Kwenye hisia hapo nimejifunza kitu sababu kuna muda huwa unafika unakutana na changamoto mbili tatu ambazo zinakupunguzia morale uliokuwa nayo ila pale unapopata kitu morale inakuwa ni kubwa sana nimejifunza juu ya hisia ntajitahd kulifanyia kazi hili thanks Joel god bless you
1.hauna muda wa kuisimamia 2.kutokuwa na soko la kutosha 3.uwezo mdogo wa kihisia wa kuhimili changamoto za kibiashara 4.kuanzisha biashara kwa kutegemea ndugu au marafiki
VITU VINAVOFANYA BIASHARA YAKO KUFELI ..... 1.Muda wa kutosha wa kuisimamia.... 2.Kukosa soko kubwa la kutosha la wateja..... 3.Uwezo mdogo wa kihisia wa kuhimili changamoto ,inatakiwa uwe na uhisia wa imara.... 4.Kuanzisha kwa kutegemea ndugu au marafiki wakusaidie ktk biashara yako either wao ndo wawe wateja wazuri ktk biashara yako....
Nafikili uwepo wako upo kwajili ya jamii inayokuitaji uzidi kuwa nanguvu imala gonga like kuthamin mchango wake kwa tunaomfuatilia
J . your great ever
Yani Nizaidi Ya Uhalisia Kabisa MH . Joel Nanauka Yani
Amina
Yaa brother mi ishanikuta kufelishwa na marafiki kwenye biashara Kwa kunikopa
Nimepitia changamoto nyingi sana kwenye biashara ikiwemo hii ya kukopesha marafiki lakin nimejifunzia na nimeacha kabisa kaka
MJ, Asante
Thanks a lot i get it
Kabisaa bro
Hii ni Kubwa sana brother Joel MUNGU ukutunze kaka
Elimu na maarifa unayo wekeza kwenye jamii Yako
NAMUOMBA MUNGU AKUKUMBUKE NYAKATI ZOTE NGUMU UNAZO WEZA PITIA Mr Joel.
Kwenye hisia hapo nimejifunza kitu sababu kuna muda huwa unafika unakutana na changamoto mbili tatu ambazo zinakupunguzia morale uliokuwa nayo ila pale unapopata kitu morale inakuwa ni kubwa sana nimejifunza juu ya hisia ntajitahd kulifanyia kazi hili thanks Joel god bless you
Katika biashara ndugu huwa kikwazo kikubwa kuuwa biashara za WENGI . Nakushukuru teacher Joel kwa kutufunza ilo mungu akubaliki
Broo ni kwel mtu una biashara yako ndiyo mtu anakopa arudishi tena ni ndugu au rafiki yako wa karibu,hii point namba 4
Somo zuri mno kaka tumekutana changamoto nyingi sana na bado tunaendelea hatukatitamaa kamwe. Ubarikiwe Brother J
Ahsante sana kaka Joel
Ni kwel upo sahih big point
Unafaa
SoMo zuri sanaa barikiwa
Shida yangu kubwa ni mda nimeshafilisha compuni yangu
Kwa kukosa mda
1.hauna muda wa kuisimamia
2.kutokuwa na soko la kutosha
3.uwezo mdogo wa kihisia wa kuhimili changamoto za kibiashara
4.kuanzisha biashara kwa kutegemea ndugu au marafiki
Asante kaka unachokisema niukweli kwahakika
Nimekupata Sana
Amen amen amen
Shida yangu kubwa ni masokooo
Asante kaka
Asante
Nashukuru sana kwa somo zuri kaka Joel. Ningependa kupata muongozo zaidi maana kama ulikuwa unaongea na mimi kabisa.
Naweza vipi kupata vitabu vyako?Nimekuwa nikifatilia sana kuhusu hili,napenda nijifunze zaidi.
Kweli kabisa
VITU VINAVOFANYA BIASHARA YAKO KUFELI .....
1.Muda wa kutosha wa kuisimamia....
2.Kukosa soko kubwa la kutosha la wateja.....
3.Uwezo mdogo wa kihisia wa kuhimili changamoto ,inatakiwa uwe na uhisia wa imara....
4.Kuanzisha kwa kutegemea ndugu au marafiki wakusaidie ktk biashara yako either wao ndo wawe wateja wazuri ktk biashara yako....
Kweli kabisa
Nakue lewa Na maana kabisa mpendwa mungu akuongezee maarifa