Salamu za Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Mnazi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Ibada ya ndoa kati ya Shemasi Stephano Elia Mwanyemi na Wilmeth Daudi Chilongola.Ndoa hii ya Shemasi Mwanyemi wa KKKT-DKMS anayetumika katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Mnazi imefungwa katika Usharika huo na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. Leo tarehe 10/08/2024

Komentáře • 1