Ninyi mnaendelea kuwafanya sisi wabingo tusio juwa cho chote lakini inawezekana ndivyo tulivyo lakini Mungu atatupigania kwani Mungu hapendi hali ya hii Inchi ya Tanganyika kwa uchawa
Kama si wabunge na Wananchi kusimama kidete hiyo NMB mnayojivunia isingekuwapo. Wakati mwingine kelele za Wananchi zinasaidia. Shirika la elimu Kibaha lingeendelezwa kuwa taasisi kubwa ya elimu ya ujasiriamali. Kuvunja na kugawa viwanja eneo lile ni dhambi kubwa.
Ninyi mnaendelea kuwafanya sisi wabingo tusio juwa cho chote lakini inawezekana ndivyo tulivyo lakini Mungu atatupigania kwani Mungu hapendi hali ya hii Inchi ya Tanganyika kwa uchawa
Pole. Usichokielewa kitakusumbua sana😂😂
Kama si wabunge na Wananchi kusimama kidete hiyo NMB mnayojivunia isingekuwapo. Wakati mwingine kelele za Wananchi zinasaidia. Shirika la elimu Kibaha lingeendelezwa kuwa taasisi kubwa ya elimu ya ujasiriamali. Kuvunja na kugawa viwanja eneo lile ni dhambi kubwa.