FAIDA ZA KUPOKEA UPAKO WA MFALME NA KUHANI MKUU MELKIZEKI WAKATI WA KUSHIRIKI MEZA YA BWANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 09. 2020
  • KONGAMANO LA 12

Komentáře • 88

  • @user-ky5vh7uu8i
    @user-ky5vh7uu8i Před 10 měsíci +5

    Asante MUNGU kwa Mtumishi wako amekuwa baraka Sana katika maisha yetu hakika tunapata nguvu Sana ya kuwa karibu na MUNGU wetu AMINA

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 Před 3 lety +3

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @PsilaoKamwana
    @PsilaoKamwana Před 3 lety +2

    Asante MUNGU kwa kutupa zawadi ya mtumishi

  • @johannesemmanuel843
    @johannesemmanuel843 Před 2 lety +1

    Namshukuru mungu anaekuwezesha kuinenena siri ya ufalme wa mungu zidi kubarikiwa sana baba

  • @irynaedward649
    @irynaedward649 Před 3 lety +1

    Nampenda Sana huyu Mtumishi Wa Mungu aliye hai,Mungu akutunze mpaka mwisho wa uhai wako baba( wewe na familia yako

  • @GODisable7573
    @GODisable7573 Před 3 lety +5

    Amen 🙏🏾 zidi kubarikiwa Mwalimu na huduma nzima ya Mana Ministry

  • @agripinarajab6994
    @agripinarajab6994 Před 3 lety +1

    Amina mwl,Mungu akubariki akuongezee mafuta ya ualimu,

  • @sinyoritasamwel6392
    @sinyoritasamwel6392 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe sana mtumishi unanipa nguvu pale nipoyasikia mafundisho yako mungu akupe maisha marefu amen

  • @ElizaNywage-zx9wx
    @ElizaNywage-zx9wx Před 11 měsíci

    Ubalikiwe sna mtumish mungu akulind na aendelee kukup mafunuo mapy

  • @jescarwegoshola7231
    @jescarwegoshola7231 Před 3 lety +12

    Eeeee Mungu mwenyezi naomba uzidi kumpa nguvu na Afya Mwl huyu na hekima yake nabusara na maarifa vizidi,Pamoja na Familia yake na Watenda kazi pamoja na yeye🙏

  • @yahayatemu1003
    @yahayatemu1003 Před 3 lety +1

    Ameniii, ubarikiwe mtumishi wa Mungu, asante kwa kutuelimisha.

  • @leilaomary3574
    @leilaomary3574 Před 2 lety +1

    Yesu wewe ni mwema our hearts are filled with endless praise.

  • @nururaphael9913
    @nururaphael9913 Před 3 lety +1

    Najiungamanisha na madhabahu hii amen

  • @monicambetwa2620
    @monicambetwa2620 Před 3 lety +2

    Barikiwa sana sana mtumishi Wa Baba

  • @clemensiameshack7480
    @clemensiameshack7480 Před 3 lety +1

    Umefanyika baraka kwangu,Mungu akubariki kwa huduma yako nzuri

  • @shabanmohamed1545
    @shabanmohamed1545 Před 3 lety +2

    Mungu akupe uzima milele baba .

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 Před 3 lety +1

    Nimebarikiwa sana kwa haya mafundisho. Ubarikiwe sana Mwalimu 🙏🙏

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 Před 2 lety +3

    Be Blessed Daddy 🙏🙏🙏

  • @mesereswai3927
    @mesereswai3927 Před 2 lety +1

    Mesere,swai

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 Před 3 lety +1

    Nai enjoy mafundisho yako sana nikiwa apa Saudi Arabia

  • @lucyodiwa5331
    @lucyodiwa5331 Před 3 lety +2

    Tangu nianze kufuatilia Masomo yako mwalimu maisha yangu yamebadilika kabisa. Nilianza na somo la uponyaji kwa moyo uliopondeka na nikapona kabisa roho, mwili, na mifupa. Lol! Mwanzoni sikutakaga kabisa kusikia masomo yako na sikuwahi kufika kwenye seminar zako. Lakini sasa ni mfuatiliaji makini kwasababu nimedhihirisha kuwa Wewe hakika ni mtumishi wa Mungu aliyehai

  • @janekajuna9611
    @janekajuna9611 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe mtumish wa Mungu

  • @anselemvangishauri9338
    @anselemvangishauri9338 Před 2 lety +1

    Amen

  • @victoriskiwango6770
    @victoriskiwango6770 Před 2 lety +2

    Glory to God

  • @happydorcasmollelmollel6114

    Kweli ww ni mwalimu, barikiwa sana.

  • @magdalenamsuta7336
    @magdalenamsuta7336 Před 2 lety +1

    Asante sana

  • @beyondscapes7847
    @beyondscapes7847 Před 10 měsíci

    Shalom. Hiyo Heading inabidi isomeke kuhani mkuu *MELKIZEDEKI* kwa ufasaha zaidi. Ahsante.🙏🙏

  • @raphaelkiza
    @raphaelkiza Před 3 lety +2

    Sifa kwa Mungu kwa mafuta mabichi juu ya mtumishi wako Mwakasege👏👏👏💪

  • @justinamanimushengezi9492

    BWANA akubariki Babaya'ngu 🙏

  • @nelliemuganda4113
    @nelliemuganda4113 Před 3 lety +3

    Bwana Yesu asifiwe sana

  • @jeandelmasaby1982
    @jeandelmasaby1982 Před 3 lety +1

    29 Mnapoambiwa kuwa, "Ikiwa shule ya uchungaji ni ya shetani, basi mtu anawezaje kuwa mchungaji, mtume, na kadhalika ...?" " Mtasema kuwa ni nabii mjumbe tu anaye teuwa na kuweka wakfu huduma za wakati wake. Kuhani hajawahi teuwa kuhani mwingine. Na makuhani hawawezi kuwekwa wakfu na kuhani mwingine kwa kuwekewa mikono kama inavyoonekana makanisani. Ni nabii mjumbe ambaye huteua watumishi wa Mungu wa wakati wake. Hii ndiyo njia ambayo Mungu ameweka. Ni Musa ndiye aliye teuwa ukuhani kulingana na Mambo ya Walawi 8 bila shule ya uchungaji. Na ikiwa wewe ni mtumishi wa kweli wa Mungu, utakuja kwa Musa kama Yethro, kuhani wa Midiani. Ilikuwa ni Yohana mbatizaji aliye teuwa Apolo bila shule ya uchungaji. Ilikuwa Paul ambaye aliye teuwa Tito, Timotheo ... bila shule ya kichungaji na leo, ni Kacou Philippe ambaye aliye ni teuwa bila shule ya uchungaji kwa sababu kama nabii, aliona zawadi hiyo ndani yangu. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Nanyi enyi Wakatoliki, Waprotestanti, Wainjili na Wabranhamisti, mkilipa zaka kwa mtume, mwinjilisti au mchungaji na yeye hajalipa zaka ya zaka kwa kuhani mkuu ambaye ni nabii mjumbe wa wakati wake, kuna kiunga kilichokosekana, kwa hivyo ni mbaya, ni kashfa. Kwa sababu kupitia nabii mjumbe gani Mungu alikufanya uwe mtume, mwinjilisti au mchungaji? [Ndr: linasema: "Amina! »].
    30 Wanadamu lazima wajue kwamba, kulingana na Yohana 9: 5 na Yohana 6: 28-29, wakati unamkataa nabii aliye hai wa wakati wako, Yesu Kristo unayemwabudu siyo mwingine ila shetani. Makanisa ya Kikatoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Kibranhamisti pamoja na misioni na huduma zinamwabudu shetani kwa jina la Bwana Yesu Kristo. Ulimwengu lazima ujue kuwa funguo za Ufalme huwa duniani daima na mtu ambaye ni taa iwakoyo na nuru ya ulimwengu. Humuwezi kufanya kazi ya Mungu isipokuwa mnaamini na kuwa mnenaji wa yule aliyetumwa na Mungu. Hata kama unyofu wako unazidi ule wa Kornelio, Mungu hatakufanya chochote isipokuwa kukuongoza kwa yule ambaye ana funguo za Ufalme duniani kwa wakati wako. Funguo za Ufalme zimepita kutoka kwa Yohana Mbatizaji kwenda kwa Yesu Kristo, kutoka kwa Yesu Kristo kwenda kwa Petro, kutoka kwa Petro kwenda kwa Paulo na kisha kwa Ireneo, mtakatifu Martin wa Tours, Colomban, Martin Luther, John Wesley, William Branham , kwa Kacou Philippe leo na zitakuwa na mtu mwingine siku moja wakati Kacou Philippe hatakuwepo duniani tena! [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Wakati Israeli iliomba mfalme kwa Mungu, Mungu aliwapa mfalme, lakini funguo za ufalme zilibaki kwa Samweli nabii aliye hai. Funguo za Ufalme wa Mbingu huwa na nabii aliye hai duniani. Na itakuwa hivyo daima hadi mwisho wa wakati. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »].
    #Prophetkacouphilippe

  • @tinielmnzava9665
    @tinielmnzava9665 Před 3 lety +3

    Ameen

  • @sarahfaida4122
    @sarahfaida4122 Před 3 lety +2

    Glory to God, Mungu na azidi kukuvika ujasiri na nguvu na mafuta mapya kila siku!

  • @shigongorevocatus8574
    @shigongorevocatus8574 Před 3 lety +1

    Barikiwa

  • @UpendoLusamba
    @UpendoLusamba Před rokem

    Mungu akutunzee mwl!!

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 Před 3 lety +8

    Amen Glory to God....

  • @williamjoram9775
    @williamjoram9775 Před 2 lety +2

    Ninashukuru kwa mafundisho

  • @ngoromaernest8514
    @ngoromaernest8514 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe mtumixh

  • @asifiwegodfreymunisi4573
    @asifiwegodfreymunisi4573 Před 3 lety +1

    Napokea kutoka kwa ROHO MTAKATIFU KUPITIA CHRISTOPHER MWAKASEGE

  • @mujwahuzikyabwishukuru2917

    Mwalimu (Teacher)

  • @happykizito4916
    @happykizito4916 Před 3 lety +1

    Ninakushukuru MUNGU kwa ajili ya mwalimu upako wa kifalme ufurike azidi ndani yako na family Amen

  • @amanikutuba2555
    @amanikutuba2555 Před 3 lety +1

    Napokea kwa jina kuu la yesu

  • @mujwahuzikyabwishukuru2917

    MWALIMU (TEACHER)

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Před rokem

    Nuru ya mungu ikuongoze mtumishi !!?

  • @peninahnyabonyi9331
    @peninahnyabonyi9331 Před 3 lety +2

    Ameeen

  • @pendojemsy1532
    @pendojemsy1532 Před 3 lety +2

    Asante.

  • @rosemosses7155
    @rosemosses7155 Před 3 lety +1

    Ameeeeen and Ameeeeen

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před 3 lety +1

    Amen napokea kwa jina la yes kiristo

  • @nashonmwazarubi9895
    @nashonmwazarubi9895 Před 3 lety +1

    Amina sana

  • @davisfungo4481
    @davisfungo4481 Před 3 lety +1

    AMEN

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 Před 3 lety +4

    Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 Před 3 lety +13

    Huu ulikuwa upako wa kipekee.. nilipokea ujazo mpya hapa Qatar 🥰

  • @samops1074
    @samops1074 Před 3 lety +2

    Injili Ya Kweli

  • @user-ti8ti7lf7p
    @user-ti8ti7lf7p Před 11 měsíci

    😊

  • @mwalimunanabiinelsonmwakik5542

    Barikiwa mnomno baba yetu

    • @rostertweve9437
      @rostertweve9437 Před 3 lety

      Mungu akutunze kwa utumishi huu tunabarikiwa na kupata ufahamu juu ya elimu ya ki Mungu.

  • @SERGESENGI-me2iq
    @SERGESENGI-me2iq Před 8 měsíci

    Tumeshukuru kwa mafundisho

  • @tuzompwaga9947
    @tuzompwaga9947 Před 3 lety +1

    Dady

  • @theresialubida161
    @theresialubida161 Před rokem +1

    Glory to God 🙏🙏🙏🙏

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Před rokem

    Hekima na maarifa zikuzunguke mtumishi !!?

  • @josephmolle
    @josephmolle Před 3 lety +4

    A men

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 Před 3 lety +2

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 Před 2 lety +1

    Amen

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 Před 3 lety +2

    Ameen

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 Před 3 lety +1

    Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 Před 3 lety +1

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @catherinegewe4183
    @catherinegewe4183 Před 3 lety +2

    Amen

  • @sweetsalia548
    @sweetsalia548 Před 3 lety +3

    Amen

  • @johndenis8768
    @johndenis8768 Před 3 lety +4

    Amen

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Před 3 lety +2

    Amen

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 Před 3 lety +1

    Amen

  • @annawambura2889
    @annawambura2889 Před 3 lety +1

    Amen

  • @helenkimaro8251
    @helenkimaro8251 Před 3 lety +1

    Amen