MATAJIRI WAKINGA WA K/KOO WABANANISHWA NA DC, MAGHOROFA KUHAMIA MAKETE, WATAJA WATAKACHOANZA NACHO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024

Komentáře • 58

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 23 dny +8

    Hayo Tunaweza sisi Wachaga Wachaga oyeeee❤

  • @timothsanga3086
    @timothsanga3086 Před 23 dny +5

    Bora kikao hiki kizae matunda,Mungu awabariki

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před 23 dny +2

    Ushauri mzuri.
    Mtu ukishakua na ziada ya kutosha, ndipo ufuate ushauri wa waandaa hiyo washa. Maana ukipeleka mtaji sehemu isiyo na mzunguko, fedha itaisha tu. Wanamakete muishio dar es salaam. Kuweni makini sana na ushauri huu. Mbinu sio uchawi. Ukijichanganya unarudi makete kuishi, sio kufanya biashara.

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 21 dnem +2

    Wakinga wako serious mchaga amepitwa parefu sana na hawa watu..
    Waaminifu sana na hawana jeuri kama wachaga na wahaya

  • @hizamawa6046
    @hizamawa6046 Před 23 dny +3

    TATIZO MASHARTI

  • @johnmathew9994
    @johnmathew9994 Před 22 dny +2

    Siku ikitokea wakajikusanya wachaga kama hivyo na kusema tukawekeze nyumbani mbona mitandao itavurugika kwa tuhuma za ukabila na ubaguzi na serekali itakuwa ya kwanza kutoa tamko dhidi ya ubaguzi wa wazi

  • @ElizaMbogela-fl2xg
    @ElizaMbogela-fl2xg Před 23 dny +1

    Nyumba za kuishi makete ni nzuri na zamaana kwa asilimia kubwa

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 23 dny +2

    Jamani waacheni hawa jamaa maokoto ya wengi wao ni ya masharti. Siri zao wanazo wenyewe. Kama uongo wakajenge uone kama ndururu hazijaisha 😂😂😂.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 23 dny +1

    huwa najiuliza kwanini dar es salaam hakuna mitaa inayoeleweka, kumbe kuna watumishi hawana uchungu na DSM na siku zote wanawaza maendeleo ya nyumbani kwao safi saana Mheshimiwa, mkataa kwao mtumwa

  • @ikeallaround794
    @ikeallaround794 Před 16 dny

    Ndugu mwandishi,nadhani haikuwa vizuri kuweka title inayoleta hisia za "ukabila"- waliokaa hapa ni wananchi wa makete waishio Dar es salaam. Kwa hiyo kuandika wanaMakete ingetosha! Mtu anayeishi Makete anaweza kuwa mtu yeyote...Mkinga,Mbena,mnyakyusa,Mchaga nk.

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 Před 23 dny +1

    Kujenga Nyumbani wanajua Wahaya TU!!!😂😂😂😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 24 dny +1

    Haji mtu huko. Kila mtu anajua wapi afanyie biashara na kuishi wapi.

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 Před 19 dny

    Mimi naona unapowekeza ni lazima pawe panalipa,ila hili linawahusu wote waliotoka makete bila kujalisha wamehamia wapi

  • @SalamaBaaliya-zs1ol
    @SalamaBaaliya-zs1ol Před 16 dny

    Ukabila wengne wapate wapi kazi

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w Před 23 dny

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 masharti ndio tatizo 😂😂😂😂😂 afu siri yawatu wamakete kufanikiwa inajulikana😂😂😂😂😂😂

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 23 dny

    Ijengwe DAR.mwanza.arusha ....mnawaza uchafuuu😂😂😂😂😂

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 6 dny

    Mbona ninyi mmeshindwa kwenda kuwekeza ? Utajiri unasiri yake na jasho na damu ,wanafuata kuliko na cash flow ,ni vyema kwenda kuwekeza ila waandalieni fursa zitakazowalipa nje ya hapo kwakuwa hawako Huko ni ngumu so kikubwa ni KUONESHA MAZINGIRA wezeshi ndo maana wameenda kulikowekwa MAZINGIRA ya kuwekeza

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 23 dny

    Kwan mganga wake kampa masharti gani😂

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. Před 20 dny

    Wazo zuri na wengine waige sasa

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před 23 dny +3

    Wakinga wanasemaga wanatoa kafala sijui nikweli?

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 Před 23 dny +2

    Kwa hiyo mmesema huu uliojadiliwa hapa sio ukabila?... Okay

    • @iskiji1240
      @iskiji1240 Před 22 dny

      Hii iko very tricky aisee, kuna mkinga mmoja alinambia walitaka kufungua benki ila walikataliwa. Inabidi uwe mjanja kuepuka mtego wa ukabila

    • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
      @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před 21 dnem

      @@verbalverbal2019
      Hapana sio ukabila.
      Hapo ni jamii ya watu wa eneo fulani wanekutana na kuongelea mambo ya kufanya maendeleo katika maeneo yao ya asili. Maana wanafanya maendeleo sana katika maeneo wanayofanyia shughuli zao. Na hapo wakinga wasomi wanawashawishi wenzao kupeleka maendeleo makete. Kwa hiyo sio ukabila wao kukutana na kuongelea hayo waliyoongea.

    • @verbalverbal2019
      @verbalverbal2019 Před 21 dnem

      @@iskiji1240 Wanachokijadili kinaleta maana, kama Makete haijachangamka wenyeji wake ndio wanatakiwa wawe wa kwanza kuingiza nguvu especially kama wana mafanikio na wanawekeza maeneo mengine, lakini ukisikiliza vizuri baadhi ya wachangiaji una-sense kuna ukabila fulani hivi

    • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
      @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před 21 dnem

      @@verbalverbal2019
      Ni kweli unaweza ukahisi wana ukabila kwasababu wamekutana wote wakinga. Lakini wangekuwepo wabena ungeamini kile ninachojaribu kukufafanulia. Wanajadili na kuizungumzia zaidi wilaya ya makete. Wilaya ya ambayo siyo ya wakinga tu, kuna sehemu kama mpaka wa wilaya ya wanging'ombe na makete wapo wanaishi wabena. Mpaka wa wilaya ya mbalali na makete wanaishi wasangu.

    • @hagaisanga7286
      @hagaisanga7286 Před 18 dny

      Hio ni meeting ya wanamskete wapo wawanji,wamagoma wakinga na wamahanji wala sio mkutano wa wakinga tu watu ndo hawaelewi wanafikiri makete ni wakinga tupu​@@TOUNDISELASSIE-xj8oy

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Před 23 dny +1

    Wajenge kwao wafirisike subutu utajiri wao unamashrti wajari waone wataka pukutika usizione suti hizo wanamaisha magumu hao hafazali ya wewe rofa ukila ugari wako na kauzu unashukuru

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c Před 20 dny

    Wakinga oyeee

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 Před 21 dnem

    Mbona wandengeleko na wazaramo, hawana shobo na miji ya watu jamani?

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 Před 21 dnem

      Ndio tumekuja kuwafaid Sasa Kila mnapoenda tutawafuata siku mkigundua kuwa na shobo Kuna faida sisi tutakua na maisha magumu aise

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 23 dny +1

    Nasisi wanyakiusa kikao tuweke tuijenge tukuyu yetu kusauzi

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Před 24 dny +2

    Tatizo lenu makete uchawi

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 Před 24 dny

      Tafuta Hela wewe,ukienda hata Kwa muuza nyanya utakuta mikaaa au ndula,kila mfanyabiashara Imani hiyo anayo

    • @ElizaMbogela-fl2xg
      @ElizaMbogela-fl2xg Před 23 dny

      Walikuloga ww unahangaika na kuteseka ukiwa wapi

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 23 dny

      @@ElizaMbogela-fl2xg nikiwa makete,napambana na wachawi

    • @merumount5988
      @merumount5988 Před 23 dny

      Mambo ya kujinasibisha ueneo, kabila nk ni ujinga..huyu ni RAC anajinasibisha ueneo, hivi mikoa yote watu wajinasibishe walikotoka kitaeleweka kweli? Labda baada ya mgomo kariakoo wnakuja na divide n rule ndiyo lengo lake huyo..kwa nini sasa hivi?

    • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
      @OnesmoEmmanuel-xr2rf Před 23 dny +1

      𝐍𝐚𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐮𝐚 𝐦𝐜𝐡𝐚𝐰𝐢 𝐮𝐰𝐞 𝐧𝐚 𝐡𝐞𝐫𝐚 𝐩𝐢𝐚 𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐰𝐚𝐳𝐨 𝐟𝐢𝐧𝐲𝐨.𝐲𝐚𝐤𝐮𝐤𝐰𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐡𝐞𝐫𝐚 𝐧𝐢 𝐦𝐜𝐡𝐚𝐰𝐢

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 Před 24 dny +3

    sawa sawa mabingwa wa kufanya biashara kwa mbinu kuliko akili 😃

    • @badymedia9648
      @badymedia9648 Před 23 dny

      Nakuelewa😂😂 umeeongea kwa hisia

    • @machachehardware5975
      @machachehardware5975 Před 22 dny

      Biashara kwa mbinu ndo kila kitu kuna ma genius wengi hawana hela maisha maandiko yenyewe yanasema akili nyingi huondoa maarifa

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 Před 18 dny

      Wachagga tukizidiwa tunaanza majungu na umbea,,shame on us😆😆

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa Před 18 dny

      Imeandikwa kwenye kitabu gani kaka?​@@machachehardware5975

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga2463 Před 16 dny +1

    Tena si kujenga tu wauze magorofa hayo wakajenge makete na waishi uko uko.

  • @cosmasmwaifwani243
    @cosmasmwaifwani243 Před 21 dnem

    DC anapoteza muda tu. Utajiri wa Wakinga ni wa makafara na masharti. Walio wengi hawaruhusiwi kuishi maisha mazuri yenye anasa. Wakifanya hivyo wanafikisika au kufa. Wengi wamewaweka mama zao waliokufa au ndugu zao kwenye vyumba maalumu kuvuta hela

    • @emmyomary9640
      @emmyomary9640 Před 20 dny

      Jishikilie wewe watu wanamashamba ya miti