MNAKATA VIUNO KANISANI,MMEPAGEUZA CHUMBANI/MCH.MOSES MAGEMBE
Vložit
- čas přidán 27. 12. 2020
- #Uhaimedia
CONTACT UHAI MEDIA +255 755 450 225
+255 752 348 789
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
Mzeee nakuelewa sana kama unamwelewa like twende sawa duh!!!!!
Mungu alivo mzuri hutumii hata mawani Mungu akutunze baba Mchungaji
Ahsante Mungu kwa kutupatia MTU muhimu kama huyu,Mungu MPE maisha marefu zaidi
Baba nakupenda sana, Bwana Yesu azidi kukutunza mzee unayeihubiri kweli ,,, be blessed pastor Magembe.
Kumbe tupo wengi wenye kuchukizwa na matendo na stepu za ovyo,ubarikiwe
Yaani huyu mchungaji Mungu amlinde angekuwa askofu ingekuwa heri
Mungu akubariki sana Mchungaji, na asaidie kanisa la leo, wachungaji kujua kuonya, kukaripa, kuongoza na kukemea.
Ubarikiwe mchungaji tumekosa watumishi kama wewe
Kweli tupu 100%. Mungu awe nawe daima, watumishi wasema kweli kwenye makanisa ya Kikristo ni wachache na wanachukiwa balaa!! Ubarikiwe
Very powerful word wachungaji wa Kenya you should take this example of mchungaji Magembe
Kweli kabisa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kiukweri mtumishi wa Mungu nabarikiwa Sana na injiri yako ya uamsho wa kanisa
Babu yangu Mchungaji Magembe Mungu akuongozee ktk kuusema ukweli ili kanisa kwaya zipone zinavuka Maadili ya ki Mungu
Makanisa yamevamiwa na roho za ajabu ajabu.
Bora mzee umeliona hilo, likemee!
Asante Mtumishi Mkuu wa Mungu. Unahimiza Utakatifu ambao ndio unaomstahili Mungu. Ubarikiwe na Bwana kwa kuliponya Kanisa.
Kwaya ambaazo hazikati viuno ni za wasabato tu, lkn zingine ni shida!
Baba me naomba Mungu tupatikane watumishi kama wewe wanaoisema kweliii ...Nakupenda baba katika Bwana
Mchungaji nimekuelewa mtumishi wa mungu usimame imara katika utumishi wako usiludi nyuma katika utumishi wako amina.
Mungu akupe maisha marefu na afya njema baba mchungaji uendelee kutumika kwa kuisema kweli
Magembe na mgogo nawakubali sana mafundisho yao siyo hao wauza upako na kubariki watu kwa pesa heti manabi yaani wizi mtupu na miuziza yao ya kishetani live kabisa bila chenga Mungu tuokoe watanzania na jinamizi hili la matapeli kwa kutumia jina la yesu
Hakika Mungu kakuweka kwa kusudi lake. Fanya kazi kama ulivyo tumwa. Tuko pamoja kukuombea.
Ni kweli kabisa baba watumishi wafundishe ukweli tunatamani kuona Uwepo Wa Mungu, tunatamani tuuone uwepo kama kipindi cha kina ASAFU
Wachungaji wanaosema kweli kwa Sasa niwachache sana ubarikiwe baba
One love pastor ♥️♥️
Asante Mchungaji Magembe tuko tunakuombeya Mungu akulete Bujumbura Burundi.
Mungu akutie nguvu huo niukweli kwaya za sasa hazina tofauti na wacheza dans vilabuni
Mkurugenzi wangu hongera kwa mkutano na semina nzuri kuhusu maadili kuporomoka, na hasa umeongelea habari za step za kwaya, ubarikiwe baba kurudisha maadili kanisani
Very powerful message Rev Magembe
Nakubaliana kabisa Mch
Powerful!.
Amen Sana,hapo kwenye Praise & Worship hapo ndio shida kwa baadhi yao
Yaani huyu baba amenifurahisha huyu, Mungu akubariki sana. Watu hawajui kumheshimu Mungu. Michezo ambayo huchezi mbele ya baba yako mzazi kwanini ucheze mbele ya baba yetu wa mbinguni? Huwa napata shida sana. Mungu tupe uelewa.
Barikiwa sana mutu wa mungu tena ujumbe huu uwafikie dunia nzima ckuizi mlokole hajulikana niyupi na wadunia hawajulikani mauno tu kwenda mbele shindwe kwa jina la yesu nkiwa kenya
Unapo tikisa kiuno sana kinateremka kikiteremukia jehenamu oopoleni
Ubarikiwe. Hats wasioamini wanatushangaa!!! Maana hata wenyewe Wana mipaka yao!!!
Amen and amen 🙏
Pewa soda ya kutoka Kenya 🇰🇪✋✋✋afu na mavazi thooo
Hilo la kwaya ni mojawapo ya makandokando... Kuna zinaa, ufisadi, unafiki, kupenda fedha, uchawi, vyeo vya kupeana, uchaguzi kiini macho n.k
Hapo ndo mtaona umuhimu wawasabato na tatizo mnafata mapokeo ikija step mpya mnayo mnacheza hadi viduku kanisani tena hadi nguo hazina utukufu
Kwani wapi ilielekeza namna ya kucheza???? Kwani Mungu alisema hataki viuno??? Hayo ni Mambo ya maadili, but sio dhambi.
Asante kwa mafundisho mazuri na magumu ,asikiae na asikie
Ukabila umezidi makanisani kenya,God have mercy.
Magembe uko vizuri ila wewe huna kanisa, kanisa ni la mwenye kumwaga damu aliyetukomboa futa hiyo kauli
Ameen kweli Baba Mungu akubaliki kwa kusema kweli
Mchungaji mi ni mwislam..
Lakini kwenye hili umejitutumua umeongea
Sema mtumishi bila kupepesa,wanao taka kupona wapone,wasio taka wakajiunge na akina chimenengule na maviono yao,siyo kukatikia kwenye madhabahu ya Mungu wetu,
Mzee umenichekesha sana nmekuelewa sana you made my day hahahahahahahaha
Aminaaaaa sana ubarikiwee mtumishi wa munguuu
Amina mchungaji ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏
Wasabato wapo vizuri sema mchungaji ili tupone
Barikiwa mtumishi wa mungu
Wewe mzee uko sahihi 100% maana siku hizi kanisani kama disco.
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Mungu akubariki mchungaji.Umenena kweli yote
Ni kweli mzee ukweli ni lazima tu usemwe Wanazidi mno baba
Ha haaaaaaaaaaaa! Kubinuka binuka aaa! Pastor bhana ubarikiwe 2. Umenifurahisha
Ni kweli mchungaji Maghembe. Vijana wa leo wameligeuza Kanisa la leo kuwa sehemu ya mziki wa Kwasakwasa na Dansi kwa kisingizio cha enzi zile za Daudi. Hali hii isipokemewa kwa sasa itafikia mwanaume na mwanamke kucheza kwa kukumbatiana na kusikana viunoni. Ikumbukwe kuwa Shetani anatumia njia kama hizo kujiinua na kuliingilia Kanisa. Vijana badilikeni.
Mungu akubariki magembe
Amen Amen Amen
Amina mchungaji sema ukweli wa YESU
Natamani siku moja niudhurie Ibada kanisani kwako Mtumishi wa Mungu
Amina mchungaji na barikiwa sana na mafunzo yake
Nimekuelewa mtumishi wangu
Nimekupenda sana mtumishi
Mungu akubariki baba
Wagalatia mtihani sana
Nabarikiwa
Baba mch akubariki
Tuponee kupitia mafundisho haya Barikiwa mchungaji🙏🙏🙏🙏🙏
Amina hii inaonekana baadhi ya wachungaji wanaogopa kukemea dhambi.
Iko vizuri sana baba Askofu
Wanasema eti ni Sebene la Yesu!!!sipat picture
sema pastor
amen baba tumekuelewa
Amina past
Mtakatifu atunze mtakatifu amina
Amen...Lazima kweli izungumzwe
Wambie mzee! Wewe ungekuwa msabato unawahubili hivo wangekuambia Wana mfata daudi aliecheza adi nguoo zkadondoka!! Na Sasa kabisaa wanavocheza wanataka nao nguo ziwadondoke! Dah niwabishi! Ungekuwa msabato hapo wangekutukana
Hakika
Unadhani wasabato wako 100%? Si kweli maana hata hiyo sabato hawaifuati kama ipasavyo wao wamekariri sabato ni jumamosi tu.
Penda sana mtumishi wa Bwana
Amene Amen Amen
Mungu atusamehe wote hakuna mwenye haki hata Mmoja ....Mungu asifiwe Step zote Katika Roho na Kweli ...Hata Viduku mradi Ni Kumsifu Mungu na sio mchungaji...
Malaika hawasifu YESU kwa viduku na kwaito staili za kidunia na ushetani umeingia kanisani hiyo ndio lango la mateka kanisani
Ameeeni,tunamtaka bwana na nguvu zakee.
Barikiwa mtumishi tena hatachumbani hwakati hivo wasicheze kabiaas
Kabisaaaa 🙏🙏🙏
God bless u daddy
Mugambo Song the message is here
Kweli mzee siyo kwa mauno Yale
Pastor nimekuelewa sana hii dhamba inasumbua makanisa mengi na wachungaji hawasemei dhambi hii
Ni kweli baba mchungaji kwaya zimekuwa disco
Mm ni msabato ila huyu pastor anahubiri kweli
Ahsante Kaka Emma Q. Mimi si Msabato ila Mzee anasema kweli tupu....Lakini wale Zabron Singers wa KHM (SDA) wako vizuri....WanaMabeats na Rhythm zenye Nidhamu...Machezo na Minenguo Makanisani Mhhhhh.. Hatariiiiii....
Amina sana
Kweli rev Moses magembe
Aminaaaaaa kwa kweli umenena
Uko vzr mchungaji
Mungu akupe Maisha marefu
Ilinibidi tu ni Subscribe hakika pastor amenikosha mno mungu akulinde sana baba
Ubarikiwe pastor ili ni tatizo la wachungaji kuacha kukemea dhambi
Sina Cha kuongeza Neno lako ni Hakika na kweli .Nabalikiwa huku Kahama
Mzee hua nakuelewa sana. Yaani wewe ni miongoni mwa walimu wangu ambao nawaelewa sana
Kweli kabisa mtumish barikiwa sana
Safi sana Songa mbele
Amina baba sema 2pone
From the Book of 2 Samuel 6:14 -20 I think mtumishi ni hivyo though some are going beyond dancing
Amina bab nakosaga Aman San mtu anakat mauno madhabahuni utafikili yupo dsk
Hapo sawa
sema mtumishi .tubadirike
kweli itabaki kuwa kweli hata mi nakwazikaga sana mtu anacheza mpaka anapitiliza