- 401
- 604 371
KKKT DKMS Online TV
Tanzania
Registrace 20. 04. 2021
KKKT DKMS Online TV
Taarifa kutoka kwa Askofu Dkt Mbilu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
kufuatia msiba wa Askofu Mstaafu Joseph Jali, hii hapa aarifa kutoka kwa Askofu Dkt Mbilu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Marehemu Askofu Jali alifariki tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
zhlédnutí: 903
Video
Moja ya mazungumzo tuliyowahi kufanya na Askofu Mzee Joseph Jali enzi za Uhai wake
zhlédnutí 693Před 2 hodinami
Moja ya mazungumzo ya Askofu Mstaafu Joseph Jali wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, enzi za uhai wake,aliyefariki tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Mkuu wa Jimbo la Tambarare Mch. John Ndimbo juu ya msiba wa Askofuu Mstaafu Jali.
zhlédnutí 629Před 4 hodinami
kutoka kwa Mkuu wa Jimbo la Tambarare Mch. John Ndimbo, kufuatia msiba wa aliyewahi kuwa Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Joseph Mathayo Jali, aliyefariki tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Askofu Mstaafu Joseph Jali, wakati wa uhai wake akihimiza Wakristo juu ya umuhimu wa kuomba.
zhlédnutí 393Před 4 hodinami
Salamu hizi alizitoa wakati wa uhai wake tarehe 20/06/2021, kwenye Ibada ya Jumapili iliyofanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto Tanga.
KWAHERI ASKOFU MSTAAFU MZEE JALI (1936-2024)
zhlédnutí 1,8KPřed 7 hodinami
Askofu Mstaafu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Joseph alifariki dunia tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Sehemu ya Ibada ya Jumapili Usharika wa Nywelo.
zhlédnutí 288Před 16 hodinami
IBADA YA JUMAPILI KUTOKA KKKT-DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI JIMBO LA KASKAZINI USHARIKA WA NYWELO. IBADA HII ILITANGULIWA NA KUZINDULIWA KWA USHARIKA HUO. 08/11/2024.
Sehemu ya mahubiri ya Baba Askofu Dkt Msafiri Mbilu Usharika wa Nywelo
zhlédnutí 218Před 16 hodinami
IBADA YA JUMAPILI KUTOKA KKKT-DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI JIMBO LA KASKAZINI USHARIKA WA NYWELO. IBADA HII ILITANGULIWA NA KUZINDULIWA KWA USHARIKA HUO. 08/11/2024.
Salamu za Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Mnazi
zhlédnutí 419Před 19 hodinami
Ibada ya ndoa kati ya Shemasi Stephano Elia Mwanyemi na Wilmeth Daudi Chilongola.Ndoa hii ya Shemasi Mwanyemi wa KKKT-DKMS anayetumika katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Mnazi imefungwa katika Usharika huo na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. Leo tarehe 10/08/2024
Familia ya Marehemu Mzee Saguti watoa nyumba kwa KKKT-DKMS
zhlédnutí 2,4KPřed 21 hodinou
Familia ya Marehemu Mzee Saguti watoa nyumba kwa KKKT-DKMS
RECORDED: Sehemu ya Mahubiri ya Askofu Dkt. Mbilu Usharika wa Mikanjunii 03/08/2024
zhlédnutí 297Před 14 dny
RECORDED: Sehemu ya Mahubiri ya Askofu Dkt. Mbilu Usharika wa Mikanjunii 03/08/2024
MAHUBIRI YA BABA ASKOFU DKT MBILU USHARIKA WA PONGWE MTAA WA DIARY
zhlédnutí 100Před 21 dnem
MAHUBIRI YA BABA ASKOFU DKT MBILU USHARIKA WA PONGWE MTAA WA DIARY
Sehemu ya Ibada ya Jumapili ya Tarehe 28/07/2024.
zhlédnutí 253Před 21 dnem
Sehemu ya Ibada ya Jumapili ya Tarehe 28/07/2024.
Sehemu ya Pili ya Ibada ya Jumapili Usharika wa Pongwe.
zhlédnutí 155Před 21 dnem
Sehemu ya Pili ya Ibada ya Jumapili Usharika wa Pongwe.
Mkesha wa maombi ulivyoongozwa na Baba Askofu Dkt.Mbilu
zhlédnutí 317Před 21 dnem
Mkesha wa maombi ulivyoongozwa na Baba Askofu Dkt.Mbilu
RECORDED IBADA MKESHA WA MAOMBI KKKT-DKMs 26/07/2024
zhlédnutí 300Před 21 dnem
RECORDED IBADA MKESHA WA MAOMBI KKKT-DKMs 26/07/2024
Askofu Dkt Mbilu endeleeni kuiombea Dayosisi Mungu anajibu Muombi ya wamwombao
zhlédnutí 415Před 21 dnem
Askofu Dkt Mbilu endeleeni kuiombea Dayosisi Mungu anajibu Muombi ya wamwombao
Sehemu ya Mahubiri ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu Usharika wa Tewe.
zhlédnutí 212Před 21 dnem
Sehemu ya Mahubiri ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu Usharika wa Tewe.
Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu juu ya eneo la SEKOMU
zhlédnutí 603Před 28 dny
Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu juu ya eneo la SEKOMU
Sehemu ya Mahuri ya Mch Dkt Albrecht Philips, aliyoyatoa katika Usharika wa Mkata
zhlédnutí 883Před měsícem
Sehemu ya Mahuri ya Mch Dkt Albrecht Philips, aliyoyatoa katika Usharika wa Mkata
Askofu Dkt. Mbilu jitokezeni kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
zhlédnutí 330Před měsícem
Askofu Dkt. Mbilu jitokezeni kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
Kwaya ya Watoto wa Shule ya Jumapili, Usharika wa Makorora
zhlédnutí 274Před měsícem
Kwaya ya Watoto wa Shule ya Jumapili, Usharika wa Makorora
Sehemu ya Pili Ibada ya Kustaafu Mchungaji Lewis Shemkala
zhlédnutí 575Před měsícem
Sehemu ya Pili Ibada ya Kustaafu Mchungaji Lewis Shemkala
Neno la Mungu limevuma kupitia wewe Mchungaji Shemkala
zhlédnutí 518Před měsícem
Neno la Mungu limevuma kupitia wewe Mchungaji Shemkala
IBADA YA SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU 23/06/2024
zhlédnutí 390Před měsícem
IBADA YA SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU 23/06/2024
Mahubiri ya Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Mlalo
zhlédnutí 89Před měsícem
Mahubiri ya Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Mlalo
Salamu za Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, Usharika wa Mlalo
zhlédnutí 600Před měsícem
Salamu za Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, Usharika wa Mlalo
Askofu Dkt. Mbilu na wahitimu wa mafunzo ya Muziki KKKT-DKMs
zhlédnutí 520Před měsícem
Askofu Dkt. Mbilu na wahitimu wa mafunzo ya Muziki KKKT-DKMs
Hongera Sanaa Baba Askofu Dr.Mbilu. Mungu akutie Nguvu, Wewe ni Mcha Mungu wa Kweli. Mkono wa Bwana Uende nawe popote daima,AMEN.
Nina Maono kuwa Baba Askofu Dr.Mbilu anafaa kupokea mikoba ya Mkuu wa Kanisa la KKKT baada ya Askofu Malasusa kumaliza Muda wake! Kiti kirudi kwenye Jimbo la Marehemu Sebastian Kolowa Mkuu wa pili wa KKKT baada ya Askofu wa Kwanza marehemu Stephano Moshi. Naomba Mungu Abariki Maono yangu!!!Amina.
Binafsi Nakushukuru Sanaa Mhe.Baba Askofu, Dr.Mbilu kwa Namna Unavyowaenzi Watangulizi wako! Hasa wale wanaostahili kuvikwa Taji! Mfano wa huyu Baba Jali! Na Msaidizi wake Baba Dean Mzee wetu Amasia Mweta! Nawambuka tangu nikiwa kidato cha kwanza Galanos sekondari mwaka 1992.!! Mara ya mwisho nilimuona mwaka 2002 pale usharika wa Mombo, wakati huo nilikuwa nimemaliza Chuo kikuu! Wakati huo alikuwa ameshastaafu! Alipopewa nafasi ya kusalimia, alinikosha kwa wimbo " Nimepita Ulimwengu...ulimwengu ni mzuri..lakini natamani ulimwengu mwingine"
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
Vyote ni Mali ya bwana
Amani ya bwana itawale katika kipindi hiki
Mungu akupumzishe baba
Jina la bwana libarikiwe
Mungu akutunze sana mtumishi, kuna wakati wa kulia kucheka na kuomboleza, ndio maisha yetu, hapa hatuna mji udumuo, (zab 119-19)
Mungu akupumzishe kwa amani
Baba,mazungumzo yako yamesheheni hekima ya Mungu.Si wote wenye umri Huo kwa na mtiririko nzuri wa maneno mwanzo mwisho.R.I.P.
Poleni kwa msiba Kanisa ndugu na jamani Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe😢😢
Siku ya Jumamosi wiki iliyopita; ktk mazungumzo niliyobahatisha kukakaa naye pale Rabinisia, alisema MUNGU ANGEMPA NEEMA YA KURUDIWA NA AFYA YAKE; ANGETEMBELEA KATIKA MAENEO 4 AMBAYO NI MLALO, LUSHOTO, KOROGWE NA TANGA. Japo amelala naamini watakao simama siku moja "MPE MNG'AZI" ATAWAPA KUSEMA ALICHOTOKA KUSEMA KWA MARA YA MWISHO.
R.i.p Mzee wetu tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi
Pumzika kwa amani baba Askofu mzee wetu tutakukumbuka kwa upendo,ucheshi na ukarimu wako bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe amen
Mungu alikupa Neema sana, wenzako wengi mpaka wanaingia kwenye ushirikina kwa tamaa za madaraka wewe hukuwa hivyo,upendo wako ulikuwa ni zaidi sana, hukuwana Tamaa hata kidogo, hakika mimi binafsi nakufahamu japo nilikuwa kijana mdogo, lakini sitakusahau, Pumzika kwa Amani.askofu mwanamuziki.Amen
Mungu akutunze sana mtumishi wa mungu, ulipambana sana, kuinjilisha, hakika mwendo umeumaliza, RIP. Gona mpeho Tate,woshe tiwantambo
Poleni Sana DKMS, Baba nitKukumbuka Kwa Ushauri na Nasaha Zako.Pumzika Kwa Amani Baba Askofu Jali
Ameni
Ameen
Mungu azidi kuwabariki
R.I..P baba yetu. Wote njia Moja.
❤❤
Mungu awabariki sana kina Saguti kwa sadaka hi kubwa kwa Kanisa.
Huu ni msiba mkubwa sana sana, wana NED, tumshukuru sana mungu, tumshukuru mungu kwa kila jambo, poleni sana wana Ned, pole sana baba mbilu, pole sana mama askofu Anna mbilu, mungu awatunze sana, Amen
RIP Baba Askofu
R.I.P baba
😭😭😭🙏🙌😭😭
😭😭😭🙏🙌😭😭
Poleni Sana dayosis yakasikazin mashalik
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe😪😭
Poleni sana Mungu afanyike faraja kwenu
R,I. P
Poleni sana Kanisa la KKKT DKM Lushoto na familia yake, pamoja na Askofu Dr Msafiri Joseph Mbilu. Pumzika kwa amani baba Askofu.
Dr. Grace tulikuwa wote Ruvu JKT. Nawapongeza sana kama familia. Mungu awabariki sana. Dr. Solomon Msomba.
Lala salama Mzee wetu!
Poleni Kanisa ndugu jamani na marafiki vita umevipiga mwendo umeumaliza baba😢😢
😭😭😭😭
Nywelo iko wapi mtumishi wa MUNGU.
Glory to God. May Our Lord continue to shower His Blessing you all.
Mungu.amen awatunze sanasana, Amen
Never happened,,mungu awatunze sana sana mtumishi, Tunapaswa kuigwa. AMEN
Hongera sana wakina Saguti
Mungu awabariki Sana kwa sadaka hiyo njema
Mungu awabariki sana
❤🎉🎉
Hongera nyingi kwa familia ya kina Saguti kwa sadaka hiyo kubwa kama sehemu ya utumishi wao kwa Mungu. Wabarikiwe sana
Hongera nyingi kwa familia ya kina Saguti kwa sadaka hiyo kubwa kama sehemu ya utumishi wao kwa Mungu. Wabarikiwe sana
Huyu mchungaji alikuwa KKKT junior seminary moro
Mungu ibariki familia ya mzee Sanguti, msipungukie Katika jambo lolote.
Amina Mungu awabariki