Taarifa kutoka kwa Askofu Dkt Mbilu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
Vložit
- čas přidán 11. 09. 2024
- kufuatia msiba wa Askofu Mstaafu Joseph Jali, hii hapa aarifa kutoka kwa Askofu Dkt Mbilu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Marehemu Askofu Jali alifariki tarehe 14/08/2024 katika Hospital ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.