Kikwete | Rais Samia ameituliza nchi
Vložit
- čas přidán 18. 03. 2024
- Wakati kukiwa na mitazamo mbalimbali juu ya Rais Samia Suluhu Hassan na utendaji wake kazi, Rais mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete anasema imekuwa ni miaka mitatu ya kutengeneza utulivu wa nchi ambao umefanikisha kuvutia wawekezaji katika sekta mbalimbali.
#AzamTVupdates
Wahariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Watajitokeza Tu Mmoja Mmoja Tuendelee Kusubir Ni Jambo La Muda Rest Easy JPM
Safi sana Mzee kikwete,CCM oyeee
Mi5 Tena Kwa Samia.
HAKIKA
watu wanautulivu na amani ya kutosha!!
TUNAKUPENDA RAISI WETU KIPENZI SAMIA SULUHU HASAN,MUNGU AKULINDE NA MAHASIDI!!
Uyu nae umri umemtupa mkono akae Kwa kutulia uchumi gani unakua ,au Kuna Tanzanian ingine ambayo siishi mimi
Hayu mzee nae
Hatukuelewi MZEE Unamaanisha nini?
Sema wewe humwelewi, wengine sie tunamwelewa sana
Kuna watu wanasema hamuelewi kwa Ufupi ni Kuwa Rais Samiha yupo na yuko Vizuri 2030
Sijui uchumi wetu unakuwaje watu hawana kazi .
Ajira ametoa sana
Yuko sahihi sana mzee ,comment za wenye chuki hazina nafasi SAMIA mitano tena
Kweli ukubwa dawa pamoja na maneno makali unayozongwa lakini umeonesha ukulu wako umetuliaa
Kwa sababu hiyo muna mkakati wa kumpiga chini philipo mpango asiwe makamu wa rais
Acha kukurupuka. hayo umeyapata wapi?kwani alipo Sasa ulimteua wewe?
Ebu staafu kwanza!
2020 si ulifanya campaign!
Uchumi gani? Huyu nae!
Upo Sawa Rais utulivu Upo c kama awali
Huyu Muongo ,si alisema gesi itamaliza tatizo la umeme wakaishia kuingia mikataba ya kifisadi??!! Wakapinga Bwawa la Nyerere sasa wanaaibika ..!!
hofu inauwa kabla ya kifo
Yaliishakuwepo hayo unayoyasema? Kipindi gani?
Mh watanzani tulishakua waelewa
kipindi chako bado kidogo chadema wachukue Nchi 😂😂😂
Niliwah Ku-comments Tu Kumbe Uchawa Hauna Umri Na Nimeamin Uchawa Ndio Mfumo Wa Maisha Ya TANZANIA
Wakati fulani, wazee hugeuka na kuwa na akili za kitoto.
RIP JPM
wanaopingana na maneno ya mheshimiwa raisi wetu mstaafu kikwetu,tunawajua ni wale muumiani waliokuwa wanapenda kunywa damu za watu!!
Hawana nafasi hiyo tena!!
Wenye akili tushamuelewa ukumkubar magu
Bado yupo huyu?
Wewe na kundi lako hamwezi kumpenda kwani aliwanyoosha na kuwafungia miradi yenu ya kibepari, kifisadi ndani ya chama na nje ya chama. Ila ukumbuke pia ni wewe ulishiriki kumpigia kampeni, mlimjua mkafunga mabakuli yenu. Samia na yeye walikuwa wakiomba kura pamoja kwani hilo hamkujua! Bado hamjasema.
2015,kulikuwa na KUNDI MEMBE,na KUNDI LOWASA.Kwahyo wananchi mnao tuongoza nasisi tumekuwa na makundi.2025, WANYONGE Bado wapo kwenye majonzi,...😭😭😭😭.
Huyu naye alishawahi kuwa Rais wa inchi hii au nikichekesho?
Mhe. Kikwete ni Rais aliyependelea mema wa tanzania ndio maana alivyotembelea nchi za nje aliwakumbusha wa tz kujijenga kiuchumi nyumbani na kusaidia ndugu wa africa iwapo kuna fursa. Munaomkejeli ni uono finyu na binadamu huwezi kupendwa na wote, Na pia wengine hamjapata malezi mazuri hatuwashangai, Madebe matupu hayawachi kupiga makelele.
@@mohamedmotte1519Debe tupu ni wewe usiyejitambua tokea kupata uhuru hadi hii leo. Toka nje ya box, nyie ndio mnaodidimiza nchi. Mkataba wa Bagamoyo unaukumbuka.