Ajabu sana! bado Babu anajenga hoja kwamba kuna watu amewatibu ukimwi.ila mimi nimeona wengi wakizikwa kwasababu ya kuacha kutumia dawa za kufifisha vvu kwaajili ya uongo wa huyu mzee na kikombe chake
My brother the interviewer please do some research concerning what is called the continental drift. If you pull the map of Africa and South America together, you see that there are common similar features. The Congo forest is similar to the Amazon in Brazil,and the River Congo was connected to the Amazon River. This two continents were at one time one, and were probably separated as a result of a huge earthquake.
Kuna aina 4 za shirki... Shirki ktk sifa ya Munguu,, shirki ktk mamlaka ya Mungu ,,,shirki ktk hukmu zake na shirki ktk mamlaka ya Mungu Huyu mzee anasema ameongea na Mungu walllahi billahi talahi Mungu anamuona na ataipata tuuu 😏😏😏😷😷😷😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Watanzania bwana ettyy wanna muunga mkono duuuuuuuu
Makusudio ya Mungu hayabadlk labda jambo alpang bnadamu Mugu ulpadlsha ila kama kapanga yy never albadlk Yesu mwenyew altaka alitaka ac uliw lakn hakuwza had kusud la mungu lilipo timia
Mungu anamuona huyo babu amesababisha watu kufa kwa uongo wake wa kikombe aliona watu wagonjwa watafanya chochote kile wapate afya hivyo akachukua fursa kuwatapeli na dawa za uongo. Sasa anaanza mengine kwa kutumia dini. Binaadamu muwe macho huyu ni mchumia tumbo tu hajali maisha yenu.
Daaah Weee mzee acha kusema Mungu kakuakikishia. Acha kusema uongo kweli ni SKU za mwisho. Kweli bibli inasema cku za mwisho mtaona na kusikia mengi. Ni kweli
Leo hii nikakumbuka hii taarifa hadi nikaja ku comment leo tarehe 13 march 2020 usiku huu tetemeko kubwa limetutikisa hapa Korogwe Tanga nimeogopa sana. Mungu atusaidie tu.@Ayotv
Nyie mnao dhalau kila kitu ndio mana mnaangamia.. kumbuken hata watu wakale walikua wanapewa maono kama huyo mzee. lakin sishangai nabii hua hakubaliki kwao. nasa pia wasema hivo.. ila wao wanasema kuna jiwe litadondoka kutoka sayar nyingine.
Babu aliua watu we go sana kilekipindi cha kikombe akapotea sasa amekula pesa zimeisha ameonekana acha ufara babu utakufa vibaya sana acha kudanganya watu
Tusipende kudharau kitu usichokijua kila mwanadam analo jambo mungu kamuonyesha ushabiki Hua unatuponzanga sana ilichokujali mungu wako ww hakifanani na mwingine
Upo sahihi kabisa. Dr Wa kwanza kuona virusi vya corona aliposema aliwekwa Ndani miezi 2 mwishowe corona imamaliza watu Kwa sababu ya siasa kuingilia masuala ya kitalaam.
Alafu we mzee unazngua ww ....umewapotezea watu maisha yao wameacha kumeza midonge wamekmbilia mibakuli ya dawa ...Leo unaligalambua jambo lingine ....akyamungu we mzee mungu anakuona
Kuna wakati vyomba vya habari viliwahi kutangaza na kuonesha jinsi bonde la ufa (East African rift valley ) linavyotaka kugawanyika kutoka Sudan hadi msumbiji na kuhamia baharini. Ndoto ya babu inawezekana aliona ile taarifa akatafakari mda mrefu akaja kuota nakusema kafunuliwa/kaoneshwa na Mungu. ???????sijui
Poleni akili zenu zimefanana, marekani maisha ni magumu na watu wanafanya kazi sana na siyo kucheza bao na kuvalia suruali na nguo zenu za ndani mkizionyesheni.
If this is the man who lied that he can heal those people who have aids. ( HIV) i very suprise he is not in jail. After cause so many who stop taking their medicines and took his fine cup of water. He cheated to make money. Iam sorry i do not tryst him at all.
Mm nimemuelewa Babu maana toka zama zakale mitume walikuwa wakifunuliwa but Mungu hua anaongeaga kwa mafumbo maybe ilo tetemeko dio hi #Corona ambayo imeanza kuzaga dunia nzima chamsingi tujitakase tu tubu midhambi yetu
Mimi Helbeth nasema hivi siku zote wajinga ndio waliwao. Hata maandiko yanasema hivyo. Wanadamu hawataki kumwabudu Mungu kwa namna ya usahihi na badala yake wanataka kukanyaga mafuta, kukimbilia vikombe vya babu, na kuishia kudanganywa na unabii wa uongo kama huu. Hapo hakuna cha ufunuo wala cha nini. Unatudanganya tu, na hata likitokea hilo tetemeko mimi sitokufa kwani Mungu hauwagi watu wa kila aina hata ukisoma enzi za Nuhu aliuwa wale wasiomsikiliza tu na wale ambao wana viburi kumtafuta.
Hiyo ya tetemeko ni kweli, hata mimi nilishawahi kuota hilo tetemeko kubwa mpaka nyumba inapasuka na kuhamishwa kipande kimoja kwenda upande mwingine na kile kipande kinasimama bila kuanguka, na tetemeko hilo litakuwa la kuogofya sana.
Jamani Yani binadam sijui waga tunahakili gani Yani nyie mnataka. Mpaka muone alizi inatetemeka nyie vip mnashindwa kujua kwamba tetemeko ndo hili tulilonalo Sasa hiv
MZEE Arudishe Zile pesa jero jero.Mana hakuna mtu aliyepona hata mmoja. Halafu na Nyie Wa Tz Mnaopenda Kwenda kwa Waganga Hivi Mpaka lini???Yataisha hayo
Kama umeona mtangazaji na babu wanafanana sura gonga like
😂😂😂
Na ww umezid uchunguz,,,khaaaa umejuaje
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Tekla Sylvester haaa haaaa kweli haaa haaa
Kama umekuja apa baada ya kuskia tetemeko la ardhi usiku wa jana,gonga like apa tujuane🤣🤣🤣
Kama umegundua mtangazaji anafanana na babu copyright gonga like hapa tujuane😄😄
Aha ha ha aaaaaAA ha aaa Dahhhhh HGH nimechekaa kichiziii mashavu uso kichwa
B4 cjaona comment yako niligundua hilo, aiseeh tunalingana mawazo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
rayman mwangosi mungu anakuona mi nkajua mtu na babu yake copy right brother yani mule mule Mtu na babu yake
Sana sana saaana wanafanana na ndugu mtangazaji aseeee😃😃😃😃😃
sana sana
Kma umegundua Mzee kaja kumalizia episode ya mwisho but
Now no Janja Janja
😂😂😂 fuvu la adamu na hawa,,,, afu ni fuvu moja 😂😂😂 sema huyu mzee ni noma mpaka viongozi waliacha ikulu wakapanga foleni
Hahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani huyu baba nyoko
@@hadijalukasmdeg9987 Ha ha haaa
Hahaha mpaka wazungu walikuja
😂😂😂
Kama unaamini babu uyu mwiz gonga like
Tapeli sana!!!
🤣🤣
Tapeli hasa
Babu hongera kwakuitangaza loliondo lakini wangonjwa hawakupona
Babu hongera kwakuitangaza loliondo lakini wangonjwa hawakupona
Kama unaamini mzee anaitaji viboko vingi mno gonga like
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Fulgence Lucas 😂😂 kwanin jembe.??
Anatuvuruga huyuu saiz ataambulia patupu
Acheni mzaha.
Mungu akufunulie ww 🤣🤣🤣subili ufe uwone
Babu leo ameongea ukweli MWENYEZIMUNGU cyo mwanadam huwo ni ukweli
Ajabu sana! bado Babu anajenga hoja kwamba kuna watu amewatibu ukimwi.ila mimi nimeona wengi wakizikwa kwasababu ya kuacha kutumia dawa za kufifisha vvu kwaajili ya uongo wa huyu mzee na kikombe chake
Mzeee muhuni tu huyu... Vikombe kumbe mbwembwe tu😂😂😂
Kama unaamini babu tapeli gonga like
Wagonjwa wa ukimwi walikunywa kikombe wakaacha dozi weeee waliondoka kma nzge
My brother the interviewer please do some research concerning what is called the continental drift. If you pull the map of Africa and South America together, you see that there are common similar features. The Congo forest is similar to the Amazon in Brazil,and the River Congo was connected to the Amazon River. This two continents were at one time one, and were probably separated as a result of a huge earthquake.
Waliona kikombe hawakuamini mpaka waone JAGI
😂😂😂😂😂😂 nakuambia huyu mzee noma watu walitoka mikoa mbali mbali kuja kupata kikombe.
Kuna aina 4 za shirki...
Shirki ktk sifa ya Munguu,, shirki ktk mamlaka ya Mungu ,,,shirki ktk hukmu zake na shirki ktk mamlaka ya Mungu Huyu mzee anasema ameongea na Mungu walllahi billahi talahi Mungu anamuona na ataipata tuuu 😏😏😏😷😷😷😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Watanzania bwana ettyy wanna muunga mkono duuuuuuuu
الشرك هو أن تعتقد ان المخلوق يضر وينفع بدون إذن الله
JAMANI BABU KATABIRI KWELI. NASKIA KUMETOKEA MTETEMEKO WA ARDHI AFRICA. BAADHI YA MIJI. SUBHANALLAH!
😂😂babu fundi wa GEOGRAPHY
Tulipona hakika babu Mungu anamtumia,Asante Mwenyezi Mungu kwa babu
Ni kweli
Babu shukuru uliua wagonjwa ukapata nyumba ya kisasa ,
Nyamaza malizia maisha yaliyobaki .
Huna maono yyt , una utapeli tu .
Nyamaza unatutia uchungu .
Umekuja na upako safari hii ila kiukweli watu wengi walikufa kwa kuamini ile dawa ya kikombe na wakaacha za hosptal😂😁😊😊😃😃😃😂😃😊😂😊😊😊
I don't trust him is about business
Kaja mwamposa kaja kapiga pesa sasa babu loliondo kafufuka na kuna watakaoingia mkenge..😂😂gonna like kama nasema kwzli
Tujiazar
Namajaribu
Tujiweke
Kwayexu hakuna
Chalolionto apa
Pesa zimepelea babu anatafuta nyingine, hongera sana babu akili kumkichwa 😅😅
Ni kweli waweza pata maono hayo,lkn Tukimwomba Mungu aweza kutuondolea mapigo yasiwe juu yetu
mankia lema acha uoga uyu mzee bas tu
Makusudio ya Mungu hayabadlk labda jambo alpang bnadamu Mugu ulpadlsha ila kama kapanga yy never albadlk Yesu mwenyew altaka alitaka ac uliw lakn hakuwza had kusud la mungu lilipo timia
namuona mtangazaji anafanana na mzee mwasapile, au ni ndugu?
Nmekuja kuangalia mara ya pili baada ya tetemeko la leo 12/8/2020 sa2:13 kutokea hapa dar
Kwakweli tunakufa kwa kuosa maarifa.babu nitàperi mungu hakuona
Tetemeko =corona
Mataifa kujitenga = lock down
Nafikiri utafsiri wa maono tuu ila huyu mzee ana Mungu
Haitaleta madhara = haitachukua muda.
Very true
Fact kabisa
Mbona corona inauwa?
Kwa mujibu wa babu inawezekana migodi yetu yote imehamia kenya??? 🤔🤔
Babu umenepa kwa jelo zetu hakya mungu😂😂😂ila ulicho tufanyia kwenye kikombo mungu anakuona aisee
Duh! Babu kawa na shavu dodo, kweli alipiga hela babu. Kumbe nayeye yupo!
I respect this man may you live long
Mambo makubwa sana tena yana tisha kabisa...nambari yake mzee huo ebu nipe jamani..nipo Lusaka zambia
Jaman!! Mtatuuwa kwa presha maono gani hayo, tetemeko gan Hilo ambalo haliuwi? Kwa huku Tanzania tutajikuta tupo ubeligij
Mungu anamuona huyo babu amesababisha watu kufa kwa uongo wake wa kikombe aliona watu wagonjwa watafanya chochote kile wapate afya hivyo akachukua fursa kuwatapeli na dawa za uongo. Sasa anaanza mengine kwa kutumia dini. Binaadamu muwe macho huyu ni mchumia tumbo tu hajali maisha yenu.
Walilazimishwa kwenda?
Simuamin hata! Wallah
Mzeee kwendraaaaaaa
Mzee umeishiwa sera, sasa hivi hakunakuongopeana tena hali ngumu
Daaah Weee mzee acha kusema Mungu kakuakikishia. Acha kusema uongo kweli ni SKU za mwisho. Kweli bibli inasema cku za mwisho mtaona na kusikia mengi. Ni kweli
Duuuuuh umeua mzee bb
Leo hii nikakumbuka hii taarifa hadi nikaja ku comment leo tarehe 13 march 2020 usiku huu tetemeko kubwa limetutikisa hapa Korogwe Tanga nimeogopa sana. Mungu atusaidie tu.@Ayotv
we mze unataka kupiga phase ya pili!
Haha
Nyie mnao dhalau kila kitu ndio mana mnaangamia.. kumbuken hata watu wakale walikua wanapewa maono kama huyo mzee. lakin sishangai nabii hua hakubaliki kwao. nasa pia wasema hivo.. ila wao wanasema kuna jiwe litadondoka kutoka sayar nyingine.
🤣🤣🤣🤣🤣
Second phase😃😃😃
Kwan kwa kikombe walipona!?
Duh ee mungu
Mzee.mpaka.lin.utaacha.uogo?acha.bana
Baada ya tetemeko kutoea ukafika kutazama like hapa nimekubal leo usku wa kuamkia jmosi saa sita limetokea
Transporter the series 2, hahahahaha🙌🙌🙌
Alisababisha vifo vya watu sheria ichukue mkondo wake magu hujamsoma huyu mzee jaman?
Mungu Ibariki Tanzania❤️
Mara paap... Tz imeungana na China. Itakua mwendo wa corona tu 😀😀😀😀
Hahahhahahaha
Babu usile sana usiku ndoto za kushiba sana usiku
Kalazimisha usingizi huku akifikiria kuota jambo hilo aje atangaze nyumba za udongo tuongeze nguzo iwe imara katika tetemeko isianguke
Yani kile kipindi cha kukombe kashindwa kujenga hata gorofa kweli pesa za wizi hazina maendeleo
Babu aliua watu we go sana kilekipindi cha kikombe akapotea sasa amekula pesa zimeisha ameonekana acha ufara babu utakufa vibaya sana acha kudanganya watu
Tusipende kudharau kitu usichokijua kila mwanadam analo jambo mungu kamuonyesha ushabiki Hua unatuponzanga sana ilichokujali mungu wako ww hakifanani na mwingine
Saawa sawaa
Pia kukubali kila kitu kunatuponza chamsingi tuzidi kumwomba mungu azidi kutimiza mapenzi yake
Upo sahihi kabisa. Dr Wa kwanza kuona virusi vya corona aliposema aliwekwa Ndani miezi 2 mwishowe corona imamaliza watu Kwa sababu ya siasa kuingilia masuala ya kitalaam.
Acha ujinga wewe, babu huyu tapeli, kawatapeli sana 2011
Tena tapeli haswaa hata huruma hakana kaone kwanza
Alafu we mzee unazngua ww ....umewapotezea watu maisha yao wameacha kumeza midonge wamekmbilia mibakuli ya dawa ...Leo unaligalambua jambo lingine ....akyamungu we mzee mungu anakuona
Huyu mzeee ni mswahili
Ase inabid tukue kiiman ase uyu mzee mwizi Sana em angalia ata speech yake dah
Hahahahaha umeona ee
Hata mtangazaji ameona amedanganywaa
Kaaa chonjo sio kila mzee akizeeka atakua na busala hatani wahuni wanazeeka
Yani anasema litatokea tetemeko kubwa na nilapili kutokea duniani na halitakua na madhara yoyote😂😂😂 yani huyu mzee ni zaidi ya tapeli
Kaxem
Kwer
Kweri
Hizi
Ninyakat
Zayesu
Tujiweke
Xaw
Tujiweke
Xawa
Anko mbona ilipiga uliza watu wa tanga lushoto tena usiku majira ya saa NNE kasoro ilivyopiga nilikumbuka huyu mzee alicho kiongea
Hata geita lilipiga na halikuuwa
So tusiseme sana
Tutubu tu
kama babu umeamini babu wa loliondo kaishia miatano miatano za vikombe gonga like
KAMA UNAAMINI MZEE YUPO KUTUDANGANYA BASI GONGA LIKE TUENDELEE KUISUBILI HIYO CKU YA TETEMEKO
😂😂😂 tupo pamoja
Powa powa Mr luvanda
Vipi umeshamuamini au bado?
Bado sana
Uyu mzee bwege kwer
Yeremia 17:5
Fredy Mbilinyi hahaha sawa baba mchungaji
Kuna wakati vyomba vya habari viliwahi kutangaza na kuonesha jinsi bonde la ufa (East African rift valley ) linavyotaka kugawanyika kutoka Sudan hadi msumbiji na kuhamia baharini. Ndoto ya babu inawezekana aliona ile taarifa akatafakari mda mrefu akaja kuota nakusema kafunuliwa/kaoneshwa na Mungu. ???????sijui
Daaah mim na Bibi yangu tuna ham ya kuxbr tetemeko
This old man is a legend 😁😁✊🏿
Mmh! Kaja Tena???? Mzee shkamoo. Hakiya Nani kwl hela zinatafutwa. Mmh!!!
Nenda uko na weu wako.wee mungu unamjua uongo tu
Kaja Tena azitafune ela za wajinga,mnafiki ananyumba mzur ela za vikombe.
We serikali imekutajirisha watu walikuwa kwa kuacha dawa ya sukari ART leo umekuja na la tetemeko sitakuamini tena.safari hii hutapata kitu
Babu umekuja tena kukusanya jero jero zetu
Babu, tumepata tetemeko leo i say , sijui kuna nyingine?
😂😂😂😂😂😂 babu huyu namkubali
Mimi naomba Tanzania yote ihamishiwe USA.Alafu nyumba yangu idondokee calfonia
Kama mimi natamani yangu idondokee Toronto
Haahaa 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 mi yangu idondokee loliondo
Ujui California Kuna vimbunga
Poleni akili zenu zimefanana, marekani maisha ni magumu na watu wanafanya kazi sana na siyo kucheza bao na kuvalia suruali na nguo zenu za ndani mkizionyesheni.
Migebuka na Sato watahamia baharini na kuwa pweza, 😅😅😅
Innocent umenimaliza mbavu zangu jamani hahahahahahahaaaaaa
If this is the man who lied that he can heal those people who have aids. ( HIV) i very suprise he is not in jail. After cause so many who stop taking their medicines and took his fine cup of water. He cheated to make money. Iam sorry i do not tryst him at all.
😂😂😂😂 😂😂😂😂
@@maryamabdallah3140 😂😂😂😂😂😂
Mzee tupumzishe kdg bas😂😂
Kabisa
Hahahahaa!!! Jaman mbavu zangu!!hahahahaa!
Huyu mzee angepelekwa kwa wataalam wamcheck hiyo akili yake huenda ana kaukichaa kichwani mwake
Hahahahaa!!!! Hahahahaa!!, exactly, mental health
Mm nimemuelewa Babu maana toka zama zakale mitume walikuwa wakifunuliwa but Mungu hua anaongeaga kwa mafumbo maybe ilo tetemeko dio hi #Corona ambayo imeanza kuzaga dunia nzima chamsingi tujitakase tu tubu midhambi yetu
Dah Ila nchi yetu hii ina WATU.
Mzee kuwa na hofu wa Mungu jamani
Kama umegundua ...mzee na mtangazaj ...ni mtu na mjukuu wake 😀😀tujuane
Mimi Helbeth nasema hivi siku zote wajinga ndio waliwao. Hata maandiko yanasema hivyo. Wanadamu hawataki kumwabudu Mungu kwa namna ya usahihi na badala yake wanataka kukanyaga mafuta, kukimbilia vikombe vya babu, na kuishia kudanganywa na unabii wa uongo kama huu.
Hapo hakuna cha ufunuo wala cha nini. Unatudanganya tu, na hata likitokea hilo tetemeko mimi sitokufa kwani Mungu hauwagi watu wa kila aina hata ukisoma enzi za Nuhu aliuwa wale wasiomsikiliza tu na wale ambao wana viburi kumtafuta.
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Babu Bwana
We mzee mwongo sanna umeuwa watu wengi sanna kipindi kile hukuwa na dawan na Hilo no uhongo
Hahaha yaani
Maaskofu kkkt WAKO wapi waliokuwa wakihudumia vikombe...kikombe kilikuibua babu...tetemekoooooooo...tafuta kikombe ili kulizuia tetemeko Hilo...
Innalilah Wainailah Rajiun. Mimi kwa Imani yangu unidanganyi.
MZEE TETEMEKO NDIYO HILI SASA UGONJWA WA CORONA
Mmmh Watanzania kwa ndoto hatujambo ,,,,,
Babu angejikalia kimya tu ,Ni nani atakayemuamini tena? Baada ya kuingiza watu chaka na kikombe chake fake cha kutibu ukimwi kufeli?
we mwandishi huyo n babaaako au mbna mnafanana
Wanafanana mashavu tuna wewe 😁😁😁
Huyu mzee angetakiwa kupewa tuzo ya utapeli maana aliweza kuwatapeli mpaka viongozi wanao pinga matapeli mpaka wazungu
Ww mzeeeeee haun lolt hauwez kujua cri za MUNGU
Huy mze
Anataka
Pesa
Huy mze
Anataka
Pesa
Hiyo ya tetemeko ni kweli, hata mimi nilishawahi kuota hilo tetemeko kubwa mpaka nyumba inapasuka na kuhamishwa kipande kimoja kwenda upande mwingine na kile kipande kinasimama bila kuanguka, na tetemeko hilo litakuwa la kuogofya sana.
Mzee mhuni uyu nivizur kujua biblia sema anakosea kwani hanaelimu juu ya biblia
Wewe Babu mbona unaongea uongo bila Hata aibu?
Jaman tumuombe mungu atuxaidie
Ila kuna watu walikufa kipindi kile huo ndo ukweli!
christine prophetess sana tu wengi walikufa
Piga kelele kwa babu akeeeeee
Huyu babu apelekwe Mirembe sio mzima wa akili 🙄🙄🙄🙄🙄
Jamani Yani binadam sijui waga tunahakili gani Yani nyie mnataka. Mpaka muone alizi inatetemeka nyie vip mnashindwa kujua kwamba tetemeko ndo hili tulilonalo Sasa hiv
MZEE Arudishe Zile pesa jero jero.Mana hakuna mtu aliyepona hata mmoja.
Halafu na Nyie Wa Tz Mnaopenda Kwenda kwa Waganga Hivi Mpaka lini???Yataisha hayo
ukidanganya Mara moja kausha
HaHAHAHA babu mtaftaji tu siyo kweli hata chembe
Babu andaa dawa ya corona umetabiria vizuri
Dahh huyu mtangazaji Ni noma juz tu nimemuona Tabora,namkubali sana
Like father like son. Majengo ya waathirika wa corona loliondo.
Hahahahah babu kaja na mpya dadekiii 😂😂😂😂😂😂
Doh si mchezo
Huyo kakomba hela za watu na wanekufa kama kuku kwa kuacha kunywa doze ya ukimwi kwa imani