RAIS SAMIA ALIVYOMKABIDHI MSTAAFU KIKWETE NYUMBA YAKE, ATOA AHADI HII KWA MARAIS WASTAAFU...
Vložit
- čas přidán 8. 05. 2021
- RAIS SAMIA ALIVYOMKABIDHI MSTAAFU KIKWETE NYUMBA YAKE, ATOA AHADI HII KWA MARAIS WASTAAFU...
Rais Samia akimkabidhi mfano wa funguo ya nyumba Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete kama ishara ya kumkabidhi nyumba mpya ya kuishi iliyopo Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam ambayo amejengewa na Serikali kwa mujibu wa sheria.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 9, 2021 amemkabidhi mfano wa funguo ya nyumba Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete kama ishara ya kumkabidhi nyumba mpya ya kuishi iliyopo Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam ambayo amejengewa na Serikali kwa mujibu wa sheria.ais Samia akimkabidhi mfano wa funguo ya nyumba Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete kama ishara ya kumkabidhi nyumba mpya ya kuishi iliyopo Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam ambayo amejengewa na Serikali kwa mujibu wa sheria.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 9, 2021 amemkabidhi mfano wa funguo ya nyumba Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete kama ishara ya kumkabidhi nyumba mpya ya kuishi iliyopo Wilayani Kinondoni Mkoani Dar es Salaam ambayo amejengewa na Serikali kwa mujibu wa sheria.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Ahsante Baba Magufuli, Tingatinga, burudoza, Jembe, jeshi, umefanya kazi kubwa lkn umeishia lawama kubwa.
😭😭😭Ameabulia.kifo.🙆♀️
@@neemaneema6825 Mungu ndo alivyopanga na kazi yake haina makosa
😢😢
Hakuna mwanadamu asie laumiwa.
@@ahz6907 ni kweli kabisa
Kazi ya magufuli
Mpaka machozi yamenitoka asee,hakika JPM tutamkumbuka daima.
Yaani hamna kitu ni mauzauza tu
i know it's quite randomly asking but do anybody know of a good site to watch new movies online ?
@Brodie Russell Meh I would suggest flixportal. you can find it through google:P -luka
@Luka Larry thanks, I went there and it seems like a nice service :D I appreciate it!!
@Brodie Russell Glad I could help :)
Ni vyema kuwapa heshima stahiki marais wastaafu.
Lakini tukifanya hayo,ni bora pia kutizama maslahi mapana ya wananchi wanyonge ambao wanalala katika mazingira ya kuhatarisha maisha yao,wengine hata kushambuliwa na mafisi usiku wakati wamelala.
RIP JPM😢 ulitupenda lakini ulichukiwa
Hanashukrani hata uwape dunia nzima ila hayo ni duniani tu mbinguni wote sawa
Alikuwa anafanya kazi akiwa amezungukwa na wanafiki wengi
Huyu Jpm yeye alielewa masikini kwasababu alizaliwa na masikini lakini matajiri wa dunia wakiwemo watanzia wenzake wenye walikua wamepanua ndio walimula kisogo oooh pole tz dunia ndivyo ilivyo rip Magu
Awamu ya nne inaongoza nchi sasa kikwete mungu anakuona
Msikoment vibaya katika hi Dunia Kila mmoja Allah Amemuandikia darja yake kubwa tupambane tupate huko Akhera ndio kwenye nyumba Nzuri kwenye Raha hayo yoote tunayaacha hapa hapa kwani walio kua na majumba mazuri wako wapi yoote Yameachwa na kurithiwa tusiumie roho umia roho kwa Atakae ikosa pepo Akangia kwenye Moto Dunia ni mapito tu Allah Atujalie miongoni mwa waja wema .
@@suleimanmohamed4367 mkuki mtamu kwa nguruwe kafilwe mbele na wewe choko
@@abcxyz3740 ndugu yangu matusi siomazuri
Ana kwambia mkuki mtamu kwa ngurue Anae kutukana usimrudishe tusi Muache Kama Alivyo jibu litajibiwa tu .
@@abufauzan9417 ndugu yako jinamizi kikwete sio mimi mbwa wewe
Familia ya jpm jamani wanastahili kupewa nyumba mzuri kwa kazi alizozifanya,na jambo hili aliliasisi yeye.
Kamjenge we
Kwani sheria inasemaje ikitokea rais kafariki je nyumba atajengewa? Kama sheria haijasema hivyo kitakachofanyika ni matunzo ya familia sio kujenga nyumba. nadhani.
Watapewa sipaka ianze kujengwa, Kwa sababu hao ni wastaafu teyari
@@djgmp8140 mwanga mkubwa wewe
@@djgmp8140 roho mbaya itakumaliza
Mzee maguful tutakukumbuka daima MUNGU akupokee huko uliko baba
Kweli nimeamini
"Aliye nacho,huongezewa " 😄
Mpeni tuu FISA
Kkkkkkkkkkkk
Aliye nacho huongezewa, hasiyenacho upokonywa ata kile kidogo alichodhaniwa kuwa anacho
@@sharrifidris3422 sisi walala hoi tungepewa namagufuri pekeyake nasio mtumwingine
Ivi wakatiwautawala wake alimkabidgi Nani nyumba
Hii Nchii kunakoelekea itakuwa ni wenye nacho kwa wenye nacho siye wengine tutaendelea kumlilia JPM na kumkumbuka
Kweli JPM atakumbukua
Mama apo nimekuelewa Sana ikumbuke familia ya mzee wetu jpm kipenzi chetu
Hii nchi hii ishakiwa ya watu wachache tu na sio yawatanzania wote
Kabisa mapicha yameanza
Ni kweli kabisa eti mujibu wa sheria wakati wamezipanga wao sisi masikinu basi
Kweli seif wachie wapeane
Seif katiba inasema rais akistaafu anatakiwa ajengewe nyumba yenye hadhi ya urais kwahyo usilaumu mtu wakaumu waliotunga katiba
@@allygibu7003 msilaumu Sana hats baba angekuwepo Leo angemkabithi 2maana kama mnakumbuka alishaonyeshwa akiwa anakagua ujenzi unaendeleaje na akasema marais wote wastafu wanakabidhiwa nyumba zilizojengwa na serikali
ANA NYUMBA-HEKALU MSOGA PIA ANA HEKALU LINGILE MTAA WA MIGOMBANI MIKOCHENI BADO TENA ANAONGEZEWA, AMA KWELI NCHI YAENDA KUBAYA
Kweli? Mie mbona nimeambiwa kapangisha jmni au
@@chaomadedo sio kweli, nenda mtaa wa migombani pale mikocheni ulizia nyumba ya Kikwete utsonyeshwa, tena sijui amewahi hata kukaa, jumbo kubwa kwenye uwanja wa heka moja na nusu
@@isaachayes9783 ile ya Migombani ya kipindi alipokuwa waziri, inakumbuka Mkapa aliposema wazinunue nyumba za serikali wanazoishi/wanamoishi? Ndo akainunua na kwao Msoga ana hekalu
Binadamu wasiotosheka , wanakumbatia mamali kama wataisha milele
Sheria inasema kila raisi anayestaafu inabidi ajengewe nyumba...sasa kwanini unalalamika watu kufuata sheria...ni kama umyime mtu haki yake kisa tajiri...siyo sawa
Nilijua tu akuna kitu apo uongozi bora kaondokanao baba yetu maguful huyo mama mimi mtanisamehe hana jipya kwang
Umenena ya moyoni kwangu vipi uko nikununulie angalau milinda. Wanafurahiya nyumba nasi tujipongeze kwa soda
kamfufue magu basi
Lkn hizo nyumba alipewa na magufuli kitambo ilikuwa haijamaliza tu alikabidhi kila mmoja yeye kakamilisha tu
Kweli wapumbavu wengi hii nchi hizo nyumba magufuli ndo kajenga fatilia kwanza habari brother
@@pitargamba9208 hizo nyumba alianza kujenga magu huyo mama kakamilisha tu ww vp
Pea neni tu wananchi wanaishi nyumba za udongo na majani
Ukweli mtupu kakangu. Rais ajengewa nyumba ilhali anayo nyumba zingine. Hebu sikiliza hizo maelezo kweli?? Haileti shangwe hata kidogo??
Kabisa mpendwa
@@aishafrancis7714 inasikitisha sana wao wanajiweza majumba wanayo lakini badala yakuwafikiria wanyonge wao hapana allah anawaona
Hiyo ni kwa Marais wazalendo, aliyewaibia wanyonge mkiwajengea mnashiriki wizi na rushwa.
mngelaumu wabunge wenu mnaowachagua kwa kupitisha hizi sheria.mama anatimiza wajibu tu.acheni wivu
Hii sheria ya kupeana nyumba kwa wastaafu ipo Tanzania tu Duniani kote.
Washenzi wakubwa Hawa wanagawana pesa za wananchi wao.
Yaani walikua hawalipwi mishahara, na ufisadi wote sasa mtu kama kikwete zile pesa alizozika nyumba ya nini....hawa mafisadi
kwa nini hii sheria ianze kutumika baada tu ya kifo cha JPM
@@mussaameir5230 Ilikuwepo walikuwa hawana mbinu za kuzijenga, mwamba Magufuli akaweza tena Ni kwa mpigo, ya Mwinyi, Mkapa, na Kikwete. Mwamba alikuwa kazini. Reli zilizokufa miaka 27 akazifufua, makao makuu yaliyopangwa toka 1973 wote hawakuweza lkn kwa Magufuli iliwezekana. Tutalia Sana kumpoteza maana tulikuwa tunaelekea kuwa na Neema hata sisi watu wa hali za Chini.😭😭😭😭
@@mussaameir5230 wacha ujinga na fitna..hii nyumba ya kikwete alieijenga ni Magufuli na alikua amkabidhi yy mwez wa tatu ila Mungu akamchukua..Sasa acheni kuongea usenge msilokua hamna uhakika nao
Kweli kabisa Jpm alikuwa chuma kweli kawajengea watatu mwinyi ,mkapa na kikwete na yeye wamjengeee ata kama akustaafu
Nilijua kwamba yatatokea
RIP Baba JPM😥. From Mozambi 🇲🇿
Hizo nyumba kajenga magufuli. Mama kakabidhi tu. Muwe mnafuatilia
@@prosperjuma905 tuna mkumbuka.jemedali wetu kipenzi chetu JPM
@@sitellamatni6878 angekuwepo mwenyewe aliyejenga kama alivyo mkabidhi mwinyi na mkapa, mngemshangilia ila kwasababu anakabidhi mtu ambae hata hakuijenga, ndio mnambebesha lawama ambazo hastahili, mtu ukimchukia hata afanye zuri vipi huwezi kuliona, ni unafiki tu ndio maana hata mungu anatunyima kwa roho zetu
Kwasababu ni takwa la kisheria, hata Magufuli alimkabidhi mzee Mwinyi, kwahiyo mama anafuata kilichofanywa na watangulizi wake.
WaTz tuweni wafuatiliaji wa mambo, sio kulaumu bila ya kujua jambo ni aibu na unafiki wa hali ya juu kulaumu usicho kijua
Siku hizi sie watanzania tumejaa chuki, hasira, na vinyingo na matusi kila kukicha. Ni mambo yanayomuumiza sana Mungu. Tujirekebisheni jmni Tanzania
Nashangaa wameshasahau!!mbona Magomeni yale magorofa hawalalamiki kwanini wanapewa walala hoi. TZ tumekalia umbeya na roho ya kwa nini??!!
Tatizo watu wengi wakurupukaji hawafuatilii mambo ya nchi yanavyokwenda sijui ndiyo wamepata leo sim za smart
wengine wanakula nchi sisi wengine tuna liwa na nnjaa
Fanya kazi acha kulalamika mbuzi wewe
Ayibu
Mnasema magufuli alikuwa na sela mbovu uchumi wakati kaingiaje kama si mlimuua kwa hila ccm hamko kwaajili wananchi mnamambo yenu siwakubali tena moyo unaniuma sana magufuli wangu daa nakukumbuka hukouliko mfarume bado tunakuhitaji
Jpm tutakukumbuka daima😭😭😭😭
Kaingiaje JPM hapa??
@@ismu3881 yeye si do aliiazisha hiyo nyumbani mpk kuisha ko ilikua bado kumkabizi tyu
Huyu amekabidhi tu
Sasa unafikiri imejengwa kwa miezi miwili tu ??? 😳
Yeye ndio alianzisha ujinga huu kampa mwinyi na alitaka kuwapa wote ushenzi huu
Sana kaka tutamkumbuka baba yetu 😭😭😭
Hizo pesa mngeboresaha vituo vya wazee au yatima. Kwa nini hawa waliojilimbikizia ndo wapewe nyumba?
HAO TUTA WEPELEKA UWANJA WA MPIRA CHATO.
Kitambo mtaambiwa hamna hela. IMF tayari wamempa maelezo kuwa wakitoa hela safari hii zionekane zimetumika kwa lengo lake.
Kweli
Sa barakoa za nn tena jmn, Mama upo vzr Mungu azidi kukubariki
President Samia suluhu Hassan she is an amazing. Greetings from Kenya we love her so much
huyu mm na huyu jakaya hata siwaelewiii mungu mpokee magufuli wetu hakika tutamkumbuka milele rahisi wawanyongeee🇹🇿🙏😭😭😭😭😭😭
Mama Rais Samia Suluhu, hutba (speeches) zimekuwa nyingi mno. Waachie mawaziri wakuwakilishe. Chapa kazi afisini mwako la si hivyo utasinya na heshma itapungua. Kalia kiti, chapa kazi matokeo yadhihiurike. Toka kwa nadra palipo na jambo la kitaifa .
That is a nature of a woman to talk to much me myself I believe In a leadership of a man
Aya bhna nyie ndo wenye mamlaka ya hii nchi bhna
Wadhulumaji wakubwa.
Barakoaa...ujumbe umfka...ndo walojadli huko
Mma Janeti na familiya yake piya mumkumbuke ili familiya zao ziishi vyema.
Upuuzi huu. Na maskini wanapewa nini ikiwa tu hata wanazotafuta kwa jasho lao LA halali wanasumbuliwa. Ni hakuna kitu hapo
Tatizo kubwa watamzania tunapenda dunia tunasahau Akhera kama tunajua tusingekasirika wala kuhuzunika kwarizki yamtu mwengine
Mm mpka sasa hvi sielewi kitu, barakoa Zane msituingize Kwenye mitego ya Masirahi Yenu
Sasa nimeelewa maana ya kazi iendelee!
Ufisadi wizi utapeli uonevu. Ndo maana wanasema kazi iendelee.
@@machaggechacha3422 UFISADI KAMA ULE WA KUPELEKA MAJESHA PEMBA KUUWA RAIA WASIO NA HATIA NA KULIPA MAMILIONI YA PESA KUWAPA WANAMUSIKI WAPIGE KAMPENI???
Tunakushukuru sana hayati raisi Magufuli kwa kutimiza ahadi ya kumjengea nyumba raisi mstaafu Jakaya Kikwetu
Mnywesha watu sumu kikwete mnafiki mkubwa
HUNA USHAHIDI.
Hapana hayo siyo maneno mazuri yakumnenea iwapo ushahidi huna ndugu yangu
Tutaona mwishowake Sizani kama alikuwa na haha ya nyumba kunawatu sana lala nje dah
Sasa inahusu nini , fanyeni kazi.... Ninyi ndio huwa nnawachukia wenye kupata alafu mnapiga hadithi tu vijiweni, kinawauma nini sasa ilhali ni katiba ya nchi ndio inaelekeza rais atajengewa nyumba? Au mlitaka rais akitoka madarakani aishi ikulu ili atayefuata akajenge nayeye ikulu yake kisha akimaliza abaki atayefuata pia ajenge yake?
Mbona huu utaratibu ni mzuri.... Au tukubaliane basi kwamba kila atayegombea urais awe ananyumba na atuonyeshe kuwa ananyumba ili tukimpa urais ajue akiondoka IKULU yetu arydi kwake. Pumbavu kbsa, mnataka rais akaishi vichochoroni hamuoni aibu. Fanyeni kaz watanzania acheni kuongea kama vichwa vimekatika.
Hongereni serikali kwa kuwakumbuka viongozi wetu. Ninyi ni wenzetu. We loves you.
Mnamlaumu Samia kwani ndiye aliyejenga au kwani ndiye aliweka hiyo sheria mwacheni mama yetu anafuata na kutekeleza sheria alizozikuta na mjue aliejenga nyumba hiyo ni hayati JPM RIP na angekuwa hai ndiye angekabidhi sijui mngempongeza au mngemlaumu kama mnavyofanya kwa Rais Samia
Hatuwezi tukawapa Watanzania wote nyumba tufanye kazi na tuweke akiba na tujenge nyumba bora kukasirika Marais kujengewa mahali pa hadhi yake ni uchoyo wivu na unafiki
@@loner_wolf Big Up 👍👍👍👍👍MIDOMO MIKUBWA KAZI HAITAKI KULAUMU 2 WANACHOKITAKA HAKIJULIKANI.
@@Kwelihukuwekahuru KWELIIIII👍👍👍👍MIZEMBE HAITAKI KAZI. HAWJUWI ANAEPEWA HIYO KAUMIZA KICHWA CHAKE MIAKA KUMI NA ALIKUWA MTU WAKUZUNGUUKWA KILA ANAPOENDA HANA UHURU WA MAISHA YAKE.
@@Kwelihukuwekahuru TUSIJALI WACHOMA MIHOGO MITAANI HAO 🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera kujengewa nyumba mh. PJM Rest in peace
Naona anajaza maji kwenye baharii hiinchi hatutatoboa ng'oo
Mara BENzi""mara nyuumba😢😢😢😢..
Kweli kabisa haipendezi Raisi ameiendesha nchi halafu hadhi yake inashuka moja kwa moja
Kazi iendelee Mama Samia Rais wetu mpendwa
☹️☹️☹️☹️ hivi mh unajua km mm hata uwanja Sina lkn unamwongezea mwenye nyumba nyumba 😭😭😭😭
"Mtanikumbuka"
Na kweli,Waswahili wa Pwani,wanagawana wasivyozalisha!! Jana Benz, leo nyumba. AIBU KUBWA,HUKU WALIOWENGI WANAHANGAIKIA MAISHA!!!
Kwa hiyo tukusaidieje
Na mimi mlipa kodi mzuri mnijengee nyumba muweke historia .
Nyumba za viwete maskini ombaomba hawajengewi tuangalie na Hilo labda tunaweza kulitatua please
Mmmh... Aya mungu azidi kuwazidishia...
Ila Tamaaa mbaya Sana... Kuna watu vijiji I uko awana Ata sehemu ya kulala
Ni UPENDO wa Hali ya juu huo Mh Raisi
Kwenye bahari kunaongezewa maji.
Watu hawa wanaishi nyumba wanazoishi kuficha utajiri walionao na si kuwa wameshindwa kujenga na utumishi wao walilipwa kama watumishi wengine.
Nenda Msoga uione nyumba anayoishi Kikwete! Iko mpomani ina view nzuri kubwa, nzuri ya kisasa haikuwa na haja ya kumjengea
@@MsAggie5 Bibi hii Nchi imeanza kuboa. Kama vile ina wenyewe mi sijui kwetu.
Mbona Nyerere hajajengewa🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Jeshi la wananchi lilishamkabidhi nyumba zamani hata kabla hajafa
Unaishi nchi gani wewe nyerere hajajengewa hebu fatilia
Magufuli mungu awe nawe uko ulipo
Amina mama,safi sana,Mungu akutunze
Raisi na nyumba anapewa, sisi wanyonge hata matumaini ya maisha hamna.
Sasa kwa kazi alizoifanyia nchi unaona hastahili kupewa hata nyumba? Mbona tuna roho dhaifu kiasi hiki wanadamu.
Magufuli he's the best president in my life....sleep well my president. Ila huko ulipo ustusahau tupo kwenye kipindi kigumu sanaaaaaa!.you the best president.....I love ❤️ you
MAMA ANGALIA SANA KUWANUFAISHA WATU WASO KUWA NAO ....اتق الله حيثما كنت...HAKIKA KUWAPA HAO MIJUMBA HIYO SHERIA ICHUNGUZE VYEMA
Dah KAZI kweli kweli ccm CHUKUA, CHAKO, MAPEMA, NAHISI MAGUFULI KAPACHIKWA TU HAPO.
CCM Mungu anawaona, ndio mana hawataki kubadilisha katiba, hili wazidi kuwaibia wajineemeshe wao na familia zao 😭😭😭
Katiba inasaidia nini wewe sisi tunanata kiongozi kama JPM sio katiba. Walio staili nyumba kwa sasa ni Nyerere na Mwinyi au labda JPM hawa wengine walisha tuibia. Kiongozi akiwa muadirifu sio mwizi anastahili nyumba lakini keshaiba nyumba ya nini kikwete ni tajiri alisha chota. Kumbukeni sengerema na kwingine tunakunywa maji ya tope. Mungu anawaona mnaishi kwenye mahekaru watu hata maji hawana. Tena mnafanya haya ndani ya mwezi wa Ramadhani? Ama kweli mungu mkubwa.
@@husseinmkanga7794 usiongee utashi ndg yng katiba itatusaidia kuondoa kinga na mambo mengi waliojipangia km wao moja wapo la kujigawia.mali ss mtu kafanya kz analipwa kula kula bure mavazi yote pesa za wananchi yy na familia yake ulinzi wao hawateseki hata kidogo iweje leo apewe nyumba na wengine wanapewa nyumba wakati weshakufa swali je hizo nyumba za marehemu au za familia zao? na ukichunguza weshaiba vya kutosha, hapo panahitaji katiba haiwezekani kila miaka 5 mtu apewe nyumba wakati tuna watu wanaishi mabondeni kwa kweli katiba itasaidia kuondoa vitu vya dhuluma walivojiwekea kwa faida yao kuna baadhi mpk leo shule hakuna wao wanatufanyia usanii Mungu anawaona kwa dhuluma wanazowafanyia wananchi
@@sheryphamwenevalley6124 katiba haito wazuia kutunga sheria mpya za kujipendelea. Hayo mambo mengine yanatungiwa sheria inapitishwa bungeni na inakuwa sheria. Na inatumika kama hiyo ya sasa haipo kwenye katiba waliitungia sheria ndio maana maana wananengeana nyumba. Mimi sitaki wajengeane nyumba. Na sasa wanataka kufanya marekebisho ya hiyo sheria na mawaziri wakuu na makamu wa Rais wajengewe. Ndio maana nasema kama wakiwa waadirifu sawa wapate nyumba kuliko kutuibia mabilion. Kumbuka katiba haito wazuia kutunga sheria wanazotaka. Kwasababu kutunga sheria ni moja ambayo yatakuwepo kwenye katiba kwahiyo sheria gani wao ndio wataamua bungeni na hiyo ni moja mihimiri ya demokrasia.
@@husseinmkanga7794 kwa kweli uzaliwa Africa ji shida sana, wao tu na familia zao, mtu akifa mlala hoi yani (maiti) adaiwa pesa kwa kweli kaumivu yasiyo kifani walemavu wagonjwa kutwa waomba misaada mitandaoni wao wanagawana mabenzi majumba wakati mtu hata elfu 50 ya dawa mtihani, cha kufanya ss ss tuandamane mitandaoni watatuelewa tu hawa viumbe
@@sheryphamwenevalley6124 ndio maana umpende JPM usimpende alikuwa anatupeleka pazuri. Alikataa maiti kudaiwa tangu alivyo mlipia yule mama aliemshika miguu pale muhimbili kumuomba amlipie ili apewe maiti ya mama yake. Sasa tunarudi tulikotoka ndipo wengi tutamuelewa JPM. Sasa hivi inchi inarudi kuwa ya matajiri na wafanyakazi wa vyeo vya juu serikalini na mashirika ya uma. RIP JPM.
Akuna president apo wote ni bure, na miss baba magufuli .
Naipenda Tanzania
Kazi iendelee
We have a lot to learn. :) Wenye nazi wangejifunza kusema sisi tunazo tafdhali sasa Wageningen wale wenye hawana. However, this is Africa.
Kwani analala nje au
MULIZE MAGU ALIO WAJENGEA.
Nzuri sana
Nani hataki hicho cheo,Bora Mungu alifanya utaratibu wa kupita Hulu duniani maana wengine tungeteseka sana aisee, jumbs halina hata wakaaji, mwenye nacho huongezewa
Unampa nyumba kwani amekwambia nyumba ana
Achen uswaili nyieee kwan vibya kupewaa looo mbya tyyy
Kwakwel mwanzo walikuwa wanaishi wap
Mbona mzee Mwingi alikabidhiwa nyumba yake hivi majizi na jana kapewa benzi kwa raha zake
Hayo ndio yanayonifanya niendelee kumsikiliza na kumuelewa TINDU ANTIPAS LISU, appreciate you honor.
Mungu abariki nchi hii mirere
Kila jaribio la kufunika mazuri ya Magufuli yanapofanyika lazima joto lake litaibuka kamwe hatapotea.
Hiyo kauli "nae ajengewe" haijanifurahisha kabisa. Mama usionyeshe hulka hiyo.
kweli kabisa sasa hivi nchi ni ya viongozi peke yao wananchi tule nyasi mpaka basi Mungu tusaidie
Eti watu wanasema umeamuwa baba je nikweli 😂
Mnajengeana nyinyi nyumba huku Kuna watanzania masikini wanahangaika hawana mabalabala, hawana madawa, hawana chakula, hawana nyumba Tofauti na nyumba ambayo mmemjenge alikuwa Hana nyumba mbona mnatuchezea vile.
Hongera sana Mjumbe mwenzangu. Unavuna uliyoyapanda Nitakutembelea.
Rest well my lovery dad jpm
Bazi hiyo ni shukurani kutoka kwa wanainchi basi tooni ushauri juu ya mama uko kimiya madeni yanasidi uwezo wetu Tanzania na hii ya wanangorongoro kufukuzwa hiyo sio haki kwa wanainji hao wa ngorongoro zamahani ingilia Kati kikwete ukikaa kmy sisi wanainchi tunasema unamuunga Samia mkono kwa mabaya anayowafanyia wanainji
Hii sheria ibadilishwe kabsa kumjengea sio sawa
Jumba la kikwete kubwa halina baraka
Cha muhimu ni kumshikasana Mungu na neno lake binadamu ni walewale hakuna geni. Vita ni vya Mungu alishaviona na Ndio maana Mfalme JPM alisema akiondoka hakuna atakaefikisha ndoto zake aliliona hilo. Lakini tunashukuru Raisi mteule aliahidi kwa kinywachake kwenye hotiba ya mazishi hayo yote ni vifungo au deni au laana kama hakutekeleza.
Etiiiii nyumbaa
Ila Jakaya aliuza wanyama Pori wetu kwa maelfu, hiyo ingetosha na asingepata vya zaid
HATA MKAPA ALIUZA DHAHABU KWA MA TONS LAKINI HAMKUSEMA.
Kweli kabisa
NCHI INAMASIKINI WENGI WANATAKIWA KUSAIDIWA LEO UMEMPA NYUMBA RAISI MSTAAFU jamani kweli hii MMH MASIKINI hakuna Tanzania mama TANZANIA BADO MASIKINI BORA UNGEZITOA KWA MAYATIMA hao wanalipwa MPAKA WANAKUFA SASA DAAAAAAH MASIKINI NCHI YANGU ila mama samia KUMBUKA WEWE DINI YAKO INAKUTAKAJE QORUAN TUKUFU HAIJA KOSEA
Mmh wanapeana wenyewe kwa wenyewe 😭
Barakoa???????
Safi sana rais
Hii, nyumba ni ya mzee wetyu magufuli, bado roho ya magufuli ipo na mm, nakupenda jpm najua ni mwili ndio haupo na sisi lakin ww upo nasisi .ni binadam baba
Taifa liliwaajili na kuwalipa mishahala na mafao hivyo kwa vile hamjui kundi kubwa la wanch wanaishi nyumba za udongo na wengine mijini kuhangaikia kupata viwanja
Maraisi wanalipwa $15, 000 kila mwezi , mwezao alikikata na kuchua $ 4, 000 tuu kwa mwezi leo wanataka kutuamisha alikuwa mbaya wetu looh !🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Nani ataikumbuka Familia ya Magufuli?
Allah amuweka mahali pema JPM inshaallah, kiufupo tita mmiss sana kqani ametupigania mno.. Japo kuwa sijajua kwanini kenya qamekiwa marafiki ghafla baada ya mzee M/Mungu kuchukuwa
Mm huwa najitahd kusahau km Magufuli mungu alishamchukua,nikiamini yale yoote aliyokua akiiwapigania watanzania yataendelea kuenziwa na viongozi waliopo madarakani! Bt kilio changu kila mara kinarud upya sababu ya panga pangua! Ya kila ck ma fungulia mbwa kwa kasi ya juu na hata rasilimali za nchi kuwekwa rehani kwa kauli za wzwz. Jpm pumzika kwa amani,tutaendelea kukuombea kwa Allah!!
Huyu raisi mshahara wake anafanyia nini,bado wajane wao muwape,hivi sisi wapigakura tunapata nini,maana uchaguzi ukifika tunaambulia kifo
Sinta pigs Kura tena🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Hii nyumba. Ilijengwa wakati wa magufuli msimlaumu mama
Wandugu nendeni na wkt mnaongea sana chonganishi hi nyumba alikua hayat amkabizi mstaafu toka yuhai akaumwa wakapanga deti Allah kamuitaji alimkabizi mzee mwinyi pia kabla ya kufariki someni tangulizi kila kiongozi anamema aliyo yafanya msiwe wafitini bila kutizama historia cc watu tutaacha kusema siku ya kufukiwa sememeni mema
@@omarmsuya2459 wanakabidhiana nyumba mbona hawajengi makazi ya raia. Hivi mnajua kwa nini watu hukimbilia huku magharibi na ulaya na kubadilisha uraia. Ni kw sababu raia wamewekewa mazingira mazuri kabla ya viongozi kujilimbikizia. Amka Muafrika
Daah mm naona mauzauzatu
Mnamlaumu Samia kwani ndiye aliweka hiyo sheria mwacheni mama yetu anafuata na kutekeleza sheria alizozikuta na mjue aliejenga nyumba hiyo ni hayati JPM RIP na angekuwa hai ndiye angekabidhi sijui mngemlaumu kama mnavyofanya kwa Rais Samia kwani haiwezekani kuwapa Watanzania wote nyumba tufanye kazi na tuweke akiba na tujenge nyumba bora kukasirika Marais kujengewa mahali pa hadhi yake ni uchoyo wivu na mnafiki
Hizo nyumba peaneni kimya kimya mnazidi kutuumiza tu sisi wanyonge
True
Alipaswa Mwalimu Nyerere tu ajengewe wengine hapana
Msimsahau kujenga kwa Magufuli pia
Haya mama sawa tu
yaani nyinyi mnataka kumlaumu uyu maza kama yeye ndo amejenga hii nyumba... Kimsingi hii nyumba imejengwa wakat wa JPM... alaf kisheria za Serekali ya Tanzania ni haki ya kila Rais mstaafu kujengewa nyumba baada ya kutmikia Taifa letu hili.... Sasa kama mnaona sio haki bas lipitiwe na tuone tunaiondoa kwa namna gani.... Sio mna kaaa mnamlaum Maza...
Huyu mstaafu mbona anakuwa kijana, hamna sheria tumchague tena
Watz tuendelee na huu utamaduni mzuri na wakuigwa kuwatunza kuwaheshimu na kuwaenzi viongozi wetu wa juu hasa waheshimiwa Marais wastaafu. Hiyo ni baraka kwa nchi ya waungwana.
Huu upumbavu umeanza lini, yani huu ni upuuzi wa hali ya juu
Pesa za wananchi zinawajengea nyumba Marais wakati huku wananchi maisha magumu wanafunzi hawana madawati, madalasa machache, kweli mwenye nacho huongezewa, huku wazee wa Hali ya chini wanaishia kutazama wenzao wanavyo Kula Kama walivyo wapigia kula
Kama serikali INA pesa kwann watake mikod kama iyo sasa serikali tuwambie kitu msipoka Na wananchi mtaleta taaruki mkumbuke suala la vifurish vilileta taaruki tukagoma matumiz ya sim sasa mmekuja Na hili pesa hatuchot kisiman jaman kazi zenyewe hakuna ajira hamna mnataka mtuuwe au kama hizo kod angalien kwa waajiriwa wa serikalin ndo muwakate kwakweli
Penye fungu ndo panapo nyongeza cc tunalalamika maisha magumu wao wanaongezwa majumba.
Hamna kitu hapa
Yani heli mungu aiangamize dunia maana naona yaliyopo siyo
Hahahaaaààaaaaaaaaaaa Mungu wangu, hapo umemaliza hasira yoteeeee, Alisema JPM "MTAKUJA KUNIKUMBUKA" ngoja fedha zake ziishe hapo ndipo vilio Zaidi na makilikia yatarudi kusombwa
Omba akuangamize wewe sisi wengine bado tunataka kuishi tupate kutubia na kutaka radhi za Mola wetu.
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....wew ni mzalendo wa kwel ! Kikwete hapo kidog umenena Magufuli lzma umshukuru!