MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE, SEMINA YA NENO LA MUNGU ARUSHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 08. 2020
  • MAMBO YA KUTOKUSAHAU UNAPOINGIA MSIMU MPYA WA MAISHA. DAY 1B, JANUARY 2020

Komentáře • 233

  • @emmanuelshuza758
    @emmanuelshuza758 Před 2 lety +5

    Ushuhuda wangu mwalimu wangu.
    Namshukuru Mungu ni miaka imepita nikiwa katika maombi yangu binafsi kwaajili ya muujiza, katika kuugua kwangu moyoni mwangu ndipo nikasikia unao mkutano pale jangwani,na nilisikia ndani yangu kuwaambia ndugu zangu kuwa leo mwalimu wangu Roho wa Bwana atamtumia kunisimamisha ili aniombee muujiza niliomuomba Mungu,nami nilipofika nilikaa upande wa waimbaji pastor safari na karibu na John lissu ndipo Neno la Bwana likakufikia ndani yako kusema nanukuu""kuna mtu ameomba maombi ya siku kadhaa,na kwako utakayesikia unaweza kucheka lakini kwake ni kitu muhimu sana,mtu huyu amemwambia Mungu anahitaji kuota NDEVU watu walicheka na ukaendelea kusema amekaa upande huu wa waimbaji hapa nilimtukuza Mungu kwakuwa nilifunga na Mungu alisikia kuomba kwangu ubarikiwe ndevu ni nyingi kwa sasa namtumikia Mungu kwa kuineza habari njema""

  • @ritanjoki7461
    @ritanjoki7461 Před 2 lety +2

    Amen barikiwa sana mwalimu mwakasege na nyumba yako

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila6186 Před 3 lety +15

    Mwa/ Mwakasege ! Mimi HEBRON MWANJALI MALATILA , Umri 68 yrs ! Uokovu tangu 1992 , Lakini bado nashindwa kutenda mapenzi yake YESU. Ila Mungu anaachilia Ahadi zake ktk familia yangu. Shida tangu! Naomba nijue kusudi lake Mungu juu yangu! Kabla ya muda wangu wa kurudi Kwake. Natamani na mimi nìmtendee ijapo tendo moja dogo jema kwa uweza na utukufu wake nikiwa bado duniani. Chris Mwakasege ! Nisaidie kunisogeza mbele ya Yesu Mungu wetu wewe na mimi.

    • @olipaminga7926
      @olipaminga7926 Před 3 lety +3

      Nashukuru Mungu kwa jinsi anavyokutumia mtumishi kutufundisha kumjua Mungu akulinde uendelee kutusogeza zaid na USO wa bwana.

    • @mintheophilussunday1813
      @mintheophilussunday1813 Před 3 lety

      Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you ...

    • @user-ng6yt2od7l
      @user-ng6yt2od7l Před 3 lety

      Amen

  • @adelaidasote7882
    @adelaidasote7882 Před 3 lety +2

    Nipo bukoba nimevutiwa sana na semina zako Mtumishi was Mungu,Mungu akubariki sana ,ninaomba kuuliza kwann makanisa mengine hayasemi upendo wa Mungu wanasema sheria za kanisa inakua vigume wanna wa Mungu kusimama maana hawaelewi ubarikiwe sana unatangaza upendo wa Mungu katika maisha yetu

  • @emmanuelsiriatv7461
    @emmanuelsiriatv7461 Před 3 lety +2

    Nasi tumefahamu PENDO alilonalo MUNGU kwetu sisi na kuliamini, MUNGU ni pendo.Barikiwe sana mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu

  • @costamwasala4736
    @costamwasala4736 Před 4 lety +5

    Niko Mbogwe Geita naendelea kufuatilia semina hii kupitia CZcams. Mungu akutie nguvu mwalimu Christopher Mwakasege.

  • @onesmokway2990
    @onesmokway2990 Před 3 lety +1

    Mungu wangu akubariki sana mwalim mwakasenge, nakuelewa Sana mafundisho yako toka utoto wangu nakufwatilia Sana nilikuja nyumbani kwako mwaka 2016 nikamsalimia mama yako mzazi alinipokea kijana niliemkuta nyumbani nazani ilikuwa likizo ya shule sikumbuki ninani lakini nazani sio marehem Joshua , wakati huo sikuwa namjua Joshua nilikuja kumjua alipofariki ,namama yako mzazi niliumia Sana alipofariki mwaka uliofwata baada yakuigia pale ndani tukasalimiana badae nikarudy mbea mjini , Mimi natoka Kilimanjaro mbea nilifwata maisha tu

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila6186 Před 3 lety +2

    Upendo wa Mungu kwa mtu ni kubwa ! Kuliko Uzinzi au Uaji wako. Mungu ana wapenda hao zaidi yawaliyookoka. Huyu ndiyo Mungu aliye na mimi kabla sijakuwa ktk tumbo la mama yangu.

  • @happytimpiyian1347
    @happytimpiyian1347 Před 3 lety +2

    Mungu ni mwema na kila amwaminie ameokoka asant yesu kwa ulizi wako kwangu na nguvu umelinda family yangu 🙏🙏🙏 barikiwa sana mwalimu

  • @pendokitomary3698
    @pendokitomary3698 Před 3 lety +2

    Nimebarikiwa na hya maombi sitabaki nilivyo YESU akubariki sana baba

  • @apostledavidisimon8179
    @apostledavidisimon8179 Před 3 lety +4

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa neno la Mungu.
    Umepanda mbegu.
    Yesu ataikuza.

    • @mintheophilussunday1813
      @mintheophilussunday1813 Před 3 lety

      Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila6186 Před 3 lety +2

    Mungu ! Amenifunulia kwamba: yupo palipo na Yesu , Roho wake na mtu aliyezaliwa × 2 ktk roho na moto. Ndo Mungu ameagiza tusiache kukusanyika , maana Mungu anapendezwa zaidi palipo 2 au 3. Fellowship yake Mungu ipo palipo Yesu na Roho mtakatifu au palipo Yesu , Roho na mtu aliyeokoka.

  • @asnathlaizer6084
    @asnathlaizer6084 Před 3 lety +1

    Amen Hakika Yesu Ananipnd nimetiwa nguvu sana na kuzidi kuona kusonga mbele Be blessed

  • @cmyg3763
    @cmyg3763 Před 2 lety

    Nabarikiwa na kufunguliwa katika mafundisho haya, Mungu akubariki mtumishi

  • @catherinekangero5677
    @catherinekangero5677 Před 2 lety

    Asante Roho Mtakatifu..❤️ ubarikiwe baba Mungu wa mbinguni akuwe kwa ajili yetu

  • @celinameshackcelina4616
    @celinameshackcelina4616 Před 4 lety +4

    Napenda sana mahubiri yako mungu akubalik baba

  • @SistaSelemani
    @SistaSelemani Před měsícem

    Baba Asante maneno mazuri naomba NAMI maombi

  • @salomembugi1312
    @salomembugi1312 Před 3 lety

    Asante Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wako huyu ,zidi kumtunza Mungu wangu azidi kutufundisha juu ya upendo wako Baba

  • @kondamurhabazi5832
    @kondamurhabazi5832 Před rokem

    Tunabarikiwa sana na neno la Mungu, neno la uzima kutoka kwa baba Mwalimu. Wewe ni baraka kwa dunia muzima.

  • @tusekelegejohn5719
    @tusekelegejohn5719 Před 4 lety +2

    Liinuliwe na kutukuzwa Mungu uliyehai ktk kriso Yesu amina.

  • @glorylameck4482
    @glorylameck4482 Před 3 lety +2

    MUNGU ANANIPENDA... HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA MUNGU 🙏

  • @floridawenceslaus498
    @floridawenceslaus498 Před 2 lety

    Mwalimu na Diana Mwakasege Mungu awabariki mnoo mnoo

  • @jumaelizabeth5532
    @jumaelizabeth5532 Před 4 lety +9

    Bwana yesu asifiwe mchungaji.Mimi naitwa Elizabeth kutoka Kenya. Ila nafanya kazi nchini Saudi Arabia. Nimekua nikifuatilia mahubir yako kwa mda was mwezi sasa.nilikua nasumbuliwa n allergy kwa mda wa miaka 8.tangu nianze kuskiza mahubir yako naendelea vizur sana japo bado inanisumbua lakini sio kama zaman.mungu akubariki. naomba number ya kutuma japo sadaka kuoitia m pesa tafadhali.blessed again and again.🙏

  • @sekelabenard
    @sekelabenard Před rokem

    Mungu akulinde mtumishi mwalimu baba yetu

  • @kelvingoodluck8379
    @kelvingoodluck8379 Před 4 lety +4

    Mbarikiwe sana sana,MUNGU na awaongezee mafunuo kwa Roho wake

    • @mintheophilussunday1813
      @mintheophilussunday1813 Před 3 lety

      Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 Před 3 lety +1

    Kiukweli nikisikiliza mafundisho yako Mungu huwa ananivusha sehemu...Mungu aendelee kukutumia babngu

  • @robertgodfrey9084
    @robertgodfrey9084 Před 4 lety +4

    mwalimu somo hili nimelipitia leo tarehe 14/08/2020. yani mimi nimerudi duniani, siombi ,sisomi bible,,,,na nmejaribu kuomba lakini sipati amani kabsa ,na ninampenda yesu sitaki dunia iniangamize kabisa.

  • @marymushi7005
    @marymushi7005 Před rokem

    Ameeeeeeen Halellujah. Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu.

  • @sedekiabilijite5516
    @sedekiabilijite5516 Před 3 lety +3

    Amen Mwalimu napenda sana masomo yako sana , Mungu anisaidie nikue kiroho ndio hamu yangu na shauku yangu

  • @lightnessmabeche1461
    @lightnessmabeche1461 Před 3 lety

    Ubarike mtumishi wa baba mungu azidi kukupa neema na rehema katika maisha yako

  • @faiyamulishidi9224
    @faiyamulishidi9224 Před 3 lety

    Mungu wangu akubariki na azidi kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu na ailinde familia yako na hila zote za mwovu kwa Jina la Yesu

  • @pilimsangi814
    @pilimsangi814 Před 3 měsíci

    Ameen🙏 upendo wa Mungu ni waajabu sana

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Před 3 lety

    Aminaa barikiwa sana Mungu akutunze mwalim Christopher mwakasege

  • @helmanmethod2665
    @helmanmethod2665 Před 4 lety +3

    asante mtumishi wa Mungu hahika nimebalikiwa.amen🙏

  • @clintonnjiku3616
    @clintonnjiku3616 Před 3 lety +3

    Ombi langu naomba mungu ambadilishe mumeewangu antoe kàtika kund baya

  • @fridamamy2350
    @fridamamy2350 Před 3 lety

    My spiritual father may God bless u
    Baba yangu,ahsante kwa kunifundisha
    .kuna siku ulitufundisha somo LA Baba yetu alie mbinguni
    Limenifungua nasasa hivi nimechukua hatua nimeanza kuujenga ufalme wa Mungu mahali ninapoka.ubarikiwe sasa Baba yangu.

  • @jescajohn7617
    @jescajohn7617 Před 2 lety

    Amen 🙏🙏🙏🙏 office za huduma za manna kwa Arusha zipo maeneo Gani msaada tafadhali

  • @judygathoni5861
    @judygathoni5861 Před 4 lety +10

    Hallelujah hallelujah I love this be blessed sana am in Qatar

    • @nenolabwana38
      @nenolabwana38 Před 3 lety +1

      Amen Amen more greetings to you all in Qatar

  • @furahabeatrice2057
    @furahabeatrice2057 Před 3 lety

    Amen, ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🙏🙏

  • @oscamjujulu782
    @oscamjujulu782 Před 4 lety

    Amina, Amina MTUMISHI WA BWANA YESU KRISTO ubarikiwe sana

  • @stephanomkanyipelele1046

    Mungu akutie nguvu Sana unasimama ktk kweli kutusaidia kweli huu ndyo with kweli umepewa bule unatoa Bure ungekuwa mpigaji pesa ungepiga kwelikwel kwa kuwa tunakuamin

  • @tamaramrema642
    @tamaramrema642 Před 3 lety +2

    Natafuta hili somo silipati (uwezo wa damu ya yesu kukomboa miguu) naomba msaada

  • @brianbaraka4563
    @brianbaraka4563 Před 4 lety +2

    Amina Ahsante Yesu kwa kuniweka huru kupitia mtumishi wako 🙏

  • @elizabethngasa2676
    @elizabethngasa2676 Před 2 lety

    Amen, Pendo la Mungu nilaajabu. Mungu akubariki mwl

  • @happinesfesto9171
    @happinesfesto9171 Před 3 lety

    Ubarikiwe Sana mchungaji nabarikiwa sn na kipindi chako Amen.

  • @AnethPeace
    @AnethPeace Před 2 lety

    Bwana YESU nisaidie,🙌🙌🙌

  • @crissalphonce1107
    @crissalphonce1107 Před 3 lety

    Libarikiwe jina lake yesu alie pendo letu sisi tusio stahili kupokea pendo lake,

  • @nellumasomelu6900
    @nellumasomelu6900 Před 4 lety +3

    Mungu ananipenda, hallelujah 😭😭 Jesus loves me

  • @esthernaxx8508
    @esthernaxx8508 Před 2 lety

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @marypaul1981
    @marypaul1981 Před 3 lety +6

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa mary nipo msumbuji kupitia semina hii niliyoitizama leo tarehe 21/8nimempokea yesu maana nilirudi nyuma Noamba uniombee ili Mungu aendelee kunitunza ndani yake

    • @cctvtz3017
      @cctvtz3017 Před 3 lety

      Bwana akubariki Mtumishi watoto wangu niwalevi, niko Daresalama yombo Vituka, Nami nimemtolea Mungu wangu aokowe watoto wangu ni Monica Marco, Sina raha Nami napenda Yesu na natumika nikiwa na jaribu Hilo niombee

    • @lucaslaizer354
      @lucaslaizer354 Před 3 lety

      mpendwa usife moyo Mungu yu hai soma isaya 1.18.

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 Před 3 lety

    napokea katika jina la kristo yesu

  • @mwinzifrancis1351
    @mwinzifrancis1351 Před 3 lety +1

    Man of GOD...be blessed..I love ur teachings..ubarikwe daima...mungu ndie anaeweza kukulipa..sisi nikushukuru..

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo4878 Před 4 lety

    Semina hii nimepokea mambo makubwa katika jina la Yesu Kristo amen.

  • @amoswagaz4505
    @amoswagaz4505 Před 3 lety

    Mungu akubariki sana na kuikuza mara dufu huduma yako

  • @anethmashaka6899
    @anethmashaka6899 Před 4 lety +2

    Amen!!! May God bless you moreee and moreeee our father

  • @jescarwegoshola7231
    @jescarwegoshola7231 Před 3 lety

    Amen, Ubarikiwe Mwl🙏

  • @emmanuelcimanuka2995
    @emmanuelcimanuka2995 Před 3 lety

    Asante kwa neno nzuri umepewa na Mungu

  • @magrethwilliam4748
    @magrethwilliam4748 Před 4 lety +3

    AMEN Mungu akubariki Mwalimu wetu

  • @maheligati2936
    @maheligati2936 Před 3 lety

    Amina mtumishi wa mungu somo limenipa nguvu nimeinuka tena

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 Před 2 lety

    It is well it is well indeed with my soul, it is well well with my SOUL. ASANTE YESU. 🙏

  • @GGGB2011
    @GGGB2011 Před 3 lety +8

    I really needed to hear this.... Be blessed.

    • @mintheophilussunday1813
      @mintheophilussunday1813 Před 3 lety +1

      Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .

    • @GGGB2011
      @GGGB2011 Před 3 lety

      Really. This is very strange. I think I should contact you

    • @mintheophilussunday1813
      @mintheophilussunday1813 Před 3 lety

      @@GGGB2011 you are welcome you need to do it before end of today

  • @josephmshindo6796
    @josephmshindo6796 Před 3 lety

    Nabarikiwa Sanaa na mungu kupitia mwalimu

  • @tusekelegejohn5719
    @tusekelegejohn5719 Před 4 lety +4

    Asante kumzaa mtoto wako huyu na kwa kumwita kwa jina lake maana kuna wazazi wanazaa lakini hawawaiti watoto wao kwa majina yao na kwa majina ya sifa liinuliwe jina utukufu na heshima vikurudie ww

  • @winniepeter3012
    @winniepeter3012 Před 3 lety

    Asante dady, uzidi kubarikiwa

  • @maoleminja6514
    @maoleminja6514 Před 3 lety

    Ni salama rohoni mwangu haijalishi napitia mapito yupo Mungu aokoe

  • @jonaselias9353
    @jonaselias9353 Před 2 lety

    Amen mtumishi mungu atubarki enenda nami

  • @gracembise906
    @gracembise906 Před 3 lety

    Asante Bwana Yesu kwakusema na mimi ...

  • @elimekamathayo1914
    @elimekamathayo1914 Před 3 lety

    Haleluya mwalimu nataman kufanyiwa Cancel naww Nina msongo wa mawazo na hofu pia naomba Sana Mungu aniondolee lkn bado

  • @rachelemadjagi7869
    @rachelemadjagi7869 Před rokem

    Amen my God bless you

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 3 lety

    Mungu ananipenda Mungu ananipenda Mungu ananipenda

  • @ilenestephano8935
    @ilenestephano8935 Před 3 lety

    Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏

  • @brightmollel6698
    @brightmollel6698 Před 3 lety +3

    Praise God. It was awesome

    • @marthermwakyobwe9794
      @marthermwakyobwe9794 Před 2 lety

      Nasikia raha kwamba YESU ananiambia ananipenda.Mungu akubariki na timu yote .

  • @happyflavor5549
    @happyflavor5549 Před 4 lety +4

    YESU ninakupenda

  • @marcomunuo2903
    @marcomunuo2903 Před 3 lety

    Mungu akutie nguvu zaidi uzidi kutufundisha

  • @wiliamvenance4781
    @wiliamvenance4781 Před 3 lety

    Mungu ananipenda barikiwa mwl

  • @emanuelimollelkilusu5206
    @emanuelimollelkilusu5206 Před 3 lety +3

    God bless You My Teacher.

  • @fainesimathiasi179
    @fainesimathiasi179 Před 3 lety

    Balikiwa sasa baba mchungaji Mungu akutunze

  • @christinelihavi4068
    @christinelihavi4068 Před rokem

    Upendo wa Mungu ni mkuu mno

  • @happymushi2219
    @happymushi2219 Před 3 lety +2

    Huyu Yesu ni mzuri mnoo- asante mwl

  • @paulosilayo8616
    @paulosilayo8616 Před 4 lety +1

    Asante baba kwa kuniongezea ufahau juu ya upendo 1Wakoritho 13:1......

  • @annapakya8203
    @annapakya8203 Před 4 lety

    Barikiwa mtumish wa MUNGU

  • @emmanuelabel8452
    @emmanuelabel8452 Před 3 lety

    Am being blessed

  • @MagrethMadila-nz4vo
    @MagrethMadila-nz4vo Před 14 dny

    Ubarikiweerr

  • @kaymsafi
    @kaymsafi Před 2 lety

    NEW SUBSCRIBER... I'M BLESSED

  • @YasminYasmin-kj4ep
    @YasminYasmin-kj4ep Před 4 lety +2

    Ameeen👏👏👏

  • @revocatusanthony378
    @revocatusanthony378 Před 3 lety

    love soumuch your my best in my life

  • @paulmassery449
    @paulmassery449 Před 4 lety +2

    Ishi miaka mingi mwalimu

  • @estherntandu2055
    @estherntandu2055 Před 3 lety +4

    Amen Sana ..God bless you

  • @alindatheonest3734
    @alindatheonest3734 Před 3 lety

    Amen nimebarikiwa

  • @yofikaayubu692
    @yofikaayubu692 Před 4 lety +2

    Mungu wetu anatupenda jmn

  • @benjaminkisoka62
    @benjaminkisoka62 Před 4 lety

    Barikiwa sana mtumishi

  • @bershazamtumishi4950
    @bershazamtumishi4950 Před 3 lety

    Mungu akubaloki kwa mafundisho mazuri

  • @marcomunuo2903
    @marcomunuo2903 Před 3 lety

    Mbengu hii na izae kwangu amen

  • @marcelafrancis5367
    @marcelafrancis5367 Před 3 lety

    Barikiwa Mwalimu

  • @eliaemanuel2527
    @eliaemanuel2527 Před 2 lety

    Nimebarikiwa na wimbo walifajiri

  • @christinamwambola9329
    @christinamwambola9329 Před 3 lety

    Amen Mwalimu Mungu akutunze ili watu wengi tuweze kujua pendo la Mungu lilivyo kubwa

  • @stellakimambo5908
    @stellakimambo5908 Před 3 lety

    Mbarikiwe watumishi

  • @nathanaelkiswili8198
    @nathanaelkiswili8198 Před 4 lety +1

    Kusudi la mungu lipo kwa wakat uliokusudiwa

  • @benardethaelisamson1361

    mungu azidi kukuinua baba

  • @n.lincoln1980
    @n.lincoln1980 Před 2 lety +2

    Amen