Azam FC 4-1 Namungo FC | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 03/05/2024
Vložit
- čas přidán 2. 05. 2024
- Magoli matatu ndani ya dakika 20....lakini mwisho wa game ikawa ni 4-1, Azam FC wakiwatupa nje ya mashindano Namungo FC katika mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi.
Wafungaji kwenye mchezo huu ni Kipre Junior dakika ya 10, Iddy Nado dakika ya 15, Feisal Salum dakika ya 19 na Gibril Sillah dakika ya 52, huku goli la kufutia machozi likifungwa na Ayoub Semtawa dakika ya 45+2. - Sport
Azamfc kwanza
Vp Makolo mnamuona Namungo alivyofanyiwa? Ss mwenzio akinyolewa😂
Wa kwanza
Daaaaa huyu
Mtangqzaji n nanii
Wazembe kweli iyo team 😅
Huyu munishi sio wa hadhi ya ligi kuu amecjoka kiakil had kimwili
Hiii Azam kwann haijachukua ligi kuuu kwa mfano
Huy mtt fesal hapana aisee inatakiw upand wa pili waandamane
Hii ndio Azam fc inashinda bila dube bila ya mshambuliaji
Au siooooooo 😂😂😂
Kawaida s walikamia mechi ya juz ya lig ngoja waoneshwe
, fei bado wamo to vile vile simba amkeni mwamba aje aokoe jahazi
Ndot z ucku iz