MBUNIFU MANGANA: ALITAKA KUMUUA KAKA YAKE KWA GOBOLE, UJESHI ALIZIMWA "NIMEUNDA MASHINE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2023

Komentáře • 16

  • @abuuadil9215
    @abuuadil9215 Před rokem +2

    Hongera Sana Kwa Kipaji choko Mungu akuzidishie kipaji zaidi na zaidi.

  • @babahilimollel5254
    @babahilimollel5254 Před 2 měsíci +2

    Wewe asili ya akina Gwajima Hongera sana

  • @gabialbin3
    @gabialbin3 Před 3 měsíci +1

    Nilishawahi kufikiria hii, safi sana bro natamani niwe karibu yako❤

  • @drchachamatiko7447
    @drchachamatiko7447 Před rokem +1

    I'm very impressed aisee ...endelea kupambana mkuu siku moja utafanikiwa zaid.

  • @mlionea
    @mlionea Před 11 měsíci +1

    Umefanya Jambo la maana Sana sikuamini free energy wheel ya mchina mpaka nimeona inayo

  • @ireneopelagi740
    @ireneopelagi740 Před rokem

    Kazi aise hongera sana kazi iko juu

  • @youngmagezi
    @youngmagezi Před rokem +2

    kabsa kaka wabunifu wako weng sana tatzo sapot tu

  • @paulamos9201
    @paulamos9201 Před 2 měsíci

    Bro hiyo ukiwa umelala kichwa kinatulia asili ya ubongo urudia kupitia matukio ulioyafanya ndo maana wagunduzi wengi hawakuwa na family

  • @gabrielurio6545
    @gabrielurio6545 Před 22 dny

    Kwa swala la free energy ni uongo coz inapingana na laws of physics broo

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa31 Před rokem

    Hongera Sana!

  • @abdulhakeemmarunda4605

    This guy is Very right.

  • @onlinetraining86
    @onlinetraining86 Před 5 měsíci

    hii elimu yake aliyonayo ndio imefanya Nnchi kama China kukuwa zaidi ki technolojia na uchumi ,hili kwa nnchi zetu za kiafrika linaturudisha nyuma sana. Nafikili ipo haja ya sisi kama nnchi inabidi tukae pamoja na kulijadili hili . huyu jamaa kama kweli wataalamu wazawa wote tukikutana kuna kitu kikubwa sana kama nnchi tutakivumbua ,kikubwa sana naomba tuwasiliane tu aisee

  • @hydlemide1
    @hydlemide1 Před rokem

    Kiongozi Yuko vizuri🔥🔥

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego9424 Před rokem

    Sawa mkuu

  • @user-gv4tk9zc7i
    @user-gv4tk9zc7i Před 8 měsíci

    Uyu jamaa anaongea ukweli ongera

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před rokem

    tatizo la afrika ndio hili hawa wachawi au wabunifu wanakufaga na siri zao... baadala ya kufundisha watu