KIJANA Avumbua MASHINE ya KUTENGENEZA MPINI wa JEMBE, Amewahi KUTENGENEZA MASHINE ya SANITIZER...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 12. 2020
  • KIJANA Avumbua MASHINE ya KUTENGENEZA MPINI wa JEMBE, Amewahi KUTENGENEZA MASHINE ya SANITIZER...
    Kijana wa kitanzania Gadios Mangani ambaye amewahi kutengeza mashine ya kujifukiza(Sanitizer), amekuja na ugunduzi mpya baada ya kutengeneza mashine ya kutengenezea mipini ya jembe na mop za kufanyia usafi.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 109

  • @khatibabdi
    @khatibabdi Před 3 lety +6

    Huyu jamaa hodari sana.
    Namkumbuka kipindi cha korona na uvumbuzi wake

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 Před 3 lety +5

    Unajitahidi Sana Mungu akuwezeshe zaidi. Kweli pengine Tanzania hamna lkn nchi nyengine zipo. Maendeleo ni mazuri sana

  • @jellysonmsokele4188
    @jellysonmsokele4188 Před 3 lety +3

    Hakika Mungu anataka kututumia watanzania,Mungu akujalie na vingine pia,nanikupongeza kwa uzalendo Wa kuandika kwa lugha ya kiswahili

  • @brithonmjema2833
    @brithonmjema2833 Před 3 lety +1

    Kwa sisi tunaojua mambo ya teknolojia huyu jamaa anauwezo mkubwa sana sio wa kumbeza,na tukichelewa wenzetu watambeba,hongera broo big up.

  • @clementmsenga2485
    @clementmsenga2485 Před 3 lety +2

    safi sana big up mzee usikate tamaa jina lako litaandika historia kwenye kitabu cha mama Tanzania

  • @audifasmassera1289
    @audifasmassera1289 Před 3 lety +5

    Hivi hawa jamaa wa COSTECH hawanaga bajeti kwa ajili ya wabunifu wanaofanya vizuri namna hii jamani!🤔

  • @chikunijunior9362
    @chikunijunior9362 Před 3 lety +3

    'Our future is a race between the growing power of technology and the wisdom with which to use it'

  • @chikunijunior9362
    @chikunijunior9362 Před 3 lety +3

    Big up sana kazi nzuri,.ndoto kubwa,.tuchangamkie fursa kwenye huu ulimwengu wa teknolojia👌

  • @jeannemaya2539
    @jeannemaya2539 Před 3 lety +1

    Mungu akulinde naujilinde, usiwafiche vijanawako ujuzi ndio maendeleo usifanye ubinafsi,sababu iyo ndio inayo fanya kutoendelea,kwaiyo Mungu kakupa bure nawe towa bure

  • @gaudenceassenga1900
    @gaudenceassenga1900 Před 3 lety +2

    Hiyo car wash ni noma sana. Mkurugenzi wa jiji fanya haraka mpe eneo fasta

  • @harounali9057
    @harounali9057 Před 3 lety

    Napenda kumpongeza kwa kazi nzuri ulio ifanya hongera sana.
    Mimi kama mimi najiuliza hapo kuna sharft mbili za Aluminium hapo hizo tu ndio zime nipa masuali aliwezaje kuzichonga mpaka zikafikiya kiwango cha kuzifumga hapo.
    Itakuwa huyu mtu ana akili sana.
    Kuvumbuwa kitu kwa akili yangu huwa ina nambia kuwa:
    1) Ufikirie Vipi una taka kiwe
    2)Uweke michoro yake.
    3)utafute material chuma, bati na waya uje uzi unganishe itimie kuwa mashine sikazi ndogo.
    Hongera sana kijana wa ki Tanzania 🇹🇿

  • @emmanuelmnzava7159
    @emmanuelmnzava7159 Před 2 lety

    Nakupongeza Sana kijana wangu. Tuko pamoja. Zao la Wilaya ya Mwanga. I feel proud

  • @abuumariam2259
    @abuumariam2259 Před 3 lety +6

    Serikali imuangalie huyu jamaa imuwezeshe kufanya mambo makubwa.

  • @eliasmahenge9919
    @eliasmahenge9919 Před 3 lety +5

    Broh nakubari maneno yako CNC machinel ni ghali sana

  • @gibsonkitwaro953
    @gibsonkitwaro953 Před 3 lety +3

    Waziri wa viwanda unasubiri nini Kutengeneza Taasisi ya watu wabunifu kama hawa tupate kuongeza uzalishaji tuifikie ndoto ya Raisi wetu mtukufu ya kufanya TANZANIA ya VIWANDA.?

  • @jellysonmsokele4188
    @jellysonmsokele4188 Před 3 lety +5

    Serikali muunge mukono jitihada hizi,watanzania wameanza kuonyesha mambo.

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Před 11 měsíci

    Ongera sana kwa ufumbuzi huu mimi naona wezetukuna mashine au jembe linasehem ukibonyeza unalima bila kutumianguvu naunawezalima kw sk ekamoja

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 Před 3 lety +5

    Huyu jamaa ni mbunifu wa vitu vingi sana kipindi cha corona alibuni mashine ya kupima corona na sasa hivi kaibuka na chengine

  • @joycemwanga226
    @joycemwanga226 Před 2 lety

    God bless you more my brother

  • @damalisjonathan8070
    @damalisjonathan8070 Před 3 lety +2

    Hiyo ndio Tanzania ya viwanda mungu akuongoze uzidikufanya vikubwa zaidi ya hivyo broo

  • @Itarusii
    @Itarusii Před 3 lety +1

    Hongera sana kwa ubunifu.

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa5455 Před 3 lety

    Hongera sana Huo ndio UBUNIFU inatakiwa Mungu akutangulie Na ufanikishe malengo yako

  • @rizikimvungi5262
    @rizikimvungi5262 Před 3 lety

    kiongozi nayaona mambo yako nimakubwa sana mungu azidi kukutangulia sana kwenye kipaji chako,mm nakujua ukiwezeshwa hata ndege unaweza kutengeneza.

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 Před 3 lety +1

    Vizuri sana👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @eliasmahenge9919
    @eliasmahenge9919 Před 3 lety +3

    Broh inabid siku moja tupate nafas tukamshaur raisi juu ya CNC machinel

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 Před 3 lety

    Kweli kijana una uwezo!
    Mungu azidi kukuwezesha kwa uwezo ulio nao.

  • @user-jk5ir4ke3z
    @user-jk5ir4ke3z Před 3 lety

    Mashaalha kaka.mungu akusimamie

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 Před 3 lety +1

    WATU KAMA HAWA NDO WANATAKIWA KUPEWA SUPPORT NA SERIKALI ILI AFANYE MAMBO YA UBUNIFU YASIYO YA KAWAIDA. HONGERA SANA

  • @arnoldkimaro3887
    @arnoldkimaro3887 Před 3 lety

    Hongera kijana Mtanzania

  • @nautharinalapa5107
    @nautharinalapa5107 Před 3 lety +1

    We noma kaka

  • @emmanuelmnzava7159
    @emmanuelmnzava7159 Před 2 lety +1

    Mimi Mchungaji wako. Mungu azidi kukuinua

  • @emmanuelowiti8217
    @emmanuelowiti8217 Před 3 lety

    Mungu ampe maono mengine mengi ya kibunifu,na siku moja aje na mashine za kutengeneza nguo.

  • @sultansaid992
    @sultansaid992 Před 3 lety

    Nakukubali kakamkubwa hongera sana

  • @festochinyele1477
    @festochinyele1477 Před 3 lety

    Nimeguswa sana kwa kweli jamaa yupo vzr sana pia ana uzalendo ndani yake kwahyo tunaomba serikali imshike mkono na wengine watajitokeza kwa wingi yan huyu jamaa n zaidi ya dhabau endapo serikali itachukua hatua za kshika mkono

  • @issaibrahim5319
    @issaibrahim5319 Před 3 lety

    Upo vizuri sana jamaa

  • @mohamedmustafa278
    @mohamedmustafa278 Před 3 lety

    Hongera saana, naomba nikumbushe kile kiwanda cha MANG'ULA habari zake zikoje !! Haya ndo mabo ! jamani. Kile kiliandaliwa kwa ajiri ya kuchonga vipuli vya machine mbalilimbali. Tanzania kuna baadhi yetu ni VICHWA ambavyo vinahitaji kuwa supported.

  • @kitogowakitogo9206
    @kitogowakitogo9206 Před 3 lety

    Safi sana!

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 Před 3 lety

    Umetisha

  • @kato_tz
    @kato_tz Před 3 lety

    Brother ubarikiwe sana, nakukumbuka kipindi cha corona ulitengeneza mashine ya korona

  • @jeankonde6283
    @jeankonde6283 Před 3 lety +4

    How much for that

  • @barakangahala2914
    @barakangahala2914 Před 3 lety

    Umetisha bro

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 3 lety +2

    HONGERA WATANZANIA WAZARENDO, JPM JUUU

  • @nautharinalapa5107
    @nautharinalapa5107 Před 3 lety

    Nenda maeneo yenye wakulima Kama mtwara itakua vizuri zaidi au vep jaman

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 Před 3 lety

    Safi sana huo ndio uzalendo tunaotaka ili nchi isonge mbele

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 Před 3 lety

    Nimeipenda sana hiyo

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 3 lety

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @mshindikaheza8281
    @mshindikaheza8281 Před 3 lety

    Niwaombe global tv kitu kimoja tu ,,,emu muunganisheni serilalini ili wamjue ,,inshallah huyu jamaa anaweza sana

  • @adamtzmbogo1694
    @adamtzmbogo1694 Před 3 lety

    Wachaga bwana.....minikiingiaga dukani nikigundua muuzaji nimchaga tu. Naohopaga kupigwa kitu kwabei juu kitu kinauzwa elf 5 ukinwambua nipunguzie anakwambia yani hapo faida yangu nimia5 tu babangu.

  • @meshackmwilongo9793
    @meshackmwilongo9793 Před 3 lety

    Huyu jamaa ni kipaji
    Hazina ya nchi
    Anastahili recognition and backup

  • @caristomwango937
    @caristomwango937 Před 3 lety

    Am zambian nimevutiwa sana.nakuja kumuona uyu jama.

  • @michaelzunzu8126
    @michaelzunzu8126 Před 3 lety

    UK kuna kipindi chinachoitwa "Busses Angles" yaani watu wenyepesa kukutana na watu wenye ideas za business au ufumbuzi, wanatoa maelezo ya biashara yake anayoiwaza wakiona inafaida wanajafiliana na mtu anayebuni biashara au uvunjifu wa kifaa, mashine, na jamaa wanajitosa ku finance hizo shughuli kwa makubaliani wataksuoyafikia.

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 3 lety

    Uyu jamaa nahis sio kizazi cha Tanzania hii bara la Giza,,. Lakin serikali zetu sijui kwanin hainaga time kuboresha vya nyumban na kuunda product zitangazwe

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 Před 3 lety +1

    Hiyo mashine yakuosha bila mtu ipo China Africa hakuna

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 Před 3 lety

    Ushauri wangu vitu vyote anavyobuni vipewe jina lake ndio wazungu wanavyofanya hivyo ili kuweka kumbukumbu ya jina lake,kama unavyosikia majina ya matreka Massey furggason ni majina ya watu hayo

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před 3 lety

    Napenda sana kuona watanzania wenzangu wawe kama huyu jamaa lakini je hayo matrio ya hizo machine zimetengenezwa wapi? Au ni kama ilikuwa ni machine ya kusaga mahindi ikabadilishwa mwelekeo au wametengeneza wao wenyewe chuma kimoja kimoja?

    • @reginautou4163
      @reginautou4163 Před 3 lety

      Hapo ni chuma kimojakimoja hakuna mashine iliyobadilishwa ndugu yangu

  • @kamanda007
    @kamanda007 Před 3 lety

    Safi sana Ila please achana na story za wakurugenzi wa jiji au serikali, you have a brain brother sasa deal na bankers wakupe loan ufanye vitu vyako au watu binafsi wanaotaka kuwekeza na wewe...sahau serikali hawana msaada wote watakurudisha nyuma tuu

  • @damalisjonathan8070
    @damalisjonathan8070 Před 3 lety +2

    Wew unaesema carwash kwenu ipo kwani mwenzetu unatokea nchi gani maana hapa tz sijaiona

    • @audifasmassera1289
      @audifasmassera1289 Před 3 lety +1

      Ni wazo zuri sana, kwa sababu unapobuni teknolojia moja inasababisha uwe na uwezo wa nyingine kubwa zaidi! Ila niwafahamishe tu kwamba mwishoni mwa miaka ya tisini palikuwa na car wash automatic pale Magomeni mwembe chai, kwenye sheli ya jamaa wa super doll, kwa sababu hiyo hii haitakuwa mpya kwa Tanzania.
      Hebu nisaidieni ninyi mnaojua, hivi COSTECH(TUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA) hawanaga bajeti kwa ajili ya wabunifu wanaofanya vizuri namna hii?

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 Před 3 lety

    Broo angalia serikali isije ikakupoteza maana ukigundua kitu wanakuuwa, maana hata mm nnauwezo wakubuni mavitu kibaao ila sifanyi maana naogopa kupotezwa, (sema mm huwa nabuni vitu vya hatar , (silaha) kwahi nimeona bora niendee na mambo yangu kuliko kupotea

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 3 lety

    Pongezi kwa ubunifu na usanifu. Hakika una hadhina ya uvumbuzi mara ya kwanza kukuona ilikuwa wakati ule wa Corona, japo mataifa mengine bado wanaimba huu wimbo wa Corona. Tumshkuru Mungu kwa kutuvusha kupitia uongozi Bora wa Jpm.

  • @DanielNelson-oq5qs
    @DanielNelson-oq5qs Před 5 měsíci

    Tanzania kunawatu tunaweza ila hatuwezeshwi

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 3 lety

    Uyu jamaa ni genius kupita kiasi.. tatizo nchi hii ndio tatizo.. mzungu mweusi

  • @mtindamtinangi346
    @mtindamtinangi346 Před 3 lety

    Sasa hapo ndokatengeneza wapi au kaagiza toka nje

  • @therealomisakulu5416
    @therealomisakulu5416 Před 3 lety

    Huyu jamaa atanzania wasipomtatia kazi wazungu watamchukua baadaye tunakuja kujuta

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 Před 3 lety

    Umefanya kazi nzuri sana.
    Ila ukisema hakuna nchi yoyote ambayo ina car wash ya kujiendesha yenyewe si sahihi.
    Zipo car wash za kisasa sana.

  • @bonnytvchannel4807
    @bonnytvchannel4807 Před 3 lety

    Uwanga zijutiangi kumaliza bando langu kuangaliaga vitu kamaivi

  • @user-vl9uw4tu4n
    @user-vl9uw4tu4n Před 9 měsíci

    Jamaaa ni ginius wa hatari duniani sio Africa tu duniani ni watu wachache serikari mpeni nafasi jamaaa afanye maajabu

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 3 lety

    Nimeridhika na ubunifu kwanza unakisi harakati zetu za uzalishaji. Ningekuwa raisi ningekupa zawadi nono sana

  • @BarakaMentorship
    @BarakaMentorship Před 3 lety

    Twende taratibu, kavumbua kweli au ni kitu toka nje?

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 3 lety

    Usiseme hakuna nchi iliofanya carwash kama hiyo nchi zenye uwezo wake ndio zinatumia hizo uzisemazo, mzee bb ni semetu hongera kwa mashine ya mipin

    • @gibsonkitwaro953
      @gibsonkitwaro953 Před 3 lety

      Angeangalia hata final destination kuna car wash ya ivyo...

    • @hallin9561
      @hallin9561 Před 3 lety

      Umefeli kumuelewa, amesema kwa Afrika, wacha kudandia vitu kwa mbele

  • @emanuelmgote5957
    @emanuelmgote5957 Před 3 lety

    Huyu jamaa mzalendo,anahitaji kuungwa mkono.

  • @cashone988
    @cashone988 Před 3 lety

    Dah naskitika yuko nchi isojali vipaji masikin

  • @raykas9976
    @raykas9976 Před 3 lety

    Sasa mkurugenzi namba mpeni huyo Gadiosi nafasi hiyo stand mpya.

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 Před 3 lety

    Watanzania tunaweza sio wazungu tu

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 Před 3 lety

    Serikali isiwabanie watu kama hawa ndio uchumi wetu unavyokuwa hivyo

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 Před 3 lety +1

    Mipini ya majembe!!! Kumbe jembe la mkono bado linaenziwa!!

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 Před 3 lety

      Tanzania Bado jembe linadili maana technolojia ya matrekta Bado pia kiufupi Bado sana ko jembe Bado tunalo na lipo sana

  • @mohamedbohari7236
    @mohamedbohari7236 Před 3 lety

    Wahusika ina maana hammuoni huyo mtanzania ambae anaenda sambamba na fikra za rais wetu mpendwa JPM?

  • @victorwanzagi6417
    @victorwanzagi6417 Před 3 lety

    Kuna mtu anauliza eti huyo ni kijana kweli? 😅😅

  • @othmanally1230
    @othmanally1230 Před 3 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 safi Sana

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 Před 3 lety

    Ubunifu kama uhu ndiyo unatakiwa

  • @jovinjulius9852
    @jovinjulius9852 Před 3 lety

    Mashine nzuri lakini hajazingatia kuweka emergence stop 🛑 switch na ku cover rotating parties

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před 3 lety

    Ndugu wewe ni mtanzania mwenye akili sana na watu Kama nyinyi ni vizuri kuomba nafasi ya kukutana Na Raid JPM na kuzungumza ma swala ya maendeleo hizo ndizo akili za mtanzania na siyo ku kaa kwenye mitandao na kuongea utumbo tu eti serikali ya Magu haijafanya kitu

  • @abdilehussen2123
    @abdilehussen2123 Před 3 lety

    Mimi naona wangebuni kitu cha maana

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 Před 3 lety +3

    Hiyo carwash unayo Sema huku kwetu ni vitu vya kawaida brooo

  • @msingida33
    @msingida33 Před 3 lety

    huyu jama kaunganisha tu lakini siyo kagundua , kuwa tu mkweli hii mashini niliiona kwa wachina web site Aliexpress, kwa hiyo hakuna alicho gundua bali kaunganisha

    • @reginautou4163
      @reginautou4163 Před 3 lety

      Hivi unamjua huyu jamaa au ni marayako ya Kwanza kumuona kwenye mtandao?

    • @msingida33
      @msingida33 Před 3 lety

      @@reginautou4163 alitakiwa aonyeshe kuanzia alipoanza kuiunda hapo ndipo naweza kumuelewa, lakini hata kama kaunda bado nampongeza sana tu kwa juhudi yake

  • @saidsalim8079
    @saidsalim8079 Před rokem

    sizani kama analala huyu mwamba

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 Před 3 lety +1

    Safi sana.... Kijana

    • @mohamedbohari7236
      @mohamedbohari7236 Před 3 lety

      Wahusika ina maana hammuoni huyo mtanzania ambae anaenda sambamba na fikra za Rais wetu mpendwa JPM ?