CHIFU WA IRINGA AMJIBU KIKWETE/ "TUNADUMISHA MILA!"/ "MBONA KAWAIDA?"
Vložit
- čas přidán 8. 06. 2022
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#MKWAWA #IRINGA #KIKWETE
Napenda sana kujua history ya makabila sana na history za watu. Kwakua dini zimekua ni kinara wa kuondoa history za watu na makabila. Dini zote zinataka sote tujua history ya Israel na warabu kama vile sisi ni hao. Wanatutenga na kutufanyia ubaguzi japokua sisi tumezishika dini zao kuliko wao wenyewe
Nimekuerewa Sana kaka
Uko sawa kaka ila ukiongea utaitwa kafiri au shetani mpotevu nauku tunalazimishwa au tuabudu mila za kiizraeli au kiarabu is really sad
Kama mkwawa alizaliwa 1855 na mufwimi muyinga ni Babu wa mkwawa history za mufwimi na story za German ni uwongo
Tatizo ni kuwa kila mmoja anajiona anajua historia na kutafuta nafasi ya umarufu Naomba mjue kuwa historia ya wahehe ni kitu kingine na historia ya chifu. Wahehe wana historia yao msituchanganye. Whehe tunahistoria yetu.
MZEE WETU chief Malangalila, nakukubali Sana!!! Nakumiss Sana, safari yetu tulipoenda kuzuru alipolala Dr wangu, Asalaam alaykhum
Nyie wabantu acheni mauhanisi haya!!! Wabanru mtakalia uhanisi tuuu!!! Mpaka lini??? Eti Kilonge sijui mkundu ,sekindole,eti muyinga, mara nzao na lupembe!!! Kumamae zenu wabantu!!!
Enzi za akina Mfwimi ni za kale sana nyuma kulinganisha na ujio wa Wajerumani. Nadhani tuchimbulie vizuri tukae sawa
Uhamiaji wako wapi,wakiona wasomali wanajipitia Tanzania kwenda Sauzi wanawasumbua eti wahamiaji haramu,ukichambua sana Tanzania ni ardhi lakini wakazi wake sio wa hii ardhi bali walikuja aidha kutoka congo,Sudan,kenya,komola na kwingine.
Mama Yangu ni ukoo wa Kivambe, baba yake mama alizaliwa na Mkamba, sijui ndiyo huyo? inasemekana Mkamba alikuja na Baba yake toka Ethiopia, mara wengine wanasema Somalia, wengine wanasema Comoro
Hiii kamba uwongo
Matendo ya Mitume 6:
4 na sisi tutadumu katika kuomba na kulihudumia lile Neno.
*TUTENGE MUDA WA NENO NA MAOMBI KILA SIKU ILI MUNGU ATUNAWIRISHE KIKAMILIFU NA KUTUIMARISHA; UTUKUFU WAKE UONEKANE KWETU NA KUNUFAIKA KWETU KUSIWEZE KUZUILIKA, KATIKA JINA KUU LA YESU, AMEN!!!*
Hayo mabantu masenge!!! Ni njaaa tupu na utumwa!!!
Mmmmmm!!!!
Mzee sound sana huyu
Mimi mhehe nahitaji tafsi ya jina langu naomba namba ya chief
Wenye akili wameng'amua Jambo Hapo!!,,
Lakini inatakiwa akili nyingi Sana kuelewa entavew hii!!👇👇🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹🥀🥀⛹🏿♀️⛹🏿♀️⛹🏿♀️
Wasomi waTanzania wangekaa na wazee hawa waandike historia za makabila yetu.Bahati mbaya wazungu ndio wanaotuandikia historia zetu. Ndipo hupotosha hata majina asili kwa kushindwa kutamka vizuri.
Haya sikilizeni huyu chifu wa kihehe anasema anamwabudu Samia,hayo yangesemwa kwa Magufuri yangeandikwa mitandao yote.Wapinzani wake wangepata hoja.
@@machoguhameri7757 kwafaida gan ukiandikiwa
Hapo kwa kumheshim mke mkubwa hapo nikweli hata wazee wengi iringa ndo tabia zao
Ukikawiya kufa utaona uchi wa chawa mtu yoyote anae jigamba eti yéyé ndie mtanzania halisi nimuongo
Asante mzee kwa historia, Lakini kuna vipengere naona kama haviko sawa, Nilishawahi kusikia Mwambambe alipotofautiana na Mkwawa, Mkwawa alikimbilia Dodoma huko alikaa kwa muda kisha akakusanya majeshi akisaidiwa na Chifu Mazengo akarudi Iringa na kumng'oa Mwambabe Mwalunyungu.
Alikimbilia Tabora sio Dodoma
Huyo Mwambambe mwenyewe yasemekana asili yake alikuwa ni Mnyamwezi, Hii ya kukimbilia Tabora nilikuwa sijaisikia, Ngoja tuifutilie kwa kina kuhusu hiki kipengele.
Swali je walipo kutana kati ya mfwimi na binti walitumia lugha gani?
Kuna wabenaManga na wabena Gani Tena? Naomba kuelewa
kama kawaida ya mademu wa kihehe kupenda men hahahahahah watani zangu bana
Malangalila home streat boy
Haya talisman, Mira na uchief vitu vie ili tofauti
History made in Iringa full of contradictions
Msikubali Kila hadithi iwe ndiyo historia rasmi. Hapa Kuna uongo mwingi sana.
Leta yako kama huna waache wanaosikiliza wasikilize
@@narrissajackson3869 Sikiliza tu, lakini ukweli huwa haujifichi.
@@kitomondo tupe ya kwako basi
@@madetetv6576 Kasome historia ya Mkwawa imeandikwa from different angles. Ukoo wa Mkwawa, colonial office ya Wajerumani na Arab traders. Hayo Mambo ya Kuua swala na kumpa Binti mguu hayana maana.Wewe unaamini mngazija mtu mzima aje ajifunze kihehe halafu atwae himaya kirahisi hivyo?
Above all, time frame na matukio havilingani. Huyo mliemuhoji ana elimu gani?
@@kitomondo ndugu story Mara nyingi huwa haziwi sawa ndomaana ya oral literature sifa yake Ni kwamba ukiambiwa na huyu halafu ukaenda na kwingine ukaambiwa lazima kutakuwa na utofauti haimaanishi kwamba anaekusimulia anakudanganya hapana Ni kwa kuwa hata hawa wazee si Kama waloshuhudia hapana nao walisimuliwa ndugu hujui maana ya fasihi simulizi mbona hata biblia ilivomuandika yesu Kuna baadhi ya waandishi wanapinga wanasema yesu hakuwa hivo Ila kwakuwa watu washamezeshwa imani wanaendelea kukiamini kile walicholishwa awali so acha kumlaumu mzee. Munu mvina Sana uyu angava ndauli udado au hata musehe yeyonda yula apenyo tanage hubesa avasehe pevilonga Kama ulimuhehe na yuve hambi wihwelewa shendilongile. Nyongesa
Utamwabuduje mtu?
Huyu mtu mwongo !!!!
Kweli,, anaokoteza tu histori
Na ww toa history yakoo
Huyu mzee ni muongo haha.. sasa kama walikutana polini,. Waliwezaje kuwasiliana, kwani, jamaa katoka ugazijani.. Mzee ebu tuache 😁😁😁😁
Haina shida unaweza leta iliyo na ukweli
Shut up Kikwete rudisha mabillioni uliyoficha ulaya
TAFADHALI UWE NA HESHIMA KWA RAIS WETU MSTAAFU KIKWETE! HATUTAKI KURUDI NYUMA! MAMBO YA UCHIFU HATUTAKI TANZANIA!