MBOWE AWAVAA VIONGOZI SERIKALINI, AMPONDA MAKONDA "ANAUA WATOTO WETU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 163

  • @FrankMichael-tg4vz
    @FrankMichael-tg4vz Před měsícem +1

    Maisha marefu zaidi mh mbowe❤❤

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před měsícem +12

    Makonda oyeee

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi Před měsícem +1

    nakubali kamanda mbowe mungu akupe afya njema na miaka mingi kama namba za vocha

  • @MichaelBahati-o8h
    @MichaelBahati-o8h Před měsícem +1

    Mbowe nakukubali sana mzee.

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Před měsícem +3

    Mbowe stuka mfwate msigwa ohoooo shauri yako

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Před měsícem +9

    Tulia wewe tena uongee kwa heshima achana na mtu anayeitw makonda usimguse kabisa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem +2

      Chadema watu wangi sasa wanawajua nao ni wapigaji kama ccm pia viongozi wao na wa ccm lao moja . Pia viongozi wa chadema wamo kwenye mfuko wa samia

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před měsícem +6

    MNAEMTUKANA MBOWE NI WAJINGA KUPINDUKIA, CCM MNAJIVUNIA WIZI TU

  • @w_media_house
    @w_media_house Před měsícem +5

    Ni kweli siasa ni muhimu, ila sasa kumponda makonda unaharibu🙌🙌

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Před měsícem +2

    Ccm kweli ni nomaaa hawa jamaa washalegezwa

  • @user-xd9kw6nt8w
    @user-xd9kw6nt8w Před měsícem +18

    Ila bwana tuseme ukweli chadema ni chama cha vijana na wanafunzi ambao kazi yao nikushabikia tu na kura hawapigi

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před měsícem +2

      Jitakari. Acha ushabiki utakaoathiri maisha yako na kizazi chako.

    • @ifozatv2513
      @ifozatv2513 Před měsícem

      ​@@monicamwita7865tatzo bado yuko usingizn

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +3

    Hahahahahaha hana jipya yaani hii Ni nyongeza ya Utumbo pale USA-RIVER kwenye ile bar yetu ya nyama Choma Kwa ugali

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před měsícem +3

    Mungu ibariki Tanzania

  • @EdwardMbwambo
    @EdwardMbwambo Před měsícem +1

    Napenda haki ila mwanasheria sina, nikifikiria maisha yangu huwa naangalia tu alaf napita naogopa kupotea

  • @ElishaJohn-ws5ix
    @ElishaJohn-ws5ix Před měsícem

    Mungu ibaliki chadema✌️ 2025

  • @samtanzania8165
    @samtanzania8165 Před měsícem +1

    MAKONDA OYEEEEEE😅😅

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem +2

    Mzee mbowe muachie mwingine uwenyekiti

  • @user-ln9px2vh6r
    @user-ln9px2vh6r Před měsícem +2

    Mimi ni chadema lakin kwa suala la kumpondea makonda nimeskitishwa sana
    Mbowe na ww unatakiwa uachie ngazi

  • @ShafiiSoud
    @ShafiiSoud Před měsícem +1

    ikifika kipindi kama hichi huaga napenda sana kuwasikiliza wanasiasa😂😂

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 Před měsícem +9

    Ila Mbowe unachoifanyia Chadema inatakiwa ufike wakati uone aibu wewe mwenyewe maana huna jipya kiukweli

    • @bushbabytz
      @bushbabytz Před měsícem

      nyoko wewe tuache na chadema yetu

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 Před měsícem +18

    Wewe unamponda makonda kwa ajili ya nini ulie tuu labda kama utamuweka mgombea anayekubalika kwa watu wote.

    • @IthamKudrack
      @IthamKudrack Před měsícem +1

      😂inaelekea uko vizuri kiuchumi hongera

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi Před měsícem

      Wewe ndo unamkubali mako ila cyo mm me nachotaka nikstiba mpya

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Před měsícem +1

    Nyie ni wale wale mtuache na ccm yetu mpaka ituuwe 🤣🤣🙏🤣

  • @katondostudio652
    @katondostudio652 Před měsícem +8

    Mbowe umegosa makonda. Umekwisha sasa!!

    • @user-pp1cq9op5y
      @user-pp1cq9op5y Před měsícem

      Mawazo finyu makonda anawapumbaza ndomaana amesema muoe ukumbi atawalipia akili matope

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před měsícem

      We unaakili za kijinga sana,bure kabisa wewe

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      Hawa jamaa ni wapoza muda tuu wao na ccm ni coin ile ile wao wapo upande mmoja ccm mwengine 😂😂😂

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      ​@@user-pp1cq9op5ymbowe na lema wana akili gani ? Kama wana akili mbowe hawasemi wakipewa watafanya piki tofauti samia na ccm yake. Makonda ni nani ? Mbona hamsemi SAmia au kwa sababu yumo kwenye kibegi cha begani cha samia 😂😂😂

  • @user-ny8jf7mn5h
    @user-ny8jf7mn5h Před měsícem +7

    Hapo ulipo umeijulia Siasa ya kukupa hela kaza kamba kuwatapeli mawazo watanzania ili uendelee kuishi kwa mdomo kwa ruzuku ipatikane

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před měsícem +7

    mbona arusha imeanza kupwaya😅😂

    • @EnockKanduli-cv8yr
      @EnockKanduli-cv8yr Před měsícem

      Hapa sio Arusha mjini. Ni murieti

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem +1

      Hawa jamaa kisiasa wamefilisika , wao walidhani kupita kumsema Magufuli ni mtaji kisiasa , leo wanao kumsema makonda ni fimbo kiasi wakati ni kinyume na wNavyo dhani . Baada kuuza sera kwa nini wapewe nchi . Wapo kwenye kelele ambazo haziwasaidii chochote kisiasa

    • @erickchitumbi1308
      @erickchitumbi1308 Před měsícem

      @@whatisthetruth.8793 usipojua unachotakiwa kufanya huwezi kueleweka na wanaokusikiliza.ndiyo maana ikifika kwenye uchaguzi wanapoteza kura nyingi.

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 Před 15 dny

    Hufai kuwa hata mwenyekiti wa kitongoji.nenda kapumzike baba

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya Před měsícem

    Mungu akutunze

  • @jazzykanye4862
    @jazzykanye4862 Před měsícem +14

    😂😂😂😂 huyu jamaa apimwe akili. Ndani ya chama hakuna haki wala usawa sasa haki gani ataleta kwa watanzania wote ingali kwenye chama chake cha ukoo hakuna haki na usawa

    • @MichaelJoashi
      @MichaelJoashi Před měsícem

      Ukoo upi lissu ni ndugu yake John heche ni ndg yake

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf Před měsícem

      Mubwa wewe tena kenge mukubwa

    • @Globalpeace123
      @Globalpeace123 Před měsícem

      Pole sana hujitambui kaa pembeni wapishe wanaojitambua waipiganie nchi yetu Tanganyika

    • @hamudshabani7801
      @hamudshabani7801 Před měsícem +1

      Tujadili issue ya nchi bila kujali chama hiyo ndio siasa safi sio kubwatuka hata ndani ya ccm hakuna haki

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před měsícem

      Unaongea Pumba

  • @gerardyoung1707
    @gerardyoung1707 Před měsícem +3

    Bora mpira kuliko siasa

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před měsícem +8

    Arusha Chadema ndio hivi....😢😢😢 hamna nyomi.....

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před měsícem +3

    😂😂😂...jamaa linajifariji hili

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před měsícem +1

    CHADEMA mlianza vzr lkn mkaja kushutukiwa. Awa waisani wenu wanawadanganya. Mmeshutukiwa na CCM lkn mkashutukiwa na Wanachama wenzenu. Mm niko pale.

  • @SamsonJohn-mo7en
    @SamsonJohn-mo7en Před měsícem +7

    Chama cha wahuni hicho

  • @user-dn7sc8lf8h
    @user-dn7sc8lf8h Před měsícem +7

    chadema mnahangaika tuui na kula ela za Bure, ccm kuipindua mtakaa sana

  • @hancemagembe6260
    @hancemagembe6260 Před 28 dny

    Wote hao hawapigagi kura ndio tatizo

  • @SarahEdithchambo
    @SarahEdithchambo Před měsícem +5

    Rekebisheni katiba yenu kwanza maana toka chama kianze uongozi ni huo huo ruzuku ifanye kazi tujue chama kipo imara hata madawati mashuleni pelekeni

    • @Globalpeace123
      @Globalpeace123 Před měsícem

      Duuuh pole sana Naona unga pats muda kusoma katiba ya chadema ungeelimika lakini umejaa pumba Za ccm pole sana😂

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před měsícem +1

    Uchaguzi lini kwenye Chama cha Chadema

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem +8

    Hamna kitu hapo mntumalizia mb zetu

  • @AbbasSaid-fp5rg
    @AbbasSaid-fp5rg Před měsícem

    Komwe linazidi kua kubwa tu kuachia nafas ya uenyekiti aaah

  • @JanethMollel-wk5th
    @JanethMollel-wk5th Před měsícem

    Ifike mahali upumzike Sasa mzee baba.

  • @user-vg4ph5zx8h
    @user-vg4ph5zx8h Před měsícem +4

    Boss hapo hoja yako ni ipi tunataka kujuwa ww kama mwenyekiti wa chama hoja yako ya msingi ni ipi??

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před měsícem +9

    Tuache na Ccm yetu

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762

    Saccos ya mbowe 😂😂achia chama mbowe

  • @GeorgeMwasibata
    @GeorgeMwasibata Před měsícem +5

    Mzee mwache makonda apige KAZI usitupoteze muda ww umisha wekwa mfuko mwa mama huna lolote polojo nyingi tumesanuka nyie machawa tu kwenda

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      Viongozi wa chadema wamo kwenye kibegi cha begani cha samia na kwenye mfuko wa kikwete. Kiasisa chadema wamefilisika , wanazunguka akili hawana lolote jipya .

    • @user-hq5mo3dx7l
      @user-hq5mo3dx7l Před měsícem

      😂😂😂😂

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před měsícem

    Naangalia mafuriko ya watu mpaka wanakanyagana hawana pa kusimama😂

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před měsícem

    Tatizo lenu nyinyi chadema ?? hamna uzalendo ?? hamna projet wala programme ya kuozesha

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 Před měsícem

    Unatumia ruzuku vibaya

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Před měsícem

    Makonda anajua sema kuna badhii ya viogozi wachache wanaozingua sanaa makonda jini acha kabisa

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před měsícem

    Mzee umechoka saana 😅

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 Před měsícem +4

    Wewe ni mjinga sana tena sana .

  • @gelvaskatapa3080
    @gelvaskatapa3080 Před měsícem

    Kwa kumponda makonda utaferisha chadema

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před měsícem

    Huyu m/kiti miaka 20000 kama siyo tapel😅😅😅😅 ni nini

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před měsícem

    Ila huyu mlevi

  • @AYUBUANDREA-rd3th
    @AYUBUANDREA-rd3th Před měsícem

    ww munchee makonda kabisaa

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 Před měsícem +1

    Kwa kuongea na kuhamasisha hamjambo

  • @user-sc9zs9bl9o
    @user-sc9zs9bl9o Před měsícem

    Utalinganisha makonda na mbowe hivi umechanganyokiwa

  • @salummagawa8802
    @salummagawa8802 Před měsícem

    Ww mbona utaki kuachia uwenyekiti wa chama chako...?? Acha kutumia watu kwa maslahi yako binafsi.

  • @rizikimtui8992
    @rizikimtui8992 Před měsícem

    Naamini yawezekana maafa yametokea ila wakati mwingine wataboresha mazingira ili kuepusha maafa.

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533 Před měsícem

    Mwaka 2025 bado huna sera yoyote ,,,utaona ubaya ubwera wewe ni mbinafsi,,mdini,,,,na mkabila hufai kuwa kiongozi wanakuchekea tu hao wapuuzi wako

  • @amedeustesha5947
    @amedeustesha5947 Před měsícem +5

    Fala kabisa Karne hii huelewi hata michezo ni ajira

  • @user-cr3mc1ch9g
    @user-cr3mc1ch9g Před měsícem +1

    Makonda anafanya kazi kubwa sanaa....Pikipiki ni kitu kidogo sana...mbona huongelei anavyosaidia watu wanao nyanyaswa?

    • @user-xd9kw6nt8w
      @user-xd9kw6nt8w Před měsícem

      @@user-cr3mc1ch9g hawa watu wanasema et Makonda anauwa vijana wetu kwani miaka yote Arusha uwizi ndo umetawala anawajenga waachane na mambo ya uwizi au wakati Lem alivyokuwa mbunge aliwafundisha uwizi sasa hataki watoke huko kwenye uwizi ili wenye akili hawatakaa wawachague hawa watu

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před měsícem

    Kumponda makonda ni ujinga

  • @ifozatv2513
    @ifozatv2513 Před měsícem +1

    Mwamba tena imara

  • @romamtalambuga7
    @romamtalambuga7 Před měsícem

    Mbowe akili hana

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla Před měsícem

    Mbona wewe utaki kuachia uongozi😂😂😂

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 Před měsícem

    Hadi unazeeka hakuna lengo ulilotimiza ni majungu tu

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 Před měsícem

    Tupo pamoja mzee achana na mazuzu wasoelewa hao wote wanaokupinga hawajaenda shule usihofu sisi wasomi tupo na wewe

  • @storytownTv
    @storytownTv Před měsícem

    Aya bwana ,me nisubir kampeni niprwe vibiriti na kofia za bure afu nitulie kura wapige wanao jua nchi inakoelekea

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem

    Mtetezi wa watanzania mbowe

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před měsícem

    MAFISIEMU na Machawa ndo hawataelewa ila Ukweli ni kwamba Chadema ni chama pekee Tanzania chenye Mvuto na kupendwa na wengi, Tunakupenda Mno Kamanda wetu Mbowe, Lissu, Lema, Heche, Pambalu na wengine wengi Chadema Tunawategemea Mno Chadema

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z Před měsícem

    Wanacho kosea chadema kupambana na makonda 😂😂😂 makonda ni mtu wa watu pambanen na ccm mtanikumbuka😊

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa Před měsícem +1

    Naona Watu Wakikosa Viti Chaguzi Zijazo.✌️

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Mbowe huna akili

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před měsícem

    Change is inevitable.

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 Před měsícem

    Umefanya nini wewe
    Zaidi ruzuku unayopewa ni kodi zetu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem

    YAN ULITAKA KIKIUWA CHAMA CHAKO W ENDELEA KUMZUNGUMZIA VUBAYA MAKONDA

  • @asinahussein2176
    @asinahussein2176 Před měsícem +5

    Mbona wewe uachi uenyekiti.😅

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 Před měsícem

    Katika mtu mjinga ni wewe mpumbavu mkubwa unaweza kuleta madaktari na madawa utibu watu bure mjinga mkubwa wewe mama yangu ametibiwa na ndg zangu bila hata mia muache makonda na ukitaka uchukiwe mseme makonda vibaya

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 Před měsícem +3

    Go home and rest stop

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      His has nothing new he is in pocket of samia with zitto 😂😂😂

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před měsícem

    Hivi we KENGEZA UNA KIPI ULICHOFANYA KWA WANANCHI KAMA SIO TUMBO LAKO TU

  • @MsatiOne
    @MsatiOne Před měsícem

    Tatizo sela hamna

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 Před měsícem

    Makonda ni mwamba imara hammwezi

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Před měsícem

    Mbowe tuko pamoja hatukuachi mpaka na wewe urudi ccm? Acha uwongo mkoa pekee ulio kuwa na wapinzani kuliko mkoa wowote ni KIGOMA tu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Hili jamaa limekua limwenyekiti toka niko darasa la tatu mpaka sasa nimezeeka bado lenyewe ndio limwenyekiti. Kweli huu ni urithi wa baba mkwe.

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa7223 Před měsícem +2

    Wewe mbona umekaa miaka 20hutaki waachia wengine waongoze moishe na tundulisu atawale acha konyagi mlevi mkubwa

  • @LeylahSunday
    @LeylahSunday Před měsícem

    Huyu baba apumzike

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před měsícem

    Wana chadema huyu mwenyekiti atuambie wakina lissu na heche wako wapi wanamuachia huyu dikteta hichi chama mm niko lissu na sio chadema

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Před měsícem

    Huku hakuna uchaguzi ndani ya chama nikama Ruanda mwanzo mwisho jamaa kitambo sana

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před měsícem

    Hamna kitu mweyekiti wa kudum

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 Před měsícem

    hizi siasa za kisenge hatuzitaki tena chadema ikishika nchi itakuwa kama kenye ya ruto tu kammke

  • @monicadavie4382
    @monicadavie4382 Před měsícem

    Makonda ni shujaaa,acha uwivu mzee mbowe

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Před měsícem

    Mbowe embu achia ngazi kwene chama waachie wengine au bac useme ni kampuni Yako bac endelea , umaskini haundolewi na vyama vya siasa waambie watu wachape kazi acheni kudsnganya watu

  • @dinnocelestin1894
    @dinnocelestin1894 Před měsícem

    Nilipokua mwanafunzi,tulikua tunatoka Ngaramtoni kwenda NMC kwenye mikutano ya CHADEMA,yalikua ni mafuriko ya watu wakati huo,tena ukisikia wanakuja hawa viongozi wao wa kitaifa,wabunge,nk ndo ilikua balaa. Sasa hivi angalia idadi ya watu kwenye mikutano,ni anguko kubwa mno.

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd Před měsícem

    ✌️✌️✌️

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 Před měsícem

    Shida ya hivi vyama vya upinzani hawana hoja zaidi yakuponda na kukosoa ccm na shida ya ccm ni viongozi waliopo ccm

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před měsícem +2

    MKUTANO WA MBOE NA MAKONDA UNAOKUWA NA MOBU NYINGI NI WA MAKONDA. MBOE KAISHA UYO. TENA HACHA KABISAAA KUMSEMA MAKO...

  • @neemansasu9761
    @neemansasu9761 Před měsícem

    Anza kubadilisha uongozi kwenye chama chako mbona wewe umeng'ang'ania

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před měsícem

    Fatani mkubwa huyo muongo mkubwa kupita maelezo. Hamuogopi hata mungu wake kwa uongo mtupu. Muongo fatani mkubwa

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před měsícem

    Mbowe Akili huna unamponda makonda wakati ww cha mm a unakifanya cha ujio wewe mhuni tu na wajinga wengine

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo Před měsícem

    Kwer

  • @BorySaronge
    @BorySaronge Před měsícem

    Hivi hawa chadema wanajitambua ndio sisi tunaopewa hasira na hawa hayawani kwani makonda kamkosea Nini hivi huyu mbowe anafikiri wananchi wa Arusha ni wajinga hawana ajili kama alivyo yeye makonda kafanya mangapi ya kuwaunganisha Wana wa Arusha katika fursa nyingi za kitalii ikiwemo na hiyo michezo ya kuendesha pikipiki kama nchi za ulaya zinavyofanya mbona michezo hiyo imefanyika Uganda na watanzania na wakenya walishiriki au anata makonda afungulie matumizi ya shisha ndio ashangilie mbona katika mikutano yake hajawahi kuzungumzia kupiga vita madawa ya kulevya kama nasema uongo toeni live ni wapi aliwahi kuipigia kelele serikali kuhusu madawa ya kulevya katika mikutano yake amuache makonda awatumikie wananchi wa Arusha na kuwafungulia njia nyingi za maendeleo nawaomba Wana wa Arusha anzeni kuwatafakari hawa watu kama wanawatakia mema wasiwafanye mitaji yao ya kisiasa muwe na akili kumutwe.