KKKT DKMS Online TV
KKKT DKMS Online TV
  • 401
  • 604 371
Taarifa kutoka kwa Askofu Dkt Mbilu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
kufuatia msiba wa Askofu Mstaafu Joseph Jali, hii hapa aarifa kutoka kwa Askofu Dkt Mbilu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Marehemu Askofu Jali alifariki tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
zhlédnutí: 903

Video

Moja ya mazungumzo tuliyowahi kufanya na Askofu Mzee Joseph Jali enzi za Uhai wake
zhlédnutí 693Před 2 hodinami
Moja ya mazungumzo ya Askofu Mstaafu Joseph Jali wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, enzi za uhai wake,aliyefariki tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Mkuu wa Jimbo la Tambarare Mch. John Ndimbo juu ya msiba wa Askofuu Mstaafu Jali.
zhlédnutí 629Před 4 hodinami
kutoka kwa Mkuu wa Jimbo la Tambarare Mch. John Ndimbo, kufuatia msiba wa aliyewahi kuwa Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Joseph Mathayo Jali, aliyefariki tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Askofu Mstaafu Joseph Jali, wakati wa uhai wake akihimiza Wakristo juu ya umuhimu wa kuomba.
zhlédnutí 393Před 4 hodinami
Salamu hizi alizitoa wakati wa uhai wake tarehe 20/06/2021, kwenye Ibada ya Jumapili iliyofanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto Tanga.
KWAHERI ASKOFU MSTAAFU MZEE JALI (1936-2024)
zhlédnutí 1,8KPřed 7 hodinami
Askofu Mstaafu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Joseph alifariki dunia tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Sehemu ya Ibada ya Jumapili Usharika wa Nywelo.
zhlédnutí 288Před 16 hodinami
IBADA YA JUMAPILI KUTOKA KKKT-DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI JIMBO LA KASKAZINI USHARIKA WA NYWELO. IBADA HII ILITANGULIWA NA KUZINDULIWA KWA USHARIKA HUO. 08/11/2024.
Sehemu ya mahubiri ya Baba Askofu Dkt Msafiri Mbilu Usharika wa Nywelo
zhlédnutí 218Před 16 hodinami
IBADA YA JUMAPILI KUTOKA KKKT-DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI JIMBO LA KASKAZINI USHARIKA WA NYWELO. IBADA HII ILITANGULIWA NA KUZINDULIWA KWA USHARIKA HUO. 08/11/2024.
Salamu za Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Mnazi
zhlédnutí 419Před 19 hodinami
Ibada ya ndoa kati ya Shemasi Stephano Elia Mwanyemi na Wilmeth Daudi Chilongola.Ndoa hii ya Shemasi Mwanyemi wa KKKT-DKMS anayetumika katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Mnazi imefungwa katika Usharika huo na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. Leo tarehe 10/08/2024
Familia ya Marehemu Mzee Saguti watoa nyumba kwa KKKT-DKMS
zhlédnutí 2,4KPřed 21 hodinou
Familia ya Marehemu Mzee Saguti watoa nyumba kwa KKKT-DKMS
RECORDED: Sehemu ya Mahubiri ya Askofu Dkt. Mbilu Usharika wa Mikanjunii 03/08/2024
zhlédnutí 297Před 14 dny
RECORDED: Sehemu ya Mahubiri ya Askofu Dkt. Mbilu Usharika wa Mikanjunii 03/08/2024
MAHUBIRI YA BABA ASKOFU DKT MBILU USHARIKA WA PONGWE MTAA WA DIARY
zhlédnutí 100Před 21 dnem
MAHUBIRI YA BABA ASKOFU DKT MBILU USHARIKA WA PONGWE MTAA WA DIARY
Sehemu ya Ibada ya Jumapili ya Tarehe 28/07/2024.
zhlédnutí 253Před 21 dnem
Sehemu ya Ibada ya Jumapili ya Tarehe 28/07/2024.
Sehemu ya Pili ya Ibada ya Jumapili Usharika wa Pongwe.
zhlédnutí 155Před 21 dnem
Sehemu ya Pili ya Ibada ya Jumapili Usharika wa Pongwe.
Mkesha wa maombi ulivyoongozwa na Baba Askofu Dkt.Mbilu
zhlédnutí 317Před 21 dnem
Mkesha wa maombi ulivyoongozwa na Baba Askofu Dkt.Mbilu
RECORDED IBADA MKESHA WA MAOMBI KKKT-DKMs 26/07/2024
zhlédnutí 300Před 21 dnem
RECORDED IBADA MKESHA WA MAOMBI KKKT-DKMs 26/07/2024
Askofu Dkt Mbilu endeleeni kuiombea Dayosisi Mungu anajibu Muombi ya wamwombao
zhlédnutí 415Před 21 dnem
Askofu Dkt Mbilu endeleeni kuiombea Dayosisi Mungu anajibu Muombi ya wamwombao
Sehemu ya Mahubiri ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu Usharika wa Tewe.
zhlédnutí 212Před 21 dnem
Sehemu ya Mahubiri ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu Usharika wa Tewe.
Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu juu ya eneo la SEKOMU
zhlédnutí 603Před 28 dny
Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu juu ya eneo la SEKOMU
Sehemu ya Mahuri ya Mch Dkt Albrecht Philips, aliyoyatoa katika Usharika wa Mkata
zhlédnutí 883Před měsícem
Sehemu ya Mahuri ya Mch Dkt Albrecht Philips, aliyoyatoa katika Usharika wa Mkata
Askofu Dkt. Mbilu jitokezeni kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
zhlédnutí 330Před měsícem
Askofu Dkt. Mbilu jitokezeni kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
Kwaya ya Watoto wa Shule ya Jumapili, Usharika wa Makorora
zhlédnutí 274Před měsícem
Kwaya ya Watoto wa Shule ya Jumapili, Usharika wa Makorora
Sehemu ya Pili Ibada ya Kustaafu Mchungaji Lewis Shemkala
zhlédnutí 575Před měsícem
Sehemu ya Pili Ibada ya Kustaafu Mchungaji Lewis Shemkala
Neno la Mungu limevuma kupitia wewe Mchungaji Shemkala
zhlédnutí 518Před měsícem
Neno la Mungu limevuma kupitia wewe Mchungaji Shemkala
IBADA YA SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU 23/06/2024
zhlédnutí 390Před měsícem
IBADA YA SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU 23/06/2024
Mahubiri ya Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Mlalo
zhlédnutí 89Před měsícem
Mahubiri ya Baba Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Mlalo
Salamu za Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, Usharika wa Mlalo
zhlédnutí 600Před měsícem
Salamu za Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, Usharika wa Mlalo
Askofu Dkt. Mbilu na wahitimu wa mafunzo ya Muziki KKKT-DKMs
zhlédnutí 520Před měsícem
Askofu Dkt. Mbilu na wahitimu wa mafunzo ya Muziki KKKT-DKMs

Komentáře

  • @humphreymushi
    @humphreymushi Před 16 hodinami

    Hongera Sanaa Baba Askofu Dr.Mbilu. Mungu akutie Nguvu, Wewe ni Mcha Mungu wa Kweli. Mkono wa Bwana Uende nawe popote daima,AMEN.

  • @humphreymushi
    @humphreymushi Před 16 hodinami

    Nina Maono kuwa Baba Askofu Dr.Mbilu anafaa kupokea mikoba ya Mkuu wa Kanisa la KKKT baada ya Askofu Malasusa kumaliza Muda wake! Kiti kirudi kwenye Jimbo la Marehemu Sebastian Kolowa Mkuu wa pili wa KKKT baada ya Askofu wa Kwanza marehemu Stephano Moshi. Naomba Mungu Abariki Maono yangu!!!Amina.

  • @humphreymushi
    @humphreymushi Před 16 hodinami

    Binafsi Nakushukuru Sanaa Mhe.Baba Askofu, Dr.Mbilu kwa Namna Unavyowaenzi Watangulizi wako! Hasa wale wanaostahili kuvikwa Taji! Mfano wa huyu Baba Jali! Na Msaidizi wake Baba Dean Mzee wetu Amasia Mweta! Nawambuka tangu nikiwa kidato cha kwanza Galanos sekondari mwaka 1992.!! Mara ya mwisho nilimuona mwaka 2002 pale usharika wa Mombo, wakati huo nilikuwa nimemaliza Chuo kikuu! Wakati huo alikuwa ameshastaafu! Alipopewa nafasi ya kusalimia, alinikosha kwa wimbo " Nimepita Ulimwengu...ulimwengu ni mzuri..lakini natamani ulimwengu mwingine"

  • @ErnestKalata
    @ErnestKalata Před 16 hodinami

    Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe

  • @ErnestKalata
    @ErnestKalata Před 17 hodinami

    Vyote ni Mali ya bwana

  • @ErnestKalata
    @ErnestKalata Před 17 hodinami

    Amani ya bwana itawale katika kipindi hiki

  • @ErnestKalata
    @ErnestKalata Před 17 hodinami

    Mungu akupumzishe baba

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Před 17 hodinami

    Jina la bwana libarikiwe

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před 18 hodinami

    Mungu akutunze sana mtumishi, kuna wakati wa kulia kucheka na kuomboleza, ndio maisha yetu, hapa hatuna mji udumuo, (zab 119-19)

  • @BeatriceBaruti-rw5yj
    @BeatriceBaruti-rw5yj Před 18 hodinami

    Mungu akupumzishe kwa amani

  • @PiusNgayaku
    @PiusNgayaku Před 19 hodinami

    Baba,mazungumzo yako yamesheheni hekima ya Mungu.Si wote wenye umri Huo kwa na mtiririko nzuri wa maneno mwanzo mwisho.R.I.P.

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath Před 19 hodinami

    Poleni kwa msiba Kanisa ndugu na jamani Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe😢😢

  • @PETERELISA-k8r
    @PETERELISA-k8r Před 21 hodinou

    Siku ya Jumamosi wiki iliyopita; ktk mazungumzo niliyobahatisha kukakaa naye pale Rabinisia, alisema MUNGU ANGEMPA NEEMA YA KURUDIWA NA AFYA YAKE; ANGETEMBELEA KATIKA MAENEO 4 AMBAYO NI MLALO, LUSHOTO, KOROGWE NA TANGA. Japo amelala naamini watakao simama siku moja "MPE MNG'AZI" ATAWAPA KUSEMA ALICHOTOKA KUSEMA KWA MARA YA MWISHO.

  • @PeterMweta
    @PeterMweta Před 22 hodinami

    R.i.p Mzee wetu tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi

  • @lightnessmunisi
    @lightnessmunisi Před 23 hodinami

    Pumzika kwa amani baba Askofu mzee wetu tutakukumbuka kwa upendo,ucheshi na ukarimu wako bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe amen

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před 23 hodinami

    Mungu alikupa Neema sana, wenzako wengi mpaka wanaingia kwenye ushirikina kwa tamaa za madaraka wewe hukuwa hivyo,upendo wako ulikuwa ni zaidi sana, hukuwana Tamaa hata kidogo, hakika mimi binafsi nakufahamu japo nilikuwa kijana mdogo, lakini sitakusahau, Pumzika kwa Amani.askofu mwanamuziki.Amen

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před 23 hodinami

    Mungu akutunze sana mtumishi wa mungu, ulipambana sana, kuinjilisha, hakika mwendo umeumaliza, RIP. Gona mpeho Tate,woshe tiwantambo

  • @dr.geofreykingazi2200

    Poleni Sana DKMS, Baba nitKukumbuka Kwa Ushauri na Nasaha Zako.Pumzika Kwa Amani Baba Askofu Jali

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 Před dnem

    Ameni

  • @christinashekivuli1023

    Ameen

  • @JudithDavid-cc6fn
    @JudithDavid-cc6fn Před dnem

    Mungu azidi kuwabariki

  • @cresemnzava1470
    @cresemnzava1470 Před dnem

    R.I..P baba yetu. Wote njia Moja.

  • @gloriamavura3706
    @gloriamavura3706 Před dnem

    ❤❤

  • @gloriamavura3706
    @gloriamavura3706 Před dnem

    Mungu awabariki sana kina Saguti kwa sadaka hi kubwa kwa Kanisa.

  • @MichaelKingazi-wm7xj

    Huu ni msiba mkubwa sana sana, wana NED, tumshukuru sana mungu, tumshukuru mungu kwa kila jambo, poleni sana wana Ned, pole sana baba mbilu, pole sana mama askofu Anna mbilu, mungu awatunze sana, Amen

  • @mariamashingo7216
    @mariamashingo7216 Před 2 dny

    RIP Baba Askofu

  • @sporamashanga4019
    @sporamashanga4019 Před 2 dny

    R.I.P baba

  • @Jozzly-b6v
    @Jozzly-b6v Před 2 dny

    😭😭😭🙏🙌😭😭

  • @Jozzly-b6v
    @Jozzly-b6v Před 2 dny

    😭😭😭🙏🙌😭😭

  • @Jozzly-b6v
    @Jozzly-b6v Před 2 dny

    Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe😪😭

  • @elctkondediocese
    @elctkondediocese Před 2 dny

    Poleni sana Mungu afanyike faraja kwenu

  • @valestwolo7776
    @valestwolo7776 Před 2 dny

    R,I. P

  • @elisaambise9502
    @elisaambise9502 Před 2 dny

    Poleni sana Kanisa la KKKT DKM Lushoto na familia yake, pamoja na Askofu Dr Msafiri Joseph Mbilu. Pumzika kwa amani baba Askofu.

  • @solomonmsomba1677
    @solomonmsomba1677 Před 2 dny

    Dr. Grace tulikuwa wote Ruvu JKT. Nawapongeza sana kama familia. Mungu awabariki sana. Dr. Solomon Msomba.

  • @Willygs18
    @Willygs18 Před 2 dny

    Lala salama Mzee wetu!

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath Před 2 dny

    Poleni Kanisa ndugu jamani na marafiki vita umevipiga mwendo umeumaliza baba😢😢

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath Před 2 dny

    😭😭😭😭

  • @JOSEPHKAONEKA-iv7xx

    Nywelo iko wapi mtumishi wa MUNGU.

  • @mjjmaeda
    @mjjmaeda Před 6 dny

    Glory to God. May Our Lord continue to shower His Blessing you all.

  • @MichaelKingazi-wm7xj

    Mungu.amen awatunze sanasana, Amen

  • @MichaelKingazi-wm7xj

    Never happened,,mungu awatunze sana sana mtumishi, Tunapaswa kuigwa. AMEN

  • @rosemarymwakitwange6257

    Hongera sana wakina Saguti

  • @geraldkirenga7159
    @geraldkirenga7159 Před 8 dny

    Mungu awabariki Sana kwa sadaka hiyo njema

  • @user-dx4cd6yq9b
    @user-dx4cd6yq9b Před 9 dny

    Mungu awabariki sana

  • @geraldsingano2438
    @geraldsingano2438 Před 9 dny

    ❤🎉🎉

  • @emmanuelmtoi7693
    @emmanuelmtoi7693 Před 9 dny

    Hongera nyingi kwa familia ya kina Saguti kwa sadaka hiyo kubwa kama sehemu ya utumishi wao kwa Mungu. Wabarikiwe sana

  • @emmanuelmtoi7693
    @emmanuelmtoi7693 Před 9 dny

    Hongera nyingi kwa familia ya kina Saguti kwa sadaka hiyo kubwa kama sehemu ya utumishi wao kwa Mungu. Wabarikiwe sana

  • @gililwise
    @gililwise Před 9 dny

    Huyu mchungaji alikuwa KKKT junior seminary moro

  • @adrianndawala3225
    @adrianndawala3225 Před 9 dny

    Mungu ibariki familia ya mzee Sanguti, msipungukie Katika jambo lolote.

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath Před 9 dny

    Amina Mungu awabariki