Kikwete | Rais Samia ameituliza nchi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2024
  • Wakati kukiwa na mitazamo mbalimbali juu ya Rais Samia Suluhu Hassan na utendaji wake kazi, Rais mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete anasema imekuwa ni miaka mitatu ya kutengeneza utulivu wa nchi ambao umefanikisha kuvutia wawekezaji katika sekta mbalimbali.
    #AzamTVupdates
    Wahariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

Komentáře • 35

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 3 měsíci +3

    Watajitokeza Tu Mmoja Mmoja Tuendelee Kusubir Ni Jambo La Muda Rest Easy JPM

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Před 3 měsíci +2

    Safi sana Mzee kikwete,CCM oyeee
    Mi5 Tena Kwa Samia.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 3 měsíci +3

    HAKIKA
    watu wanautulivu na amani ya kutosha!!
    TUNAKUPENDA RAISI WETU KIPENZI SAMIA SULUHU HASAN,MUNGU AKULINDE NA MAHASIDI!!

  • @robertmisako9443
    @robertmisako9443 Před 3 měsíci +6

    Uyu nae umri umemtupa mkono akae Kwa kutulia uchumi gani unakua ,au Kuna Tanzanian ingine ambayo siishi mimi

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před 3 měsíci +5

    Hayu mzee nae

  • @user-zu9jg8hx5l
    @user-zu9jg8hx5l Před 3 měsíci +6

    Hatukuelewi MZEE Unamaanisha nini?

    • @jacoblaiser7634
      @jacoblaiser7634 Před 3 měsíci

      Sema wewe humwelewi, wengine sie tunamwelewa sana

  • @froma3732
    @froma3732 Před 3 měsíci +2

    Kuna watu wanasema hamuelewi kwa Ufupi ni Kuwa Rais Samiha yupo na yuko Vizuri 2030

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před 3 měsíci +4

    Sijui uchumi wetu unakuwaje watu hawana kazi .

  • @bakarimkwizu4335
    @bakarimkwizu4335 Před 3 měsíci +3

    Yuko sahihi sana mzee ,comment za wenye chuki hazina nafasi SAMIA mitano tena

  • @user-ni9zc3gx5t
    @user-ni9zc3gx5t Před 3 měsíci

    Kweli ukubwa dawa pamoja na maneno makali unayozongwa lakini umeonesha ukulu wako umetuliaa

  • @barakaayubu6126
    @barakaayubu6126 Před 3 měsíci +2

    Kwa sababu hiyo muna mkakati wa kumpiga chini philipo mpango asiwe makamu wa rais

    • @jacoblaiser7634
      @jacoblaiser7634 Před 3 měsíci

      Acha kukurupuka. hayo umeyapata wapi?kwani alipo Sasa ulimteua wewe?

  • @suleimanabdallah7123
    @suleimanabdallah7123 Před 3 měsíci +2

    Ebu staafu kwanza!

  • @suleimanabdallah7123
    @suleimanabdallah7123 Před 3 měsíci +1

    2020 si ulifanya campaign!

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Před 3 měsíci +1

    Uchumi gani? Huyu nae!

  • @SelemanAlly-lz4sb
    @SelemanAlly-lz4sb Před 3 měsíci

    Upo Sawa Rais utulivu Upo c kama awali

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před 3 měsíci

    Huyu Muongo ,si alisema gesi itamaliza tatizo la umeme wakaishia kuingia mikataba ya kifisadi??!! Wakapinga Bwawa la Nyerere sasa wanaaibika ..!!

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 Před 3 měsíci +1

    hofu inauwa kabla ya kifo

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga9623 Před 3 měsíci

    Yaliishakuwepo hayo unayoyasema? Kipindi gani?

  • @nassoroiddimanjem603
    @nassoroiddimanjem603 Před 3 měsíci

    Mh watanzani tulishakua waelewa

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Před 3 měsíci

    kipindi chako bado kidogo chadema wachukue Nchi 😂😂😂

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 3 měsíci +2

    Niliwah Ku-comments Tu Kumbe Uchawa Hauna Umri Na Nimeamin Uchawa Ndio Mfumo Wa Maisha Ya TANZANIA

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před 3 měsíci +1

    Wakati fulani, wazee hugeuka na kuwa na akili za kitoto.

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před 3 měsíci +4

    RIP JPM

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 3 měsíci +1

    wanaopingana na maneno ya mheshimiwa raisi wetu mstaafu kikwetu,tunawajua ni wale muumiani waliokuwa wanapenda kunywa damu za watu!!
    Hawana nafasi hiyo tena!!

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Před 3 měsíci

    Wenye akili tushamuelewa ukumkubar magu

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari Před 3 měsíci

    Bado yupo huyu?

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před 3 měsíci

    Wewe na kundi lako hamwezi kumpenda kwani aliwanyoosha na kuwafungia miradi yenu ya kibepari, kifisadi ndani ya chama na nje ya chama. Ila ukumbuke pia ni wewe ulishiriki kumpigia kampeni, mlimjua mkafunga mabakuli yenu. Samia na yeye walikuwa wakiomba kura pamoja kwani hilo hamkujua! Bado hamjasema.

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Před 3 měsíci +1

    2015,kulikuwa na KUNDI MEMBE,na KUNDI LOWASA.Kwahyo wananchi mnao tuongoza nasisi tumekuwa na makundi.2025, WANYONGE Bado wapo kwenye majonzi,...😭😭😭😭.

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 Před 3 měsíci

    Huyu naye alishawahi kuwa Rais wa inchi hii au nikichekesho?

    • @mohamedmotte1519
      @mohamedmotte1519 Před 3 měsíci

      Mhe. Kikwete ni Rais aliyependelea mema wa tanzania ndio maana alivyotembelea nchi za nje aliwakumbusha wa tz kujijenga kiuchumi nyumbani na kusaidia ndugu wa africa iwapo kuna fursa. Munaomkejeli ni uono finyu na binadamu huwezi kupendwa na wote, Na pia wengine hamjapata malezi mazuri hatuwashangai, Madebe matupu hayawachi kupiga makelele.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před 3 měsíci

      ​@@mohamedmotte1519Debe tupu ni wewe usiyejitambua tokea kupata uhuru hadi hii leo. Toka nje ya box, nyie ndio mnaodidimiza nchi. Mkataba wa Bagamoyo unaukumbuka.