NAIBU WAZIRI: WAKUU wa MIKOA WENGINE MUIGENI MAKONDA,.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024

Komentáře • 18

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 Před 7 dny +3

    Watanzania tuna uwezo wa kufanya mambo makubwa sana ikiwa kila mmoja atawajibika katika nafasi yake. Mh P. Makonda, Madaktari na Madaktari bingwa wote, Mh Rais Samia, Serikali na kila aliyehusika na zoezi hili, pokeeni shukurani za dhati toka kwa Watanzania wote na Mungu awazidishie moyo wa unyenyekevu katika kulitumikia taifa!

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 6 dny

    Hongera sana MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako wewe wa mfano ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @adamumyala-js9fh
    @adamumyala-js9fh Před 5 dny

    Mungu akulinde sana makonda unatenda haki mungu akutangulie akulinde na mabaya yote natamani hata nikuone nikupe mkono.

  • @BakariKombo-er9xr
    @BakariKombo-er9xr Před 7 dny

    Hongera mkuu wa mkoamakonda

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 7 dny +1

    Kwa style hii Chadema watasubiri sana labda Makonda atakapoondolewa

    • @dicksonaroka6961
      @dicksonaroka6961 Před 6 dny

      Kwa Arusha ndo bas tena hawana la kusema make jiji la Arusha sa hiv iko bize na maendeleo wananchini hawataki mchezo kwaiyo chadema ili waende arusha lazima wawe na hoja dhabiti na s blabla tena kama zaman

  • @AidaMosha-nl6ix
    @AidaMosha-nl6ix Před 5 dny

    Wakuu wa mikoa mingine waige kwani siyo thambi

  • @doshnafungo4210
    @doshnafungo4210 Před 7 dny

    Makonda
    Sasa inatakiwa Makonda wawe wengi kila Kona ya nch
    Makonda mmoja anachoka na kuwafikia watu ni wengi na iwe. Kwa idara zote Kama Makonda

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 Před 7 dny +1

    Sasa huo ndio ushuhuda wa ukweli na sio ule ww mchongo wa manabii wa uwongo

  • @BonifaceEdward-pc1dd
    @BonifaceEdward-pc1dd Před 5 dny

    Iv kunaulazima gan kua na wakuu wa mikoa weng nawakat anatakiwa makonda peke yake awe mkuu wa mikoa

  • @AmusedClam-zo9nf
    @AmusedClam-zo9nf Před 7 dny

    🙏🙏🙏

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Před 6 dny

    Tatizo la kutolipwa wazabuni waliofanya miradi nikubwa linatisha walikopa bank kwa ajili ya kukamilisha miradi hiyo sasa nyumba zao zinauzwa mchana kweupee. Na viongozi wamekaa tuu haswa Ilala dsm kuna mtu nyumba na gari vyote vinepigwa mnada. Shida malipo yake huko halmashauri

  • @duniarashid877
    @duniarashid877 Před 6 dny

    Kwani hiyo hiyo huduma Ni supesho Kwa watu wa Arusha peke Yao mbona nasisi Mwanza tunatrseka Na magonjwa sugu ya Moyo lakini hatujui tunapo kimbilia mbona Mwanza hii huduma ya matibabu bure mbona haiji Mwanza mwana tulimkosea Nini raisi maajabu Haya

  • @esterswai9454
    @esterswai9454 Před 7 dny

    Huyu ni rais jmn mwakan ,,

  • @BakariKombo-er9xr
    @BakariKombo-er9xr Před 7 dny +1

    Mfano wa Rc Makonda ni mfano wa kuigwa mama muone huyu

    • @AMENMUSHI-wt4li
      @AMENMUSHI-wt4li Před 7 dny +1

      Mungu anamwona Mungu akuinuwe Makonda angesambazwa Mikoa yote wakuu wa mikoa wengine waige, Makonda ana Yesu bila Yesu hakuna kutoboa

    • @AMENMUSHI-wt4li
      @AMENMUSHI-wt4li Před 7 dny +1

      Dada mshukuru Mungu hao wametumiwa na Mungu

  • @bonifacedanielmwakisunga9638

    Awawezi kuoga kabisa sababu wako kwa maslahi Yao sio kwa wananchi ndio maana wanashundwa kufanya kazi ya kutatua shida za wananchi awawezi kabisa