BABU WA LOLIONDO AIBUKA NA UTABIRI WA KUTISHA "TETEMEKO LITAKALO HAMISHA NCHI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 03. 2020

Komentáře • 733

  • @teklasylvester1310
    @teklasylvester1310 Před 4 lety +307

    Kama umeona mtangazaji na babu wanafanana sura gonga like

  • @levinatouwa1086
    @levinatouwa1086 Před 4 lety +29

    Kama umekuja apa baada ya kuskia tetemeko la ardhi usiku wa jana,gonga like apa tujuane🤣🤣🤣

  • @raymanmwangosi5041
    @raymanmwangosi5041 Před 4 lety +208

    Kama umegundua mtangazaji anafanana na babu copyright gonga like hapa tujuane😄😄

    • @wardawarda4515
      @wardawarda4515 Před 4 lety +2

      Aha ha ha aaaaaAA ha aaa Dahhhhh HGH nimechekaa kichiziii mashavu uso kichwa

    • @moshialois5499
      @moshialois5499 Před 4 lety +3

      B4 cjaona comment yako niligundua hilo, aiseeh tunalingana mawazo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @enockchaula6292
      @enockchaula6292 Před 4 lety +1

      rayman mwangosi mungu anakuona mi nkajua mtu na babu yake copy right brother yani mule mule Mtu na babu yake

    • @tobiasmaile9472
      @tobiasmaile9472 Před 4 lety +2

      Sana sana saaana wanafanana na ndugu mtangazaji aseeee😃😃😃😃😃

    • @shajimwazembe2106
      @shajimwazembe2106 Před 4 lety +1

      sana sana

  • @josephmwema4705
    @josephmwema4705 Před 4 lety +72

    Kma umegundua Mzee kaja kumalizia episode ya mwisho but
    Now no Janja Janja

  • @enockchaula6292
    @enockchaula6292 Před 4 lety +46

    😂😂😂 fuvu la adamu na hawa,,,, afu ni fuvu moja 😂😂😂 sema huyu mzee ni noma mpaka viongozi waliacha ikulu wakapanga foleni

  • @mackmtata8277
    @mackmtata8277 Před 4 lety +115

    Kama unaamini babu uyu mwiz gonga like

  • @fulgencelucas8702
    @fulgencelucas8702 Před 4 lety +81

    Kama unaamini mzee anaitaji viboko vingi mno gonga like

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 3 lety +2

    Mungu akufunulie ww 🤣🤣🤣subili ufe uwone

  • @user-hc7gj9ug9x
    @user-hc7gj9ug9x Před 4 lety +27

    Babu leo ameongea ukweli MWENYEZIMUNGU cyo mwanadam huwo ni ukweli

  • @abrahambalamba7108
    @abrahambalamba7108 Před 4 lety +1

    Ajabu sana! bado Babu anajenga hoja kwamba kuna watu amewatibu ukimwi.ila mimi nimeona wengi wakizikwa kwasababu ya kuacha kutumia dawa za kufifisha vvu kwaajili ya uongo wa huyu mzee na kikombe chake

  • @doktamathew
    @doktamathew Před 4 lety +7

    Mzeee muhuni tu huyu... Vikombe kumbe mbwembwe tu😂😂😂

    • @tausilazaro2989
      @tausilazaro2989 Před 4 lety +1

      Kama unaamini babu tapeli gonga like

    • @saidseleman6004
      @saidseleman6004 Před 3 lety

      Wagonjwa wa ukimwi walikunywa kikombe wakaacha dozi weeee waliondoka kma nzge

  • @petersakariwakube8215
    @petersakariwakube8215 Před 3 lety +1

    My brother the interviewer please do some research concerning what is called the continental drift. If you pull the map of Africa and South America together, you see that there are common similar features. The Congo forest is similar to the Amazon in Brazil,and the River Congo was connected to the Amazon River. This two continents were at one time one, and were probably separated as a result of a huge earthquake.

  • @kuntakinte7339
    @kuntakinte7339 Před 4 lety +9

    Waliona kikombe hawakuamini mpaka waone JAGI

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 Před 3 lety

      😂😂😂😂😂😂 nakuambia huyu mzee noma watu walitoka mikoa mbali mbali kuja kupata kikombe.

  • @allyzanzibar5742
    @allyzanzibar5742 Před 4 lety +2

    Kuna aina 4 za shirki...
    Shirki ktk sifa ya Munguu,, shirki ktk mamlaka ya Mungu ,,,shirki ktk hukmu zake na shirki ktk mamlaka ya Mungu Huyu mzee anasema ameongea na Mungu walllahi billahi talahi Mungu anamuona na ataipata tuuu 😏😏😏😷😷😷😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Watanzania bwana ettyy wanna muunga mkono duuuuuuuu

    • @lalimarzouq870
      @lalimarzouq870 Před 4 lety

      الشرك هو أن تعتقد ان المخلوق يضر وينفع بدون إذن الله

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr Před 4 lety +1

    JAMANI BABU KATABIRI KWELI. NASKIA KUMETOKEA MTETEMEKO WA ARDHI AFRICA. BAADHI YA MIJI. SUBHANALLAH!

  • @abelmusyani4583
    @abelmusyani4583 Před 4 lety +13

    😂😂babu fundi wa GEOGRAPHY

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael4334 Před 4 lety +1

    Tulipona hakika babu Mungu anamtumia,Asante Mwenyezi Mungu kwa babu

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 Před 4 lety

    Babu shukuru uliua wagonjwa ukapata nyumba ya kisasa ,
    Nyamaza malizia maisha yaliyobaki .
    Huna maono yyt , una utapeli tu .
    Nyamaza unatutia uchungu .

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 4 lety +4

    Umekuja na upako safari hii ila kiukweli watu wengi walikufa kwa kuamini ile dawa ya kikombe na wakaacha za hosptal😂😁😊😊😃😃😃😂😃😊😂😊😊😊

  • @biottomollel6527
    @biottomollel6527 Před 4 lety +14

    Kaja mwamposa kaja kapiga pesa sasa babu loliondo kafufuka na kuna watakaoingia mkenge..😂😂gonna like kama nasema kwzli

  • @vero57
    @vero57 Před 4 lety +1

    Pesa zimepelea babu anatafuta nyingine, hongera sana babu akili kumkichwa 😅😅

  • @mankialema6490
    @mankialema6490 Před 4 lety +14

    Ni kweli waweza pata maono hayo,lkn Tukimwomba Mungu aweza kutuondolea mapigo yasiwe juu yetu

    • @jordanjonas4921
      @jordanjonas4921 Před 4 lety

      mankia lema acha uoga uyu mzee bas tu

    • @hopedigitalmedia34
      @hopedigitalmedia34 Před 4 lety

      Makusudio ya Mungu hayabadlk labda jambo alpang bnadamu Mugu ulpadlsha ila kama kapanga yy never albadlk Yesu mwenyew altaka alitaka ac uliw lakn hakuwza had kusud la mungu lilipo timia

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 4 lety +5

    namuona mtangazaji anafanana na mzee mwasapile, au ni ndugu?

  • @linahmarious5788
    @linahmarious5788 Před 4 lety +4

    Nmekuja kuangalia mara ya pili baada ya tetemeko la leo 12/8/2020 sa2:13 kutokea hapa dar

  • @shupanamugala8588
    @shupanamugala8588 Před 4 lety

    Kwakweli tunakufa kwa kuosa maarifa.babu nitàperi mungu hakuona

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Před 4 lety +3

    Tetemeko =corona
    Mataifa kujitenga = lock down
    Nafikiri utafsiri wa maono tuu ila huyu mzee ana Mungu
    Haitaleta madhara = haitachukua muda.

  • @ssjuma
    @ssjuma Před 4 lety +1

    Kwa mujibu wa babu inawezekana migodi yetu yote imehamia kenya??? 🤔🤔

  • @jacksonlicky3826
    @jacksonlicky3826 Před 4 lety +1

    Babu umenepa kwa jelo zetu hakya mungu😂😂😂ila ulicho tufanyia kwenye kikombo mungu anakuona aisee

  • @halidiharuna2748
    @halidiharuna2748 Před 4 lety +1

    Duh! Babu kawa na shavu dodo, kweli alipiga hela babu. Kumbe nayeye yupo!

  • @officialcarolyne2985
    @officialcarolyne2985 Před 4 lety

    I respect this man may you live long

  • @johnsonsimbeye5952
    @johnsonsimbeye5952 Před 4 lety +1

    Mambo makubwa sana tena yana tisha kabisa...nambari yake mzee huo ebu nipe jamani..nipo Lusaka zambia

  • @mkomaedna5929
    @mkomaedna5929 Před 4 lety +6

    Jaman!! Mtatuuwa kwa presha maono gani hayo, tetemeko gan Hilo ambalo haliuwi? Kwa huku Tanzania tutajikuta tupo ubeligij

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 4 lety +1

    Mungu anamuona huyo babu amesababisha watu kufa kwa uongo wake wa kikombe aliona watu wagonjwa watafanya chochote kile wapate afya hivyo akachukua fursa kuwatapeli na dawa za uongo. Sasa anaanza mengine kwa kutumia dini. Binaadamu muwe macho huyu ni mchumia tumbo tu hajali maisha yenu.

  • @zenamsangi5425
    @zenamsangi5425 Před 4 lety +4

    Simuamin hata! Wallah

  • @stanijrtv9068
    @stanijrtv9068 Před 4 lety +8

    Mzeee kwendraaaaaaa

  • @omarymlala2703
    @omarymlala2703 Před 4 lety +1

    Mzee umeishiwa sera, sasa hivi hakunakuongopeana tena hali ngumu

  • @happymaiga4963
    @happymaiga4963 Před 4 lety

    Daaah Weee mzee acha kusema Mungu kakuakikishia. Acha kusema uongo kweli ni SKU za mwisho. Kweli bibli inasema cku za mwisho mtaona na kusikia mengi. Ni kweli

  • @omyguy3028
    @omyguy3028 Před 4 lety +4

    Duuuuuh umeua mzee bb

  • @cyberchannel1833
    @cyberchannel1833 Před 4 lety

    Leo hii nikakumbuka hii taarifa hadi nikaja ku comment leo tarehe 13 march 2020 usiku huu tetemeko kubwa limetutikisa hapa Korogwe Tanga nimeogopa sana. Mungu atusaidie tu.@Ayotv

  • @gwamakamwakyambiki3963
    @gwamakamwakyambiki3963 Před 4 lety +16

    we mze unataka kupiga phase ya pili!

    • @hightechofficial255
      @hightechofficial255 Před 4 lety

      Haha

    • @josephmonje7998
      @josephmonje7998 Před 4 lety +1

      Nyie mnao dhalau kila kitu ndio mana mnaangamia.. kumbuken hata watu wakale walikua wanapewa maono kama huyo mzee. lakin sishangai nabii hua hakubaliki kwao. nasa pia wasema hivo.. ila wao wanasema kuna jiwe litadondoka kutoka sayar nyingine.

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 Před 4 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 Před 4 lety +1

      Second phase😃😃😃

    • @magrethmkira6250
      @magrethmkira6250 Před 4 lety

      Kwan kwa kikombe walipona!?

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 Před 4 lety +1

    Duh ee mungu

  • @emanueljinai7613
    @emanueljinai7613 Před 4 lety +1

    Mzee.mpaka.lin.utaacha.uogo?acha.bana

  • @abdulkareem186
    @abdulkareem186 Před 4 lety +2

    Baada ya tetemeko kutoea ukafika kutazama like hapa nimekubal leo usku wa kuamkia jmosi saa sita limetokea

  • @revocatusedward5739
    @revocatusedward5739 Před 4 lety +1

    Transporter the series 2, hahahahaha🙌🙌🙌

    • @mbabekia5386
      @mbabekia5386 Před 4 lety

      Alisababisha vifo vya watu sheria ichukue mkondo wake magu hujamsoma huyu mzee jaman?

  • @himanshubhikha5500
    @himanshubhikha5500 Před 4 lety +1

    Mungu Ibariki Tanzania❤️

  • @devisanselmo
    @devisanselmo Před 4 lety +2

    Mara paap... Tz imeungana na China. Itakua mwendo wa corona tu 😀😀😀😀

  • @fatmaalaufi9073
    @fatmaalaufi9073 Před 4 lety +3

    Babu usile sana usiku ndoto za kushiba sana usiku

    • @salumsaid6572
      @salumsaid6572 Před 4 lety

      Kalazimisha usingizi huku akifikiria kuota jambo hilo aje atangaze nyumba za udongo tuongeze nguzo iwe imara katika tetemeko isianguke

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi6671 Před 4 lety +1

    Yani kile kipindi cha kukombe kashindwa kujenga hata gorofa kweli pesa za wizi hazina maendeleo

  • @aminashabani2850
    @aminashabani2850 Před 3 lety

    Babu aliua watu we go sana kilekipindi cha kikombe akapotea sasa amekula pesa zimeisha ameonekana acha ufara babu utakufa vibaya sana acha kudanganya watu

  • @allyhashim7935
    @allyhashim7935 Před 4 lety +18

    Tusipende kudharau kitu usichokijua kila mwanadam analo jambo mungu kamuonyesha ushabiki Hua unatuponzanga sana ilichokujali mungu wako ww hakifanani na mwingine

    • @wizydeko1496
      @wizydeko1496 Před 4 lety

      Saawa sawaa

    • @bwiganeafwene1039
      @bwiganeafwene1039 Před 4 lety

      Pia kukubali kila kitu kunatuponza chamsingi tuzidi kumwomba mungu azidi kutimiza mapenzi yake

    • @nsiamassawe3075
      @nsiamassawe3075 Před 4 lety

      Upo sahihi kabisa. Dr Wa kwanza kuona virusi vya corona aliposema aliwekwa Ndani miezi 2 mwishowe corona imamaliza watu Kwa sababu ya siasa kuingilia masuala ya kitalaam.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety +1

      Acha ujinga wewe, babu huyu tapeli, kawatapeli sana 2011

    • @hawamohamed6789
      @hawamohamed6789 Před 4 lety +1

      Tena tapeli haswaa hata huruma hakana kaone kwanza

  • @mcrecho5239
    @mcrecho5239 Před 4 lety

    Alafu we mzee unazngua ww ....umewapotezea watu maisha yao wameacha kumeza midonge wamekmbilia mibakuli ya dawa ...Leo unaligalambua jambo lingine ....akyamungu we mzee mungu anakuona

  • @yonarashidimbwambo2299
    @yonarashidimbwambo2299 Před 4 lety +2

    Huyu mzeee ni mswahili

  • @geofreynalisis4319
    @geofreynalisis4319 Před 4 lety +2

    Ase inabid tukue kiiman ase uyu mzee mwizi Sana em angalia ata speech yake dah

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 4 lety +1

    Kaaa chonjo sio kila mzee akizeeka atakua na busala hatani wahuni wanazeeka

  • @olaolacocacola9242
    @olaolacocacola9242 Před 4 lety +13

    Yani anasema litatokea tetemeko kubwa na nilapili kutokea duniani na halitakua na madhara yoyote😂😂😂 yani huyu mzee ni zaidi ya tapeli

  • @aliyhilal2541
    @aliyhilal2541 Před 4 lety +1

    kama babu umeamini babu wa loliondo kaishia miatano miatano za vikombe gonga like

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 Před 4 lety +22

    KAMA UNAAMINI MZEE YUPO KUTUDANGANYA BASI GONGA LIKE TUENDELEE KUISUBILI HIYO CKU YA TETEMEKO

  • @fredymbilinyi6323
    @fredymbilinyi6323 Před 4 lety +8

    Yeremia 17:5

  • @domecianmassay4981
    @domecianmassay4981 Před 4 lety

    Kuna wakati vyomba vya habari viliwahi kutangaza na kuonesha jinsi bonde la ufa (East African rift valley ) linavyotaka kugawanyika kutoka Sudan hadi msumbiji na kuhamia baharini. Ndoto ya babu inawezekana aliona ile taarifa akatafakari mda mrefu akaja kuota nakusema kafunuliwa/kaoneshwa na Mungu. ???????sijui

  • @saimonijaphary3386
    @saimonijaphary3386 Před 2 lety

    Daaah mim na Bibi yangu tuna ham ya kuxbr tetemeko

  • @rajkyle941
    @rajkyle941 Před 4 lety +11

    This old man is a legend 😁😁✊🏿

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Před 3 lety

    Mmh! Kaja Tena???? Mzee shkamoo. Hakiya Nani kwl hela zinatafutwa. Mmh!!!

  • @sliviajosephat2929
    @sliviajosephat2929 Před 4 lety +3

    Nenda uko na weu wako.wee mungu unamjua uongo tu

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 Před 4 lety

      Kaja Tena azitafune ela za wajinga,mnafiki ananyumba mzur ela za vikombe.

    • @roseshauri5493
      @roseshauri5493 Před 3 lety

      We serikali imekutajirisha watu walikuwa kwa kuacha dawa ya sukari ART leo umekuja na la tetemeko sitakuamini tena.safari hii hutapata kitu

  • @naomiselele2842
    @naomiselele2842 Před 4 lety +1

    Babu umekuja tena kukusanya jero jero zetu

  • @mayurnayi
    @mayurnayi Před 4 lety +1

    Babu, tumepata tetemeko leo i say , sijui kuna nyingine?

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 Před 3 lety

      😂😂😂😂😂😂 babu huyu namkubali

  • @mohamedfogo8820
    @mohamedfogo8820 Před 4 lety +12

    Mimi naomba Tanzania yote ihamishiwe USA.Alafu nyumba yangu idondokee calfonia

    • @titodaudi8949
      @titodaudi8949 Před 4 lety +1

      Kama mimi natamani yangu idondokee Toronto

    • @mrishohamadi7060
      @mrishohamadi7060 Před 4 lety

      Haahaa 🤣🤣

    • @aggreyjoseph9797
      @aggreyjoseph9797 Před 4 lety +1

      🤣🤣🤣🤣 mi yangu idondokee loliondo

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 4 lety

      Ujui California Kuna vimbunga

    • @pendael02
      @pendael02 Před 4 lety

      Poleni akili zenu zimefanana, marekani maisha ni magumu na watu wanafanya kazi sana na siyo kucheza bao na kuvalia suruali na nguo zenu za ndani mkizionyesheni.

  • @innocentbutati4696
    @innocentbutati4696 Před 4 lety +5

    Migebuka na Sato watahamia baharini na kuwa pweza, 😅😅😅

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 Před 4 lety

      Innocent umenimaliza mbavu zangu jamani hahahahahahahaaaaaa

    • @edithkovary3654
      @edithkovary3654 Před 4 lety

      If this is the man who lied that he can heal those people who have aids. ( HIV) i very suprise he is not in jail. After cause so many who stop taking their medicines and took his fine cup of water. He cheated to make money. Iam sorry i do not tryst him at all.

    • @innocentbutati4696
      @innocentbutati4696 Před 4 lety

      😂😂😂😂 😂😂😂😂

    • @innocentbutati4696
      @innocentbutati4696 Před 4 lety

      @@maryamabdallah3140 😂😂😂😂😂😂

  • @jorumkiungo303
    @jorumkiungo303 Před 4 lety +4

    Mzee tupumzishe kdg bas😂😂

  • @babaharunakipindula3895
    @babaharunakipindula3895 Před 4 lety +2

    Huyu mzee angepelekwa kwa wataalam wamcheck hiyo akili yake huenda ana kaukichaa kichwani mwake

    • @esterdaniel9749
      @esterdaniel9749 Před 4 lety

      Hahahahaa!!!! Hahahahaa!!, exactly, mental health

  • @ummytv5164
    @ummytv5164 Před 4 lety

    Mm nimemuelewa Babu maana toka zama zakale mitume walikuwa wakifunuliwa but Mungu hua anaongeaga kwa mafumbo maybe ilo tetemeko dio hi #Corona ambayo imeanza kuzaga dunia nzima chamsingi tujitakase tu tubu midhambi yetu

  • @digitaltech8686
    @digitaltech8686 Před 4 lety +4

    Dah Ila nchi yetu hii ina WATU.

  • @rochiusromward342
    @rochiusromward342 Před 4 lety +3

    Mzee kuwa na hofu wa Mungu jamani

  • @mwahijaseleman7354
    @mwahijaseleman7354 Před 4 lety +1

    Kama umegundua ...mzee na mtangazaj ...ni mtu na mjukuu wake 😀😀tujuane

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa Před 4 lety +1

    Mimi Helbeth nasema hivi siku zote wajinga ndio waliwao. Hata maandiko yanasema hivyo. Wanadamu hawataki kumwabudu Mungu kwa namna ya usahihi na badala yake wanataka kukanyaga mafuta, kukimbilia vikombe vya babu, na kuishia kudanganywa na unabii wa uongo kama huu.
    Hapo hakuna cha ufunuo wala cha nini. Unatudanganya tu, na hata likitokea hilo tetemeko mimi sitokufa kwani Mungu hauwagi watu wa kila aina hata ukisoma enzi za Nuhu aliuwa wale wasiomsikiliza tu na wale ambao wana viburi kumtafuta.

  • @maryzawadi4944
    @maryzawadi4944 Před 4 lety +1

    🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Babu Bwana

  • @saleheabdalah7283
    @saleheabdalah7283 Před 4 lety +2

    We mzee mwongo sanna umeuwa watu wengi sanna kipindi kile hukuwa na dawan na Hilo no uhongo

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 Před 4 lety

    Maaskofu kkkt WAKO wapi waliokuwa wakihudumia vikombe...kikombe kilikuibua babu...tetemekoooooooo...tafuta kikombe ili kulizuia tetemeko Hilo...

  • @man.lule.585
    @man.lule.585 Před 4 lety

    Innalilah Wainailah Rajiun. Mimi kwa Imani yangu unidanganyi.

  • @freetravelsagents3768
    @freetravelsagents3768 Před 4 lety +3

    MZEE TETEMEKO NDIYO HILI SASA UGONJWA WA CORONA

  • @mejoolimevoroo5928
    @mejoolimevoroo5928 Před 4 lety +1

    Mmmh Watanzania kwa ndoto hatujambo ,,,,,

  • @abrahambalamba7108
    @abrahambalamba7108 Před 4 lety +1

    Babu angejikalia kimya tu ,Ni nani atakayemuamini tena? Baada ya kuingiza watu chaka na kikombe chake fake cha kutibu ukimwi kufeli?

  • @Uswahilini583
    @Uswahilini583 Před 4 lety +16

    we mwandishi huyo n babaaako au mbna mnafanana

  • @taturamadhani3599
    @taturamadhani3599 Před 4 lety +4

    Huyu mzee angetakiwa kupewa tuzo ya utapeli maana aliweza kuwatapeli mpaka viongozi wanao pinga matapeli mpaka wazungu

  • @murixhaliy427
    @murixhaliy427 Před 4 lety +4

    Ww mzeeeeee haun lolt hauwez kujua cri za MUNGU

  • @samuelsoswa1437
    @samuelsoswa1437 Před 4 lety

    Hiyo ya tetemeko ni kweli, hata mimi nilishawahi kuota hilo tetemeko kubwa mpaka nyumba inapasuka na kuhamishwa kipande kimoja kwenda upande mwingine na kile kipande kinasimama bila kuanguka, na tetemeko hilo litakuwa la kuogofya sana.

  • @geofreynalisis4319
    @geofreynalisis4319 Před 4 lety +4

    Mzee mhuni uyu nivizur kujua biblia sema anakosea kwani hanaelimu juu ya biblia

  • @victorjidinga9743
    @victorjidinga9743 Před 4 lety +2

    Wewe Babu mbona unaongea uongo bila Hata aibu?

  • @nusurarasuli3634
    @nusurarasuli3634 Před 4 lety

    Jaman tumuombe mungu atuxaidie

  • @christinewomanoffaith5479

    Ila kuna watu walikufa kipindi kile huo ndo ukweli!

  • @uskgangtv2995
    @uskgangtv2995 Před 4 lety +2

    Piga kelele kwa babu akeeeeee

  • @cutedon6804
    @cutedon6804 Před rokem

    Huyu babu apelekwe Mirembe sio mzima wa akili 🙄🙄🙄🙄🙄

  • @malundeonlinetv8399
    @malundeonlinetv8399 Před 4 lety

    Jamani Yani binadam sijui waga tunahakili gani Yani nyie mnataka. Mpaka muone alizi inatetemeka nyie vip mnashindwa kujua kwamba tetemeko ndo hili tulilonalo Sasa hiv

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 4 lety

    MZEE Arudishe Zile pesa jero jero.Mana hakuna mtu aliyepona hata mmoja.
    Halafu na Nyie Wa Tz Mnaopenda Kwenda kwa Waganga Hivi Mpaka lini???Yataisha hayo

  • @raphaelngassa776
    @raphaelngassa776 Před 4 lety +1

    ukidanganya Mara moja kausha

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Před 3 lety

    HaHAHAHA babu mtaftaji tu siyo kweli hata chembe

  • @msafirimtali9567
    @msafirimtali9567 Před 4 lety +1

    Babu andaa dawa ya corona umetabiria vizuri

  • @zachariamkiteu7398
    @zachariamkiteu7398 Před 4 lety

    Dahh huyu mtangazaji Ni noma juz tu nimemuona Tabora,namkubali sana

  • @tukaeabdallah2050
    @tukaeabdallah2050 Před 4 lety +1

    Like father like son. Majengo ya waathirika wa corona loliondo.

  • @KRISHSEBASTIAN
    @KRISHSEBASTIAN Před 4 lety +12

    Hahahahah babu kaja na mpya dadekiii 😂😂😂😂😂😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 lety

    Huyo kakomba hela za watu na wanekufa kama kuku kwa kuacha kunywa doze ya ukimwi kwa imani