Makonda wangu tunakupenda komesha rushwa kagame wa Rwanda kakomesha rushwa Sana hamna mchezo ukimpa mtu rushwa anaenda kukushitaki hapo hapo unakomolewa Allah akuhifadhi kijana wetu tunakupenda Una khofu ya Mungu
Eee mwenyezi naomba umpe makonda afya njema na maisha marefu,ninapomsikiliza huyu mkuu wa mkoa wa Arusha napata matumaini makubwa sana kuwa mean Arusha.anatandika wezi kwelikweli
Rushwa Ni adui wa haki, walioko serekalini wanatumika kuficha Majambazi, wananchi tunapoteza haki zetu bila msaada, kama swala la huyu mtu aitwae Moja kuanzia uagize akamatwe hakuna kilicho endelea mpaka sasa, Bado hakuna haki Arusha hii
Makonda wangu tunakupenda komesha rushwa kagame wa Rwanda kakomesha rushwa Sana hamna mchezo ukimpa mtu rushwa anaenda kukushitaki hapo hapo unakomolewa Allah akuhifadhi kijana wetu tunakupenda Una khofu ya Mungu
Eee mwenyezi naomba umpe makonda afya njema na maisha marefu,ninapomsikiliza huyu mkuu wa mkoa wa Arusha napata matumaini makubwa sana kuwa mean Arusha.anatandika wezi kwelikweli
Hicho kikosi kazi Cha takukuru kianzie Kijiji Cha baraka .kata ya esilalei
Rushwa Ni adui wa haki, walioko serekalini wanatumika kuficha Majambazi, wananchi tunapoteza haki zetu bila msaada, kama swala la huyu mtu aitwae Moja kuanzia uagize akamatwe hakuna kilicho endelea mpaka sasa, Bado hakuna haki Arusha hii
Amen
Ni kweli Kuna vijana wengi wasomi hawana ajira
Makonda amepania ARusha iwe kama Geneva ya ukweli..
Huu jama siokupenda kwake kukaa kwenye kiti hicho bali ni Mungu tu aliyetaka watanzania nyie mnabahati
wapambanie muheshimiwa wapate.haki zao
Hapa ni kujibu mapigo tu.
Eeeeeee Arusha mtanizeeesha
WEWE UMEKUBALIKA NA MAMA SAMIA PAMOJA NA VIONGOZI WA DINI ZOTE HAO WENGINE SUPANA MITANDAO HUYO MKUBWA PIGA SUPANA MAKUFULI JUNIOR 😂😂😂😂
Acheni usenge wa kurudia rudia taarifa kutafuta viws
WASHENZI HAWA WAMEIRUDIA HI HABARI
Wapumbv sana