Ushuhuda wangu mwalimu wangu. Namshukuru Mungu ni miaka imepita nikiwa katika maombi yangu binafsi kwaajili ya muujiza, katika kuugua kwangu moyoni mwangu ndipo nikasikia unao mkutano pale jangwani,na nilisikia ndani yangu kuwaambia ndugu zangu kuwa leo mwalimu wangu Roho wa Bwana atamtumia kunisimamisha ili aniombee muujiza niliomuomba Mungu,nami nilipofika nilikaa upande wa waimbaji pastor safari na karibu na John lissu ndipo Neno la Bwana likakufikia ndani yako kusema nanukuu""kuna mtu ameomba maombi ya siku kadhaa,na kwako utakayesikia unaweza kucheka lakini kwake ni kitu muhimu sana,mtu huyu amemwambia Mungu anahitaji kuota NDEVU watu walicheka na ukaendelea kusema amekaa upande huu wa waimbaji hapa nilimtukuza Mungu kwakuwa nilifunga na Mungu alisikia kuomba kwangu ubarikiwe ndevu ni nyingi kwa sasa namtumikia Mungu kwa kuineza habari njema""
Mwa/ Mwakasege ! Mimi HEBRON MWANJALI MALATILA , Umri 68 yrs ! Uokovu tangu 1992 , Lakini bado nashindwa kutenda mapenzi yake YESU. Ila Mungu anaachilia Ahadi zake ktk familia yangu. Shida tangu! Naomba nijue kusudi lake Mungu juu yangu! Kabla ya muda wangu wa kurudi Kwake. Natamani na mimi nìmtendee ijapo tendo moja dogo jema kwa uweza na utukufu wake nikiwa bado duniani. Chris Mwakasege ! Nisaidie kunisogeza mbele ya Yesu Mungu wetu wewe na mimi.
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you ...
Nipo bukoba nimevutiwa sana na semina zako Mtumishi was Mungu,Mungu akubariki sana ,ninaomba kuuliza kwann makanisa mengine hayasemi upendo wa Mungu wanasema sheria za kanisa inakua vigume wanna wa Mungu kusimama maana hawaelewi ubarikiwe sana unatangaza upendo wa Mungu katika maisha yetu
Nasi tumefahamu PENDO alilonalo MUNGU kwetu sisi na kuliamini, MUNGU ni pendo.Barikiwe sana mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu
Mungu wangu akubariki sana mwalim mwakasenge, nakuelewa Sana mafundisho yako toka utoto wangu nakufwatilia Sana nilikuja nyumbani kwako mwaka 2016 nikamsalimia mama yako mzazi alinipokea kijana niliemkuta nyumbani nazani ilikuwa likizo ya shule sikumbuki ninani lakini nazani sio marehem Joshua , wakati huo sikuwa namjua Joshua nilikuja kumjua alipofariki ,namama yako mzazi niliumia Sana alipofariki mwaka uliofwata baada yakuigia pale ndani tukasalimiana badae nikarudy mbea mjini , Mimi natoka Kilimanjaro mbea nilifwata maisha tu
Upendo wa Mungu kwa mtu ni kubwa ! Kuliko Uzinzi au Uaji wako. Mungu ana wapenda hao zaidi yawaliyookoka. Huyu ndiyo Mungu aliye na mimi kabla sijakuwa ktk tumbo la mama yangu.
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
Mungu ! Amenifunulia kwamba: yupo palipo na Yesu , Roho wake na mtu aliyezaliwa × 2 ktk roho na moto. Ndo Mungu ameagiza tusiache kukusanyika , maana Mungu anapendezwa zaidi palipo 2 au 3. Fellowship yake Mungu ipo palipo Yesu na Roho mtakatifu au palipo Yesu , Roho na mtu aliyeokoka.
Bwana yesu asifiwe mchungaji.Mimi naitwa Elizabeth kutoka Kenya. Ila nafanya kazi nchini Saudi Arabia. Nimekua nikifuatilia mahubir yako kwa mda was mwezi sasa.nilikua nasumbuliwa n allergy kwa mda wa miaka 8.tangu nianze kuskiza mahubir yako naendelea vizur sana japo bado inanisumbua lakini sio kama zaman.mungu akubariki. naomba number ya kutuma japo sadaka kuoitia m pesa tafadhali.blessed again and again.🙏
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
mwalimu somo hili nimelipitia leo tarehe 14/08/2020. yani mimi nimerudi duniani, siombi ,sisomi bible,,,,na nmejaribu kuomba lakini sipati amani kabsa ,na ninampenda yesu sitaki dunia iniangamize kabisa.
My spiritual father may God bless u Baba yangu,ahsante kwa kunifundisha .kuna siku ulitufundisha somo LA Baba yetu alie mbinguni Limenifungua nasasa hivi nimechukua hatua nimeanza kuujenga ufalme wa Mungu mahali ninapoka.ubarikiwe sasa Baba yangu.
Mungu akutie nguvu Sana unasimama ktk kweli kutusaidia kweli huu ndyo with kweli umepewa bule unatoa Bure ungekuwa mpigaji pesa ungepiga kwelikwel kwa kuwa tunakuamin
Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa mary nipo msumbuji kupitia semina hii niliyoitizama leo tarehe 21/8nimempokea yesu maana nilirudi nyuma Noamba uniombee ili Mungu aendelee kunitunza ndani yake
Bwana akubariki Mtumishi watoto wangu niwalevi, niko Daresalama yombo Vituka, Nami nimemtolea Mungu wangu aokowe watoto wangu ni Monica Marco, Sina raha Nami napenda Yesu na natumika nikiwa na jaribu Hilo niombee
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
Asante kumzaa mtoto wako huyu na kwa kumwita kwa jina lake maana kuna wazazi wanazaa lakini hawawaiti watoto wao kwa majina yao na kwa majina ya sifa liinuliwe jina utukufu na heshima vikurudie ww
Ushuhuda wangu mwalimu wangu.
Namshukuru Mungu ni miaka imepita nikiwa katika maombi yangu binafsi kwaajili ya muujiza, katika kuugua kwangu moyoni mwangu ndipo nikasikia unao mkutano pale jangwani,na nilisikia ndani yangu kuwaambia ndugu zangu kuwa leo mwalimu wangu Roho wa Bwana atamtumia kunisimamisha ili aniombee muujiza niliomuomba Mungu,nami nilipofika nilikaa upande wa waimbaji pastor safari na karibu na John lissu ndipo Neno la Bwana likakufikia ndani yako kusema nanukuu""kuna mtu ameomba maombi ya siku kadhaa,na kwako utakayesikia unaweza kucheka lakini kwake ni kitu muhimu sana,mtu huyu amemwambia Mungu anahitaji kuota NDEVU watu walicheka na ukaendelea kusema amekaa upande huu wa waimbaji hapa nilimtukuza Mungu kwakuwa nilifunga na Mungu alisikia kuomba kwangu ubarikiwe ndevu ni nyingi kwa sasa namtumikia Mungu kwa kuineza habari njema""
Amen barikiwa sana mwalimu mwakasege na nyumba yako
Mwa/ Mwakasege ! Mimi HEBRON MWANJALI MALATILA , Umri 68 yrs ! Uokovu tangu 1992 , Lakini bado nashindwa kutenda mapenzi yake YESU. Ila Mungu anaachilia Ahadi zake ktk familia yangu. Shida tangu! Naomba nijue kusudi lake Mungu juu yangu! Kabla ya muda wangu wa kurudi Kwake. Natamani na mimi nìmtendee ijapo tendo moja dogo jema kwa uweza na utukufu wake nikiwa bado duniani. Chris Mwakasege ! Nisaidie kunisogeza mbele ya Yesu Mungu wetu wewe na mimi.
Nashukuru Mungu kwa jinsi anavyokutumia mtumishi kutufundisha kumjua Mungu akulinde uendelee kutusogeza zaid na USO wa bwana.
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you ...
Amen
Nipo bukoba nimevutiwa sana na semina zako Mtumishi was Mungu,Mungu akubariki sana ,ninaomba kuuliza kwann makanisa mengine hayasemi upendo wa Mungu wanasema sheria za kanisa inakua vigume wanna wa Mungu kusimama maana hawaelewi ubarikiwe sana unatangaza upendo wa Mungu katika maisha yetu
Nasi tumefahamu PENDO alilonalo MUNGU kwetu sisi na kuliamini, MUNGU ni pendo.Barikiwe sana mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu
Niko Mbogwe Geita naendelea kufuatilia semina hii kupitia CZcams. Mungu akutie nguvu mwalimu Christopher Mwakasege.
Mungu wangu akubariki sana mwalim mwakasenge, nakuelewa Sana mafundisho yako toka utoto wangu nakufwatilia Sana nilikuja nyumbani kwako mwaka 2016 nikamsalimia mama yako mzazi alinipokea kijana niliemkuta nyumbani nazani ilikuwa likizo ya shule sikumbuki ninani lakini nazani sio marehem Joshua , wakati huo sikuwa namjua Joshua nilikuja kumjua alipofariki ,namama yako mzazi niliumia Sana alipofariki mwaka uliofwata baada yakuigia pale ndani tukasalimiana badae nikarudy mbea mjini , Mimi natoka Kilimanjaro mbea nilifwata maisha tu
Upendo wa Mungu kwa mtu ni kubwa ! Kuliko Uzinzi au Uaji wako. Mungu ana wapenda hao zaidi yawaliyookoka. Huyu ndiyo Mungu aliye na mimi kabla sijakuwa ktk tumbo la mama yangu.
Mungu ni mwema na kila amwaminie ameokoka asant yesu kwa ulizi wako kwangu na nguvu umelinda family yangu 🙏🙏🙏 barikiwa sana mwalimu
Nimebarikiwa na hya maombi sitabaki nilivyo YESU akubariki sana baba
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa neno la Mungu.
Umepanda mbegu.
Yesu ataikuza.
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
Mungu ! Amenifunulia kwamba: yupo palipo na Yesu , Roho wake na mtu aliyezaliwa × 2 ktk roho na moto. Ndo Mungu ameagiza tusiache kukusanyika , maana Mungu anapendezwa zaidi palipo 2 au 3. Fellowship yake Mungu ipo palipo Yesu na Roho mtakatifu au palipo Yesu , Roho na mtu aliyeokoka.
Amen Hakika Yesu Ananipnd nimetiwa nguvu sana na kuzidi kuona kusonga mbele Be blessed
Nabarikiwa na kufunguliwa katika mafundisho haya, Mungu akubariki mtumishi
Asante Roho Mtakatifu..❤️ ubarikiwe baba Mungu wa mbinguni akuwe kwa ajili yetu
Napenda sana mahubiri yako mungu akubalik baba
Baba Asante maneno mazuri naomba NAMI maombi
Asante Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wako huyu ,zidi kumtunza Mungu wangu azidi kutufundisha juu ya upendo wako Baba
Tunabarikiwa sana na neno la Mungu, neno la uzima kutoka kwa baba Mwalimu. Wewe ni baraka kwa dunia muzima.
Liinuliwe na kutukuzwa Mungu uliyehai ktk kriso Yesu amina.
MUNGU ANANIPENDA... HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA MUNGU 🙏
Mwalimu na Diana Mwakasege Mungu awabariki mnoo mnoo
Bwana yesu asifiwe mchungaji.Mimi naitwa Elizabeth kutoka Kenya. Ila nafanya kazi nchini Saudi Arabia. Nimekua nikifuatilia mahubir yako kwa mda was mwezi sasa.nilikua nasumbuliwa n allergy kwa mda wa miaka 8.tangu nianze kuskiza mahubir yako naendelea vizur sana japo bado inanisumbua lakini sio kama zaman.mungu akubariki. naomba number ya kutuma japo sadaka kuoitia m pesa tafadhali.blessed again and again.🙏
Ubarikiwe mungu nakupenda dadangu me pia ni niko Kenya mungu ni mwema kila itwapo leo
255754211633 Diana Mwakasege. Jina La mke wake
Mungu yupo nawe. Amini kwa jina la YESU KRISTO UNAPONA
@@saitotitarakwa7267 sawa
Mwamiji Mungu umepona
Mungu akulinde mtumishi mwalimu baba yetu
Mbarikiwe sana sana,MUNGU na awaongezee mafunuo kwa Roho wake
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
Kiukweli nikisikiliza mafundisho yako Mungu huwa ananivusha sehemu...Mungu aendelee kukutumia babngu
mwalimu somo hili nimelipitia leo tarehe 14/08/2020. yani mimi nimerudi duniani, siombi ,sisomi bible,,,,na nmejaribu kuomba lakini sipati amani kabsa ,na ninampenda yesu sitaki dunia iniangamize kabisa.
nimerudi kwa MUNGU nina amani
Ubarikiw San maamuz mazur
Ameeeeeeen Halellujah. Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu.
Amen Mwalimu napenda sana masomo yako sana , Mungu anisaidie nikue kiroho ndio hamu yangu na shauku yangu
Ubarike mtumishi wa baba mungu azidi kukupa neema na rehema katika maisha yako
Mungu wangu akubariki na azidi kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu na ailinde familia yako na hila zote za mwovu kwa Jina la Yesu
Ameen🙏 upendo wa Mungu ni waajabu sana
Aminaa barikiwa sana Mungu akutunze mwalim Christopher mwakasege
asante mtumishi wa Mungu hahika nimebalikiwa.amen🙏
Ombi langu naomba mungu ambadilishe mumeewangu antoe kàtika kund baya
MUNGU akusaidie katika JINA LA YESU
My spiritual father may God bless u
Baba yangu,ahsante kwa kunifundisha
.kuna siku ulitufundisha somo LA Baba yetu alie mbinguni
Limenifungua nasasa hivi nimechukua hatua nimeanza kuujenga ufalme wa Mungu mahali ninapoka.ubarikiwe sasa Baba yangu.
Glory to God.
Amen 🙏🙏🙏🙏 office za huduma za manna kwa Arusha zipo maeneo Gani msaada tafadhali
Hallelujah hallelujah I love this be blessed sana am in Qatar
Amen Amen more greetings to you all in Qatar
Amen, ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🙏🙏
Amina, Amina MTUMISHI WA BWANA YESU KRISTO ubarikiwe sana
Mungu akutie nguvu Sana unasimama ktk kweli kutusaidia kweli huu ndyo with kweli umepewa bule unatoa Bure ungekuwa mpigaji pesa ungepiga kwelikwel kwa kuwa tunakuamin
Natafuta hili somo silipati (uwezo wa damu ya yesu kukomboa miguu) naomba msaada
Amina Ahsante Yesu kwa kuniweka huru kupitia mtumishi wako 🙏
Kwetu sote amen
Amen, Pendo la Mungu nilaajabu. Mungu akubariki mwl
Ubarikiwe Sana mchungaji nabarikiwa sn na kipindi chako Amen.
Bwana YESU nisaidie,🙌🙌🙌
Libarikiwe jina lake yesu alie pendo letu sisi tusio stahili kupokea pendo lake,
Mungu ananipenda, hallelujah 😭😭 Jesus loves me
God bless you my teacher
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa mary nipo msumbuji kupitia semina hii niliyoitizama leo tarehe 21/8nimempokea yesu maana nilirudi nyuma Noamba uniombee ili Mungu aendelee kunitunza ndani yake
Bwana akubariki Mtumishi watoto wangu niwalevi, niko Daresalama yombo Vituka, Nami nimemtolea Mungu wangu aokowe watoto wangu ni Monica Marco, Sina raha Nami napenda Yesu na natumika nikiwa na jaribu Hilo niombee
mpendwa usife moyo Mungu yu hai soma isaya 1.18.
napokea katika jina la kristo yesu
Man of GOD...be blessed..I love ur teachings..ubarikwe daima...mungu ndie anaeweza kukulipa..sisi nikushukuru..
Semina hii nimepokea mambo makubwa katika jina la Yesu Kristo amen.
Mungu akubariki sana na kuikuza mara dufu huduma yako
Amen!!! May God bless you moreee and moreeee our father
Amen, Ubarikiwe Mwl🙏
Asante kwa neno nzuri umepewa na Mungu
AMEN Mungu akubariki Mwalimu wetu
Barikiwa sana mwalimu 🙌🙌🙌🙌🙌
Amina mtumishi wa mungu somo limenipa nguvu nimeinuka tena
It is well it is well indeed with my soul, it is well well with my SOUL. ASANTE YESU. 🙏
I really needed to hear this.... Be blessed.
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
Really. This is very strange. I think I should contact you
@@GGGB2011 you are welcome you need to do it before end of today
Nabarikiwa Sanaa na mungu kupitia mwalimu
Asante kumzaa mtoto wako huyu na kwa kumwita kwa jina lake maana kuna wazazi wanazaa lakini hawawaiti watoto wao kwa majina yao na kwa majina ya sifa liinuliwe jina utukufu na heshima vikurudie ww
Ubarikiwe MTumishi
Asante dady, uzidi kubarikiwa
Ni salama rohoni mwangu haijalishi napitia mapito yupo Mungu aokoe
Amen mtumishi mungu atubarki enenda nami
Asante Bwana Yesu kwakusema na mimi ...
Haleluya mwalimu nataman kufanyiwa Cancel naww Nina msongo wa mawazo na hofu pia naomba Sana Mungu aniondolee lkn bado
Amen my God bless you
Mungu ananipenda Mungu ananipenda Mungu ananipenda
Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏
Praise God. It was awesome
Nasikia raha kwamba YESU ananiambia ananipenda.Mungu akubariki na timu yote .
YESU ninakupenda
Mungu akutie nguvu zaidi uzidi kutufundisha
Mungu ananipenda barikiwa mwl
God bless You My Teacher.
Balikiwa sasa baba mchungaji Mungu akutunze
Upendo wa Mungu ni mkuu mno
Huyu Yesu ni mzuri mnoo- asante mwl
Asante baba kwa kuniongezea ufahau juu ya upendo 1Wakoritho 13:1......
Barikiwa mtumish wa MUNGU
Am being blessed
Ubarikiweerr
NEW SUBSCRIBER... I'M BLESSED
Ameeen👏👏👏
love soumuch your my best in my life
Ishi miaka mingi mwalimu
Amen Sana ..God bless you
Amen nimebarikiwa
Mungu wetu anatupenda jmn
Barikiwa sana mtumishi
Mungu akubaloki kwa mafundisho mazuri
Mbengu hii na izae kwangu amen
Barikiwa Mwalimu
Nimebarikiwa na wimbo walifajiri
Amen Mwalimu Mungu akutunze ili watu wengi tuweze kujua pendo la Mungu lilivyo kubwa
Mbarikiwe watumishi
Kusudi la mungu lipo kwa wakat uliokusudiwa
mungu azidi kukuinua baba
Amen