RECORDED IBADA MKESHA WA MAOMBI KKKT-DKMs 26/07/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Kristo anasema “Kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye hufunguliwa” (Mathayo 7:8)
    Unatazama matangazo ya moja kwa moja kilele cha Mkesha wa Maombi ya kuiombea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kutoka Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza
    Kwa umoja wetu kila mmoja wetu apeleke haja yake kwa Mungu tukikumbuka pia kuombea ,UONGOZI MZIMA WA DAYOSISI ,UMOJA NA MSHIKAMANO WETU KATIKA DAYOSISI. KAZI MBALIMBALI ZA DAYOSISI YETU ZINAZOTEKELEZWA KWENYE KURUGENZI ZA DAYOSISI, PAMOJA NA MCHAKATO WA UBORESHWAJI WA CHUO CHA KOTETI NA UAZISHWAJI WA CHUO CHA UTC MAGAMBA.

Komentáře •