UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA UWEKEZAJI KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM - IKULU, CHAMWINO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 10. 2023
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla ya utiaji saini wa Mikataba Mahsusi 3 ya uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam leo tarehe 22 Oktoba, 2023 Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.
  • Zábava

Komentáře •