MNAKATA VIUNO KANISANI,MMEPAGEUZA CHUMBANI/MCH.MOSES MAGEMBE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 12. 2020
  • #Uhaimedia
    CONTACT UHAI MEDIA +255 755 450 225
    +255 752 348 789
    MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
    • MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
    HABARI
    • RPC TABORA:HUTAUONA MW...
    FIKIRI TOFAUTI
    • MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
    MAKALA FIKRA TUNDUIZI
    • DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
    SHUHUDA
    • EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
    FAHAMU ZAIDI YA JANA
    • FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
    SIMULIZI ZA VITABU
    • MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
    BIBLIA YANGU
    • BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
    NYIMBO ZA INJILI
    • PAULCLEMENT -MUNGU AWE...

Komentáře • 280

  • @brayanramadhan5260
    @brayanramadhan5260 Před 3 lety +36

    Mzeee nakuelewa sana kama unamwelewa like twende sawa duh!!!!!

  • @isayabartazary9108
    @isayabartazary9108 Před 3 lety +15

    Mungu alivo mzuri hutumii hata mawani Mungu akutunze baba Mchungaji

  • @rachelayo7203
    @rachelayo7203 Před 3 lety +15

    Ahsante Mungu kwa kutupatia MTU muhimu kama huyu,Mungu MPE maisha marefu zaidi

  • @Stopperkbsa
    @Stopperkbsa Před 3 lety +5

    Baba nakupenda sana, Bwana Yesu azidi kukutunza mzee unayeihubiri kweli ,,, be blessed pastor Magembe.

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Před 3 lety +7

    Kumbe tupo wengi wenye kuchukizwa na matendo na stepu za ovyo,ubarikiwe

  • @ezramharulo9198
    @ezramharulo9198 Před 2 měsíci +2

    Yaani huyu mchungaji Mungu amlinde angekuwa askofu ingekuwa heri

  • @onesiphoreburuma3484
    @onesiphoreburuma3484 Před 3 lety +9

    Mungu akubariki sana Mchungaji, na asaidie kanisa la leo, wachungaji kujua kuonya, kukaripa, kuongoza na kukemea.

  • @josephambonisye4033
    @josephambonisye4033 Před 2 měsíci +2

    Ubarikiwe mchungaji tumekosa watumishi kama wewe

  • @amiwitu1445
    @amiwitu1445 Před 3 lety +21

    Kweli tupu 100%. Mungu awe nawe daima, watumishi wasema kweli kwenye makanisa ya Kikristo ni wachache na wanachukiwa balaa!! Ubarikiwe

  • @sarahwilliams4140
    @sarahwilliams4140 Před 3 lety +15

    Very powerful word wachungaji wa Kenya you should take this example of mchungaji Magembe

  • @ashelyabely7854
    @ashelyabely7854 Před 3 lety +2

    Kiukweri mtumishi wa Mungu nabarikiwa Sana na injiri yako ya uamsho wa kanisa

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 Před 3 lety +3

    Babu yangu Mchungaji Magembe Mungu akuongozee ktk kuusema ukweli ili kanisa kwaya zipone zinavuka Maadili ya ki Mungu

  • @hamismabula5813
    @hamismabula5813 Před 3 lety +12

    Makanisa yamevamiwa na roho za ajabu ajabu.
    Bora mzee umeliona hilo, likemee!

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před 3 lety +2

    Asante Mtumishi Mkuu wa Mungu. Unahimiza Utakatifu ambao ndio unaomstahili Mungu. Ubarikiwe na Bwana kwa kuliponya Kanisa.

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 Před 3 lety +9

    Kwaya ambaazo hazikati viuno ni za wasabato tu, lkn zingine ni shida!

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 Před 3 lety +5

    Baba me naomba Mungu tupatikane watumishi kama wewe wanaoisema kweliii ...Nakupenda baba katika Bwana

  • @moriceokah504
    @moriceokah504 Před 3 lety +1

    Mchungaji nimekuelewa mtumishi wa mungu usimame imara katika utumishi wako usiludi nyuma katika utumishi wako amina.

  • @obedykimilike7629
    @obedykimilike7629 Před 2 lety +1

    Mungu akupe maisha marefu na afya njema baba mchungaji uendelee kutumika kwa kuisema kweli

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Před rokem

    Magembe na mgogo nawakubali sana mafundisho yao siyo hao wauza upako na kubariki watu kwa pesa heti manabi yaani wizi mtupu na miuziza yao ya kishetani live kabisa bila chenga Mungu tuokoe watanzania na jinamizi hili la matapeli kwa kutumia jina la yesu

  • @paulmbanga6993
    @paulmbanga6993 Před 3 lety +3

    Hakika Mungu kakuweka kwa kusudi lake. Fanya kazi kama ulivyo tumwa. Tuko pamoja kukuombea.

  • @HTV515
    @HTV515 Před 3 lety +2

    Ni kweli kabisa baba watumishi wafundishe ukweli tunatamani kuona Uwepo Wa Mungu, tunatamani tuuone uwepo kama kipindi cha kina ASAFU

  • @AnethSwila-tw9mv
    @AnethSwila-tw9mv Před 8 měsíci +1

    Wachungaji wanaosema kweli kwa Sasa niwachache sana ubarikiwe baba

  • @devotaLain
    @devotaLain Před 26 dny

    One love pastor ♥️♥️

  • @stevenjoshua1894
    @stevenjoshua1894 Před 3 lety +1

    Asante Mchungaji Magembe tuko tunakuombeya Mungu akulete Bujumbura Burundi.

  • @valelianonyato-gx5bq
    @valelianonyato-gx5bq Před 2 měsíci

    Mungu akutie nguvu huo niukweli kwaya za sasa hazina tofauti na wacheza dans vilabuni

  • @christinabaynet2608
    @christinabaynet2608 Před rokem

    Mkurugenzi wangu hongera kwa mkutano na semina nzuri kuhusu maadili kuporomoka, na hasa umeongelea habari za step za kwaya, ubarikiwe baba kurudisha maadili kanisani

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 Před 3 lety +8

    Very powerful message Rev Magembe

  • @celestinebenson8183
    @celestinebenson8183 Před 3 lety +5

    Powerful!.

  • @dorcasimmanuelmfundo4219
    @dorcasimmanuelmfundo4219 Před 3 lety +1

    Amen Sana,hapo kwenye Praise & Worship hapo ndio shida kwa baadhi yao

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 Před 4 měsíci

    Yaani huyu baba amenifurahisha huyu, Mungu akubariki sana. Watu hawajui kumheshimu Mungu. Michezo ambayo huchezi mbele ya baba yako mzazi kwanini ucheze mbele ya baba yetu wa mbinguni? Huwa napata shida sana. Mungu tupe uelewa.

  • @beatriceamina1337
    @beatriceamina1337 Před 3 lety +3

    Barikiwa sana mutu wa mungu tena ujumbe huu uwafikie dunia nzima ckuizi mlokole hajulikana niyupi na wadunia hawajulikani mauno tu kwenda mbele shindwe kwa jina la yesu nkiwa kenya

    • @mwaminisabimana6026
      @mwaminisabimana6026 Před 3 lety

      Unapo tikisa kiuno sana kinateremka kikiteremukia jehenamu oopoleni

    • @phinehaskileo8226
      @phinehaskileo8226 Před 3 lety

      Ubarikiwe. Hats wasioamini wanatushangaa!!! Maana hata wenyewe Wana mipaka yao!!!

  • @marcelinekilongo5765
    @marcelinekilongo5765 Před rokem +3

    Amen and amen 🙏

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 Před 3 lety +5

    Pewa soda ya kutoka Kenya 🇰🇪✋✋✋afu na mavazi thooo

  • @EarnestMwangombola-iv7hr
    @EarnestMwangombola-iv7hr Před 3 měsíci +1

    Hilo la kwaya ni mojawapo ya makandokando... Kuna zinaa, ufisadi, unafiki, kupenda fedha, uchawi, vyeo vya kupeana, uchaguzi kiini macho n.k

  • @igomambeyamatukiotv6536
    @igomambeyamatukiotv6536 Před 3 lety +4

    Hapo ndo mtaona umuhimu wawasabato na tatizo mnafata mapokeo ikija step mpya mnayo mnacheza hadi viduku kanisani tena hadi nguo hazina utukufu

    • @expert5898
      @expert5898 Před 3 lety

      Kwani wapi ilielekeza namna ya kucheza???? Kwani Mungu alisema hataki viuno??? Hayo ni Mambo ya maadili, but sio dhambi.

  • @lucybilly6683
    @lucybilly6683 Před 3 lety

    Asante kwa mafundisho mazuri na magumu ,asikiae na asikie

  • @anneakinyi6987
    @anneakinyi6987 Před 3 lety +1

    Ukabila umezidi makanisani kenya,God have mercy.

  • @peterremy8013
    @peterremy8013 Před 3 lety +3

    Magembe uko vizuri ila wewe huna kanisa, kanisa ni la mwenye kumwaga damu aliyetukomboa futa hiyo kauli

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 Před 3 lety +1

    Ameen kweli Baba Mungu akubaliki kwa kusema kweli

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 Před 3 lety +1

    Mchungaji mi ni mwislam..
    Lakini kwenye hili umejitutumua umeongea

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Před 3 lety +1

    Sema mtumishi bila kupepesa,wanao taka kupona wapone,wasio taka wakajiunge na akina chimenengule na maviono yao,siyo kukatikia kwenye madhabahu ya Mungu wetu,

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 Před 3 lety +5

    Mzee umenichekesha sana nmekuelewa sana you made my day hahahahahahahaha

  • @furahamlozi7376
    @furahamlozi7376 Před 3 lety

    Aminaaaaa sana ubarikiwee mtumishi wa munguuu

  • @magekata7229
    @magekata7229 Před 3 lety

    Amina mchungaji ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏

  • @ambasonkalenga2047
    @ambasonkalenga2047 Před 3 lety +1

    Wasabato wapo vizuri sema mchungaji ili tupone

  • @winniecasterreuben1734
    @winniecasterreuben1734 Před 3 lety +1

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 2 měsíci

    Wewe mzee uko sahihi 100% maana siku hizi kanisani kama disco.

  • @sarahyvonne4580
    @sarahyvonne4580 Před 3 lety

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @jacobtolya1716
    @jacobtolya1716 Před 3 lety

    Mungu akubariki mchungaji.Umenena kweli yote

  • @HTV515
    @HTV515 Před 3 lety +2

    Ni kweli mzee ukweli ni lazima tu usemwe Wanazidi mno baba

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga2126 Před 3 lety

    Ha haaaaaaaaaaaa! Kubinuka binuka aaa! Pastor bhana ubarikiwe 2. Umenifurahisha

  • @juliasmtobesya5031
    @juliasmtobesya5031 Před 3 lety +1

    Ni kweli mchungaji Maghembe. Vijana wa leo wameligeuza Kanisa la leo kuwa sehemu ya mziki wa Kwasakwasa na Dansi kwa kisingizio cha enzi zile za Daudi. Hali hii isipokemewa kwa sasa itafikia mwanaume na mwanamke kucheza kwa kukumbatiana na kusikana viunoni. Ikumbukwe kuwa Shetani anatumia njia kama hizo kujiinua na kuliingilia Kanisa. Vijana badilikeni.

  • @Shuna-lg2kf
    @Shuna-lg2kf Před rokem

    Mungu akubariki magembe

  • @Muhabwantebe
    @Muhabwantebe Před 3 lety +2

    Amen Amen Amen

  • @florapeudy6567
    @florapeudy6567 Před 3 lety

    Amina mchungaji sema ukweli wa YESU

  • @harinamagati7550
    @harinamagati7550 Před rokem

    Natamani siku moja niudhurie Ibada kanisani kwako Mtumishi wa Mungu

  • @raphaeljulius9220
    @raphaeljulius9220 Před 3 lety

    Amina mchungaji na barikiwa sana na mafunzo yake

  • @nurumbongo7556
    @nurumbongo7556 Před 2 lety

    Nimekuelewa mtumishi wangu

  • @rejoycekivuyo9208
    @rejoycekivuyo9208 Před 3 lety

    Nimekupenda sana mtumishi

  • @danielmwasi5450
    @danielmwasi5450 Před 3 lety

    Mungu akubariki baba

  • @binseif2216
    @binseif2216 Před 2 měsíci

    Wagalatia mtihani sana

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 3 lety

    Nabarikiwa

  • @shedyema2792
    @shedyema2792 Před 3 lety

    Baba mch akubariki

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 Před 3 lety +2

    Tuponee kupitia mafundisho haya Barikiwa mchungaji🙏🙏🙏🙏🙏

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Před 3 lety

    Amina hii inaonekana baadhi ya wachungaji wanaogopa kukemea dhambi.

  • @samwelmartine4497
    @samwelmartine4497 Před 3 lety

    Iko vizuri sana baba Askofu

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi6948 Před 3 lety +1

    Wanasema eti ni Sebene la Yesu!!!sipat picture

  • @carlosswedy9926
    @carlosswedy9926 Před 2 lety

    sema pastor

  • @StevenKajimbwa
    @StevenKajimbwa Před 9 měsíci

    amen baba tumekuelewa

  • @evansbuberwa1235
    @evansbuberwa1235 Před 3 lety

    Amina past

  • @zerangizikii7844
    @zerangizikii7844 Před 3 lety

    Mtakatifu atunze mtakatifu amina

  • @Min_abednego_fabiano
    @Min_abednego_fabiano Před 3 lety

    Amen...Lazima kweli izungumzwe

  • @meshackpaul4978
    @meshackpaul4978 Před 3 lety +2

    Wambie mzee! Wewe ungekuwa msabato unawahubili hivo wangekuambia Wana mfata daudi aliecheza adi nguoo zkadondoka!! Na Sasa kabisaa wanavocheza wanataka nao nguo ziwadondoke! Dah niwabishi! Ungekuwa msabato hapo wangekutukana

    • @mustaphagairo1936
      @mustaphagairo1936 Před 3 lety

      Hakika

    • @ngwanafabian4612
      @ngwanafabian4612 Před 2 lety

      Unadhani wasabato wako 100%? Si kweli maana hata hiyo sabato hawaifuati kama ipasavyo wao wamekariri sabato ni jumamosi tu.

  • @esperenceamris
    @esperenceamris Před 3 lety +1

    Penda sana mtumishi wa Bwana

  • @Muhabwantebe
    @Muhabwantebe Před 3 lety

    Amene Amen Amen

  • @cliffkingi
    @cliffkingi Před 3 lety

    Mungu atusamehe wote hakuna mwenye haki hata Mmoja ....Mungu asifiwe Step zote Katika Roho na Kweli ...Hata Viduku mradi Ni Kumsifu Mungu na sio mchungaji...

    • @anneafrica939
      @anneafrica939 Před 3 lety

      Malaika hawasifu YESU kwa viduku na kwaito staili za kidunia na ushetani umeingia kanisani hiyo ndio lango la mateka kanisani

  • @danielmakata1795
    @danielmakata1795 Před 3 lety +2

    Ameeeni,tunamtaka bwana na nguvu zakee.

  • @danielijackson8700
    @danielijackson8700 Před 3 lety

    Barikiwa mtumishi tena hatachumbani hwakati hivo wasicheze kabiaas

  • @karibasayi9719
    @karibasayi9719 Před 3 lety +1

    Kabisaaaa 🙏🙏🙏

  • @hoseejack2077
    @hoseejack2077 Před 3 lety +1

    God bless u daddy

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 3 lety +1

    Mugambo Song the message is here

  • @eliahmhanzi6357
    @eliahmhanzi6357 Před 3 lety +3

    Pastor nimekuelewa sana hii dhamba inasumbua makanisa mengi na wachungaji hawasemei dhambi hii

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni Před 3 lety +1

    Ni kweli baba mchungaji kwaya zimekuwa disco

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 Před 3 lety +3

    Mm ni msabato ila huyu pastor anahubiri kweli

    • @mackfasonmoshi4629
      @mackfasonmoshi4629 Před 3 lety

      Ahsante Kaka Emma Q. Mimi si Msabato ila Mzee anasema kweli tupu....Lakini wale Zabron Singers wa KHM (SDA) wako vizuri....WanaMabeats na Rhythm zenye Nidhamu...Machezo na Minenguo Makanisani Mhhhhh.. Hatariiiiii....

  • @enocklutema9423
    @enocklutema9423 Před 3 lety

    Amina sana

  • @philimonsijaona2933
    @philimonsijaona2933 Před 3 lety

    Kweli rev Moses magembe

  • @melckizedecklufungulo3176

    Aminaaaaaa kwa kweli umenena

  • @emanuelsamwel62
    @emanuelsamwel62 Před 3 lety

    Uko vzr mchungaji

  • @maombezimwambapa4695
    @maombezimwambapa4695 Před 3 lety

    Mungu akupe Maisha marefu

  • @dorcascharles9514
    @dorcascharles9514 Před 3 lety

    Ilinibidi tu ni Subscribe hakika pastor amenikosha mno mungu akulinde sana baba

  • @user-cp8cc1jq7j
    @user-cp8cc1jq7j Před 10 měsíci

    Ubarikiwe pastor ili ni tatizo la wachungaji kuacha kukemea dhambi

  • @GERALDHAMBAGELE
    @GERALDHAMBAGELE Před 3 měsíci

    Sina Cha kuongeza Neno lako ni Hakika na kweli .Nabalikiwa huku Kahama

  • @rodgersabraham1065
    @rodgersabraham1065 Před 3 lety

    Mzee hua nakuelewa sana. Yaani wewe ni miongoni mwa walimu wangu ambao nawaelewa sana

  • @obedilizer3412
    @obedilizer3412 Před 3 lety

    Safi sana Songa mbele

  • @elizabethchales2663
    @elizabethchales2663 Před 3 lety

    Amina baba sema 2pone

  • @gracemboga728
    @gracemboga728 Před 3 lety +1

    From the Book of 2 Samuel 6:14 -20 I think mtumishi ni hivyo though some are going beyond dancing

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 Před 3 lety

    Amina bab nakosaga Aman San mtu anakat mauno madhabahuni utafikili yupo dsk

  • @prislareginald878
    @prislareginald878 Před 3 lety +1

    Hapo sawa

  • @florachogo5537
    @florachogo5537 Před 3 lety

    sema mtumishi .tubadirike

  • @mariakabonga2
    @mariakabonga2 Před 2 měsíci

    kweli itabaki kuwa kweli hata mi nakwazikaga sana mtu anacheza mpaka anapitiliza