Mtumishi mafundisho yako yanatubadilisha Sana kifkra nakumjua Mungu wa kwel ambaye anatupigania kwa Kila kitu tusiish ka tumejiumba barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
Mwalimu Mwakasege Hana Kanisa, Yeye Ana Semina Za Neno La Mungu Zinazofanyika Karibia Kila Mkoa Ambayo Roho Mtakatifu Amempa Fursa Kwenda Kuwahudumia Watu wake.Ila Ana Ofisi Zake Arusha.
amen baba kwakunipa ujasiri kufanya kaz ya Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kiukweli huduma yenu huwa inanibariki sana zaidi ya sana
Mtumishi mafundisho yako yanatubadilisha Sana kifkra nakumjua Mungu wa kwel ambaye anatupigania kwa Kila kitu tusiish ka tumejiumba barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
Amen🙏🏻.Mwenyezi Mungu Azidi Kumbariki Mtumishi wa Mungu @Christopher Mwakasege..Na Aibariki Nchi Yetu Tanzania Na kila Mtu Katika Msimu Huu Mpya.
Neno hili lifanye Kaz ndani yangu.amen
P
Hallelujah
Ameen
Ni haja ya Moyo wangu siku moja tufanye mkutano Mkubwa sana Mkoa wa songwe
Ubarikiwe sanaaaa mutumixhiii
Neno lako mungu naomba ulitie mhuli katika moyo wangu niwe nalisoma nakulielewa nyakati zote
Amen ubalikiwe sana mwalimu. Wetu
Ahsante Bwana Yesu amen
Amina kubwa mtumishi wa bwana hakika unafaa kiukweli wewe ni baba wa Iman iliyo kuu yaani kila siku unanifurahisha sana na kunipa nguvu ya kimungu.
Amen my Father thanks so much Mungu anisaidie nisiwe na hofu ktk ya upinzani be blessing
Amen dady,MUNGU AKUTUNZE sana kwa somo zuri,MUNGU anisaidie nivuke kwa imani
Ahsante Mwl Mwakasege kwa somo hili, nimejifunza.
Mungu tujaaliee tuione njia ya kwel Asante mtumishi kwa neno tamu sana la kiroho
Mungu akubariki mtumishi
Amen amen uu ujumbe umekuja wakat wa sahihi
Mungu azidi kumtumia mtumishi wake.Mungu ni guse siitaki hii hofu.
Amen Ee Mungu niondolee hofu maishan mwangu 🙏🙏
Hakika Wewe ni msaada wangu milele, M2SH Bwana Yesu Kristo Amina.
Ameni mtumishi ubarikiwe sana kwa neno hili
Watumishi Mungu wa Mbinguni kiukweli awafunike wote
Amen ....🙏🙏🙏...uzidi kubarikiwa mwana wa Mungu
Nitasimama a Mungu ktk misimu yote atakayoruhusu kwangu.Amen.
Am blessed 🙏,,,SweetJesus🙌🙌🙌✍️
AMEN..Msimu mpya uwe kama wa YOSHUA KWA JINA LA YESU
Yesu Naomba usikie kulia kwangu 😢
Amin baba mungu akubariki enderea kutupa mafundisho ya mungu
Amina namshukuru sana Mungu kwa mafundisho haya hakika Mungu ni mwaminifu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇮🇱🇮🇱🇮🇱 Mungu ibaliki Tanzania. Mungu ibaliki Israel
U are a blessing to us God bless you
Amen
U ar a blessing to me professor
Amina Baba
Ameen hakika nimebarikiwa
Nisaidie baba Mungu masikie wazi kusikia uhakika,niondolee hofu
Amen mtumishi nimebarikiwa sana
nimebarikiwa na Neno Mungu akubariki mtumishi
Amen kuna wakati mgumu hapa ila kwa neno hili ntavuka
Nabarikiwa sana Mtumishi WA Mungu
Ameen God bless you man of God
Amen hofukimbia kwa Jina la Yesu
Amina sana
amen nimejifunza kusimama kwenye mapenzi ya Bwana
Ubarikiwe
Ahsante Yesu, Neema yako yatosha!
Baba bwana yesu asifiwe uifathiwe na mungu wa Abraham mungu wa Elijah
Mim kabisa amen
Amen..ntafanikiwa katika msimu mpya
Hofu initoke kwajina la yesu 🙏🙏🙏
NAMSHUKURU MUNGU KWA UJUMBE HUU BARIKIQA MTUMISHI
Eeh Mungu wa sifa zangu usinyamaze🙏🙏
Amina
Amina
Regardless of what I will reach my destiny dady
Ameniii Ameniiii
Asante Mtumishi wa MUNGU
Ameeeeeen
Amen baba
Kweli kabisa.
Ameeen Mwal!
Ameeen.
Ni kweli
Mungu mara hii tena
Amen Amen 🙏
AMEN 🙏 🙏 🙏
Ameni
Niko apa baba.
Saw.kabisa
Amen.ubarikiwe.sana.kwakunikumbusha.ujumbe.mzuri
Ameen baba
Amen amen
Ameeen barikiwa sana mwalim Christopher mwakasege
Amen Amen
Sama bwana mutoto wako anakusikiliza bwana.
Ndiyo
🙏🙏🙏🙏
Nakufuata MUCHUNGAJI.
Milango ya kheri itufungukie mtumishi !!?
Amen 🙏🏾
0
Iv kanisa kw dar la mwalimu mwakasege liko maeneo gani
Mwalimu Mwakasege Hana Kanisa, Yeye Ana Semina Za Neno La Mungu Zinazofanyika Karibia Kila Mkoa Ambayo Roho Mtakatifu Amempa Fursa Kwenda Kuwahudumia Watu wake.Ila Ana Ofisi Zake Arusha.
Mwakasege Hana kanisa yeye ni mwalimu
P
Amen
Amina Baba
Amina
Amen
Amen amen
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amina
Amina