UZINDUZI WA RIPOTI YA UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO NA VIASHIRIA VYA MALARIA TANZANIA YA MWAK…

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 10. 2023
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Ripoti ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria Tanzania ya Mwaka 2022 na Ugawaji wa Magari ya Kubebea Wagonjwa na Vifaa Tiba katika Ukumbi wa Mikutano wa JNICC leo tarehe 28 Oktoba, 2023
  • Zábava

Komentáře • 7

  • @markoezekiel5144
    @markoezekiel5144 Před 8 měsíci +1

    Bess you mama unafanya vizuri 👏👏👏

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 Před 8 měsíci

    Serikali upande Mwingine inafanya kazi Vizuri, ila inajichafua mazima kwenye Teuzi au kuwapa Vyeo na Madaraka au nafasi watu wasiofaa kwa jamii na ambao walishaumiza waTanzania big time huku ikijificha kwenye Kamati kuu ya Chama cha CCM. Rais na kamati ifahamu tuu kuwa waTanzania hawataki kuongozwa na Viongozi Majambazi na Wanyang'anyi kama Makonda na Sabaya.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 8 měsíci

    Mheshimiwa Rais Dokta Samia pia nashauri Wizara ya Afya iwekeze nguvu nyingi katika Kampeni ya Afya ya Akili inayochangiwa na Ulevi na Matumizi ya Mihadarati. Tumechoka kuzika Vijana wenzetu sababu ya Ulevi wa Pombe kali na Ugoro ambao unaongoza kuleta Kansa na Vijana wengi wanakula Ugoro mpaka Wanafunzi wa Vyuoni. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿