🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2024
  • #raissamia #bashe #mpina

Komentáře • 51

  • @EdithaNyambo
    @EdithaNyambo Před měsícem +3

    Mungu akujalie afya njema Rais wetu,kazi yako hakika ni njema. Nawaombea na wasaidizi wako waongozwe na hofu ya Mungu ili nchi yetu iwe na amani na mafanikio yakapatikane

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +7

    Huyu mama, angekuwa na uzarendo wa nchi hii,angemtumia mpina, mbunge mpina ndiyo mwana CCM wa ukweli,

  • @GodfreyKiyeyeu
    @GodfreyKiyeyeu Před měsícem +5

    Mama wew umpenda haki !! Mama mtazame mpina umpe uwaziri

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA Před 24 dny +5

    MPINA arudishwe bungeni

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o Před 18 dny +4

    Mpina jamani Ni mbuge mzalendo mrudisheni bungeni

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Před 18 dny +3

    Bi Mkubwa namshangaa,Kama anaweza kumtumia MAKONDA.sijuwi kwa Nini anashindwa kumtumia Mpina?

  • @user-em3ye6el6z
    @user-em3ye6el6z Před měsícem +4

    Mama Abdul huduma tulizo fanya Serikalini hatulipwi ni kwa niniii TULIPENI

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před 16 dny +2

    Rais tunaomba ututendee haki tunamuhitaji MPINA Rais tunaomba mumtendee haki MPINA😂😂😂😂😂😂

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda Před měsícem +3

    Mpina ccm haitambui mchangowako wananchi tunatambua mchango wako ndani yabunge lililo kosa uhalali,wewe sawa na shedrac,meshac na abinego

  • @ShabaniKidedea
    @ShabaniKidedea Před 9 dny +1

    Brother soon utakuja kuwa kiongozi wa nchi

  • @FrankSalehe-us7zg
    @FrankSalehe-us7zg Před měsícem +3

    Mama angalia watu wenyeakili ufanyenao kazi sio mabokas kama kinabashe mabendela fuata upepo

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před měsícem +7

    Hakuna raisi hapa tumepigwa

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 Před 10 dny

    Mama tunakuomba mpina arudi bungeni wamemuonea sana

  • @PeterkedimoniNgobela-ek6ty

    Chapa kazi mama

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 10 dny

    Hatukutaki kabisaaa mama we nanda tu tuachie tanganyika yetu

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311 Před měsícem +1

    Mbona hakugusia?

  • @jordantwarindwa5399
    @jordantwarindwa5399 Před 9 dny

    UMEDANGANYA SIJAONA ULICHOKIANDIKA HAPO JUU KATIKA VIDEO HII

  • @Mussa-id9jb
    @Mussa-id9jb Před 27 dny +1

    Mhhh

  • @chichelazaro3629
    @chichelazaro3629 Před měsícem +1

    Muwe wakweli, hakuna issue ya Mpina hapa. Nafikili hii ni video yangu ya mwisho kuitazama kutoka Ngolo TV. Vichwa vyenu vya habari sio kilichomo ndani...
    Kweli sasa nimeamini Ayo TV haina mpinzani

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Před 18 dny +1

    Swala la Bashe naMpina ,Ni mtambuka..Ni kwamba Ni sawa watoto wa Mama na Baba mmoja .Ni kwamba mdogo kamuona mkubwa ,anaiba sukari.mdogo kamchongea kwa Bi Mkubwa..je?Bi Mkubwa ataamua vipi?? vipi?

  • @AlexMgimwa-pm2pi
    @AlexMgimwa-pm2pi Před 14 dny

    Hakuna jipya

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 12 dny

    Samia ongea kwa sauti ya dolla unabembeleza mno unaboa

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 Před měsícem +5

    Acheni kutudanganya wajinga kabisa msiyumbishe akili za watu kwa maslahi yenu

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 Před 11 dny

    Mpina bonge la mzalendo

  • @ElishamaMulokozi-pi8nm
    @ElishamaMulokozi-pi8nm Před 27 dny +1

    Mbona unanuga katika atoa kauli ya hapa taarifa ya tume ya haki jinai

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa Před měsícem +2

    R
    ETI WANASEMA MWANAE NDO ANASHILIKIANA NA BASHE KWENYE KUPANDISHA SUKARI JE NI KWELI?

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Před měsícem

      Kwa hiyo Bashe hajui wajibu wake hadi afundishwe??

    • @eliakazilo6078
      @eliakazilo6078 Před 17 dny

      Hizo Ni nyepesinyepesi..Ila UKWELI Bashe Ana watu wakubwa nyuma yake..wanatunisha misuli...Lakini kwa sababu wabunge wa ndioo Ni wengi Ni tatizo..wa kumtetea Mpina simuoni..nakuona Mpina Kama the first blood..maana Rambo alikuwa anajipigania peke yakee..UHAI wake ulikuwa hauna mtetezi..rushwa bungeni imesambaa Sanaa kwa swala la sukari.. na Hawa mafisadi wapo tayari kuviua viwanda vyetu vya sukari..na kwa ujinga wa watanzania tunakubali.. kitu kingine Ni Mkubwa Ana huruma Sanaa,Ana aibu saana.kwenye Baraza lake la mawaziri,wapo Kama 5 ,wanatakiwa awatoee..anavyozidi kuwaachia ,ndio Hali inazidi kuwa mbayaa,tunaumiaa

  • @NeemaPaulo-wf3oz
    @NeemaPaulo-wf3oz Před měsícem +1

    Kaz iendeleeee,mama mungu akubaliki

  • @emmanuelgastine9826
    @emmanuelgastine9826 Před 18 dny

    Mama Samia nakushukuru sana kwani tangu umekuwa Rais ndo naona napokea mshahara anagalau unakaa masaa hata 6

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda Před měsícem +1

    Rushwa,rushwa,rushwa ni dhambi acha kuhonga pikipiki na majiko munajiondolea heshima

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Před měsícem +1

    Asante sana Mungu akubariki akupe umri mrefu wa kunihangaikia tuwe mke na mume wako kihalali mwaka huu kuanzia mwezi huu wa sita jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe unavyosemaga nikuvute hadi katikati ya bahari uogelee jamani jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před měsícem +1

    Inachosha nafsi ns akili pale nchi ikitawaliwa na genge la watu wanaohubiri wasichokiamini

  • @Maximillianchacha-fm9yi
    @Maximillianchacha-fm9yi Před měsícem +1

    Mbwa ccm

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda Před měsícem +1

    Rais chama unachokiongoza kina lao lamoyoni ovu kuhakikisha sheria kandamizi zidumu,muendelee kubakia madarakani,, hukutaifa linasambaratika,kilio na machungukilamahali,ccm haioni zaidi ya kuagiza mbelekwambele na kutafuta pesa za rushwa kuwahonga watanzania(pikipiki,majikoyagasink)

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před měsícem +1

    Mimi ninampenda sana huyu Mama. Ninamuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumbariki, azidi kumlinda na kila aina ya husuda,azidi kumpa busara,hekima, maono ya kuifanya nchi yetu izidi kuwa sehemu nzuri na bora ya kuishi. Ushauri wangu ni kwamba uundwe mfumo madhubuti wa kutekeleza na kuwapatia wananchi wa Tanzania wake kwa waume, vijana na wazee, watoto na wenye mahitaji maalum haki zao. Pia pawepo na mipango sahihi ya kurithishana na kuyaboresha kulingana na nyakati haya yaliyoletwa na haki jinai. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee.

  • @MakoleMakoye
    @MakoleMakoye Před 22 dny +1

    Ngollo tv sina haja ya kuwafatilia tena make hamjielewi

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 Před měsícem +1

    Mbwaaa wewe mama

    • @ezekielshija9251
      @ezekielshija9251 Před 24 dny

      Wewe Zuena Acha hizo!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 14 dny

      Mama yako yy atakuwa nguruwe na wewe utakuwa mtoto wa nguruwe!

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam Před 10 dny +1

      Jina lako halifanani kutumia mdomo aliokupa Mwenyezi Mungu kutamka maneno kwa binaadam mwenzio licha kwa kiongozi wako wa Nchi, rudi kwa Mungu wako na kumuomba msamaha haraka.

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u Před 20 dny

    mungu atusaidie tu tumepigwa nyingi

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p Před měsícem

    Mpina kaumiza wengi kwenye uwaziri wake akae pembeni

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Před měsícem +1

    CCM ukingoni

  • @MtaniRobert
    @MtaniRobert Před 21 dnem

    Rubbish.