watu wanaroho mbaya sanaa niambie nchi gani uliyoona watu wanaiwa hovyo watoto Kwa wanawake,niambie nchi gani uliiona wanalipuliwa mahospitalini wakiwa wanauguza wagonjwa,niambie nchi gani umeona wanalipuliwa mashule wakiwa watu wamejihifadhi,niambie nchi gani umeona kanisa kubwa la kihistoria la miaka zaidi ya 800 wanalipua wanaua waislamu Kwa wakristo waliokuwa wamejihifadhi,tafakari
Nchi za Africa ikiwemo Congo watu wanakufa mbona hamuandamani.... Ifike wakati waafrica tuiamke...
Huyo Mzee mzima fatani mkubwa huyo kwani hukumbuki ktk mkutano wa Tundu Lissu na Chadema yake akajitokeza kusema ati Waislamu wote wa Tanzania wanaisapoti Chadema. Fatani mkubwa huyo Mzee aende kwao Uganda
Tuna changamoto nyingi Tanzania ambazo zimahitaji Kusemewa kwa Maandamano, lakni Hili la Palestina na Israel wala Sio Lamsingi Kwetu.
Mpuuzi sana huyu sheikh. Nchi mpaka leo ipo kwenye mgao wa umeme hatuoni wakiandamana. Katiba ya nchi inachezewa wapo kimya. Halafu kwenye hili la watu wa huko maili elfu mbili wanajikuta linawagusa sana😂
Hebu wakae kwa kutulia. Kama wamekosa la kufanya wachukue majembe wakalime. Wasituchoshe sisi na uchochezi wao wa kidini washenzi kweli
Makafiri mila yao moja
Miongoni mwa kazi ambazo uzao wangu hauto kuja kufanya ni kazi ya polisi wallah thumma wallah
huo ni uchochezi kwaiyo na waKiristo watanzania wanao unga mkono Israel nao waandamane?
Nadhani wamemzuia kwa sababu hiyo. Kuzuia uchochezi unaoweza kutokea
Ifikie asikal muogope mungu Sasa hapo Mzee wawatu kakosea Nini maana anazungumzia mambo nje mnamkamata au mnafurahi kuona wapalestina wanaangamia 😢 au mnapenda kuona Mzee wetu mkimnyanyasa
Mzee anapenda umaarufu huyu😂.. si angekuwa msaani tujue moja
We huoni kosa lake? Kama kweli ana utu aanze na maandamano ya wakongoman si wako wanapigana kila cku mbn hajawah kuandamana
@@anselmoonolius Sahihi kabisa. Kivu ya Mashariki hapo wanauwana kila kukicha hatuoni maandamano ya kukemea. Darfur, Sudan hapo watu wanauliwa kwa miongo mitatu sasa kimya. Halafu Palestina ndio inawauma zaidi, huu ni unafiki na uchochezi.
Huyu Sheikh ana itikadi za kidini ambazo ni mbaya sana kwa amani na ustawi wa taifa letu.
@@NgengeMkeni-uo5hq tuliza akili yako. We hujawaona watu wakiandamana kwenye Nchi mbalimbali kwa ajili ya Wapalestina? Mbona hukuwauliza kuhusu kongo?
@@ibrahimhassan2566 Kwahyo mnaandamana kwa kuiga? Hebu acheni ushamba nyie.
Waislam kwenye jambo la kiislam tena kisheria tushikamane alafu jambo lenyewe alina asali yeyote basi tuwe kitu kimoja
Wee Mzee Wetu Sh ponda Fuata Utaratibu wa Mamlaka hatutaki Vurugu
Mze wangu Leo umekosea kumbe wewe unaudini mbona kongo hujaandamana alafu ujue Nani kaanzisha Vita acha wapate dawa yao udini ndo unawaponza salaha huna unapigina myahudi kweri?
mpumbavu sana wewe sasa congo hata wewe pia si waweza kuandamana mbona uandamani unataka wenzio wandamane au kufuata utashi wao
Hongera kwa jeshi la Polisi kwa kuzima maandamano haramu yenye lengo la kuamsha hisia za uchochezi wa kidini. Hakuna mtu anayefurahia dhidi ya kile kinachoendelea Parestina na Israeli. Tukiruhusu hii hali nchi itakuwa ya maandamano kila siku, Kesho tutaona kundi jingine la Wafuasi wa Israel nao wataandamana kwa mabango, na kesho kutwa kundi la watetezi la wakristo waishio parestina.
Hivi vita sio vya kidini wewe uelewa waki nimdogo sana
@@abdallahmmary8591mmh😅😅😅
@@abdallahmmary8591Ndugu yangu Dullah hata kuandika tu hujui. Hii tayari inatupa picha juu ya uelewa wako wa mambo😂
@@NgengeMkeni-uo5hqwewe unachuki kila comment upo hapa,lakini ujue hao Israel wanaroho mbaya sanaa sio Kwa waislamu tu hata Kwanyinyi wakristo,huko Jerusalem nyinyi wakristo mnatemewa mate hadharani kweupe,kwanza hao unaoangaika kuwaletea hawamkubali Yesu hata kidogo
Aya Bwana kazi unayo wameshidwa Nchi za Kiarabu yameshidwa umejiingiza kwenye matatizo mwenyewe
Acha chuki kwani kuandamana Kwa amani nchi za kiarabu zimeshindwaje,wanaandamana nchi zenye wakristo wengi Duniani kupita mauaji ya Israel
@@mkude umeshidwa kuelewa msimamo wa Nchi yako autaki kujiingiza kwenye mgogoro wa Mashariki ya kati ndiyo maana umeona Watanzania wengi wanaishia kuomba duwa kwa amani na suluisho lije araka kwa mzozo huu wanao kufa wengi ni Wapalestina umeona kanisa limekaa kimya
@@derickcowly6681sawa Haina shida zinatosha nchi nyingi duniani zinalaani hata mataifa yenye wakristo zaidi ya asilimia 90 pia yamevunja uhusiano na Israel kutokana na mauaji ya halaiki ya wapalestina wanavyouliwa.
@@derickcowly6681 taifa haramu la Israel hawana muislamu Wala mkiristo wote wananyanyasika sanaa kutokana na Hilo taifa,wamelipua kanisa kubwa la historia huko Gaza wamewaua wakristo na waislamu waliokuwa wamejihifadhi hapo wakijua watasalimika.hawana ubinadamu hao wamelaaniwa wamewaua manabii na wanamkataa Yesu kabisa
Safi sana polisi Tanzania mko vizuri
Kwa hy sawa walichokifanya
POLENI WATANZANIA HAMUNA UHURU SISI WAKENYA TUNASHUKURU MUNGU KWA KUTUJAALIA TO HAVE FREEDOM ...IN MY LIFE TIME SIJAWAHI KUONA WATANZANIA WAPO NA FREEDOM POLENI SANA WABONGO..
Allah atakulida shehe
Ila mnapenda shari ndugu zetu khaa😂
Amrinde na nn sasa
Allah akusimamie sheikh ponda
Huyu Mzee ni ana tetea wauwaji. Hovyo kabisa
Mjinga sana huyu mzee
Kuna Watanzania wawili wanaoshikiliwa mateka na Hamas, hilo yeye halioni. Mpuuzi sana huyu
Hata wangekua chadema wasingekubali kiongozi wao anakamatawa kienyeji hivi halafu mbona siwaoni kina sheikh Walidi, Kundecha,kina Kishki,mnaongelea misikitini kuandamana kulaani vitendo vinavyofanywa na mayahudi mnaogopa kujitokeza,kina sheikh Mwaipopo mko wapi?
Alichokua anakianzisha akijui hataangamia alishindwa kuyaombea mataifa yanayo pigana anataka kuandamana si ujinga uo alitaka atuletee ngogoro.
Nyie waislamu ni magaid
Gaidi mama yako
Aende Palestine akaandamane
Hawa wazee wa hivi huwa wanavuta bangi sio bure 🤣🤣🤣🤣
Mzee anatumika sana huyu kwenye mambo ya udini.
Kichwa panzi huyu. Anasupport ugaidi
Ili jeshi la ccm ifike wakati tuwapige wakome kuonea watu police wenyewe wako laki moja wananchi tuko million 60 alafu wanakaa uswahilini
Pambania kesho yako dogo. Una familia inakutegema, achana na mihemko ya kisiasa
@@NgengeMkeni-uo5hq mm co dogo tafazali
@@mangulimanguli3974 Tulia dogo
Hahahaha
Mbna mnapenda kumsumbua uyu mzee amefanya kosa gani
Tuanze hapa Baba
komboa tohara kwa wanawake Tanzania na Afrika
Wamesingizia ni Kukeketa na sio tohara
Na pia ni amri za wazungu .
Ni laana kuzaliwa tz
Sasa wew ni mtanzania na wapelestina wapi na wapi tujenge nchi yetu
Kama kawa
Sasa mtu ameenda kuandamana hana hata panga Wala nyembe alafu unamwambia anahatarisha amani amani ipi mnayosema
Mama Kizi Mkazi
Na undugu na palestina je vp wakongo waafrica wenzako wanaoteseka kila kukicha
Wao walivyo shambuli watu pale Israel mbona mlikaa kimya?
Maaandamano ya nini tena!! Wazee!!
Mzee anawashwa huyu, si bure
Ngoja niandamane hadi kituo cha polisi kumtoa shehe ponda
Je tukiandamana NDO wao wataacha kupiga au vp sielewi hapo na kwann waarabu wenzaoo hawaandamani tuandamane Sisi Tanzania mhhh kuna mambo ni kukaribisha shida wakati wakatibu wameshaziepuka
kuna Ukraine watu wameuliwa mbona hamkuandamana na bado wanauwawa.
Huwezi kuelewa wewe hata siku moja.
Wacha ufatani wako wee . Hua unakosa vitu vya kufanya nenda kwenu Uganda
Hawa VP hawa marekani kwenyewe wanaaandamana
Maandamano ya Namna yoyote Ile nilazima yapate kibali, kama huna kibali basi nikosa na police lazima ikukamate hata kama sababu za kuandamana zilikua za msingi na njema.
Umefafanua vizuri sana. lakini Tanzania tunashida, WHY wasimpe support! watambue anawakilisha nchi kukemea mauwaji ya huko Palestine. Hapa kuna shida mahala.
@@ibrahimmawazo5077 kama angefuata utaratibu lazima angepewa ushirikiano mkubwa sana, mfano angeomba kibali hili jambo lingejulikana sehemu kubwa sana ukute hata media zinge join , ila shekhe kafanya kinyemela Sasa katika Hali kama hiyo unazani mtu muelewa au taasisi makini itakuunga mkono!!!!!! Hawezekani ,taratibu ni muhimu sana .
Warabu wanaokaa tanzania watakuwa wamempatia chakwake huyo sheikhe kwa nini Palestine wakati Congo sudani ukireini watu wameisha sawa mnasema waisilamu ni ndugu inamana Palestine congo ukireini hakuna waisilamu mbona waisilamu dunia nzima
Kosa lake nini mbona nchi nyingi zimefanya maandamano
Mbna sudani amsemi wanamgambo wakialabu wameuw watu weusi mia 8 wenzio
Kwenye comment utajua idadi ya mbumbumbu waliopo Tz. Huko ukristo ulikotoka ukaletwa wote wameandamana maelf ya watu wakiwepo watoto wasio na hatia kuuliwa maana wana ubinaadam lakin haoa wanajiita wakristo wanashabikia Israel na Israel wenyewe wanawadharau wala hawapo nao na dini yao sio ukristo. Kwa hiyo hawa wa hapa kwanza hawana dini (maana wanashabijia yasiyopo katika Biblia) na hata wayahudi hawapo nao. Pili point za kudai kishikiliwa waTZ wawili kama sio prooaganda au kweli mna uhakika wamewashikilia kwa kosa gani? Na kama kushikiliwa ni kosa hata ninyi mmeshikiliwa mara ngapi na nchi zisizokuwa za kiislam ? Hapa ni chuki tu na ushabiki lakin ukisema ni ayu wanaomjua mungu au wanampenda yesu basi yesu hakiwa na roho ya ushetani huo wa kushabikia ujinga. Binaadam ana huruma na kqma hao wazungu marekan na ulaya yote wanalaani halafu mdengereko ati anajifanya ndio anajua na anatetea unyama. Wachilia hao hapo wana nchi a Israrl wanapinga jinai hii ati mmakonde unajifanya unapotetea ushenzi unatetea dini yako ya kikristo je wewe kichwa kipo sawa?
Hahahahahaha eti ukombozi wangelipua watu acha unafki
Hapaa ndio utajua watanzania nimidomo mitupu tutaendelea kuburuzwa mpaka mwisho wa duniaa angalia ponda nakamatwa hakuna hata waku hoji kwamaba mamapelekwa wapi nakwaajili gani anaenda mwenyewe watanzania unafiki wetuu utatugarimu sanaa
hv hao mnaowatetea mnajua kuwa wanawashikilia watanzania wenzetu wawili hko?Tuache udini , tuwe binadamu kwanza na anaevuruga amani lzma achukuliwe hatua.
Tuhoji nn wakati kayatinyanga
Hamna dini ya kiislamu ni ya amani wale ni polisi na unajua nchi yetu wanaosababisha vueugu ni ao polisi wangeleta ubishi au kuhoji sana ungeona mabomu na risasa bora ya hayo kukubali kwenda naamini hawamshindi kwa hoja
Allah yupo nawe pampana bila kuogopa mtu
Sasa vita ipo palestina unataka kuandama Tanzania iti upaze sauti atakusikia nani hebu tutolee ujinga wako we unaundugu na wapalestina yawapalestina waachie wapalestina na yawatanzania waachie Watanzania
yauwonevundowanayafanya laanakukubwa allh ilanki
Mii niligikili anafanya maandamano ya kudai katiba mpya kumbe maandamano ya kidini? huo ni uchochezi maana na waKiristo ambao wao wako upande wa Israel nao wataandamana kutetea Israel kwaiyo nchi itakuwa haikaliki kwasababu ya watu wa mashariki ya kati
simbaya na wao wangeandamana zamu yao eti kila mtu apewe uhuru
Mzee mchochezi sana huyu. Anajikuta Palestina inamuuma kuliko wamama wajawazito wa Tanzania wanaofia wodini kwa kukosa huduma bora za afya.. mxhenzi kweli huyu
@@NgengeMkeni-uo5hq wa Tanzania shanda yientu elimu ndogo tumbo and mdomo and Cho message ngenge mkeni
@@khamisjuma8501 Rudi shule ukajifunze kuandika kwanza.
@@NgengeMkeni-uo5hq sometimes you can make down ever anymore some people still sleeping for nothing elimu ndogo tumbo and mdomo and Cho
...kutetea HAMAS heshima yangu kwako basi. Sikubaliani na mauji ya Israel na pia walichofanya HAMAS. Sasa naanza kukuelewa dhamira yako ya ndani
kwa nchi yetu nilijua hayafanyiki tunafadhiliwa na mayazuni
Uandishi wako dada yangu unanipa mashaka😆
Umetoka chooni mbio, Kuna nini huko.
Makoloni nao kimbelele hamjui kitu
Ndio Tanzania 🇹🇿 yetu hii
Sasa huo ni unafki
Wambieni hamas waache gorrila war technique ili wapunguze maasi kwa wananchi.
Mzee ponda una nini na taifa letu?muacheni mama Samia afanye kazi mbona kongo wanakufa waafrika wenzetu huandamani? Ulivyo mbinafsi umeona palestina. Hatufagilii mauwaji lakini ponda una kitu nyuma ya pazia.wee ichokoze selikali utafia huko rudisha pochi kama walikupa.
Masheh wamekuachia ww wala hawatowi tamko kwa kukamatwa kwako
Anae kutumaga ninani mbona anakuponza ichi yenyewe ya hivyo kilakitu kibaya kaaga kimya babu bwana
Wakati mwingine mizee kama hii mnatembeza vichapo kwanza mmeshindwa kufanya kazi za maana za dini mnakaliaga upumbavu sasa wewe ukiandamana huku utasaidia nini dunia nzima wanaandama na bado majamaa yanauwa watu kama mkweli kaa ndani amka usiku piga dua
Haya sasa unabii wangu huooo unatimia. Maombi ni slaha ya taifa
mkiandamana wataacha vita kisha mmeandamana???
Funga hao
Shekh ungemasisha duwa ya pamoja ingekuwa jambo jema maandamano ya watu 50 hayasaidii jambo la kufurahisha Hamas wamekaza buti vita ya ardhini imekuwa ngumu sana Israel wanawaza kupiga nuclear.
umesema kweri akhy maana watu wana jazba za kijinga
Hawatakuwa ladhi mayahudi namanaswala mpaka tufate Mila zao waislamu wote tuamke kumekucha shekhe wetu Allah akuongoze mpaka mwisho wauhai wako
Sasa wewe unahisi vita itaisha kwa kuandamana dar????
Si ulikatazwa wee ukatuzalilisha ati Waislamu wote wataisapoti Chadema ktk uchaguzi 2015. Fatani mkubwa huyo
kulikuwakunakosagani mpakawamkamate mbwatuhawo polisiyanayo taxiway wayafanyiyekazi hawayafanyi
Kimbelembele chako hicho kinakuponza kihelehele😂😅😂😂😂
Wewe ambayo watu wako hawana kihelehele mpaka sasa unao wote au wengine washaakufa? Na kama washaakufa elewa ipo siku nawewe uwe na kihelehele au usiwe nacho utakufa tu
Vipi kuhusu watanzania wenzetu wawili wanao shikiriwa na Hamas
Hawa watu ni wanafiki kweli. Hilo hawalioni, wanakuambia Wapalestina ndio ndugu zao😂
Iye nchi aina sheria ata kusikiliza watu awasikilizi
Mfumo kristo unafanya kazi yake
Hapo sudani wamekufa watu elfkumi hajaandamana,juzi hapo tulikuona na balozi wa palestina,wewe ponda umekula rushwa tapeli njaa wewe,, gaidi
mwenye macho ya kichawi
Hivi kuna mwarabu au mzungu huko ughaibuni alishawahi Andamana kupinga vita na mauaji Africa kama congo ...Libya....Rwanda na Sudan?😂😂
Pumbavu kabis....ujingaaa tu mnaza....kujipendekeza msipopeondwa hapa huyu kichwa boga ...dini zinawapa upofu wajinga
😂😂😂
Maandamano ya Amani ni kuwaombea